MITIMINGI # 184 SIRI IWAMALIZAYO WANAUME WASIFANIKIWE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 241

  • @celinamgundoi5601
    @celinamgundoi5601 Před 5 lety +7

    Ahsante mchungaji najikuta nabarikiwa japo ninamagumu ninayo yapitia ila abarikiwa mno ubarikiwe baba

  • @asumilemwaihojo867
    @asumilemwaihojo867 Před 6 lety +6

    Amen, nimefunguliwa.
    Ubarikiwe mtumishi...!!

  • @shushus1105
    @shushus1105 Před 5 lety +10

    Barikiwa sana mtumishi kwa mahubiri mazuri

  • @gatimakonge9749
    @gatimakonge9749 Před 4 lety +2

    Ahsante Boss wangu nimekuelewa Sana'a. Ubarikiwe mnoh

  • @judithallute7177
    @judithallute7177 Před 23 dny

    Pumzika kwa amani mtumishi wa Mungu

  • @diversity2545
    @diversity2545 Před 3 lety +1

    Maneno kuntu👋👋👋👋mungu anijalie mme mwema🙏🙏🙏 alafu lala salama baba

  • @stanleyhenrish1055
    @stanleyhenrish1055 Před 5 lety +8

    Ndio leo umenifungua akili baba mchungaji kuanzia leo nitamheshimu mke wangu kwa 100%

  • @wonderamani3444
    @wonderamani3444 Před 5 lety +9

    Past una sema kweli ubarikiwe baba yangu

  • @hamidakassim4
    @hamidakassim4 Před 4 lety

    💯💯💯💯👏👏👏👏hapo mtumishii ushanenaaaa👏👆👆👆👌👌🇹🇿kipao mbele sanaaa walaiii

  • @t7zkc5tpxgim28
    @t7zkc5tpxgim28 Před 5 lety +2

    Amen, Mungu akubariki sana pastor

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 Před 5 lety +2

    Amen barikiwa pastor umenisaidia sana

  • @MussaMasunga-lo1vu
    @MussaMasunga-lo1vu Před 2 měsíci

    You are the best

  • @elibarikieliatunawapatavzr7872

    Rest in peace. Tutakukumbuka sanaaaa nawaza kwanini Mungu kakuchukua wakati huku tnakuhitaj. Bc Mungu atabaki kuwa Mungu

  • @everlynekwam4137
    @everlynekwam4137 Před 4 lety +10

    Rip pastor,kazi umeifanya,mwendo umeumaliza na imani umeilinda

    • @monicapaull8833
      @monicapaull8833 Před rokem

      Hallo pastor, Nimejifunza vitu vingi sana kuhusu MKE ninayeishi naye.

    • @magrethminja1309
      @magrethminja1309 Před rokem

      Jaman pastor huko uliko mwanga na Nuru vikuangazie mm BDO naona Kila cku upo mafundisho yananijengaaa sana kwenye ndoa yangu ,nadhan wapo kama mm wanaoelewa

  • @vivianimunuo9196
    @vivianimunuo9196 Před 4 lety

    Pumzika kwa amani mitimingi inabidi tukubali mungu anasababu na uhitaji wa wew kuliko sisi

  • @meshackkihegulo7920
    @meshackkihegulo7920 Před 6 lety +2

    Ahsante mtumishi kwa kunifundisha vitu vingi, mungu akuzidishie.

  • @BienvenueBisimwa-rn9rn
    @BienvenueBisimwa-rn9rn Před 4 měsíci

    Pumzika kwa Amani🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @ngwizukululubatula3919
    @ngwizukululubatula3919 Před 6 lety +10

    Mungu aendelee kukuinua viwango hadi viwango mtishi
    Maana c kwa mafundisho hayo

  • @Pascalkenga254
    @Pascalkenga254 Před 6 měsíci

    Asante mtumishi wa mungu nimepata points nitamuezimu mke wangu Amen.

  • @candybenardy3110
    @candybenardy3110 Před 4 lety +6

    😭😭😭😭😭 Baba mafunzo yako yalikuwa mazuri mno

  • @mankamafue6837
    @mankamafue6837 Před 5 lety +1

    ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa mafindisho mazuri

  • @deborahjustinerwambogo8490

    you are still living in my heart pastor

  • @esthersolomon2735
    @esthersolomon2735 Před 5 lety +2

    Mwalimu Mungu akubariki sana..

  • @zulfaibrahim6766
    @zulfaibrahim6766 Před 4 lety

    Daaaa,,,,, ushindi wa maneno.. Asante bb

  • @nyambatikwamboka7065
    @nyambatikwamboka7065 Před 5 lety +4

    Nimeshaelewa Baba...Ahsante!!!

