MITIMINGI # 129 SUMU YA KUMMALIZA MWANAUME AKUPENDE MAISHA YAKO YOTE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 08. 2024
  • Usiku wa Dr. Ester akifundwa na kungwi. Mchungaji na Mwalimu Mitimingi P.
    Kwa sababu ya maadili Somo hili ni kipande kifupi kilichokatwa, endapo utahitaji somo zima kwa wanandoa au wanaotarajia kuingia kwenye ndoa, wasiliana nasi sasa kwa 0713183939

Komentáře • 145

  • @emmanueltwaha1489
    @emmanueltwaha1489 Před 6 lety +3

    Aisee nimeipenda mno, mtumishi upo vizuri Mungu aendelee kukutumia zaidi na zaidi ili kuponya ndoa. Ubarikiwe na BWANA.

  • @ibrahimtobbz9518
    @ibrahimtobbz9518 Před 6 lety +10

    Nikweli kabisa, mm ninamatatizo makubwasana na mpenziwangu aijawahi pita siku atujagombana ani adi nakondaa... Asante sana na Mungu akubariki

  • @suzanamisungwi7230
    @suzanamisungwi7230 Před 6 lety +1

    mabarikiwa sana mtumishi na mafundisho yako yanayotukumbusha wajibu wetu ili tuwe na amani katika maisha yetu.

  • @iconboysamwel9213
    @iconboysamwel9213 Před 4 lety +2

    Wanawake mmejitahid kulalamika sana,, tuieni nondo ziingie ndani ya vichwa vyenu.

  • @ericgeofrey7388
    @ericgeofrey7388 Před 6 lety +4

    dah We jamaa unanfundsha vtu vingi sana vya Msingi aisee mungu akubarki sna

  • @esthersimon6513
    @esthersimon6513 Před 6 lety +1

    Baba barkiwa sana somo lako limenigusa sana maana linanihusu sana asante kwa somo zuri naenda kupona sasa

  • @asmakaronge3676
    @asmakaronge3676 Před 6 lety +2

    jaman barikiwa sana Baba mchungaji, najifunza mie

  • @godfreymuntagu7660
    @godfreymuntagu7660 Před 6 lety +1

    Mungu akubariki mtumishi kwa mafundiisho mazuri kwa kanisa has a nyakati za sasa,

  • @sectorfmctnyar6113
    @sectorfmctnyar6113 Před 6 lety +1

    Ubarikiwe sana pastor. Tunashukuru kwa mafundisho yako

  • @esterjonathan7476
    @esterjonathan7476 Před 6 lety +1

    ahsantee xnaa mchungaji kwa mafundisho mazur

  • @emilydavidmdoe3552
    @emilydavidmdoe3552 Před 6 lety +2

    mtumishi hivi wanaume wenzio unawafahamu,akiwa ameokoka kwelikweli sawa.hizi nyumba Mungu anajua tu

    • @swalhazira8533
      @swalhazira8533 Před rokem

      Kabisaa hawo watakatifu ndio wabaya kabisaa anakuchits live

  • @elizabethmwandu9899
    @elizabethmwandu9899 Před 5 lety +1

    Asante Mtumishi wa Mungu hakika ninakuelewa sana mafundisho yako.

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 Před 5 lety +3

    Kwa maishani ya sasa hata uwe na msneni mazuri veepe akiamua kutoka atatoka tu na ma changu DOA kwa taarifa yako wanatumia na dawa za kiswahili sio maneno matupu

  • @roseindekhwa5167
    @roseindekhwa5167 Před 5 lety +1

    Asante baba mafundisho safi sana

  • @mrdoforlove
    @mrdoforlove Před 6 lety +1

    una kitu cha cha tofauti Mungu akubariki na akupe mafunuo ndani ya karama yako

  • @fikirilusapi7917
    @fikirilusapi7917 Před 3 lety +1

    Vizulii sanaaaaaaaa bay fikiri lusapi

  • @janembugi425
    @janembugi425 Před 6 lety +1

    Amen mtumishi, barikiwa.

  • @alexandermtambala9039
    @alexandermtambala9039 Před 6 lety +1

    Asante sana imeningusa ubarikiwe.

