Bi. Mswafari: Kwa nini wanawake wanaenda nje ya ndoa?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 133

  • @mariamibrahim9855
    @mariamibrahim9855 Před 8 lety +2

    Kanze always amazed me with bi mswafari and mkalla,she always fight back

  • @sara.wanjalaalipoyesuyotey3613

    wow hongera sana bi musafari kazi zuri. ..

  • @annyannies518
    @annyannies518 Před 8 lety +10

    Mm niko na mme wangu,nampenda sana,lakini ako na ulimi wa sukari kwa wanawake,na sitaki kufwata huo mtindo,afadhali nimwombee mume wangu apate kubadilika

  • @jenynaafya
    @jenynaafya Před 3 lety

    Fahamu dalili za tezi dume
    1.Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku
    2.mkojo kutoka kisiri siri
    3.mkojo kutoka bila nguvu na kutokuruka mbali.
    4.kokosa hamu ya tendo la ndoa na kuishiwa nguvu za kiume.
    5.kupata ugumu na maumivu wakati wa kukojoa.
    Tezi dume isipotibiwa mapema huleta madhara mbalimbali kama
    🔸 Upungufu wa nguvu za kiume
    🔸 Saratani ya tezi dume
    🔸Figo kufeli
    🔸Mawe kwenye figo
    🔸Kifo
    Kwa ushauri na tiba 0655523211

  • @aishayusuf4318
    @aishayusuf4318 Před 8 lety +8

    lulu asema mapenzi Hayaitaji degreee.... big up dears mnatufungua macho

  • @marykawira9266
    @marykawira9266 Před 8 lety +7

    great show always , wish it was daily

  • @edithkovary3654
    @edithkovary3654 Před 3 lety +1

    Ahadi ya ndoa ni ngumu. Waaminifu ni wachache. Sababu ni nyingi. Ila mimi naona kama gari haitembsezwi vizuri. Lazima ipelekwe garage. Kwa wote wawili. Inaweza ikatokea kwa pande zote mbili.Mafunzo hayatolei kama zamani kabla ya ndoa. Umuhimu wa mafunzo ni jambo zuri sana. Ila sasa watu hawajali.

  • @kibongobongo4608
    @kibongobongo4608 Před 7 lety +1

    Tatizo wanaume wanatembea nje mpaka wanasahau kama kuna mke anamuhitajia na wakiambiwa wanakuja juu mpaka wanawake wanaamua watoke nje ni hawa wanaume ndio sababu kubwa ya mke kutoka nje ya ndoa

  • @mariamibrahim9855
    @mariamibrahim9855 Před 8 lety +4

    I liked the show, mapacha's keep it up,mkalla today you were on your on, walikuruka!!

  • @husnakeziya7758
    @husnakeziya7758 Před 7 lety +3

    Inauma sana bi msafar wkt mumeo atatembea na rafik yako mpaka wazae hata ukikaa miaka mingapi huwez sahau na kila ukifikiria wakosa iman na yule mume

  • @phidelisachiengnyates2027

    bi safari ur killing me with lough watching fro saudi arabia

  • @beybieohmine446
    @beybieohmine446 Před 6 lety +1

    SINCE NIMEMFUMANIA MME WANGU BAHADA WEEK MOJA KUJIFUNGUWA NAKWENDA KULALA WITH ANOTHER LADY ..leaving me alone with the child and spend the night with that lady..but i knew exactly where he was and went there straight early in the morning and find hI'm really there in that room with a lady...i was heart broken ..since that day whenever am about to sleep with him i remember about that day

  • @rizikiantwanette6081
    @rizikiantwanette6081 Před 3 lety

    Tatizo moja bado ni kutoelewa kuwa tabiya ya wanaume inaendana natabiya wakila ndege sababu aliye pata mume njiwa ako nastarehe kuliko aliye pata mume mwewe tabiya inaendana nalivyo mazingira natabiya ya mwenyewe hata menyezi mungu asema kiungo chamwili kikiwa kita kupoteza amuwa kukikata ili uwe salama amuwa kulingana najaribu ulilo nalo

