MITIMINGI # 216 MKE, UKIFANYA HAYA - MWANAUME KUCHEPUKA ITAKUWA NI KITUO CHA POLISI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Je, Ushawahi jiuliza kwa nini wanaume wengi! Wanachepuka? Kwa nini wanaume wengine huchelewa kurudi nyumbani usiku? TAFITI Za saikolojia zinaonesha kwamba - Mwanaume hapendi/Huchukizwa na mwanamke mwenye kelele nyingi.
    Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Counseling Psychologist +255 713 18 39 39

Komentáře • 114

  • @mussamisinzo4934
    @mussamisinzo4934 Před rokem +2

    Dah nimeumia sana kumbe huyu mchungaji kasha fariki! Inaumiza sana!

  • @GraceMlenga
    @GraceMlenga Před 2 měsíci

    Asante mtumishi

  • @asmajaphary5097
    @asmajaphary5097 Před 5 lety +2

    aiseee iyo mada imenigusa sana maana me huwa mkali sana siwezi kukaa kimya but now najitahidi sana kuwa mpole nafatilia sana mada zako na matunda yake nayaona asante sana

  • @neemajelemiah766
    @neemajelemiah766 Před 6 lety +4

    napenda sana unafundisha kwa mifano, Mungu akubariki

  • @oscasanga8997
    @oscasanga8997 Před 6 lety +5

    najikuta nimeponya ndoa yangu mungu akubariki na nimepona kabisa

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 Před 5 lety

    Mwl &Mch.Peter Mitimingi Mungu akuzidishie huduma na baraka, nabarikiwa na mafundisho yako.

  • @nerrymapogo3401
    @nerrymapogo3401 Před 5 lety +2

    Asante kwa mafundisho mazuri mungu akubariki

  • @olivasimkonda8131
    @olivasimkonda8131 Před 6 lety +12

    asante kwa mafundisho mazuri pastor,Mungu akubariki

  • @everlinemsodah2326
    @everlinemsodah2326 Před 5 lety +1

    Mafunzo mazuri sana.
    Mungu akubariki mtumishi.

  • @esangasanga4897
    @esangasanga4897 Před 6 lety +3

    mtumishi uko vzr kazi kwa kondoo kufuata maagizo ya bwana waa

  • @user-or9vh1pz3r
    @user-or9vh1pz3r Před 11 měsíci

    Baba waooo,siku nying sijakusikiliza baada ya TV yangu kupoteza chanel yk,asante bb yetu ,nitaemdelea kukufatilia

  • @getrudetenga1969
    @getrudetenga1969 Před 6 lety +4

    Nimebarikiwa sana!

  • @mishimichael3620
    @mishimichael3620 Před 6 lety +2

    Honger mtumishi kwa maneno yako mzr

  • @rudymsigwa5600
    @rudymsigwa5600 Před 3 lety

    Barikiwa mtumishi. Mungu akulaze mahala pema peponi

  • @annaignatio9233
    @annaignatio9233 Před 5 lety +2

    Barikiwa sanaa Mtumishi umenifundisha kitu kikubwa sanaa

  • @maryjackson8754
    @maryjackson8754 Před 4 lety +1

    Asante sn kwa somo nzur baba

  • @yeminanyiraguriro1006
    @yeminanyiraguriro1006 Před 4 lety +5

    I miss you rest in peace 😭😭😭😭😭

  • @berthasirilo6003
    @berthasirilo6003 Před 5 lety

    Mwl peter miti mingi Mungu akubariki sana najifunza mengi

  • @olivermamuya4308
    @olivermamuya4308 Před 6 lety +8

    Amen pastor ..nabarikiwa sana...mungu akutunze ili tujifunze mengi kutoka kwako

  • @fauzngailo1646
    @fauzngailo1646 Před 5 lety +1

    Barikiwa mafundisho mazuri yanatengeneza ndoa zetu

  • @raymondtv2859
    @raymondtv2859 Před 5 lety +2

    Barikiwa sana mtumishi

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 Před 5 lety

    Amina, naomben mniunge kwenye group hili napenda kuwa mnyenyekevu ktk Ndoa Mungu anisaidie

