KULA HUKU UNACHEZEA SIMU, HUPUNGUZA NGUVU ZA KIUME/ VINYWAJI BARIDI/ TIBA YAKE YATAJWA NA MTAALAM
Vložit
- čas přidán 5. 02. 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz - Zábava
Naomba doctor pia aongeleee pia masterbution
Vyoo vya kukaaa vimechangia sana basi wanaume wanakaa ofisini vyooni.ila wale wenye kazi ngumu kama mafundi ujenzi machinga,wakulima yani watu wa vijijini big up ila hawa,akitoka ofisini v8 choo cha kukaa kisha anakula chips baga,soda baridiiii
Uhusiano wa kukula na na simu...no way...hii sio ukweli
Naomba namba zako nine maswali mengi
Naomba tofauti za muda Kati ya mshindo wakwanza na wapili
Doctor! alikuwa na mwendelezo mzuri wa visababishi vya upungufu wa nguvu za kiume! Tena alisema ziko 30, ninyi mmemfanya aishie 2 tu, siku siku nyingne mumuache aseme zote!
Anaongea ukweli sema watanzania hawajui elimu ya ulaji na hawataki kujua 😂 ndio maana hata ptof janabi huwa hawamuelew
Haa 😅 aisee hata kuku wa kisasa naye ni shida mh ehe
Dk15_25 sio kazi ndogo
Wewe ndo Zombie, jamaa anatoa nondo za maana!
Hata dini inakataza kula na kuongea,kula kwanza kisha utaangalia
Hivi utaalamu unaeleza nini juu ya tendo la ndoa kwenye muda ? Ama kweli kutaka umaarufu ni shida, yaani uume ukeni ukae dakika ishirini bila kutoa manii ,basi huo ndo utakuwa upungufu wa nguvu za kiume.
Sasa he ukitafuna mara21 huku unasim
Huyo ni bwana kibona au kibwana
Wapi mrusho mpoto
HUYU DOKTA NI NOMA
watangazaji wanazingua hawampi mda doctor kuongea wao ndo wanaongea sana mpaka wanaboa
Niipi dawa yatezi dume?
MWAMBA YUKO VIZURI
Sio kweli,hakuna ukweli wowote juu ya hilo,sijui elimu hiyo huyo daktari kaitoa wapi,madaktari wa siku hizi bure kabisa
Kwenye nini hayuko sawa?
Acheni ku intertain vichaa. Mnakua mazombi mbwa nyie
Atukulaumu wew tatizo lipo kwa alie kulea 😅😅