MAFUNZO YA NDOA: VITU 22 MWANAMKE UNAPASWA KUJUA KUHUSU NDOA/ WATU ANAOLEWA NA WANAUME WA WATU/
Vložit
- čas přidán 10. 05. 2020
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz - Zábava
Shukurani kwa somo nzuri
Safi sana dada nimskilizisha wafe tulikua tumechuniana akawa mpole hongera kwa mafundisho mema
Amen mama Mungu ndie mwanzilishi wa ndoa, nmekupenda bure❤
Mngu akubariki mama kwa somo zuri tumejifunza mengi
Asante momy Allah akuzidishie umri mrefu uzidi kutuongoza jamani sijaolew ila hii picha inanigusa
Hakika mama Hazina,Bwana Yesu anakutumia kukomboa ndoa.Mungu akubariki mama!
Yupo vizuri sana
Asante Mungu kwa mama huyu Mzuri❤
Very very beautifully topic and happy
Yaani swadakta maneno kunthu 100% sure.
Ubarikiwe sana mama
Safi sana ,Mama unatoa mafundisho ya ndoa kwa vijana
Nimeelewa Sana iloo somo ni vuri Sana mungu akubariki
asanti mama kwa mafundisho ya ndoa Mimi Niko congo nitakunja unipe mashauri mama yangu
Hongera mama mafunzo maziri
Ni kweri 😘😘😘😘👍👍👍👍👍mungu Awa l'Inde🇨🇩
Asante amina mama leo umeongea ukweli dah nimekupenda sana mama
mama yangu vizuri Sana uminizibua masikio
Mama asante Sana utanusru ndoa za watoto wetu!!!!!
Nimempenda sana huyu mama yaan anaelewek na mafunzo yake
Safi mama
Kazi ni njema barikiwa sana Servant Of God
Naomba nifahamu you tube unatumia jina gani Mama katika kutoa Mafundisho juu ya NDOA. Nataka nijifunze zaidi kuhusu NDOA.
Mama Victor hazina
Asante maman mulikuwa wapi mama tusaidiye kabisa .
Asante mama kwa somo, nimejifunza mnooo...mungu akubariki
Umenifunza kitu nashukuru
Asante kwa ushauli mzuri aki
Yani mumenifunza vigi sana Asante kweli
Munaongeya vizuri Ila munaipenda sana musique inasumbuwa.
Awesome content. Asante mwalimu
Amina mama!!
Nimependa SANA somo hili.
Mama anza channel plz.
Yani una sema vizuri
Vizuri sana wanapenda kuji tangaza
Asante mama mafundisho yameshiba kweli
Asante Sana mamaangu
Great!
Asante kwa somo
iyi music inasumbuwa saana
💋shukran
Gud mum darasa zuri sana barikiwa sn
Shukurani mama nakuelew vzr
Mama hayo unaosema ni kweri. Lakini kuna mwanaume ukinyamanza atakwambia wewe unamzalau, ukimjibu anakwambia wewe uko mwanamke sutwa. Sasa mama akikukania kukupiga huna la kufanya. Unyamanze utapigwa ukasema unapigwa. Wanaume hawana huruma. Kwetu Burundi tunasema hivi" Mwanaume ni mtoto wa mwenzio"
Lovely mumy
Safi sana mama uko poa xnaa kazi nzuri
Chamcham
Nimeipenda sana somo hiIi mama
Naomba no ya huyu mama
Congratulations Mom ❤❤❤❤❤
So nice
Jamani kwani muziki huu ? Fujo tu katika somo nzuri
Kweli kabisa mama
Toeni kelele za miziki
We mama kama nakuelewa hv.
0
Ò00
Hekima kutoka kwa mama huyu
Hii kali utapiamlo wa mapenzi
sawa kabisa
Reduce the background music.
j'aime
🙏🙏🙏
Asanth mama kuna kitu nimeongeza
Wooow
Yes nimekupata
Wafunze wanawake wale wanachat kwa simu wakiwa Chumbani na mume wao yupo. Kuna utaratibu unahitajika ijulikane wa kushughulikia mambo ya ndoa.
ata wanaume pia wanayo
Heeee wanaume pia nao wanachat
🔥🙏🙏
It's interesting but the background music is very distracting.
Sasa wengine tukipata hasira tunenda kupunguza hasira kwa mchepuko Koo mtutambue mapema hatushindwagj kitu🙏
Huyu mama anaitwa nani mbona kama nimemuelewa sana
Ujapta no yke jmn
Kweli kabisa mume ni ajuwe kwa kumpa nafasi ya kumsikiza mke, je anataka nini? ili pia kijulikane chanzo cha tatizo na ni vipi litatatuliwa, kabla ya mke huyo kwenda kupumulia kwa watu wasio sahihi, kisha kumlaumu yeye
Wow asnt sn shukran kwanini usiunde group wasap ukatufahamisha
Iyo nikweli mama
Kweli uko mwalimu
Hongera sana Mama. Uwage unatoa namba ya simu
Naomb namba ya uyo mama
Mmmmmm natamani mke wangu akusikilize lkn kasema namsumbua duu sjui nifanyaje
Kweli kabisa ❤️🙏
Bigaup mama wape semina wanawake
Uko Sasa mama la mama
Hakika umenielimisha
Mwalimu anaitwa nani? Anapatikana wapi?
Mama victor
Jina ya CZcams ya uyo mama please
Huyu mama anaitwa nani, je Instagram anatumia jina gani ?
Kweli
Jamani mama hauna group la ndoa
Thanks
Naomba namba yako mama unanigusa
Naomba namba yako mama unanigusa
Somo limeeleweka Naomba namba ya Simu ya mama
Plz naomba namba ya mama
Damiyano kayanda from Bujumbura hasante mama unamafundisho yaliyo sahihi ila ujasema sifa 22 zawana wake ni,zipi?
Nimejifunza mengi🙏
Mama uko vzr
Mm namtala huyu mama niwe napata mafundisho Yake.
mama victor anaitwa
Je naomba number yahuyo mama, anasema ukweli, nita mupa zawadi ambayo na mujali
Nikutumie
Mama humetufunza kitu
kwenye hiyo sehemu ya 12:16 imenigusa
Nikweli mama kuna utapiamulo mwingi kwenye ndoa naiyo kweli uzaa kichaa
Naombanambazako
naomben account ya uyu mama
Ssntedada
Upo vzr xn
Hivyo vitu 22 ni VP?
nice
Number yako samahani
Jaman nimefurah sana naomben namba ya huyo mama
Barikiwa sana mama
Nikweli kabisa mama
Du fanya kama unatma nmb hv kwa mafunzo
czcams.com/video/GMMuVvc4Ues/video.html
SHANGA za shemeji
VITUKO🔥🔥
Asanten sana naomba namba ya huyo mama plz
safi sana mama