    • @edobwoy
      @edobwoy Před měsícem

      Men don't cheat, we are faithful as our options. The more financially secure we are, the more the women.
      A man that loves you will not show you, he will not father outside, bring you STDs and mistreat you.
      No man will be sexually stimulated and attracted to you as before as years pass by that is why even KINGS had concubines.
      He married you because he wanted a family with you and share his legacy through children

  • @jacobambaopiyo3428
    @jacobambaopiyo3428 Před 8 lety +6

    wanawake wengi hufanya comparison vile wenzao wanakuwa treated na mume zao, lakini wanasahau kuwa mikono havitoshani, hata umpende vipi hawazi kukuappreciate juu anakuwa na ego, hivyo issues zinawafuata ndoa hadi mume anaamua kutoka na mwanamke pia anantoka, ## kiswahili naisomea bado##

  • @vivianjohn2430
    @vivianjohn2430 Před 8 lety +2

    show iko juu

  • @edgasimkoko321
    @edgasimkoko321 Před 3 lety

    safi sana mkala unaongea vizuri sana

  • @abdunur323
    @abdunur323 Před 6 lety

    Asante jamani, mjadala mzuri sana, isipokuwa mnatetea Utamaduni asli ? ao Mila za mkopo ? ao Ungwana Ki Dini ? Sababu nimeona kwamba hamjaichukua ipi njia ambayo itawaelekeza kwenye lengo na mtaondoka hapo bila Solution .

  • @oloibonwakenya7274
    @oloibonwakenya7274 Před 5 lety +4

    Mkala na upanga you're right man!

  • @jamesshao538
    @jamesshao538 Před 3 lety

    Frm Tz hawa akina mama wanawapotosha wasichana, i feel sorry for them

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 Před 3 lety

    Huyo mama bonge ni mpotoshaji anawapoteza wanawake, huwezi kufanya upumbavu kisa mumeo kafanya ujinga, wakumlilia mambo yakae sawa ni kumuelekea Muumba na si kufanya uzinzi, wafundisheni wawe jeuri muone familia itakuwaje mama nae atoboe chupi.

  • @betsonmugisha9604
    @betsonmugisha9604 Před 3 lety

    Anayetembea nje ni mwanamume na Mwanamke sasa tatizo ni nini?!! Bila shaka hawa wote watakuwa wanatoka ndoani hivyo hakuna cha Mwanamke au mwanamume

  • @bethueltahash927
    @bethueltahash927 Před 6 lety

    mkala your rocking the stage haha ati wanaume wanawazimu haha

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis5323 Před 6 lety +3

    Kuchepuka ni mtu yeye mwenyewe iwe Mwanamke au Mwanamme,,lkn mara nyingi ni tamaaa tuuu iwe ya Mali au matamanio ya kijinsia,,

  • @sarahwawuda7638
    @sarahwawuda7638 Před 8 lety

    hongera sana mwatu elimisha juu ya ndoa zetu

  • @kevinmokua5422
    @kevinmokua5422 Před 8 lety +25

    Ukweli umesemwa mke wangu alinipata na cousin yake tangu hiyo siku ndoa yetu Iko na shida sana.sisi wanaume ndio tuko na tabia mbaya kwa ndoa

    • @hassanashur4079
      @hassanashur4079 Před 8 lety +1

      pole na uendelee kujifunza

    • @sallykanze
      @sallykanze Před 8 lety

      Umegonga ndipo

    • @kevinmokua5422
      @kevinmokua5422 Před 8 lety +4

      Jefason Kingy sister wanaume tuko na tamaa mbaya

    • @sallykanze
      @sallykanze Před 8 lety +2

      +Kevin Mokua Ndio hiyo ya tamaa mko nayo tangu jadi ,Yani tangu Enzi za Adam na Hawa.

    • @rashidmkoga8779
      @rashidmkoga8779 Před 6 lety

      Kevin Mokua wewe ndio mwenye tabia mbaya

  • @sallykanze
    @sallykanze Před 8 lety

    Asanteni sana Mkalla ,Bi mswafari, somo yangu kanze na lulu Hassan,mjadala hii ulikua mzuri sana.

