KULA HUKU UNACHEZEA SIMU, HUPUNGUZA NGUVU ZA KIUME/ VINYWAJI BARIDI/ TIBA YAKE YATAJWA NA MTAALAM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 02. 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
  • Zábava

Komentáře • 24

  • @user-pk7uc2hy2o
    @user-pk7uc2hy2o Před 3 měsíci +2

    Naomba doctor pia aongeleee pia masterbution

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Před 3 měsíci +1

    Vyoo vya kukaaa vimechangia sana basi wanaume wanakaa ofisini vyooni.ila wale wenye kazi ngumu kama mafundi ujenzi machinga,wakulima yani watu wa vijijini big up ila hawa,akitoka ofisini v8 choo cha kukaa kisha anakula chips baga,soda baridiiii

  • @johnkimani7944
    @johnkimani7944 Před 2 měsíci +2

    Uhusiano wa kukula na na simu...no way...hii sio ukweli

  • @David-yr3vq
    @David-yr3vq Před 2 měsíci +2

    Naomba namba zako nine maswali mengi

  • @DavidMwaikuyu-o8n
    @DavidMwaikuyu-o8n Před 5 dny

    Naomba tofauti za muda Kati ya mshindo wakwanza na wapili

  • @gidiboy9081
    @gidiboy9081 Před 3 měsíci +1

    Doctor! alikuwa na mwendelezo mzuri wa visababishi vya upungufu wa nguvu za kiume! Tena alisema ziko 30, ninyi mmemfanya aishie 2 tu, siku siku nyingne mumuache aseme zote!

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Před 5 měsíci +4

    Anaongea ukweli sema watanzania hawajui elimu ya ulaji na hawataki kujua 😂 ndio maana hata ptof janabi huwa hawamuelew

  • @HojaKisinza
    @HojaKisinza Před měsícem +1

    Haa 😅 aisee hata kuku wa kisasa naye ni shida mh ehe

  • @ezzepuritykamwene2121
    @ezzepuritykamwene2121 Před 17 dny

    Dk15_25 sio kazi ndogo

  • @gidiboy9081
    @gidiboy9081 Před 3 měsíci +1

    Wewe ndo Zombie, jamaa anatoa nondo za maana!

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Před 3 měsíci +1

    Hata dini inakataza kula na kuongea,kula kwanza kisha utaangalia

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 Před 13 dny

    Hivi utaalamu unaeleza nini juu ya tendo la ndoa kwenye muda ? Ama kweli kutaka umaarufu ni shida, yaani uume ukeni ukae dakika ishirini bila kutoa manii ,basi huo ndo utakuwa upungufu wa nguvu za kiume.

  • @IddiPazi
    @IddiPazi Před měsícem +1

    Sasa he ukitafuna mara21 huku unasim

  • @hoseakibona2139
    @hoseakibona2139 Před 3 měsíci +1

    Huyo ni bwana kibona au kibwana

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Před 3 měsíci +1

    Wapi mrusho mpoto

  • @user-ui1qs9yl1n
    @user-ui1qs9yl1n Před 2 měsíci +1

    HUYU DOKTA NI NOMA

  • @robertmagani853
    @robertmagani853 Před 2 měsíci +1

    watangazaji wanazingua hawampi mda doctor kuongea wao ndo wanaongea sana mpaka wanaboa

  • @Hamisitv3
    @Hamisitv3 Před měsícem +1

    Niipi dawa yatezi dume?

  • @walimwengutv
    @walimwengutv Před 4 měsíci +1

    MWAMBA YUKO VIZURI

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 Před 5 měsíci +1

    Sio kweli,hakuna ukweli wowote juu ya hilo,sijui elimu hiyo huyo daktari kaitoa wapi,madaktari wa siku hizi bure kabisa

    • @J.WEZATv
      @J.WEZATv Před 5 měsíci

      Kwenye nini hayuko sawa?

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Před 5 měsíci

    Acheni ku intertain vichaa. Mnakua mazombi mbwa nyie

    • @user-kb7hw7sw8d
      @user-kb7hw7sw8d Před 2 měsíci

      Atukulaumu wew tatizo lipo kwa alie kulea 😅😅