TATIZO LA NGUVU ZA KIUME HUSABABISHWA NA SABABU HIZI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 05. 2019
  • Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor #WCC & Counseling Psychologist #BLCCC +255 713 18 39 39

Komentáře • 51

  • @kanyamagaraabdallah8300
    @kanyamagaraabdallah8300 Před 4 měsíci

    Asanteni tuwasikiliza mr. Dr . Peter M. et nawangine

  • @user-ii4jc3wo4i
    @user-ii4jc3wo4i Před 5 lety +4

    Hongera mchungaji kwa kutuhamasisha haya mafundisho mazuri

  • @brhchannel6618
    @brhchannel6618 Před 5 lety +5

    Asanteeeee Sana Dr Mitimingi kwa Ushauri wako, Stay blessed.

  • @joelylimon38
    @joelylimon38 Před 5 lety +2

    Asante sana kwa Elim

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 Před 4 lety +3

    Daah,kiukweki Hassan ANAKERA,hana maana kabisa,mpaka Dr anapoteza mtiririko wa swali analolijibu au kuelezea.....amegeuza mazungumzo ya kihuni

  • @johnmamilo1326
    @johnmamilo1326 Před 5 lety +6

    Tatizo huyu jamaa anaongea sana anamchanganya doctor. We jamaa jarib kuji control katika kuongea. Control haiba yako (Sanguine)

  • @mosesneckmiah9385
    @mosesneckmiah9385 Před 4 měsíci

    Wahaya wanafahamika kupiga katerero❤

  • @emmanuelamonique7308
    @emmanuelamonique7308 Před 3 měsíci

    Tunashukuru kwa mafundisho safi

  • @robertmakuukabwali9488
    @robertmakuukabwali9488 Před 3 měsíci

    Huyu jamaa anaongea sana ,mwachie Dr afundishe.

  • @nuruhossein6144
    @nuruhossein6144 Před 3 lety +1

    Uyu kaka anachanganya docta ajamaliza anaoji swali lingine

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 Před 4 lety +3

    Narudia tena,Hassan ANAKERA

  • @marijanikhalifa7445
    @marijanikhalifa7445 Před 4 měsíci

    mnamada zuri hmpatii muhusika aweze kuongea vizuri

  • @mushken65
    @mushken65 Před rokem +1

    Silazima alinganishe. Mke yuko nawewe kila siku na anaona hata mashini haisimami na hingurumi vile ilikuwa inafanya. Kwanini mke asiseme nguvu zimepunguka? 🇰🇪

  • @godfreydaniel6818
    @godfreydaniel6818 Před 3 lety +2

    R.i. p mitimingi 2020

  • @khalfannahayimbekwa1440
    @khalfannahayimbekwa1440 Před 3 měsíci

    Bwana habari hizi tunaambiwa kuwa mwenye sukari ugonjwa inamsababishia kukosa nguvu

  • @kadarahbeshop5403
    @kadarahbeshop5403 Před 5 lety +3

    Dr, kuna kipindi chako moja inaniumiza sana sana inafanya niwaze mara mia, eti mimi nlikosea mungu nini? Dr, jambo langu ni hili, mkewangu yuko kenya mimi yuko Zanzibar, tatizo haniamini mimi, sababu nkiwa bado nko kenya nlikua nkiiewa transfer kikazi naenda sehemu nyingine tunaenda sote pamoja, c kwa nataka akae mbali na mimi, kwa sasa hivi nlikuja kupelekwa zanzibar kikazi, cha kwanza alikataa ni siende baadaya kakubali, nikaenda, tangu niende zanzibar ndoa yangu na yeye haiko vizuri, sababu ni, nkiwa kwa nyumba tunipigiana simu through imo video, nikimuona na yeye pia ananiona, kuna siku alinipigia simu ingala data ilikua on, simu ikaita sikupokea sababu nlikua bafuni kuoga, nlipo rudi kutoka bafuni nikaangalia saa kwenye simu, nikakuta amenitafuta, kwa dadika sio mingi, nkampigia mara hio hio akapokea, kupokea kaniambia henda hummalizie hio doz, ndio baadaye ukimaliza unipigie, nlidhani kama ananitania kumbe yuko huakika, nikamjibu aa wacha hayo nlikua bafuni mkewangu nlikua naoga, Dr akunielewa kinijibu kamalize kwanza, nkamwambia nisha maliza kuoga na nkiwa bafuni ndie umenitafuta! Hio shida mpaka sahivi inasumbua roho yangu zaidi mkewangu ananichukulia vp? Na vle ninampenda, bado si kati tamaa nampigia bado lakini hapo kei, nikimtumia ujumbe ammna jibu ata, Dr kuaminiana imeni shika sana hio kipindi, kuna kipisi hapo imeni guza sana hadi nikaumia roho, KUNYOA JUU ADII CHINI KANI KATAZA MIMI, kuna wakati nlinyoa nkasema wacha niende nyumbani nkapitia saluni nkanyoa vizuri nkidhani nitampendeza, kufika nyumbani alini pokea baadaye nkatoa shati nka baki na vest, kanichunguza uko juu kapata nmezitoa nko safi, Dr hapo hapo, maneno zake kanza kua tafauti, nkimuliza kitu jibu mbaya mbaya dah, nlishangaa kwani nmefanya kosa gani tena, saa ya kulala ikafika nkaona ana shuguli na miki ata, nikambemveleza pole pole, akani jibu alieni nyoa akanipa si yeye, nika shanga sana, akaniambia tena nilie kuanaye akinipigia simu ndio nkatae kupokea niende kwake, Dr sina la kusema hadi kwa sasa, ilibidi n rudi Zanzibar makavi hivyoo, bado namtumianga meseji na hajibu, asubui na jioni kila siku na tuma mimi, kwa sasa narudi kenya tareh 18 nifanye nini ndio anielewee jamani? Wenye watasoma haya meseji yangu jamani naomba ushauri! Asanteni sana