  • @radiusbakashaya2801
    @radiusbakashaya2801 Před 3 lety

    Tambua mwanamme aweza kujilinda nakinga lakini mwanamke awezi jilinda aweza vaa kinga mwisho akavua au chana, wakati huo mwanamke yuko hali mbaya akiri imeshapotea kwa mahaba, ivo wanawake acha kushindana na wanaume ushauri wakati maalum nimzuri usiache Mme kaja amechoka hata ujampokea unaanza kuvimba kama paka, namaneno yakutisha utamfanya akumbuke mchepuko, ushauri mfanye mme asahau mchepuko wa njee, wale siwatu wakuchuna hela2 hawana mapenzi ni wizi2

  • @abdallahmuhammed2279
    @abdallahmuhammed2279 Před 4 lety +1

    mwanamke hatoki nje bila yasababu yamsingi yanatosha kwawanaume

  • @sylviemugeni1887
    @sylviemugeni1887 Před 3 lety

    kweli maman

  • @corneliusmkenya586
    @corneliusmkenya586 Před 3 lety

    Tamaa ya mvuvi....

  • @kilozofamily7709
    @kilozofamily7709 Před 3 lety

    Som ili nimzuri
    Ila juwa kwamba wanawake wanatoka nje kulingana na:
    Kuwana tama za mwili zakupindukia
    Mme kupungukiwa nguvu zakiume
    Mme kutoka toka mda mrefu
    -

  • @adamdeus6015
    @adamdeus6015 Před 3 lety

    mada nzuri sana

  • @evalunajohannes2382
    @evalunajohannes2382 Před 3 lety

    Wake kwa waume wote wanatoka nje ya ndoa, kwa kutaka wenyewe na sababu zao.

  • @zuhrahalima5987
    @zuhrahalima5987 Před 8 lety +3

    mkalla zamani ukimwi haikuwepo mwanaume ataenda atarudi lakini sasa unangojea ukimwi afadhali utoke.

  • @issaabdi9129
    @issaabdi9129 Před 6 lety +1

    Ndoa ni mavumiliano. na si ushindaani kama unataka kudumu na nahakikisha kika mtu akitenda nafasi yk vizuri ipaswavyo bila kumlalia mwenzei namini itadumu.

  • @nurahoneybby7902
    @nurahoneybby7902 Před 5 lety

    Ama jina lake la fb plz

  • @queeniejoy3255
    @queeniejoy3255 Před 8 lety +3

    Pwaaaa mkala wee mkali,anaeza shikwa na mharo duh!Kali hiyo

    • @marykawira9266
      @marykawira9266 Před 8 lety +1

      true watu wengi wana senses Kali sana kama anafanyiwa ubaya anajua

    • @queeniejoy3255
      @queeniejoy3255 Před 8 lety +1

      Mimi uwa na hisi pia hivyo,it's dangerous

  • @jamelaega2779
    @jamelaega2779 Před 4 lety

    Wanaume wanakazi heri kumuombea abadilike ju hata ukisema utoke nje wanaume sawa tu utadhani walizaliwa na mama mmoja mmmmh

  • @estheralbrechtsen8999
    @estheralbrechtsen8999 Před 5 lety

    Mkala👏👏👏👏👏👊

  • @echaplacide7059
    @echaplacide7059 Před 3 lety +1

    Mke wangu kanipa pesa ili niende nikajisaidie kwa malaya, kwa madai kwamba: amechoka hawezi .
    Hapa kiss kwa nani janani?

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee Před 6 lety

    Bwana wangu alikuwa anaenda ije niliachana naye hajaamini mpaka saahuu nimemsamehea lakini waganda wanasema" yakutula cable! "

  • @doreenmalesi6039
    @doreenmalesi6039 Před 8 lety

    Hongera bi .msafwari wish hii show ingekua ndefu ama daily

  • @reamatanga6670
    @reamatanga6670 Před 3 lety

    Yaan wa mama mko sawa hawa wanaume wanachosha tunavumilia vya kutosha mwisho unapata kishawish unaachwa miaka Saba tunavumilia tu bora kutoka

