TENDO LA NDOA LIFANYIKE KWA UFANISI MKUBWA //SHEIKH OTHMAN MAALIM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

Komentáře • 59

  • @user-gt2wl6ry3z
    @user-gt2wl6ry3z Před 4 měsíci +6

    Mungu akupe umrii shekh wetu nakupenda sana kwa kuwakumbusha wanaume hata mm nimeteseka sana mume mwaka mzima hanigus eti yuko bize inauma sana mungu anisahehe nimeomba talaka niko mjanee mungu atanopa mume mwema inshaa lwaa

  • @user-cx5yb5wz2m
    @user-cx5yb5wz2m Před 4 měsíci +2

    Shukran Jazzillaan kwa Darsa zako murwaa zenye mazingatio mkubwa Allaah ana semaa ukimpenda mtu mwambie ukweli kwambia unampenda mim Sheikh Othman Maalim nakupenda Sana kwajiili ya Allaah Allaah atujalie Tawbah kabla ya Mawt na tukakae Jannatul Nai'ymaah ndugu Zangu wote wa kiiyslaam

  • @user-ee8hq1bg5l
    @user-ee8hq1bg5l Před 4 měsíci +5

    Masha Allah Sheikh wetu Othman darsa hii naipa 95 Kwaumuhimu wake asa khair iwe ilaji kwa wanaume wanalaumu wanawake wakati wenyewe ni failure na wana kwenda kwa maslaha yao hawajali feelings na emotional za wake zao na ni wengi wa lawama ukiwapa moyo wako watausema haupigi Burma na ukiwapa macho wat asema hayaoni vigumu mno kuwaridhi

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 Před 4 měsíci +2

    MashaAllah shukran sana kwa darsa nzuri yenye mafunzo makubwa 🙏🧡

  • @user-wn6ke3dp6z
    @user-wn6ke3dp6z Před 4 měsíci +4

    Natamani kukuisikiliza mda wote, Mashaallaah.mungu atujaalie Umri mreeeefu shekhewetu.

  • @hanifahnabakiibi6929
    @hanifahnabakiibi6929 Před 4 měsíci +2

    JazaakAllahu khair sheikh Othman Ma'alim. May Allah grant you the best fi dunia wal aakhira. Allahumma amiin. Greetings from Uganda 🇺🇬

  • @mohamedmwendo7225
    @mohamedmwendo7225 Před 4 měsíci

    Mashallah Tabarakallah Allah..Darsa nzuri sana Jazakumullah khairan

  • @Safia-tl4ie
    @Safia-tl4ie Před 3 měsíci

    Mashallah

  • @MwanaishaSaid-tw6en
    @MwanaishaSaid-tw6en Před 3 měsíci

    Nguo, jamaan nguo...
    Hivi tumeeleewaaaa.??
    Tumeelewa maneno ya Allah, maneno ya mtume, na maneno ya shekh..??
    Mashaallaaaah
    Jazaakallah khayr Yaa Shaikh

  • @shadyahamad3724
    @shadyahamad3724 Před 4 měsíci +1

    Mashaalla mwenyez mungu akubariki shehe othman maalim kwa uku.busho wa ndowa hakika uliosema yote kumtu🙏 mwenyez mungu amfanyie wepes ktk s maisha yako akupe shahada kabla ya mauty

  • @user-dk8lm3tf1j
    @user-dk8lm3tf1j Před 4 měsíci

    MASHAALLAH MASHAALLAH MASHAALLAH SHEIKH WANGU ALLAH HIFADHIQUM! AMEEN.

  • @HaxnatiXhekhan
    @HaxnatiXhekhan Před 3 měsíci

    Allah akuongoz shekhe wetu lnshaallah

  • @user-zm8es4ch9g
    @user-zm8es4ch9g Před 4 měsíci +1

    mashaallah baaraqallah fih mungu akupe kauri dhaabiti shekhe wangu

  • @Allybinamour
    @Allybinamour Před 4 měsíci

    mashallah, darsa hizi ni muhimu sana hususan kwa vijana.wanapopata elim hii inapunguza vijana kuisoma ndoa katika mitandao kwa njia za haramu. jazakallahu khairaa

  • @user-pv5xn6vc1w
    @user-pv5xn6vc1w Před 4 měsíci

    MashaAllah ustadh shukran sana kwa mafundisho mazuri

  • @user-dz9xg9ll1n
    @user-dz9xg9ll1n Před 2 měsíci

    Mashalah shehe Osman je nauliza na mke alikata Kwa muda wa miezi miwili? Kuna ndoa bado? Una haki ya kutoa talaka

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l Před 4 měsíci +1

    Shukran sheikh ngu jazaka llah kheir fil Dunia wal akhera

  • @ibrahimmaulid2704
    @ibrahimmaulid2704 Před 4 měsíci

    Sheikh Othman Maalim kwa hili nakupa mia kwa mia kwa hakika umenikosha sana Tena sana TUPE dawa Sheikh Big up Sheikh

  • @user-qd2tp2mb5l
    @user-qd2tp2mb5l Před 4 měsíci

    Mashaa'Allah ahsante
    Jazzakum'llah kheri

  • @user-uf4xy4ms2m
    @user-uf4xy4ms2m Před 3 měsíci

    Mashaallah tabarakah llah

  • @a.856
    @a.856 Před 4 měsíci

    Jazakallah khayran

  • @rahmamohammed9678
    @rahmamohammed9678 Před 4 měsíci +1

    Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu
    Alhamdhulillah
    ALLAAHUMMA SALII WA SALIIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA SAALAMU