  • @adrianashyko2781
    @adrianashyko2781 Před 6 lety +2

    inabidi nirudie mara kwa mara.....♡♡♡♡good lesson

  • @rhodahnyambu5847
    @rhodahnyambu5847 Před 5 lety +1

    I have learn something and richly blessed

  • @zuberinyenzi1982
    @zuberinyenzi1982 Před 6 lety +1

    Daa safi sana nimejifuza kitu kutoka kwako kila unaloliongea ni kweli kabisa

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful3726 Před 6 lety +12

    Kwani ndoa ni mwanamke tu mimi hii sikubaliani nalo ndoa ni pande mbili na sio moja

  • @deborabalama2656
    @deborabalama2656 Před 6 lety +3

    asante mtumishi ila Mimi yote nilifanya lakini hivohivo tuliachana ubarikiwe pia kwa mafundisho yako.

  • @fadhiliidafa1442
    @fadhiliidafa1442 Před 6 lety +1

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.....

  • @missagatha1756
    @missagatha1756 Před 6 lety +1

    Ahsante mchungaji nimejifunza kitu

  • @necodeirakoze8911
    @necodeirakoze8911 Před 9 měsíci

    Ubalikiwe mchungaji

  • @saramwinuka3989
    @saramwinuka3989 Před 6 lety +2

    Asante baba kwa somo

  • @neselaurence7350
    @neselaurence7350 Před 6 lety +2

    nimebarikiwa sana

  • @davidmuthoni624
    @davidmuthoni624 Před 3 lety

    Thanks 👍 God bless thanks 🙏 Amen amen amen thanks 👍

  • @jeniphermyinga3083
    @jeniphermyinga3083 Před 6 lety +9

    Wapo wanaume wengine hata wanyenyekewe bado wakorofi,pia heshima nikwa wote si kwa mwanamke pekee,wapo wanawake niwatulivu wanawaheshimu waume zao lakini bado wanawatesa wake zao bila kujali.

  • @LuganoMwatala
    @LuganoMwatala Před 7 měsíci

    Yani

  • @selestinfrancis5904
    @selestinfrancis5904 Před rokem

    Kweli mtumishi

  • @irinendubi5813
    @irinendubi5813 Před 6 lety +1

    That is good bro

  • @kisolaboniphace2123
    @kisolaboniphace2123 Před 6 lety +1

    barikiw sana mtumishi

  • @kimaniwachamba5409
    @kimaniwachamba5409 Před 6 lety +1

    Nimebarikiwa sana

  • @happynchimbi6043
    @happynchimbi6043 Před 6 lety +1

    nabarikiwa sana na mafundisho yako

  • @solomonfaithbless5940
    @solomonfaithbless5940 Před 6 lety +1

    cet grand homme c'est un grand seminariste entouquant. felicitation!
    congolese man

  • @mrsmusasaganda4369
    @mrsmusasaganda4369 Před 6 lety +1

    Amina mtumishi wa mungu

  • @gaudenceharerimana7743
    @gaudenceharerimana7743 Před 2 lety +1

    Muchungaji Niko naswali samahani Mimi niliishi na Bwana wangu myaka 15 .kisha akaanza michepuko .nilikuwa nafanya maombi ndani ya nyumba yangu .kilasiku naota ndoto nikaona Mme wangu.ako anapatia pesa .wingine mwana mke .nikamuuliza Mme wangu nimekuotea ndoto mbaya nikamuelezea ndoto zangu akazikataa .kisha nikaendelea ndoto mbaya kumuhusu kila siku anakataa
    Kisha Imefika mda Bwana akaumwa .akaanza kuniomba musamaha nakukubali zire ndoto nakunionyesha wana
    ake wengi arikuwa anachepuka nao.
    Nilimuuliza sababu alinijibu eti nikwasababu ameniona niko mpole siongei sipige kelele eti akaona hata achepuke sitaongea ..
    Saahii tumeachana mwisho akawa mwenda wazimu analazw sipitalini zawagonjwa wendawazimu .Mungu amempiga . From Amerika

  • @mrs.eileenvahaye8669
    @mrs.eileenvahaye8669 Před 6 lety +2

    Nimebarikiwa sawa na somo nzuriiii

  • @ShajuaKikoti
    @ShajuaKikoti Před 2 měsíci

    Kweliii!

