Mawaidha na Bi Msafwari |Mbona ndoa za siku hizi hazidumu?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
    This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
    Follow us:
    citizentv.co.ke
    / citizentvkenya
    / citizentvkenya
    plus.google.co...
    / citizentvkenya

Komentáře • 468

  • @halimaalex5295
    @halimaalex5295 Před 3 lety +5

    Mashaallah jazzakallah kheri inshaallah Allah awajalie zaid nimefurai sana mawaidha mazur mashaallah nimependa san

  • @amahorohusna9670
    @amahorohusna9670 Před 5 lety +20

    Shukran sana
    Tunapata faida sana kutoka kwenu,big up sana Rashid..
    Sheikh Allah akujaze kheir

    • @zulekhasaidmohamed4043
      @zulekhasaidmohamed4043 Před 4 lety +2

      Rashid
      Huyokaka kakamwegine ninamuelewa sana laiti nigempata ninamaswali nataka kumuuliza namuamini asema kweli

    • @koudrashabani9674
      @koudrashabani9674 Před 4 lety

      Mwenyezimungu Awanusuru

  • @egidiusrwebuga6222
    @egidiusrwebuga6222 Před 3 lety +4

    Nimependa sana hiki kipindi kinafaa kabisa kufanyika katika vyuo vyetu live na vijana wakapewa wasaa wa kuuliza maswali. Big up sana

  • @Babygirl_S
    @Babygirl_S Před 5 lety +13

    Basically an educated, financially stable woman who stands for herself is a problem for the man. Those times are over. Women are not your prisoners anymore. Accommodate the modern woman's needs, ideas because clearly things are not the same anymore. Let women progress without demeaning them.

    • @abufidu
      @abufidu Před 5 lety +3

      All the hosts of the show are in total agreement with what you are saying. This is why marriages don't last these days, things are not the same anymore. Probably "women's lib" and successful marriage are mutually exclusive. We just can not have both.

    • @chachamarwa1913
      @chachamarwa1913 Před 4 lety

      Bi msafwari nakuliuza swali je mimi nimeoa kwako mfano avu wewe do chanzo cha kutenganisha ndoa yangu mke wangu nami hamna shida nitafanyaje ili uachene na Mke wangu ?

  • @jojoba2633
    @jojoba2633 Před 3 lety +1

    Bi Mswafwari na squad yako, nashukuru kwa mawaidha yenu mazuri,yanajenga mno mungu awabariki na mzidi kutupa mambo mema ya uheri

  • @dicksonmkokota4966
    @dicksonmkokota4966 Před 3 lety +4

    Mm ni Mtanzania! Hongera Sana kipindi ni kizuri na kina maudhui mazuri wazee fanyeni kazi zenu/funzeni Mungu anawaona

  • @winnieodhiambo3511
    @winnieodhiambo3511 Před 5 lety +7

    Well explained. Sasa nimejua tofauti ya kupendwa na kutakwa.asanteni.

    • @maxwellking9399
      @maxwellking9399 Před 4 lety

      Sasa wee Winnie niambie... mimi unanipenda au Unanitaka:-)?

  • @mahmudmustafa8588
    @mahmudmustafa8588 Před 3 lety +3

    Sheikh Allah akuzidishie zaidi

  • @rosekesina7871
    @rosekesina7871 Před 17 dny

    Thank you for your help

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 Před 3 lety +3

    Wanawake wengi wanaolewa wakiwa na tabia njema sana ila huko kwenye ndoa wanavurugwa wanadharauliwa sana na wao wanaota mapembe yanawashinda wanapambana

    • @marthajuma8411
      @marthajuma8411 Před 3 lety +1

      Yaani ulichoongea kiko sawa kabisa,hata mm mwenyewe niliolewa nikiwa na tabia nzuri sana lakini saiv acha tu nibadilike Hamna namna

  • @elyseerugonderakrely738
    @elyseerugonderakrely738 Před 3 lety +4

    Tunawafwata 100/100 mimi na mke wangu Cécile. À santé kwa mashauri yenu

  • @rajabjabu2125
    @rajabjabu2125 Před 5 lety +21

    From tz mungu akupe umri mrefu shekhee Amir

  • @lizikiabdallah3054
    @lizikiabdallah3054 Před 3 lety

    Shukran

  • @sabrinayounisaden7238
    @sabrinayounisaden7238 Před 5 lety +5

    Mashaa Allah,shiekh wangu, Allah akuhifadiye.