  • @maryandrew7868
    @maryandrew7868 Před 5 lety +3

    nimependa mafundisho yako sir

  • @belinafinias9611
    @belinafinias9611 Před 4 lety

    Asante mchungaji ubarikiwe sana

  • @catherineally9548
    @catherineally9548 Před 5 lety +2

    Nabarikiwa

  • @andreajeremia436
    @andreajeremia436 Před 6 lety +1

    safi sana,mtumishi ubarikiwe sana

  • @tehamarobema9403
    @tehamarobema9403 Před 5 lety +2

    Ahsante kwa ushauri mzuri

  • @vesitinalevocatus4886
    @vesitinalevocatus4886 Před 6 lety +2

    barikiwa sana mtumishi

  • @mariammalimamafele7324

    kuna wanaume mchungaji hata km amekukosea ukamuacha na badaa ukamwambia bado anafokafoka tu ula somo ni nzuri asante

  • @evelenev2877
    @evelenev2877 Před 3 lety +3

    Lala salama Daddy tumeyakosa mahubiri yakujenga familia....Rip😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @fettyfetty6091
    @fettyfetty6091 Před 5 lety +1

    Mungu akubariki

  • @elseyjelimo
    @elseyjelimo Před 5 lety

    Mafundisho mazuri haya... Amina

  • @martinnzau1226
    @martinnzau1226 Před 4 lety +1

    Kwa kweli Kazi ya Mungu haina makosa lakini angemwacha huyu baba amalize alicho anzisha. Ni baba,mwalimu,nabii.... Tulimpenda sana huku kenya

  • @kapelalugiko9739
    @kapelalugiko9739 Před 4 lety

    Amen nimejifunza mpka nimupata mwanaume ananipenda balaa

  • @ablinermhenzi5830
    @ablinermhenzi5830 Před 4 lety +1

    Umeeleweka mtumishi

  • @rehemambwambo3925
    @rehemambwambo3925 Před 5 lety +1

    asante nimeelewa nktajitahidi kuboresha ndoa yangu

  • @ezramassawe639
    @ezramassawe639 Před 5 lety

    sawa kabisa kwa mafundisho mazuti

  • @benyymgedzi6489
    @benyymgedzi6489 Před rokem

    Mchungaji kweli tunapata tabu sana juu ya hawa wake zetu

  • @user-vx6fx8lv6i
    @user-vx6fx8lv6i Před 5 měsíci

    🙏🙏🙏

  • @kibondoboy1
    @kibondoboy1 Před 4 lety

    Ubarikiweee saana

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu6730 Před 3 lety

    Ahsante

  • @dianajepkorir3821
    @dianajepkorir3821 Před 6 lety +1

    mungu akubariki

  • @heriethsingano6257
    @heriethsingano6257 Před 6 lety +2

    ubarikiwe sana pastor, mafundosho yako ni mazuru sana karb Tanga

  • @Punda284
    @Punda284 Před 6 lety +2

    Ni kweli sana Mchungaji,hapa furaha nyinhi imeondokea.kukiko sehenu zote.

  • @KigabiAzizi
    @KigabiAzizi Před 5 lety +2

    Amen

  • @ujuzilumiere7883
    @ujuzilumiere7883 Před 5 lety +5

    Una wapa fursa sana wanaume tafazali sote ni vinadamu

    • @gwamakamwakyambiki4061
      @gwamakamwakyambiki4061 Před 5 lety

      Biblia ndiyo inaongea hujafatalia hapo?

    • @ujuzilumiere7883
      @ujuzilumiere7883 Před 5 lety

      Ukipata mke umepata kituchema. Hayo mafasiriyo nimila za kiafrika pekeyake ambazo zina weka wanawake chini sana zaidi.