  • @childofgodthroughjesuschri3326

    Mambo mazuri ila ni kwanini siku zote ni mwanaume mwanaume......na je wanaume wao watufanyeje sisi au sisi ni viburudisho vyao

  • @awadhhassan5353
    @awadhhassan5353 Před 4 lety +1

    Rest In Peace bro From kenya

  • @davidmuthoni624
    @davidmuthoni624 Před 3 lety +1

    Chapa Job

  • @solomonedward3379
    @solomonedward3379 Před 4 lety +1

    Kweli siboeki hata kama sijaenda kanisani nasikiliza najifunza nanarikiwa sana kwakweli

  • @stephanomwakyobe4675
    @stephanomwakyobe4675 Před 6 lety +1

    amina

  • @meck_billions
    @meck_billions Před 6 lety +1

    gud lesson

  • @ebbykerubo95
    @ebbykerubo95 Před 4 lety

    Somo zuri nimebarikiwa

  • @karembobaya9473
    @karembobaya9473 Před 6 lety +6

    Umesema vzuri sana mtumishi Wa Mungu...ila mbona wanaume nao hawafundishwi haya pia wao wajue wanachokihtaji wanawake?

  • @sostenesswai778
    @sostenesswai778 Před 6 lety +1

    Napenda san mahubri yko

  • @rehemabaraka9895
    @rehemabaraka9895 Před 6 lety +20

    Kwani ndoa inabebwa na mwanamke tu mchungaji wafundishe na wanaume pia jinsi ya kuishi na sisi

    • @mitimingionlinetv9896
      @mitimingionlinetv9896  Před 6 lety

      Wote wamebeba ndoa, Pia wanaume wana mambo yao ambayo wanapaswa kuyajua. Wanaume wengi ndio wamewasababishia wanawake wapate stress na Bp. Fuatilia masomo utavipata vipande vyao. Baarikiwa sana.

    • @jastinesamboto4674
      @jastinesamboto4674 Před 6 lety

      rehema baraka wanawake ndo injini na ndo wenye nyumba, ndo watunzaji wa waume zao, ukishaona pointi inayogusa sana ujue ndo yenyewe

    • @josephloy158
      @josephloy158 Před 6 lety +2

      Rehema ukweli ni kwamba mwanamke ndio mwenye uwezo Wa kuboa au kujenga nyumba,

    • @rehemabaraka9895
      @rehemabaraka9895 Před 6 lety

      Amina mtumishi nimefuatilia nimeviona ubarikiwe sana kwa mafundisho yako

    • @rehemabaraka9895
      @rehemabaraka9895 Před 6 lety

      Jastine Sambwet wanawake ndo injini lkn ukumbuke gari hata ikiwa na injini nzuri kiasi gani itategemea na dereva wa hiyo gari anaiendesha vp maana gari bila dereva mzuri hata injini si kitu kwake

  • @hildadaniel4892
    @hildadaniel4892 Před 6 lety +1

    nimekusoma baba ubarikiwe

  • @jennlafilin2251
    @jennlafilin2251 Před 6 lety +1

    Upo sahihi mtumish

  • @neemajelemiah766
    @neemajelemiah766 Před 6 lety +1

    AMEN... Nmejifunza

  • @inyasigregory6872
    @inyasigregory6872 Před 4 lety

    Hahahahahahahahahahahahaha Daaaaah...!!! Utakula ugangari hiyo ni noma sana

  • @paulodesmoni6226
    @paulodesmoni6226 Před 6 lety +2

    Good lesson

  • @hellenjohn8586
    @hellenjohn8586 Před rokem +1

    Kwel baba

  • @AliM-di8dz
    @AliM-di8dz Před 6 lety +1

    Ni kweli mtumishi hayo yapo

  • @sagulesalehe6393
    @sagulesalehe6393 Před 6 lety +1

    Vizuri kaka tupo pamoja

  • @maureenmuhonja722
    @maureenmuhonja722 Před 6 lety +2

    thanks alot

  • @christinen8291
    @christinen8291 Před 7 lety +12

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.nitapata wapi namba yenu! Ijapokuwa NDOA yangu hayipo tena.lakini unasema ukweli kabisa!