  • @ameenajumah7335
    @ameenajumah7335 Před 3 lety

    Sheikh tumekupata swafisana nice advice .Nakupenda sheikh kwaajili yake Allah .

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 Před 3 lety

    Mm naona chanzo n kukosa hekima na busara na hofu ya Mungu na maadili ya kiafrika zaidi.

  • @reenmakamu2278
    @reenmakamu2278 Před 3 lety +1

    Wow i love this

  • @rahmaally2775
    @rahmaally2775 Před 3 lety +1

    Mashallah shekhe

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 Před 2 lety +1

    If I ever walk down the aisle I will walk out period I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy9041 Před 3 lety

    Hii class ni safi sana hongereni wazee wetu nyote hapo studio maneno yenu Yapo sawa kabisaa na bila kufuata hizo tabia zenu tutafeli

  • @jackiemabduswamadkimimbi8652

    Nice topic

  • @farhanaomar1177
    @farhanaomar1177 Před 3 lety +1

    Asanteni sana nilikuwa namtafuta sana hiyo shekhe kuna CD niisikia ya aina ya.wanawake xjui 7nk nilicheka mno moja ya hao wanawake no yule ambae akiona.wageni huanzisha kixhwa kinauma au no hao wa kichwani,na.mwingine.akiensa sehemu na mumewe utasikia ha on a friji lao kubwaa sio kama letu jmn

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 Před 2 lety +1

    I would rather live alone period by Steve Irungu Jermaine

  • @moanasaboud4399
    @moanasaboud4399 Před 4 lety +9

    Sheikh gonga point kuhusu mapishi
    Mashallah

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 Před 2 lety +1

    Marriage went to the intestive care unit ie ICU I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine

  • @emmanuelgathage3835
    @emmanuelgathage3835 Před 5 lety +8

    Too much truth...

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 Před 2 lety +1

    Personal responsibility begins with myself Steve Irungu Jermaine

  • @elizabethdaud6446
    @elizabethdaud6446 Před 3 lety +2

    Nkweli ndoa hazdumu nyakat hiz sana nkwasababu unakuta mwanaume amezoea kuwa na wanawake wengi tofaut tofaut rangi, shape n.k kwahyo kudumu na mmoja ningumu sana, naitwa lizbeth

  • @OmanOman-gc1zu
    @OmanOman-gc1zu Před 4 lety +2

    jazzakaAllah kheri Allah awazidishie kila KHERI in Shaa Allah.... najifunz mengi san

  • @wanjirukarago9308
    @wanjirukarago9308 Před 4 lety +8

    The guy in green Ankara shirt hunibamba sana ...I always like his school of thought seen few of his videos .

  • @elizakituzaleyaapoline5283

    Jambo mama ubarikiwe sana kabisa upepe shauri kabisa

  • @orojinaledjemm1315
    @orojinaledjemm1315 Před 3 lety +1

    Nawashukulu kwamawogezi mazuli👍

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před 4 měsíci

    Kweli

  • @sunyareh
    @sunyareh Před 5 lety +5

    Wanawake wa siku hizi imani imewsisha heshima hakuna upendo ndo kabisa imekufa. Kazi tunayo si mchezo kuoa miaka hii. Ee mungu tusaidie

  • @bryfrancis7879
    @bryfrancis7879 Před 3 lety

    From Tz

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 Před 2 lety +1

    Marriage is by choice period by Steve Irungu Jermaine

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 Před 2 lety +1

    Marriage is a voluntary union period I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine

  • @sabrialharthy7090
    @sabrialharthy7090 Před 3 lety

    Mr. Rashid

  • @hamzaabdirahman3282
    @hamzaabdirahman3282 Před 5 lety +5

    Very great show, thanks all

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 Před 2 lety +1

    Marriage is like a death convict to me it's a hell NO I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine

  • @nadirmahfoudh1812
    @nadirmahfoudh1812 Před 3 lety +2

    Mada zuri sana masha'Allah

  • @iddiseleman5556
    @iddiseleman5556 Před 3 lety

    Hongela xana kwa mada mzuli

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 Před 3 lety +6

    Wanawake wa zamani waliteseka sana hawakuwa wa kuwasemea kabisa na wengi walikuwa hawafanyi kazi wanategemea waume zao ukiongea nao wamkuambia tulivumilia sana, wanawake wa sasa huwezi kuwanyanyasa wanajua kusimamia haki zao

  • @officialcarolyne2985
    @officialcarolyne2985 Před 5 lety +9

    That's true I love this topic

  • @lesashigeneral9213
    @lesashigeneral9213 Před 3 lety

    Ni kweli Mwanamke akidisha urembo ule ubora wa shunguli zakifamilia utapungua :
    -kufuga kucha ndefu,kwenda kuoshwa miguusaluni, kujipodoa kupita kiasi nk. Huyu maranyingi atakua anamtegemea binti wa kazi.
    Sasa tayari anaanza kua mlemavu.
    Kumbe umemuoa mwanamke mlemavu ambae hata hawezi kunawa mwenyawe.

  • @deboraamos560
    @deboraamos560 Před 4 lety

    Asanteni sana

  • @hassanomar2708
    @hassanomar2708 Před 3 lety +1

    Hassan Omar Dirie jag är på besök från mig själv till ett nytt sätt är på väg till jobbet så mycket jag vill ha ett nytt jobb med mig.

  • @hyilnematangi768
    @hyilnematangi768 Před 4 lety

    Mungu akubariki ndugu,nimejifundisha mengi.

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 Před 2 lety +2

    I'm a proud bachelor without limits period so help me God in Jesus name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 by Steve Irungu Jermaine

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb Před 3 lety +3

    MashaAllah

  • @abedkirway8668
    @abedkirway8668 Před 3 lety

    Asanten sana kwa kipind kizur mm mtz nawafuatialia vizur sana

  • @iceplay18
    @iceplay18 Před 3 lety +1

    kkk huyu sheikh vituko mleteni kila siku nimecheka sana sina mbavu

  • @hdeegithinji2191
    @hdeegithinji2191 Před 3 lety +1

    I came here today and this is just pure wisdom💯💯🙌🙌both religion and philosophies meet ... Those with ears let them hear, listen and understand💯🙌

    • @johnnsenga5079
      @johnnsenga5079 Před 3 lety

      Nimelewa sana maada

    • @agnessjohn1222
      @agnessjohn1222 Před 3 lety

      Wangu ukimtesa natoa avumilie mwisho auwawe saizi wanaume niwakatli wanaua wanawake zamani kulikua na ukandamizaji sio ndoa walikua wanalazimishwa kuolewa kwa nguvu

  • @japhetmarco4936
    @japhetmarco4936 Před 3 lety +1

    Asante mjadala Safiii

  • @masilamutua5392
    @masilamutua5392 Před 3 lety

    Wakipenda mungu na kufuata sheria zake watapendana

  • @aminajohn5055
    @aminajohn5055 Před 3 lety +3

    Napenda sana mnavyoongea

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před 3 lety

    Mimi Nimzanzibari Naishi UAE Nina Asili ya Oman Nimimi Nimependa Kipindi Nikizuri Mashaallah Mashaallah Mashaallah

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 Před 4 lety +4

    Siyo marafiki tu mama, na famillia zinaingilia ndoa za wanao sasa wenye ndoa wakikubali, ndoa inaisha au inaishi vibaya mwanandoa wa kike anaishi kwene ndoa kwa kuvumilia

  • @rosegatara4232
    @rosegatara4232 Před 3 lety

    Pole

  • @stanelymuthomi8542
    @stanelymuthomi8542 Před 4 lety

    Very educative

  • @yusuphmdoe4987
    @yusuphmdoe4987 Před 4 lety

    Safi sana shekh

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 Před 5 lety +8

    Jadhaka llah kheyra

  • @rukaiyamustafa1248
    @rukaiyamustafa1248 Před 5 lety +2

    Lesson nzuri

  • @jacquelinerayamu3187
    @jacquelinerayamu3187 Před 3 lety +1

    Mkalla una facts Sana jamani mashallah 👍

  • @furahamwakalukwa
    @furahamwakalukwa Před 4 lety +1

    Siku hizi hamna ndoa ila kuna maigizo tu katika ndoa!!!Wanawake wengi wapo aftermoney kwa kipindi cha urafiki na uchumba uwa wanakuwa na heshima mno lkn ndoa ikifungwa tu ni sarakasi na kila aina ya kiburi.

