Ni kweli mafanikio ya mume yanatokana na mke je kama hashauriki akipata pesa zote anahonga nje na mwanaume ukimfatilia anakuwa mbogo imean hashauriki kwa namna yoyote hapo mwanamke anatakiwa kufanya nini kama cyo kubomoa tu
Mtumishi naomba ushauri tafadhar kna bint ananpenda sanaa tna miaka 6 lakin mm wakat mwingne moyo wang unakuwa kama hauridhik nae na ana sifa zote za mke mwema ambazo umewah kfundisha je,,atanfaa kuwa mke wang kwa vigezo hivyooo!?
Kazi yako njema Rev peter mitimingi ni maombi yangu kwa mungu akuinue zaidi unawafungua mama zetu,Dada zetu na wake zetu lengo kuu ni kuboresha ndoa barikiwa baba
Mungu akubariki mchungaji kwa mafundisho mazuri ya kujenga ndoa za waliowengi.
Asante baba,mimi ni OLIVIER Mboko kutoka Africa niko USA, Florida tampa, maubili yako ananifaliji baba,nakupenda
Waa good preach pastor,so sad and painful to me,Rest in peace
Barikiwa mtumishi Mungu akuinue had viwango vingine utukufu hata utukufu
Asante baba kwa elimu Mungu akubariki sana. Nmejifunza
Very good teachings God bless you pastor
Ahsante sana Mwalimu uko vizuri, nimejifunza, sanaaa,mungu mwema azidi kukubariki.
Mungu akubariki Mtumishi kwa Masomo ninayoyapata
Nabarikiwa mtumish
kweli kabisa Mwl , usafi kwa mwanamke ni jambo nzuri na lamuimu sana.
mafundisho mazuri saaana,mwenye sikio na asikie
Barikiwa pasta , uko muazi sana hadi raha
Barikiwa sana pastor Mitimingi somo linabariki
Ahsante baba nakupendaga buree unatoa ukweli
Be blessed the man of God
Ahsante kwa fundisho yko mazuri sana
Ni kweli kabisa pastor umesema kweli ubarikiwe
Barikiiwa sana
jaman masomo yako mazur mwalimu barikiwa
Barikiwa sana mwalimu maana unatujenga
asante sana kwa mafundisho yako mungu akubariki
Barikiwa sana mtumishi
Mungu akulaze mahali pema ulikuwa unamafundisho sanaa
Asante sana kakutupa masomo hayo mazuri
Awesome pastor mafunzo tamu be blessed
Uko vizur baba wambie wanawake ili tukuelewe vizuri pastor uko vizur ubarikiwe
Safi sana kwenye mdomu umenena mchungaji
maneno kuntu kabisa mtumishi, kweli sijui tunaishi kwa mazoea
Amen baba
Lazima umwanamke wangu uheshimiwe mno
Hahaaaa big up Paster, I realy enjoy listening to your tutorial you so funny as well, God bless you more keep it up.
Amen Jenn, Glory Be to God. Where are you from? Blessed
Ni kweli mafanikio ya mume yanatokana na mke je kama hashauriki akipata pesa zote anahonga nje na mwanaume ukimfatilia anakuwa mbogo imean hashauriki kwa namna yoyote hapo mwanamke anatakiwa kufanya nini kama cyo kubomoa tu
Pumzika kwa Amani baba
Mtumishi ubarikiwe sana kwa masomo yako mazuri
hahaa ,,,,I like this one,,watching today from Kuwait city.6dec 2018 be blessed Pastor
unabariki watu,ubarikiwe Pastor, (these video zatembea sana watsap inform of audio clips)
Ubarikiwe baba Mch
Ahsante pastor
barikiwa pasta mitimingi
love.xtor
Uwo niukweli napenda Sana mafundisho yako barikiwa
Sahihi kabisa mtumishi barikiwa sana
Aisee yaan mtumishi nakukubali dunia nzma
Zidi kutujenga katika maisha yetu ya ndoa
mtumishi barikiwa umekua mwaz Kabisa, nimependa ujumbe
Amina Rose, barikiwa sana sana
Mtumishi naomba ushauri tafadhar kna bint ananpenda sanaa tna miaka 6 lakin mm wakat mwingne moyo wang unakuwa kama hauridhik nae na ana sifa zote za mke mwema ambazo umewah kfundisha je,,atanfaa kuwa mke wang kwa vigezo hivyooo!?
@@mitimingionlinetv9896natak kitabu
yaani unavyoongea hata vitabu vya dini ya Kiislam hivyo hivyo..Hakika napenda kukusikiza...Unaongea vizuri sanaa
+255719120101
Nzuri mtumishi
Miti mingiiiiiiiii mtaalamu wa saikolojiaa🙌
Nakukubali sana pastor barikiwe
very bad I didn't know that he is dead may his soul continue to rest in peace😢😢😢😢😢
Ahsante baba
Ukweli kabisa barikiwa sana
Asant Sana kwa mafunzo mazuli
Uko vizur baba
mafunzo mazuri sana
Ahsante
asanteeeeee
Kweli Kabisa tupo pamoja
Kweli kabisaa
Kweli kabisa
Wigi kama brush la chachandu
Kweli baba usafi ni walazima mwanamke mazingira
Harufu mbaya inaenda mtamboni, duh!!!.
Mahubir mazur
Ahahaha mbavu zangu mie
😂😂😂🤣nashukuru sans ira mi nikonatuvidondo kuurimi unadawa awala
Mchungaji nimekukubali
Alishajiondokea
Kweli kiongozi
Hiko kitabu inapatikana wapi?
Mafunzo mazuri kwa wenye kuzingatia.
Nice
😀😂nierekeze iyoparfiumi yinunuwe
Hata Kama hali ni ngumu kias gani mke lazima awe msafi aondoe kile kwamba nimeolewa kwa hy cna jipya! U are lost
Wew mume ndio unachangia mwanamke kuwa msafi au mchafu
100%.
😎😎😎
Hicho kitabu nitakipataje Niko dodoma
Hahaha mwenaume nihatari 😂😂😂
Nimekukubali nimepata mbegu mpya
Huyu jamaa hjuwi ktu
Kwaiyo wewe unajua nini? at least Mwenzako ni doctor wewe unakipi kwenye cv yako?
Mmh binadam jaman ww unajua nn?
mbn wanaume hawaogi jmb
Yeye ndiye anayependa
He! Ko ata akiwa mchafu? Na mdomo anuke ni sawa t?
Haaaa haaaaaaaaaaaaa
Uko vizuri peter ubarikiwe
Kazi yako njema Rev peter mitimingi ni maombi yangu kwa mungu akuinue zaidi unawafungua mama zetu,Dada zetu na wake zetu lengo kuu ni kuboresha ndoa barikiwa baba
barikiwa pasta mitimingi
Amen, Glory to God
move
mafunzo mazuri sana
Kweli kabisa
mafunzo mazuri sana
Alikia
Napenda mafundisho yako