  • @mercyjumba9935
    @mercyjumba9935 Před 6 lety +1

    Ukweli kabisa

  • @estherchamhene212
    @estherchamhene212 Před 6 lety +1

    Kabisa kabisa

  • @olivergidion9090
    @olivergidion9090 Před 6 lety +1

    Ubarikiwe mtumishi huwa naelewa sana mafundisho yako

  • @margarethsolomon693
    @margarethsolomon693 Před 6 lety +8

    Hakuna kitu, ukimbembeleza na akajua unampenda atakufanyia visaaaaa. Ataona unajigonga kwake kana kwamba wewe huna mbele wala nyuma. Bora niwe strong woman, niishi mwenyewe.Hawanaga zuri wanaume mtu asikudanganye, mapenzi mazuri ni mwaka mmoja wa pili sufuri, visa vitupu linaanza michepuko. Ila ukivumilia aende michepuko mtaishi tu.

  • @rehemamaganga8303
    @rehemamaganga8303 Před 6 lety +1

    safiiii

  • @evajohn458
    @evajohn458 Před 6 lety +1

    amin

  • @leonardkandonga1721
    @leonardkandonga1721 Před 6 lety +1

    À santé dans kwaushauli

  • @user-nm1je5pt4u
    @user-nm1je5pt4u Před 5 lety +1

    Wanaume hawapendeki bwana kama nishindikana ata ufanye nn hataona

  • @rizikibiringanine4242
    @rizikibiringanine4242 Před 6 lety +2

    amen

  • @nsekanabondyamukama2993
    @nsekanabondyamukama2993 Před 6 lety +1

    Kwel hakuna mkate Mgumu mbele ya chai, tena n chai ya rangi c ya maziwa

  • @barazasila4051
    @barazasila4051 Před 6 lety +1

    Great message mutumishi, God bless you so much.

  • @victoriarwerengera4831
    @victoriarwerengera4831 Před 6 lety +2

    Mchungaji mbona wanawake tuuu!!!!?!????Ina maana wanaume kwenye ndoa wanasubiri tu atakalotenda mke?

  • @gaudenceharerimana7743

    Hapa kwetu pini niza sula yako

  • @dusabemireille1558
    @dusabemireille1558 Před 6 lety +1

    😂😂😂😂cameraman eee .....🙈🙈🙈🙈🙈

  • @charlottemanga
    @charlottemanga Před 6 lety +1

    Asante sana Kweli umeni bariki

  • @wakilongokahugusi6528
    @wakilongokahugusi6528 Před 6 lety

    Hakuna mwanaume mkorofi kwa mwanamke mnyenyekevu,,,Wanawake wamefundishwa la kutosha.Tunasubiri somo letu sisi mwanaume...Usituamini saana wanaume nasi twahitaji kukokotwa masikio.

    • @Punda284
      @Punda284 Před 6 lety

      Uko sawa mchungaji,ni rahisi zaidi kunuelezea mwanaume kwakua wewe ni mmoja wapo, kama ni upande wa mwanamke mwanamke naye aeleze atazungunza Kwa ufanisi zaidi.

    • @fideamgonja379
      @fideamgonja379 Před 6 lety

      bora yako unalijua hilo bro make kuna wengine wanajiona wao ni perfect

  • @mjombamalaki2025
    @mjombamalaki2025 Před 5 lety +1

    Wanawake. Wanamacho lakini hawaoni

  • @nirmaladavid8861
    @nirmaladavid8861 Před 6 lety +8

    Paster wao waume pia wape mafundisho sababu wewe utamweshimu lakini yeye akuomyesha dharau haswa akiwa amekuzalisha watoto ndo anukuona wewe mtumba wape vidonge vyao pia

  • @sakinashemahonge7692
    @sakinashemahonge7692 Před 6 lety +1

    ASANTE sana

  • @Salimalnabhani
    @Salimalnabhani Před 6 lety +1

    Wakachepuke tu ukimwi wawasalimu

  • @sarayrobert4785
    @sarayrobert4785 Před 3 lety

    🙏🏽🙏🏽

  • @nirmaladavid8861
    @nirmaladavid8861 Před 6 lety +10

    Ambao hawajaolewa plz hakikisha unamahali unategemea pakutoa mapato yako ndo ufikirie kuolewa lakini usitegemee mume sababu mume anakupenda ukiwa huna watoto lakini ukizaa upendo unaanza kupungua

  • @meryjuma4017
    @meryjuma4017 Před 7 lety +1

    Amina,haya Masomo nimazuri,mbali Na Utube tunayapata wapi?