  • @husseinmohamedi3567
    @husseinmohamedi3567 Před 4 lety

    Hongera bi mswafir

  • @jumayusufjuma6489
    @jumayusufjuma6489 Před 8 lety +1

    kosa lazinaa hta kwa dini alisamewi

  • @user-sc2kp3dm4z
    @user-sc2kp3dm4z Před 3 lety

    Ukishinda na mwanamme utakuwa malaya

  • @nurahoneybby7902
    @nurahoneybby7902 Před 5 lety

    Hy naomba namba ya Bi msafiri

  • @abdallahmuhammed2279
    @abdallahmuhammed2279 Před 4 lety

    nikweli

  • @anaelenea6335
    @anaelenea6335 Před 3 lety

    Mwakila

  • @jeannemwamini3751
    @jeannemwamini3751 Před 3 lety

    W

  • @jumaadosho5344
    @jumaadosho5344 Před 4 lety

    Safy sana mkala

  • @e.crabtree4313
    @e.crabtree4313 Před 5 lety

    Let fathers and mothers make a solemn promise to God, whom they profess to love and obey, that by His grace they will not disagree between themselves, but will in their own life and temper manifest the spirit that they wish their children to cherish. Parents should be careful not to allow the spirit of dissension to creep into the home; for this is one of Satan's agents to make his impression on the character. If parents will strive for unity in the home by inculcating the principles that governed the life of Christ, dissension will be driven out, and unity and love will abide there. Parents and children will partake of the gift of the Holy Spirit.

  • @abdunur323
    @abdunur323 Před 6 lety +2

    Biblia inafundisha, mwanamke akileta ukorofi Nyumbani basi nenda Inje wewe Mmewe. Mithali 21 : 9 Unafikiri kule anakoenda pana raha ? Qur'an/ Anisaa ; hufundisha, 1. Msiwabughudhi Wanawake na kuwaondoa majumbani zao. 2. Hakika wanawake wana Vituko vingi. ( Swali ) Mnatetewa ijapo Ukorofi na Vituko, mnadhani kule Inje wanakoambiwa waende kuhangaika ni sehemu ipi ? Kuna raha kubaki inje kiholela tu ? Akimkuta bibi Mary ao Hadijah na kumtunza laangukia nani kosa ?

    • @mercydorcas2180
      @mercydorcas2180 Před 5 lety

      ABDU NUR liar mithali21.1 says it’s better to live in a corner of a house top than in a house shared with a quarrelsome wife

    • @jeniphamnyawami6928
      @jeniphamnyawami6928 Před 3 lety

      divyo urilivyo wanaumume unawatetea wanaumue wenziyo

    • @jeniphamnyawami6928
      @jeniphamnyawami6928 Před 3 lety

      jamani suremani halikuwa hatamaa kama nn haliowa wanawake mia moja wa ndowa tuu walikuwa sabin masurilia sabin hakuna viumbe viye tamaa kama wanaume

  • @kakurukataraia2590
    @kakurukataraia2590 Před 7 lety +2

    Mtu akimpenda me au mke wake kweli na kunyenyekeana pamoja na kuheshimiana hawatandendana udhalimu wataheshimu ndoa zao

  • @danesomosa1
    @danesomosa1 Před 8 lety +2

    Huo ukweli kabisa huyo kaka mkubwa amesema. kutembea nje kwa wanaume mbali na nyumba zao ni kutokana na kasoro za wake katika mapenzi. kutokana na hili inakuwa muhali sana kustahimili ambako inafanya mwana ume kuwa na jicho la nje

    • @sallykanze
      @sallykanze Před 8 lety +2

      Hapo sikubaliani nawe,kuna wanaume wengine iko kwenye damu au jinsi alivyolelewa kwao,Kama inheritance,juu mvulana ataona baba zake walioa wake watatu,sasa msururu unaendelea vivyo hivyo kwa Kua wako hivyo na iko kwenye damu hata aoe mke ametulia yuko vizuri tuu ila kuenda inje mume hiyo ni desturi yake tayari usisingizie wanawake,wanaume Kua na mke mmoja hiyo haiwezekani Hilo twalijua kabisa ni maumbile Yao.nituolewe tuu ila kusema eti mume ni wako peke yako huo ni uongo

