MITIMINGI # 675 JIFUNZE KUKATA KIUNO KUBORESHA TENDO LA NDOA
Vložit
- čas přidán 8. 04. 2019
- KWA WANANDOA TU - Ili kuongeza thamani yako wewe kama mwanamke. Jifunze kukata kiuno kuboresha eneo la tendo la ndoa katika ndoa yako.
Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor & Counseling Psychologist #WCC +255 713 18 39 39
Kama una amin wana wake ngangali wapo wengi gonga like
Mamboo ya kuzima taa si mahabaa ni kuwangaaa washenii taa waonee shangaa jaaaamanii kama umeona ni kweli nipe like
Aki asante nimejifunza fundisho Kali lenye na nguzo zote za kuenjoy tendo la ndoa nimefurahi na umeniboost sana sina cha kukupa ila mungu Wa mbinguni aliyekupa hii Neema ya kufundisha mambo haya ya thamani na sema azidi kukubariki nyanja zote
Hakika Mungu are not limited,kuona yeye ni juu ya mambo yenye tulifikiria kubwa kizima kutoka kinywani mwake mtu yeyote ile hadharani. Yesu apewe sifa zote!
Hahahaha pastor am single Umeniamsha aki😀😀aty kata kiuno😂😂mbaka nmeskia utamu😀😀Aki apo mwenye ajui kuinua leo amejua Awesome man❤❤😘😘😘
Sijui kwa nini umenyakuliwa mapema Mwalimu Wanguu 😍
Kwel kabisa walio wengi hawana radha maan wakina baba wengi wanalalamika kwa marafik zao mpaka kunazuka ugomvi ndan kwaajir ya kutafuta kuridhishwa.
Mambo makubwa hayo...!!
Kila la kheri wanandoa..🙌🙌
Wanaume wengi hawapendi wake zao wafanye kazi,wala kujishughulisha
Patamu hapooo mtumishi wa Mungu
Barikiwa sana mtumish wa Mungu kwa kuponya na kuokoa ndoa za watu mamia na zaidi
Hapo patamu sana sasa nafanya mpango wa kuoa.
Asante sana mchungaj nimekuelewa sana mngu aendelee kukulinda ili utufundisha meng
Safi kabisa Kenya tunakukubali mafundisho mazuri sana
duuuuu hakika mipango ya mungu haina makosa mungu ukupunguzie dhambi ulale salama mchungaji R. I. P mbelee yako nyuma yetu pumzika kwa aman
Asante kwa mafundisho mazuri. Barkiwa mchungaji
Asante mchungaji mafunzo bomba kipindi chako chanifunza mengi yenye sikuyajua
Nakupenda Dady God bless you Man of God
Thankyou .Remember my country with prayer God be with u all
Ubarikiwe mtu wa Mungu,
RIP mtumishi wa Bwana !
Tuliipenda sana huduma yako.
Na ukweli ulikuwa ni muwazi na wa tofauti sana katika eneo hilo.
Rest in peace brother,
Mioyo yetu inalia, ila pia ina furaha kwa kuwa tunajua upo salama pamoja na mzee Ibrahim, Lazaro pamoja na watakatifu wengine mbele za uwepo wa Mungu Baba wakati huu mkiendelea kulisubiri Kanisa na kuungana nalo kuingia mji ule Mtakatifu ambao haki ya Mungu inakaa ndani yake !
Asante Kwa mafunzo
Duu somo limeshiba kwel..kwel
Thank you
R I P zeee
Asante sana barikiwa ninaendelea kujifunza na kubarikiwa pia
Mbarikiwe
Duh hahahaaa yani wee acha tu mtumishi inaonekana idara iyo yuko vizur😱😱
Duuuuuh somo nzuri
Nakupenda bure mwalimu @mitimingi
Alafu weee miti mingi wewe😃😃😃😃
asanteeee ubarikiweee mtumishi
God bless you for your good teaching Mwalimu Dr Mitimingi
wow barikiwa mtumishi
nimecheka wallah asante kwa somo
Barikiwa sana,asante
Thank you for enlightening women.I've liked it.
asante mwalim somo nzuriiisana
Duuh kwa nzia reo nitakua nikimpa Mume wangu kira siku asante Mchungaji na swari nyigine jee nakama nina Maziwa madogo!
RIP baba hakika mafunzo yako yataendelea kuishi tulikupenda sana ila mungu kakupenda zaidi umevipiga vita vilivyo vizuri mwendo umeumaliza imani umeilinda😭😭😭
Somo nzuri kabisa
Pwaaaaah niokotwa Kenya
Amina mi nko kenya but uwa napenda mfunzo yko
Hii kali ila ina mafunzo ya kujenga
I'm touched. By miti mingi
Wamama mko smart sana be blessed
Safi saaaana mchungaji umesema kweli
Rest in paradise 😭😭😭
Mmm aya bana'wenye viuno vigumu mnalo
Good teaching Dr mitimingi
So sad umekufa ndo nimeanza kukufuatilia ulikuwa amazing Sana mchungaji 😘😘
mh nmeipenda hii
Aiseeeee!
Bado mapema sana!! Tutapata wapi material haya? Mungu watie nguvu familia,kanisa na taifa zima mana hili pengo halizibiki!! Mungu tuhurumie! Pumzika kwa amani baba yetu
Mnatuchanganya mchungaji Daniel Mgogo anawataka wanawake waombe Pesa kwa waume zao wewe unafundisha Kuwa wanawake wajishughulishe,kipi tushike?
Nice teaching
Am enjoying this 🙏
kweli wema,hawadumu ktk dunia dah! pumzik kwa,aman baba
Nakuelewaa sana mtumishi
Rest in peace, your teaching will leave for a long time
Thank you dady
.leo nimecheka sana ila jambo naumwa apo kwa wanawake umewafikisha kweli
Daaah maneno matam saaanaaa 🔥 🔥
Heheeeeeeeeee,uwiiiiiiiii jaman Dr umeniacha hoiiiii
Jifunze kukata kiuno ,,makavu live bila kupepesa macho
M nikizimiwa taaa naghair.
hapohapo mchungaji! ushanenaaaa kwa kukata maunoo😃😃😃😃😃😃😃
God bless you.
😂😂😂😂😂😂😂 thank you so much mwalimu be blessed.
intaneti mzigo huu
Rip mwalimu wetu tutaendelea kujifunza ulicho tuachia
Good
Umelala Dr.ila maneno yako yataishi milele
😂😂😂nimecheka kweli funzo nzuri
This guy was too much funny, true. Lesson.
Nakukumbuka saana rip
Mmh umetisha
Mh asante
Amina Mungu akubariki mtumishi nimejifunza kitu
Asant kwa semina baba
Jifunzen wadada kukata kiuno.
Rest in peace 💔💔💔
Jamani kifoooooo uwiiiii
Pumzika kwa amani😭😭
Tanzania mnafundisha saana mambo ya Ndoa lakini Talaka ni nyingi kwa nini?
Pumzika kwa Amani
Dah ,
.... Rest in Peace
😁😁😁asanté mitimingi
Kiuno utadhani tofali la block
Very true
Good say
R .i.p mtumishi
real talk
A year later....Rest in peace baba
Hahahhahahahaah hapo umesema KBS bila kiuno hamna kitu pasta
nyimbo
😁😁😁😁😁 kazi kwelikweli
Ameen
hahahaahaaaa umetisha mchungaji ni hatareeeee
Amen
Hahahahahahahahaha nimecheka Leo