  • @ibrahimmaulid2704
    @ibrahimmaulid2704 Před 4 měsíci +1

    Takibirrrrrrrrrrrr Alahu AAkibarrr

  • @ummuswalha4468
    @ummuswalha4468 Před 4 měsíci +1

    Walaikumussalam

  • @aishamumy8402
    @aishamumy8402 Před 4 měsíci

    Mashaallah 🙏🙏

  • @user-yc6ky9yw1u
    @user-yc6ky9yw1u Před 4 měsíci

    Shukran

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Před 4 měsíci

    Apo ndio namkumbuka sheikh nyundo ALLAH AMRAHAM

  • @user-gw6zg5yx9e
    @user-gw6zg5yx9e Před 4 měsíci

    Takibirrrrrrrr

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 4 měsíci +2

    Yni kama tunaulizwa wanawake mmoja mmoja faragha basi tutahurumiwa yni tnakaa kama mazoea kwenye ndoa na unajaribu kila kitu kuifanya ndoa iwe na mawarda lkn wpi😢😢😢😢 cjui wanaume wanataka nini😮

  • @user-io9mx3lk5q
    @user-io9mx3lk5q Před 4 měsíci

    Asalam alaikum umesa kweli

  • @halimaali5481
    @halimaali5481 Před 4 měsíci +1

    😂😂😂umeongea ustadh Yani bangi imewachanganya watoto

  • @mohammedabdullah3868
    @mohammedabdullah3868 Před 4 měsíci

    Hi ni yazamani namuona marehu shekhe Khamis kheri

    • @MwanaishaSaid-tw6en
      @MwanaishaSaid-tw6en Před 3 měsíci

      Picha za wezakuwa za zamani
      Lakini mawaidha haya hayawezi kuwa ya zamani, yaan hayapitwi na wakati.
      Maashallah

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l Před 4 měsíci +1

    Asalam aleikum

  • @user-te5jr1rz7w
    @user-te5jr1rz7w Před 4 měsíci

    Wanaume wt niswa

  • @Issa-ud6sy
    @Issa-ud6sy Před 4 měsíci

    Shekh,Wana wake wakianza kutumia uzazi wa mpango wànakuwa hawanahamu,wànakuwa hawataki Hata kutekenywa.

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před 4 měsíci

    Asharudi mombasa?

  • @hafswashali7583
    @hafswashali7583 Před 4 měsíci +2

    Asalaam alaykum shekhe mumewangu anakaa kufanya tendo landoa hatawiki 2 inapita na nikitaka mm yy hatak

    • @zuhoor-mc7hq
      @zuhoor-mc7hq Před 4 měsíci +5

      Hafswashali7583 walykum Salam warahmatullah wabarakatuh
      Ni mwanaum kukataa tendo l ndoa inakuw ana shida jiangalie ht ww mke jinsi unavyoishi nay ..unawek mazingir vzr ya kumfnya akuwaze muda wote na atamani kuwa nawe ht km yupo kazini ...
      Jiandae unawek kitanda vzr manukato nyumb ipuliz inukie udi jitahidi akitok kazin akukute uko safi sio upo na Madera ya jikoni inamfany apotez hamu kipenzi..
      Muanze mapem kwa text nzuri ya mahaba kabla hajaja nyumbani..in shaa Allah jitahidi na kumuombea kwa Allah awazidishie mawadaa warahmaa ktk ndoa yenu 🤲🤲

    • @muhsinmohammed648
      @muhsinmohammed648 Před 4 měsíci +4

      Dada waaleykum salaam, dada jitahidi kutafuta sitara ya maneno yako kwa mumeo, uislam kupitia kinywa cha mtume umekataza " siri za ndani za mtu na mkewe kutoka nje ya nyumba yake" hivyo kwa ushauri, kama lishakua tatizo la muda na mlitofautiana juu ya hilo basi ni vzr ukaanza na wazazi,
      Kwani hapa si sehemu sahihi kuandika maneno kama haya dada ukizingatia jina lako linaonekana, pia hata usiende direct kwa masheikh kwani alivyotaka kukuoa alifika kwa wazazi. Kua makini dada

    • @muhsinmohammed648
      @muhsinmohammed648 Před 4 měsíci +2

      Dada waaleykum salaam, dada jitahidi kutafuta sitara ya maneno yako kwa mumeo, uislam kupitia kinywa cha mtume umekataza " siri za ndani za mtu na mkewe kutoka nje ya nyumba yake" hivyo kwa ushauri, kama lishakua tatizo la muda na mlitofautiana juu ya hilo basi ni vzr ukaanza na wazazi,
      Kwani hapa si sehemu sahihi kuandika maneno kama haya dada ukizingatia jina lako linaonekana, pia hata usiende direct kwa masheikh kwani alivyotaka kukuoa alifika kwa wazazi. Kua makini dada

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 Před 4 měsíci

      Kwenye tendo la ndoa kama kuna moja hafurahi basi inafaa kusema na kupata usaidizi akuna kusema atafte sitra wakati stara wenyewe aipatai wacha kutudanganya hapa yko sahihi kabsa kusema hili​@@muhsinmohammed648

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 Před 4 měsíci

      Jaman pole tuanzia hpa je mazigira unaweka safi unapendeza unanukia unaongea kama mwanamke ama ndio 😅😅😅 unaongea kama dume chombeza ndoa jitahidi kumuonyesha mapenzi akirudi kazi fanya yeye massage 💆‍♀️ mpe pole kama akuna juice mpe ata glass ya maji mungu akufanyie wepesi kwenye ndoa Ameen

  • @alifaki4651
    @alifaki4651 Před 4 měsíci

    Mashallah

  • @MohammedMo-ew7el
    @MohammedMo-ew7el Před 4 měsíci

    Shukran