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 Před 2 lety +1

    Marriage is a corrupt institution I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine

  • @dankago8668
    @dankago8668 Před 5 lety +12

    Ni kweli mkala mume anataka heshima ndio muhimu

  • @farahanimselem5232
    @farahanimselem5232 Před 3 lety +1

    Ndowa azidumu kwasababu maisha magumu hali mbaya mwanaume anaisia ya mapenzi njogoo akilala amki kwamwezi malamoja

  • @dicksonmdagachule3592
    @dicksonmdagachule3592 Před 3 lety

    Hataree

  • @felisternjeru9196
    @felisternjeru9196 Před 4 lety +4

    Heshima muhimu ladies respect men

    • @dripemoji3315
      @dripemoji3315 Před 3 lety +2

      We will respect them if they respect us

  • @godfreylaizer8371
    @godfreylaizer8371 Před 3 lety

    Basis

  • @happytimes9747
    @happytimes9747 Před 4 lety +7

    Nasikiliza sana huyu mzee ako sawa kabisa

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 Před 2 lety +1

    I don't want to get married period by Steve Irungu Jermaine

  • @teresiahkiarie8440
    @teresiahkiarie8440 Před 3 lety +1

    I have learned something, kunakupendwa na kutakwa

  • @kassimchande4985
    @kassimchande4985 Před 4 lety +1

    Shekhe mungu akushushie rehema na akusamehe kwa Yale uliyoghafirika nayo

  • @hassanaloisi3643
    @hassanaloisi3643 Před 4 lety +1

    Chikeni part pia nichanzo.Sababu kungwi uwafunza uwiz natamaa mabint.Unakuta kungwi mwenyewe anawatoto sita.Nakila mtot na babake.Mabint somen wazaz wenu wawil.Nakuxoma maandiko matakatifu.Mtaacha maisha ya utawandazj namtavumilian

  • @leontinebinlydi9459
    @leontinebinlydi9459 Před 3 lety

    iyo nikweli kabisa

  • @bintimohamed2646
    @bintimohamed2646 Před 4 lety +4

    Asante sana MAMA na MZEE. 🤲👏💕💓

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 Před 4 lety +14

    Huyo kaka wa nguo ya kikwembe anasema kweli. Wanaume wanapenda heshima lakini hawapendi kuheshime wake zawo

  • @michaelnjora5407
    @michaelnjora5407 Před 5 lety

    Very true

  • @zaharajuma5019
    @zaharajuma5019 Před 3 lety

    Jamani hii nimeipenda

  • @zighemargaret
    @zighemargaret Před 5 lety +4

    Asanteni kwa mashauri yenu nimepata kitu wapendwa

    • @zighemargaret
      @zighemargaret Před 4 lety

      @Tumsifu Cheyo Yenyewe doa ni matunzo asante my dear

  • @paulchitifi1310
    @paulchitifi1310 Před 3 lety +1

    Mabinti wengi sana maadili awana

  • @beyoncebeyonce2737
    @beyoncebeyonce2737 Před 5 lety +2

    Hapo kabisa twafulahia sana juu ya kutufunza mengi God bless all

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 Před 3 lety +4

    👏🏾👍🏾
    ✊🏾🇧🇮

  • @fatinaabdul2392
    @fatinaabdul2392 Před 5 lety +14

    Shekh unafafana vzr sn na huyo kk aliyevaa shat la kitenge sante sn nmejifunza kitu santeni sn kwa wote

  • @oliverabraham6544
    @oliverabraham6544 Před 3 lety

    Napenda sana mjadala wenu Mungu awaongezee siku nyingi za kuishi

    • @yonasimbo2945
      @yonasimbo2945 Před 3 lety

      Mijadala yenu mihimu Sana tatizo kizazi cha sasa ndo shiida na sijui kama Kita sikia haya na kufuata maana hatali ila munngu asaidie haya