  • @thedon8467
    @thedon8467 Před 4 měsíci

    Doctor Kwa wale ambao hatuna wake wala mademu jee tukijichua Kwa mwezi mara moja Kuna mazara pia ?

  • @khalfannahayimbekwa1440
    @khalfannahayimbekwa1440 Před 3 měsíci

    Hivi wanawake wao vipi ?yaani wao niwazima tu,hawawi katika wenye kukosa nguvu.?

  • @evansjohn7766
    @evansjohn7766 Před 2 měsíci

    Kalanga unakula ya kukalanga au isokalanga,nisaidie hilo

  • @user-te4no2di1s
    @user-te4no2di1s Před 3 měsíci

    Nauriza wakati mwanamke ana uterezi mbegu za kiume zinatoka haraka kwani zinafutana,

  • @jkitebo6548
    @jkitebo6548 Před 4 lety +4

    Nimerudia na mungu ampumzishe mahali anapostahili

  • @jacksonmasirika
    @jacksonmasirika Před 3 měsíci

    Naneno yanavuja nguvu zakiume

  • @stanleygeorge6638
    @stanleygeorge6638 Před 5 lety +3

    Hasani ngoma alivyo ruka sasa

  • @thedon8467
    @thedon8467 Před 4 měsíci

    DOCTOR KUONGEZA UUME HAKUNA MADHARA

  • @judithmbwilo1194
    @judithmbwilo1194 Před 5 lety +3

    Huyo mtangazaji wa kiume anaongea sana hadi anakela, kwani yeye ni doctor au mtangazaji?

  • @hossenomari2983
    @hossenomari2983 Před 3 lety

    Doctor ili mwanamke afike kileleni inahitajika muda gani kwa tendo

  • @thedon8467
    @thedon8467 Před 4 měsíci

    DOCTOR MIMI NAOMBA DAWA YA KUACHA KIJICHUA

  • @ntakobatagizeodette6876
    @ntakobatagizeodette6876 Před 4 měsíci

    Muna weza kutupa namba ya simu ya Doctor

  • @khadijamisayo7476
    @khadijamisayo7476 Před 4 lety +17

    anaerudia kuangalia hii leo baada ya mchungaji kuaga dunia nani? rip

  • @derrickthedon91
    @derrickthedon91 Před 4 lety +1

    Hairuhusiwi chiinii ya umri wa miaki kumi na nane

  • @yasinselemani56
    @yasinselemani56 Před 3 lety

    Kaselini ndionn

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 Před 3 lety

    Dr hapo kwa Multiple relationship ni uwongo.

  • @isatewa4418
    @isatewa4418 Před 2 lety

    Dokta kiukwer ndio mana Kuoa mwanamke ambae sio bikra niharamu xana kiukwer

  • @stephanoiddi568
    @stephanoiddi568 Před 3 lety

    Jj

  • @marijanikhalifa7445
    @marijanikhalifa7445 Před 4 měsíci

    mpe nafasi anongee sas dokta

  • @isatewa4418
    @isatewa4418 Před 2 lety

    Mm naweza sema mke ambae si bikra siwezi toa mali

  • @madharayakuachaimaniyadini5066

    Lakini pia wanasahau kwamba wanatupa lawama sana kwa wanaume wakati pia wanawake wengi wamekuwa malaya yaani wametumika sana kiasi kwamba hawaliziki kabisa na wameshatumia matango, artificial penis, chupa za soda nk. Sasa huyo wewe binadamu unamlizishaje? Nashauri wataalamu wafanye utafiti wa kutosha kwa jinsi zote ili wapate namna ya kusaidia watu wote.

  • @hubman6780
    @hubman6780 Před 4 měsíci

    Shida ni Sindano na vitanzi vya kupanga uzazi

  • @davidawet3214
    @davidawet3214 Před 4 lety

    Hata huyo dada mtangazaji anaonyesha hajawahi kufika kileleni

  • @nuruhossein6144
    @nuruhossein6144 Před 3 lety

    Uyu kaka anachanganya docta ajamaliza anaoji swali lingine

  • @user-te4no2di1s
    @user-te4no2di1s Před 3 měsíci

    Nauriza wakati mwanamke ana uterezi mbegu za kiume zinatoka haraka kwani zinafutana,