  • @stevoovlogs8645
    @stevoovlogs8645 Před 5 lety +3

    Mimi ni muislam lkn napendaga sana mafundisho ya huyu mwalimu

  • @claudineuwitonze4823
    @claudineuwitonze4823 Před 6 lety +3

    Kabisa Mcungaji barikiwa saaan baba

  • @roseindekhwa7637
    @roseindekhwa7637 Před 5 lety +3

    Amina baba kwa mafundisho mazuri ndio maana babangu mzazi hukuai fanikiwa ata siku moja ameishi kudhumiwa

  • @luthalesco7127
    @luthalesco7127 Před 6 lety +5

    mungu akusaidie kwa masomo yako mazuri

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina5806 Před 5 lety +2

    Amen napenda sana kuitwa mwenka 😊😊😉

  • @chrisharry6651
    @chrisharry6651 Před 4 lety +2

    Very true pastor I like it 😃

  • @samsonkikoti805
    @samsonkikoti805 Před 6 lety +2

    Somo zuri Sana nimekuelewa mtumishi barikiwa sana

  • @deodathaboniphacenimelipen5410

    Asante kwa mafundisho yako mazuri

  • @omarykabeta4104
    @omarykabeta4104 Před 4 lety +1

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu

  • @alicekazige4478
    @alicekazige4478 Před 5 lety

    Asante mtumishi Mungu azd kukuinua umefanyika baraka kubwa kwangu

  • @carolmuchiri9921
    @carolmuchiri9921 Před 4 lety +9

    Lalasalam Mtumishi Wetu, We really miss You Mchungaji 🙏🏿🙏🏿😭😭😟

  • @lydiahnyongesa3646
    @lydiahnyongesa3646 Před 2 lety +1

    Bado tutakukumbuka milele kwa mafunzo mazuri

  • @selinakachota3845
    @selinakachota3845 Před 6 lety +1

    Asante kwa kutufundisha ila ht wanaume wanatukwaza sana wanawake naomba ujitahidi kuongea ht na wanaume wasiwe kikwazo kwetu

  • @fabiolaakonaay8045
    @fabiolaakonaay8045 Před 4 lety +1

    Amen ubarikiwe na mungu

  • @fauziakassim323
    @fauziakassim323 Před 5 lety +2

    Jamani mbna huzungumzii mavazi kwa wanawake vile wako balaa

  • @christophertz
    @christophertz Před rokem +3

    Rest in peace, your legacy will live and heal many people forever!

  • @dorcase689
    @dorcase689 Před 5 lety +2

    asante mch nafatilia mafundisho yako yananijenga

  • @jennym1467
    @jennym1467 Před 6 lety +12

    Asante sana pst kwa mafundishi yako mazuri sana God bless u.

  • @johnmasesa4623
    @johnmasesa4623 Před 6 lety +1

    Barikiwa sana Mtumishi.

  • @pascalinendayishimiye3158

    Asante sana mcungaji kwa mafundisho.barikiwa sn

  • @jadebakalunze
    @jadebakalunze Před 5 lety +2

    Umeongea vizuri sana mchungaji

  • @carolinenjue3342
    @carolinenjue3342 Před 2 lety

    You mentored many may you continue r sting in peqce

  • @janestanley5004
    @janestanley5004 Před 2 lety

    Pumzika kwa Amani peter.

  • @anaclethmahuwi222
    @anaclethmahuwi222 Před rokem

    Amina! Mungu anijalie mke Mwema!

  • @salehejongo2799
    @salehejongo2799 Před 3 lety

    Dr.Mitimingi safiii xn

  • @damasadriano8007
    @damasadriano8007 Před 5 lety +7

    asante baba nimeelewa

  • @FaustinaWarioba-zq2tx
    @FaustinaWarioba-zq2tx Před 10 měsíci

    Tumekumisi sana,
    Pumzika kwa amani.

  • @jaywest8123
    @jaywest8123 Před 4 lety +4

    Pastor you lesson run through my life. I promise you that I am going to change my lifestyle before I lost.