  • @jamilairakoze6600
    @jamilairakoze6600 Před 4 lety +3

    Asante 💞💞

  • @mohamedshabani5986
    @mohamedshabani5986 Před 4 lety +1

    Ni kweli kabisa

  • @kalengemochi110
    @kalengemochi110 Před 4 lety

    Ahsanteni sana,,, mozambique hapa tunawapata sana

  • @bryfrancis7879
    @bryfrancis7879 Před 3 lety

    Me too ,hahaaaa I think Vyote vimezungumzwa lakini kikubwa ni mtu kuwa na "HOFU YA MUNGU"ndo jibu la kila kitu

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 Před 2 lety +1

    Marriage is an outdated institution I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine

  • @munaongoeliebamongi8128
    @munaongoeliebamongi8128 Před 4 lety +1

    Mimi bwana Mongi Enoch kutokea DRC na shukuru sana na Yale mawaidha kwa kweli yamenifunza sana Mungu awabariki sana

  • @mutomubaya
    @mutomubaya Před 5 lety +2

    Sababu ya ndoa nyingi kuwa hazidumu { Katika Jamii ya Waislamu ] ni kwa sababu tumeacha njia aliyotufundisha Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, hasa kuhusu malezi. Vijana wakipatiwa malezi mazuri lazima yawe ya Kielimu. Na jukumu la kuelimisha vijana haliko juu ya wazazi peke yao bali Imaam ana jukumu la kuwafikishia watu wote wanaoswali Msikitini kwake ujumbe kamili wa Allah. Kwa hivyo kuhusu ndoa wanaoingia kwenye ndoa ni vijana. Ikiwa waliacha kuhudhuria vikao vya ilmu walipofikia umri wa ujana wengi utaona wanajua Kusoma Qur'an lakini ukiwauliza maana yake watasema, hatuelewi Kiarabu.Jambo la kwanza kuteremshwa katika Qur'an ni kuhsu umuhimu wa KUSOMA. Waislamu wa kwanza walikuwa ni waarabu kwa hivyo wakisoma qur'an wanaelewa, Lakini sisi wa sasa hatuwafundishi vijana wetu Kiarabu. Kwa hivyo wataweza vipi kuelewa mafundisho ya Ndoa na hali ya kuwa somo la Ndoa bado liko katika lugha ya Kiarabu? Na badala ya wazazi kuongea na Imaam ili apange masomo kwa vijana baada ya swalah na apange masomo kwa wazazi pia wamjue Allah na wajue kumuabudu na wajue malezi bora na apange masomo kwa Waslamu wapya. Hilo hakuna. Kwa hivyo ikiwa haturekebishi makosa yetu tujue kuna kujibu siku ya kiama kwa sababu Mtume amesema. Kullukum Raain wa Kullukum Mas'uulun. Ukisoma vyema hiyo Kauli ya Mtume utaona kwamba jukumu la malezi sio kazi ya wazazi peke yao. Turudini kwa Allah na tuwapatie vijana nafasi ya kujiendeleza ki masomo badala ya kuwaacha bila mawaidha wanakuwa watu wa kukaa vijiweni

  • @neemadonath5737
    @neemadonath5737 Před 4 lety

    Mungu atusimamie

  • @fatmahassan8857
    @fatmahassan8857 Před 3 lety +3

    Ukijipamba kwaajili ya mume na waume wa sasa waingia nyumbani saa 6 ucku meckp yote ina wanja vimeshafutika

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 Před 2 lety +1

    Marriage is a ticket to hell I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine

  • @feisal6592
    @feisal6592 Před rokem

    Kukitakaa kutegezaa garii lazima ulibodibide Kisha ulinyishe lakini kama gari limefantija accident pilaz panal biting itakuwa ngumuu sana

  • @junefother7890
    @junefother7890 Před 3 lety +2

    Mimi murundi nimependa sana kipindi chenu

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi2733 Před 4 lety +1

    Ndoa za sikuhizi tunaangalia sana TV...tunataka kuwa fulani sababu ni maarufu au tunataka kufananisha sana ndoa zetu na jerani kaacha mkewe kwa sababu hii na wewe unaacha. Pili ni marafiki wanachangia sababu hao marafiki wengi hawajaolewa au ndoa zao zina matatizo. sasa huwe zi kufata ushauri wa mtu ambaye hajaolewa au hajui nn maana ya ndoa..ushauri utakuwa mmbovu. .tatu vishawishi vingi ndaa inachangia wanawake wengi wanataka kuolewa kwa manufaa. .