    • @mitimingionlinetv9896
      @mitimingionlinetv9896  Před 7 lety

      Mbali na CZcams unaweza kuyapata kwa kuwasiliana nasi 0713183939 Jinsi ya kuyapata. VHM. Karibu sana

    • @mitimingionlinetv9896
      @mitimingionlinetv9896  Před 7 lety

      Wasiliana nasi kupitia 0713183939. Au ofisi zetu zipo mwenge Dsm opposite mama Ngoma hospital

  • @julianakissanga7142
    @julianakissanga7142 Před 6 lety +3

    jamani naomba kuuliza hii video naipataje jamani kwenye whatsp

    • @khalfanijuma1615
      @khalfanijuma1615 Před 5 lety

      Download tube mate Google video zote za CZcams utazipata kupitia hiyo.

  • @evalinesimonievaline1663
    @evalinesimonievaline1663 Před 6 lety +1

    Nimejifunza kitu

  • @rehemamustafa1914
    @rehemamustafa1914 Před 6 lety +1

    🙏🙏

    • @damianlameck522
      @damianlameck522 Před 5 lety

      Nafikiri wengi mnao endelea kulalamika huwa si wafuatiliaji wa hizi semina,kiukweli Pastor mitimingi hajawai kuacha kuwazungumzia wana ume kwaiyo jitaidini kumsikiliza mtapona swala kubwa nikuacha ushindani kati ya mume na mke.

  • @victoriarwerengera4831
    @victoriarwerengera4831 Před 6 lety +1

    Nina wasi wasi na huyu mchungaji

  • @Salimalnabhani
    @Salimalnabhani Před 6 lety +1

    Na kuroga mitimingi ndivyo wanavyofanya wanawake

    • @leahkamwambi5955
      @leahkamwambi5955 Před 6 lety

      Salimalnabhani 1952 balikiwa mtumishi

    • @hildakimambo2236
      @hildakimambo2236 Před 6 lety

      kwan ndoa ni ya mwanamke tu?? utamfanyia mwanaume ambaye hajielewi???

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 Před 4 lety

      @@hildakimambo2236 Ni kweli hata umfuatilie namna zote mstari wake ni uleule wa mchepuko kwako yupo na nje anatoka.

  • @hawajailo1985
    @hawajailo1985 Před 6 lety +1

    mbona hamwongelei wanaume. ?? ndoa ni mwanaume na mwanamke.

  • @rosemaryondeche5789
    @rosemaryondeche5789 Před 5 lety +1

    Pastor ,,mchungaji anaeza patana na bb yake kimapenxi jimamosi ikielekea jumapili?,,na je! U naeza funga au kuomba ukiwa period?

  • @najmaibrahim7947
    @najmaibrahim7947 Před 6 lety +2

    Wanaume pia wafundishwe, ndoa inabebwa na wotee..

  • @rizikibiringanine4242
    @rizikibiringanine4242 Před 6 lety +2

    amen

  • @victoriachesco2833
    @victoriachesco2833 Před 6 lety +4

    Majanaume ya siku izi hata ulifanyie nn km lihuni lihuni ty me sifati lolote hayo hawana shukurani wanaume

    • @andreajeremia436
      @andreajeremia436 Před 6 lety

      ukiona mwanaume amefeli,ujue mke ndiye tatizo,Dada unaweza mbadirisha mmeo.

  • @leonardkandonga1721
    @leonardkandonga1721 Před 6 lety +1

    À santé dans kwaushauli

  • @rizikibiringanine4242
    @rizikibiringanine4242 Před 6 lety +1

    amen