    • @albertchuma4313
      @albertchuma4313 Před 5 lety

      @@ujuzilumiere7883 iyo ni kichen party ya mwanamke ndio mana kaegemea upande wa kumfundisha mwanamke wajibu wake kwa mumewe ndio mana hujasikia huo mstari wako wa biblia ameutaja kwasababu hauna maana hapo huyo anaemfundisha sio mlengwa! Pia Huwa anafundisha wajibu w mwanaume kwa mkewe labda hayo ndio mafundisho utakayo yafurahia wew

    • @ujuzilumiere7883
      @ujuzilumiere7883 Před 5 lety

      @@albertchuma4313 una juwa tume elewa biblia vibaya sana na ndiyo maana tuna ichanga na mila zetu sababu maandiko ya sema kama mke ni msaidizi pekeyake kwa nani mtu anaweza kuya kuku saidia kisha wewe uka muachia kazi zako zote? Mke ni musaidizi pekeyake inaomba tu elewe hiyo Sio mufanyakazi wa ndani na maandiko haija ongea hata mustari Moya ya kwamba mume hawezi fanya kazi zanyumbani ukipata hiyo mustari ambao una sema hiyo unitumie nita furahi kuusoma.

  • @sosternsimfukwe5893
    @sosternsimfukwe5893 Před měsícem

    Wewenitumishiwaukweli

  • @miraclebullah9
    @miraclebullah9 Před 6 lety +6

    Maneno ma zuri pastor am blessed with your preaching

  • @philipopeter6282
    @philipopeter6282 Před 5 lety +2

    congrats

  • @peterdimpozimatangajo9839

    Kweli mchungaji unanikuna ubarikwe

  • @josej9888
    @josej9888 Před 5 lety +2

    Kila somo nizuri MUNGU azidi kukulinda mchungaji.

  • @skyliteproentertainment6592

    Jambo mtumishi wa Mungu ,kwakweli huduma hiy ni kubwa na ninzuri saana .ila kamaitakupendaza ,mafundisho ya wa mama utafute njia iwa fikie wamama peke yao .kama ni mafundisho ya wababa ifikie wababa peke yao .kwa sababu kuelewa kwa watu ni tofuauti bila Roho wa Mungu ,wababa wame pata sababu kubwa ya shutumu wa mama .na wa mama wamepata sababu kubwa ya kushutumu wa baba .mafundisho haya ina jenga 60/100 na ina bomowa 40/100.zaidi wale wasio jazwa Roho wa Mungu na wengine wamebarikiwa .kama Mungu anaweza kukufunulia njia ya kupeleka kila ujumbe kwa watu husika ni vizuri zaidi.mimi binafsi nimebarikiwa .samahani kama nina weza kuwa ni mezungmza makosa.ni pendelea tu huduma hiy ifikishe watu wote katika ufalme wa mbingu

  • @mathayowilson1525
    @mathayowilson1525 Před 3 lety +1

    You made it...😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @Marry-js3kz
    @Marry-js3kz Před 6 měsíci

    Duuuh mahbl yak mung akbalk San m nakuag na hasra kwakwel mung ansaidie nabadlika

  • @laurentsamilah5001
    @laurentsamilah5001 Před 4 lety

    mc u dr mitimingi ulikuw mwalim bora kbc RIP

  • @esthermathenge4446
    @esthermathenge4446 Před 4 lety

    Rip papa, u hv left a legacy

  • @isayajesca8928
    @isayajesca8928 Před 6 lety +2

    GUDD

  • @petermatonya6890
    @petermatonya6890 Před 4 lety +1

    Wasichana acheni ubabe mtachelewa kuolewa

  • @peterdimpozimatangajo9839

    Kweli mchungaji

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 Před 6 lety +3

    Maneno mazuri pastor mwanamke mjinga abomowa nyumba yake ila mwanamke mwerevu yuwamwti mme wake ajenga nyumba yake hongera xana