    • @mitimingionlinetv9896
      @mitimingionlinetv9896  Před 4 lety

      Stay blessed always for taking an action. Where are you from? Blessings be upon you Jay West

  • @ibrahimhaki4762
    @ibrahimhaki4762 Před 4 lety +17

    Rest in peace Mitimingi 😭😭😭

  • @mariaernest2087
    @mariaernest2087 Před 5 lety +1

    ubarikiwe sana mchungaji

  • @jacksonbaya2233
    @jacksonbaya2233 Před 6 lety +1

    Mungu akuzidishie

  • @jacqulinemushi5849
    @jacqulinemushi5849 Před 5 lety +6

    Very true when mama is happy everybody is happiii✍

  • @fibioko8916
    @fibioko8916 Před 6 lety +1

    ahsante kwa mafundisho

  • @nyanzalakaporo4219
    @nyanzalakaporo4219 Před 6 lety +3

    Nabarikiwa sana na semina zako, Mwl Peter Mitimingi

  • @gracemwanjabala8073
    @gracemwanjabala8073 Před 6 lety +2

    asante baba barikiwa

  • @benzrahmah698
    @benzrahmah698 Před 11 měsíci +1

    Continue resting in peace Ila ur words still lives

  • @lisaalisa1832
    @lisaalisa1832 Před 5 lety +2

    Asante sana pastor, nimefuraiya mafundisho yako masuri...

  • @mwandjammbandoci1029
    @mwandjammbandoci1029 Před 4 lety +1

    RIP mchungaji maneno yako yatadumu daima

  • @noellangabo374
    @noellangabo374 Před 6 lety +3

    Haya kweli Mungu akubariki ku ujumbe huu

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 Před 3 lety +2

    Ni kweli mwanamke akichoka kudharauliwa,kunyanyaswa,kuto kuthaminiwa,kutokusikilizwa ndani ya ndoa,moyo wake ukifa,akisema sasa basi kuja kumrudisha kwenye msitari huwa ni kazi sana.

  • @samueljames4120
    @samueljames4120 Před 4 lety

    Diamond

  • @jonaycejohnstone3288
    @jonaycejohnstone3288 Před 6 lety +2

    Asante baba kwa huduma hii, ubarikiwe

  • @emanuelclever1069
    @emanuelclever1069 Před 5 lety +2

    Sioo kwa kizazi hichi

  • @shillahloice244
    @shillahloice244 Před 4 lety

    Waaaaaaaaaaaaaaa haki huyu mtu wa Mungu alikua wa baraka hivo...haki namfatilia kama asha tuaga woooiiiii Mungu jaza pengo...kaaiiiiil😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥rip man of God

  • @roseshonde1604
    @roseshonde1604 Před 6 lety +2

    mtumishi ubarikiwe sana.

  • @judithlongishu2615
    @judithlongishu2615 Před 6 lety +2

    Ubarikiwe mtumishi

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 Před 6 lety +2

    Swadakta mafunzo mazuri xana thx pastor

  • @joashimbwelwa6030
    @joashimbwelwa6030 Před rokem

    Rip ,servant of God, May Almighty God keep your soul in a glorious place 😭😭😭

  • @veronicamatheka6295
    @veronicamatheka6295 Před 4 lety +5

    Just rest in Peace,you we're a teacher to many

  • @creliachalamila5518
    @creliachalamila5518 Před 6 lety +1

    hakika asante kwa mafundisho mazuri

  • @lydiahann1737
    @lydiahann1737 Před 4 lety

    Mafundisho mazuri mno hali ya kukaa na waume na wake zetu barikiwa zaindi

  • @ngwizukululubatula3919
    @ngwizukululubatula3919 Před 6 lety +2

    Mungu aendelee kukuinua viwango hadi viwango mtumishi maana si kwa mafundisho hayo barikiwa Sana mtumishi

  • @jestamkumbwa9780
    @jestamkumbwa9780 Před 6 lety +3

    Jehovah bless father Peter mitimingi

  • @faithtrust6749
    @faithtrust6749 Před 4 lety +3

    Pumzika kwa amani, mafundisho yako yanaishi.

  • @jamesmasota2088
    @jamesmasota2088 Před 4 lety

    Pumuzika kwa amani mtumishi wa mungu nasi twaja

  • @benjaminmuema
    @benjaminmuema Před rokem

    I didn't know this

  • @maxlove2668
    @maxlove2668 Před 5 lety

    Barikiwa kwa mafunzo mema

  • @pendokelvin7608
    @pendokelvin7608 Před 6 lety +4

    mtumishiiii nikweli kabisa naamani weniwamungu hakika

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Před 4 lety

    AMEEN MAFUNZO YAKO YALIKUWA YAKUJENGA MTUMISHI..SHEREKEA NAMALAIKA.

