Dr. Chris Mauki: AINA 3 ZA WATU. Je, wewe ni nani katika hawa?
Vložit
- čas přidán 4. 10. 2020
- Katika maisha ya kila siku inawezekana akajishangaa kwanini mambo hayaendi unavyotaka au unavyotamani kumbe shida iko kwenye namna unavyofanya mambo. Je umeshawahi kujiuliza ni kwa kiasi gani tabia yako inachangia kwenye kukufanikisha au kukufelisha? Hizi hapa aina za watu na tabia zao. Jitazame, jijue ili ubadilike.
Umenisaidia saana Dr Chris,Niko samba-samba n'a mafundisho yako
Nimefurahi sana kuisikiliza hii kwa cku hii ya Leo, Mimi ni achiver coz si mtu wakukata tamaa na cjawahi kuwamlalamishi Ila ninachangamoto ya marafiki na uhaba wa watu wakujifunza kupitia wao yaan sina sehem yakupata msaada isipokuwa ni CZcams.,nikipata changamoto yoyote sina pakukimbilia zaidi ya mitandaoni nianze kupekuwa mpk nipate solution ya tatizo langu, nifanye nini ili nipate marafk sahihi?
❤mm NK Kenya natamani Sana hiyo kitabu 🎉
Asante Sana doctor mi achiever somo nzur Sana sikatitamaa hata nipatechangamoto ngani! God bless u!
Wao mimi ni achiever maana sijawahi kata tamaa Baraka emanuely kivuyo
Asante kwa somo nzuri ...
Asante Dr mungu akubariki
This channel is right place for sure. Be blessed Sir.
Kaka mm nakuerewa Sana uko poa Sana mungu akurinde
Waoooo Dr somo zuri mungu akubariki na akuinue ..
Mm ni achiever.
Waiting
Achiever 💪🏻💪🏻
You are good adviseur
Asante kwa darasa zuri
Thank you doctor,hii nimeipenda mimi nipo katika "achiver"
Shukrni sana Dr kwa masomo mazuri yani upo sahihi kabisa jee kaupo kwenye kundi la strs utatumia njiaa gani ili kuepuka
Hii ni dawa ya akili inayotibu. By God's grace I wanna achieve 🙏
Achiever 💪👣❤
Hio tabia inanishambulia Sana Asante kwa somo zuri
Mi nko group ya stresser.Nafikia malengo but kuchelewa.Mada nzuri sana.asante
asante kwa somo lako nzur , mim ni dabrra 🙏🙏🙏
Waooo Vzr sana mafundisho mazuri
Asante
Mm natulia napumua naedelea hvo srudi nyuma 💪💪
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿
Upo sawa kabsa
Dubllor ila sasa ninatamani kuwa achiever. Naamini Mungu atanisaidia. Asante dr Chris kwa somo zuri
Thanks
Achiever
🙏🙏 Kwa mafunzo yako
Nakubali baba
Nimekuelewa sana
achiever
Asante kaka achiver ila napitia changamoto nyingi
Nakukubali sana pamoja na wife wako.mbarikiwe sana.
good topic
Dr.uko vizuri,nimekuelewa.
Amen asante sana
Mungu akubariki kila siku iitwayo Leo! Amiin
Amen na Asante sana
Am an achiever
🔥🔥🔥
Achiever here
Mim ni achiver,,Mana nimepata hasara Sana kwenye biashala lakini bado ninauthubutu na huwa natafutaga njia ya kupambana Zaid kwa umakini
Mm naona ni Achiva 🤣🤣 sitaki kukata tamaa MUNGU anijaalie nikifie malengo yangu Nshaallah
Your ok bro
Mm ni stresser
Streser....
Mimi ni n (1) tena inaniumiza sana Dr
Mm ni archiver
Thank you doc I love your channel woow inamafunzo mengi sana en am achiever mob love doc
Thanks so much
@@ChrisMauki1 anytime doc
Asnte San dr mungu akulinde kwaelim unayo tupa,akupe kipaji zaid 🙏
3 pure me
Mimi ni nomber 3🙌
Achiever💪✌️ winner never quit
P1
Good
Mim ni stressor
Eeeh ndo hivyo eeeh 🚶♀️🚶♀️🚶♀️
Mm ni stressor
Mimi ni achiever dokta maana kukata tamaa kwangu ni ndoto
Aseeee me ni sitressa
mi Achiver,,,
Dooo stresser ndo mm natakiwa kubadilka kuwa achiver
Achie
Mimi Ni achiver
Safi sana dr sasa swali . hao watu ambao dabbler anaomba kureconnect na kupata msaada hao sasa wanatoka kundi gan??Maana ni kama kuna kundi zaidi..
Masomo ni mazuri yanatuelimisha ila punguza maneno ya ziada kwa mfano inavyoanza video, twende moja kwa moja ili ufupishe.
Mm hapa Stressor kabisaaa,ngoja nijitahidi nifike namba 3 loh
Stressors
Tnk's Dr I am third achiever let me Tel why I was building da house wid my hzy wen we get upto da bottom he started to quaral wid me every time ten I talk to my family and I Tel my family i wil my not loose hope I wnt to stand again on my on ten my family Tel me dat's right and dat is a strong human and my mom is a big contractors she has big big tenders in da port she build plays try cal me mummy she Tel me mammy u can do it we ar behind u and now I tnk god always I Hv 2 big plots
mimi ni achiver
Mimi streeser😇
Hakika nipo kwenye group no3
Nakufuatilia Dr Mauki , Napenda mafunzo yako sana , Napendekeza ikiwezekana somo zingekuwa na lugha hata ya kiingereza ,Kwa sisi tunaishi Europe Ningefurahi sana kufuatilia na mine wangu na watoto wangu vile ni maternagers masomo yako ya muhimu katka familia nzima .Im proud to be Tanzanian zamani haha masomo huwezi kuyaona mtanzania anatoa kwa social media , Wa marekani na European na kea Africa Nigerians .Keep up good job .God bless ur work .Do you.have book ?
Uko vzr nimepata jambo
Mimi ni Achiver
Stresser
Mim niko 3
Mimi nipo hapo kwa achiver
Achiver
Mimi.ni.achiver
Dr naomba namba yako kwaushauri zaid🙏
Dr, inawezekana mtu kubadilika kutoka aina moja kwenda nyingine?
Mimi ni stressor
Vipi nitakuwa achiever?
You can.
Mimi huyo stresser....
Archiever
Mimi stressa
Sjaona aliesema mi ni dabra🤣😆
Stressor
ACHIEVER!!!!!!!
Vp mtu huyu ambaye anakuwa na mipango na malengo makubwa halafu likija swala la kuanza kufanyia kazi anaogopa na kuwaza kitu kingine?
Hahaha
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿
achiever
Achiever
Mm ni archiver
Mm ni stressor
Archiever
✌✌✌dablla
Stresser
Achiever
Achiever
Achiever
Achiever