    • @julithakazaro8489
      @julithakazaro8489 Před 6 lety

      Amen ayo maneno ni silaha tosha ya ndoa barikiwa mchungaji

  • @franksamson9168
    @franksamson9168 Před 5 lety +1

    Nimependa mahubili uanasema kweli

  • @jackhansfilms15
    @jackhansfilms15 Před 2 lety

    R.i.p

  • @isayamabena8384
    @isayamabena8384 Před 6 lety +1

    hatar sana

  • @yusraussi2890
    @yusraussi2890 Před 9 měsíci

    Ji

  • @moviezakutafsiriwakiswahil671

    Asant

  • @benjaminmike9778
    @benjaminmike9778 Před 6 lety +1

    Waambie

  • @phinaletty8287
    @phinaletty8287 Před 6 lety +1

    nabarikiwa sana na maneno ya mtumishi

  • @daddypmalima2919
    @daddypmalima2919 Před 6 lety +2

    umenigusa mm 👨

  • @princessjaneth2419
    @princessjaneth2419 Před 6 lety +2

    Nac

  • @IsackJoram-pj3pb
    @IsackJoram-pj3pb Před rokem

    X

  • @nikitumarthinne8909
    @nikitumarthinne8909 Před 6 lety +2

    Samahani Mchungaji,mimi nimeelewa hivi:HUYO utakuwa ni unabii ; Maana tumejifunza kwamba mwanamke pengine inamaana ya kuwa ni KANISA la Bwana kwahiyo wakusujudia ni MUNGU PEKE YAKE.

    • @georgebulege6801
      @georgebulege6801 Před 5 lety

      natamani kuwa karibu na wewe ili nijifunze zaidi,barikiwa sana mtumishi....

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina5806 Před 6 lety +2

    Sasa mbona kuna wanaume wanafukafuka bila sababu, je kama huo mwenaume mke wake afuyije? Sija ulio lakini napenda kujuwa ilo tu please and thank you very much

  • @priscawilla9885
    @priscawilla9885 Před 4 lety +1

    vedmant

  • @rehemamaganga8303
    @rehemamaganga8303 Před 6 lety +1

    asante sana nimejifunza mno

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 Před 5 lety +2

    Soma lina akili

  • @IsackJoram-pj3pb
    @IsackJoram-pj3pb Před rokem

    Kingu

  • @rizzagadetoonshoki9197
    @rizzagadetoonshoki9197 Před 6 lety +4

    sema baba wengi tupone

  • @akilimedia
    @akilimedia Před 6 lety +1

    Kwa wadau wa elimu ya czcams.com/video/ir5I-uLd6hI/video.html subscribe sasa.

  • @fortnataangelo4805
    @fortnataangelo4805 Před 5 lety +2

    Mfalmeee, nae ananiona kama malkia?

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 Před 4 lety

    tumekosa jembe aise

  • @neemajelemiah766
    @neemajelemiah766 Před 6 lety +3

    napenda sana unafundisha kwa mifano, Mungu akubariki

  • @happyshayo356
    @happyshayo356 Před 6 lety +5

    barikiwa sana mtumishi

  • @esangasanga4897
    @esangasanga4897 Před 6 lety +2

    mtumishi uko vzr kazi kwa kondoo kufuata maagizo ya bwana waa

    • @atozchuo6678
      @atozchuo6678 Před 5 lety

      Mbona wengine mwaume ukinyamaza ndo anakua mkali???

  • @fibioko8916
    @fibioko8916 Před 6 lety +1

    Amen

  • @IsackJoram-pj3pb
    @IsackJoram-pj3pb Před rokem

    X

  • @esangasanga4897
    @esangasanga4897 Před 6 lety +2

    mtumishi uko vzr kazi kwa kondoo kufuata maagizo ya bwana waa