  • @aishahamisi5025
    @aishahamisi5025 Před 5 lety +12

    dawa! nilichelewa wapi mafundisho nimazuri mno

  • @kelvinlwiva5380
    @kelvinlwiva5380 Před 5 lety

    YESU AWEZA KUMFANYA MWENYE DHAMBI KIUMBE
    KIPYA!
    Salamu ndugu msomaji! Leo Mungu ametupa
    neema ya uzima tena, na nimekuletea ujumbe kutoka kwa Mungu, kuwa huna haja ya
    kujikatia tamaa, huna haja ya kujikinai na kuona kuwa utaishi vyovyote vile na
    utafanya vyovyote vile, HAPANA! Bado unathamani kwa Mungu, maisha yako
    yaliyoharibiwa na dhambi, Yesu anao uwezo wa kuyatengeneza tena, anaweza
    kukufutia dhambi zako zote na kukufanya mpya kabisa, mwenye thamani kabisa, wa
    maana kabisa mbele za Mungu wetu aliyekuumba. Unalopaswa kufanya ili uwe mpya,
    ni hili, kumwambia Yesu karibu maishani mwako ili akupe nafasi ya KUTUBU na
    akupe MSAMAHA wa dhambi zako na hatimaye afute maisha ya machafu ya zamani na
    akufanye kiumbe kipya kama maneno ya Mungu yasemavyo, “Hata imekuwa, mtu akiwa
    ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita, tazama! Yamekuwa mapya”
    2 Wakorintho 5:17. Kinachokufanya uwe kiumbe kipya ni kule kumkaribisha Yesu
    akae ndani yako na wewe ndani yake, soma pia hapa “Mtu (YESU) huyo Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa kuume, awe
    Mkuu na Mwokozi, awape Waisraeli(wewe) TOBA na MSAMAHA WA DHAMBI” Matendo ya
    mitume 5:31. Hivyo unaweza kuelewa kuwa hakuna TOBA wala MSAMAHA wa dhambi kwa
    mwingine isipokuwa ni kwa Yesu peke yake, UNAMHITAJI YESU KATIKA MAISHA YAKO!
    Mimi kama mjumbe wa Kristo,
    nakusihi wewe mwenye dhambi, ndiyo wewe mwenye dhambi! Upatanishwe na Kristo
    uwe kiumbe kipya, ya kale yote yapite, yaani uasherati, uchafu, ufisadi, ibada
    ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, mafarakano, uzushi,
    husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo na hatimaye yawepo maisha
    mapya katika YESU KRISTO! Maana bila hivyo, kamwe hutaingia ufalme wa mbingu wa
    Mungu! YESU ANAOKOA HATA SASA!
    Kwa msaada zaidi piga: 0756-292-211
    au 0676-407-085 Mwalimu kelvin Nathaniel Lwiva

  • @musarichard2934
    @musarichard2934 Před 4 lety +7

    Mafundisho yana bless sana mch, lakini inategemea sana na aina ya mke aliyemchagua mtu.bila shaka ukikosea kuchagua mke ndio chanzo cha kuharibikiwa!

  • @emmanuellaizer4548
    @emmanuellaizer4548 Před 6 lety +9

    aise nimejifunza sanaaa shukrani sanaaaaa;;;;~

  • @dominickndiatai9999
    @dominickndiatai9999 Před 6 lety +4

    Nimejifunza kitu baba be bless

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo2504 Před 6 lety +3

    message sent , A sante sana mch/mwl Peter

  • @trophainamagogwa9991
    @trophainamagogwa9991 Před 3 lety +1

    Wababa wangesikiliza kila siku maana hatuwezi kuthubutu kuwaeleza haya,sisi tumepokea yetu

  • @user-yw5jw5yv6p
    @user-yw5jw5yv6p Před 9 měsíci

    Mafundisho yako yataishi milele

  • @kuziririzaisabatosiitegeko7088

    Wanawake labda wa kitanzaniya kwani tanzaniya hata ndowa nyingi zinahudumiwa na wanawake

  • @afrarugakingira5862
    @afrarugakingira5862 Před 5 lety

    Nimejifunzaaaaa...tnx

  • @hannahmacharia5020
    @hannahmacharia5020 Před 2 lety

    GOD bless you so much

  • @danielmichael6442
    @danielmichael6442 Před 5 lety +1

    Amena mtumishi wamungu

  • @beatriceomino7321
    @beatriceomino7321 Před 6 lety +4

    wonderful msg be blessed

  • @margaretomayio8198
    @margaretomayio8198 Před 6 lety +3

    Ahsante kwa funzo nzuri sana

  • @isayalaitayo8845
    @isayalaitayo8845 Před 6 lety +3

    unayo tufundisha mazur kabsa

  • @delnata5623
    @delnata5623 Před 4 lety

    Barikiwa Sana