MITIMINGI # 239 UKIONA DALILI HII - USIKURUPUKE KUINGIA KWENYE NDOA (FOCUS)
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Kijana anaweza kuwa na Hazina lkn ukipata THE WRONG CHOISE, Zile ndoto, maono, mawazo uliyokuwa nayo yataisha/hayatafika kule ulikotarajia.
Je' Ni nani unaamua kumpa maisha yako? Tambua dalili sahihi za kubaini mke au mume wa kukufaa katika maisha yako.
Mch na Mwl. Dr MITIMINGI p. Counseling Psychologist +255 713 18 39 39
Nitakukumbuka daima
Thanks so much my teacher,tutor,Coach, your teaching helped me alot .R.I.P Father Mitimingi
Umetutoka ila jumbe zako zitaishi daima tutakukumbuka Sana Kuna wakt nashindwa kuamini kwamba hauko nasi Kama bado upo vile miongoni mwetu 😭
barikiwa baba mungu akupe maisha marefu
Amina Maana hili somo no kwaajili yangu
Barikiwa mafunzo yako yanaishi na yataishi daima
asante sana kwa ujumbe
lakini vipindi vinafupishwa sana hatupati mafundisho mazima tumabaki hewani bila kupata utamu wa fundisho
asanteDR. HOPE
Your very right keep doing the good job mchungaji.......so that they dont have to go through horrible divorce....that affect children ones life and family too...
I reckon your statement, you must have lots of experience....keep it up.💖
So happy! & fun preaching
Vijana wa kiume jitambueni sio mnafuga midevu mnakula kwa baba huo ni uzembe sana umri ukifika ingia mitaani ujitegemee
Ahsante sana Mtumishi nakukubali sana kwa mahubili yako, ahsante kwa ushauri wako hakika yatanisaidia sana katika maisha yajayo ya mke na mme
Nimependa sana mahubir yako mchungaji barikiwa sana mungu akutie nguvu
Achibaa achibaaa😂😂😂 Ubarikiwe Pastor
I AM highly attracted to your lessons.
Nakukubali mtumishi. Ubarikiwe
Unajuwa kufundisha mchunfaji
Ubarikiwe baba Mchungaji,ila napendekeza kuhusu vitabu uviweke kwa soft copy tuweze kununua online
sulemanmadaha TV Amen mpendwa tunashukuru sana kwa feedback tutaifanyia kazi mpendwa
Àsant
Yani mchungaji tufundishe tupone
Yaan mm sijui nisemej najifuza kila iitwapo leo ni mambo meng nilikuwa siyajui kabisa asant mg akubalik san
Mungu akubarik mchungaj
ni ukweli kuna wanawake wakishika mimba wanasumpua sana waume zao na hao kama awaelewi pasi ndio watajua
good
Ubarikiwe baba
Hakika mchungaj maneno yako ni mazuriii mnooo yaan mmooo
So sad to see sunrise die!!!!...R.I.P. Legend!
Mungu akubariki sana Mchungaji
ni kweli kabisa
Excellent
Unaua vibe
Tutakumbuka daima
nice
Amen
uko sawa kaka mafundisho yako ysafi kabisa
asante mchungaji tunajifunza
kweli kabisa
wewe ni mchungaji mwema
R.i.p
yaani nifaraja mno
kweli kabisa semina unafanyia wapi?
nimejifuza.megi
Dah
hivi walioingia baada ya hayo ulishafundusha watafanyaje sasa
Unfortunately we can't adjust or influence the past. However you can choose to be happy with the choice you made wrongly because after all you must take responsibility of your actions. Change your attitude, change your life.
Aaaaa utajut
nc
Daa
Somo,halijaisha,
Pastor unaongea na mimi kabisa mimi mpk sasa Hiv nimeachana naekwasbb kila nikimshaur atoke Ataki Ana miaka 25
Sorry but the advice was wrong (misleading). You don't need a woman to begin a ministry, you only need Jesus Christ. When we bring in today's slogan, *follow your heart* he'd have followed the leadership of the holy spirit in his heart.
Amen
Excellent
Nice