    • @kibongobongo4608
      @kibongobongo4608 Před 7 lety +2

      Danes1988 Tatizo kubwa la wanaume wanaona kasoro za wanawake tuuu na hawataki kuambiwa kasoro zao. Hakuna aliekamilika kasoro zipo kwa mume na mke isipokuwa subra ndio inafanya ndoa iwe madhubuti. Na wanawake hutoka nje ya ndoa kwa sababu nyingi huenda mume anachepuka mpaka anamsahau mke kama anamuhitajia alafu wanasema wanawake hawajatulia this is crazy 😜. Uaminifu unamhusu mume na mke

    • @rahmafataki2584
      @rahmafataki2584 Před 6 lety +1

      Jefason Kingy Mrs kweli wengine wanatoka nje kwasababu wanapenda mikundu nawewe hupendi huo mchezo mbaya sasa mtu akijakukuoa hakwambii kuwa yeye anapenda hicho kitu anakuficha mpaka mkishaowana ndio anakutilia sasa ukimkatalia kufanya anakufanya wewe ndio sababu yeye kutoka nje kwasababu humuachi akafanya hicho kitu

    • @suzanmbilinyi4982
      @suzanmbilinyi4982 Před 3 lety

      Kama mkeo hawezi mfundishe ili mwende pamoja

  • @sophiandumbaro7741
    @sophiandumbaro7741 Před 6 lety +1

    wanaume hata ukiwabeba na maturubai watatafuta nyembe wachane,hawajaponakwa hilo.

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 Před 6 lety

    km anachepuka achepuke t lkn huwez kushindana na mt kwa mng utaulizwa pk yako,ila akianza kuchepuka asikuguse na co vinginevyo

  • @flyboiog9346
    @flyboiog9346 Před 3 lety

    Mwanaume anawza oa mke zaid ya mmoja ila mwanamke haez olewa na mwanaume zaid ya mmoja ,hlo ifahamike

  • @Salimalnabhani
    @Salimalnabhani Před 6 lety

    Samahani jamani.waislamu wameruhusiwa kuoa mpaka wanne . Wakristo pia wanaoa wanaoa wanne ?

  • @pennystang6065
    @pennystang6065 Před 6 lety +4

    uongo nina marafiki wengi wanaume wao wako waaminifu mimi nanjua wamatoka inje wala mabwana zao hawajui nawaonea huruma na viboys vidogo vidogo haha

    • @Namanda425
      @Namanda425 Před 3 lety

      Think again tena sana usidanganyike na upole wa mtu

  • @radiusbakashaya2801
    @radiusbakashaya2801 Před 3 lety

    Mke akichepuka sababu yakulipiza siyo haki anastahili amuweke mmewe karibu amuonye ampe maneno ya busara kuliko kuwa jeuri mwanamme mwenye akiri ataacha bila lazima

  • @anaelenea6335
    @anaelenea6335 Před 3 lety

    Mwakila na anko

  • @moshimrimi6796
    @moshimrimi6796 Před 3 lety

    Wanaume sio mwenzio baki na watoto wako tu.

  • @bethueltahash927
    @bethueltahash927 Před 6 lety

    mkala umesema kweli mm mume wangu akiwa ametenda jambo mbaya huwa nahisi tu nafsin

  • @niciteretseneema9746
    @niciteretseneema9746 Před 4 lety

    0p

  • @abbacushabba4110
    @abbacushabba4110 Před 3 lety

    Bado hawajaelewana hapo ,Nina ni hapo anakwenda nje, kama Ni Mume au Mke anaye toka ni nani amekosa.

  • @suzanmbilinyi4982
    @suzanmbilinyi4982 Před 3 lety

    Wapumbavu ni wanaume na wanawake wana hisia kama wake

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 Před 3 lety

    Upuuzi huo, mume akinya barabarani nae atakunya barabarani? Huyo mwanamke atakuwa mpumbavu, malipizi hayana maana.

  • @queeniejoy3255
    @queeniejoy3255 Před 8 lety +2

    Pwaaaa mkala wee mkali

  • @mariannenyiranazemonie1731

    Wote wa wili hakuna anayeruhusiwa Bwana asitokonyuma ya ndawa na Bibi hivi asitoke

  • @adamdeus6015
    @adamdeus6015 Před 3 lety

    sawa kabisa kaka maana mchepuko ni maamuzi ya mtu mwenyewe hayahusiani na makosa ya mwingine ni sababu ya kutembea nje

  • @bethueltahash927
    @bethueltahash927 Před 6 lety

    haha kanze umeniwezeshea mkala Leo haha

  • @blackmaster9006
    @blackmaster9006 Před 3 lety

    14:00 Huyu anapita ni mule mule.

  • @ashuu7youz326
    @ashuu7youz326 Před 6 lety

    wana umeee,mbona mwajifanya mastar sana

  • @Salimalnabhani
    @Salimalnabhani Před 6 lety

    Kirozo doh

  • @mohamedthoya7436
    @mohamedthoya7436 Před 7 lety +1

    mnazi mwenga..kaudzaza kadzama ...ukihalwa hurira...

  • @jacintaamenmjungajisemarus874

    Musumeno lazima ukate mbele na nyuma

  • @hadassahjohnty6816
    @hadassahjohnty6816 Před 7 lety +1

    mumeongea ukweli lakini mkala kuna mahali umekosea.nani kakwambia mapenzi ni cheo ama masomo.?huyo maid anaweza kua hajasoma lakini ana heshima zake na elimu ya kumtuza mwanaume kuliko huyo mkeo mwenye ni msomi.

  • @firbertpius2896
    @firbertpius2896 Před 4 lety

    Mchepuko nitabia yamtu mkewangu hawezi kunifanyamimi nichepukw

  • @serasyraasera7541
    @serasyraasera7541 Před 8 lety

    😁😁😁 nimefurahia kweli

    • @gabrielmerci2787
      @gabrielmerci2787 Před 7 lety

      hicho kipindi nikizuri sana nakina nigusa mimi. kulingana na ubovu wa ndoa yangu. nitawaombeni mawasiliano ya moja kwa moja ili huyu mke wangu apewe ushahuri

    • @mangisenya6502
      @mangisenya6502 Před 7 lety

      Wanaume tulio wenge hatutosheki na mke mmoja

    • @zainabswaleh4907
      @zainabswaleh4907 Před 7 lety

      Kama hamutosheki owa basili ya kutoka inie ya ndoa aaah waume mumezidi mwafundisha wake zenu tabia mbaya

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 Před 5 lety

    Uko sawa babaa mkala kabisa

  • @jawakwibe5063
    @jawakwibe5063 Před 6 lety

    Huyomwanamke kamanimalayapoa

  • @ayshahams7373
    @ayshahams7373 Před 6 lety +1

    Mkala wew uko mankin sana na wayajua hasa

    • @suzanmbilinyi4982
      @suzanmbilinyi4982 Před 3 lety

      Wewe mkala huna jipya wanaume nyie waonezi nawanawake wanaroho

  • @winniethiongo8823
    @winniethiongo8823 Před 8 lety

    bi safari na mkalla... Mafundisho mazuri

  • @jawakwibe5063
    @jawakwibe5063 Před 6 lety

    Mke wandani hanaeshimazake

  • @leahchelimo5342
    @leahchelimo5342 Před 8 lety

    Mdajadala Mzuri sana

  • @emmakaneko2386
    @emmakaneko2386 Před 7 lety

    Mbona mnakandamiza wanawake peke yake ikiwa wanaume ni waongo kazi yao wanapenda kwenda nje kisha wao ndio wanaoa wanawake watatu wanaume wacheni kutesa wake zenu jambo hilo sikubaliani nalo

  • @jumayusufjuma6489
    @jumayusufjuma6489 Před 8 lety

    mkala hahaaaaaa

  • @abdulhemedabdulhemed7110

    Kwa hakika kaka unaongea hakika hapo sababu kabla hujasema unemuendea mkeo kinyume umeiendea nafsi yako kwanza ....sila lana hapo ni haki mume awe na wake zaidi ya mmoja