Mm niko na mme wangu,nampenda sana,lakini ako na ulimi wa sukari kwa wanawake,na sitaki kufwata huo mtindo,afadhali nimwombee mume wangu apate kubadilika
Fahamu dalili za tezi dume 1.Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku 2.mkojo kutoka kisiri siri 3.mkojo kutoka bila nguvu na kutokuruka mbali. 4.kokosa hamu ya tendo la ndoa na kuishiwa nguvu za kiume. 5.kupata ugumu na maumivu wakati wa kukojoa. Tezi dume isipotibiwa mapema huleta madhara mbalimbali kama 🔸 Upungufu wa nguvu za kiume 🔸 Saratani ya tezi dume 🔸Figo kufeli 🔸Mawe kwenye figo 🔸Kifo Kwa ushauri na tiba 0655523211
Ahadi ya ndoa ni ngumu. Waaminifu ni wachache. Sababu ni nyingi. Ila mimi naona kama gari haitembsezwi vizuri. Lazima ipelekwe garage. Kwa wote wawili. Inaweza ikatokea kwa pande zote mbili.Mafunzo hayatolei kama zamani kabla ya ndoa. Umuhimu wa mafunzo ni jambo zuri sana. Ila sasa watu hawajali.
Tatizo wanaume wanatembea nje mpaka wanasahau kama kuna mke anamuhitajia na wakiambiwa wanakuja juu mpaka wanawake wanaamua watoke nje ni hawa wanaume ndio sababu kubwa ya mke kutoka nje ya ndoa
SINCE NIMEMFUMANIA MME WANGU BAHADA WEEK MOJA KUJIFUNGUWA NAKWENDA KULALA WITH ANOTHER LADY ..leaving me alone with the child and spend the night with that lady..but i knew exactly where he was and went there straight early in the morning and find hI'm really there in that room with a lady...i was heart broken ..since that day whenever am about to sleep with him i remember about that day
Tatizo moja bado ni kutoelewa kuwa tabiya ya wanaume inaendana natabiya wakila ndege sababu aliye pata mume njiwa ako nastarehe kuliko aliye pata mume mwewe tabiya inaendana nalivyo mazingira natabiya ya mwenyewe hata menyezi mungu asema kiungo chamwili kikiwa kita kupoteza amuwa kukikata ili uwe salama amuwa kulingana najaribu ulilo nalo
Men don't cheat, we are faithful as our options. The more financially secure we are, the more the women. A man that loves you will not show you, he will not father outside, bring you STDs and mistreat you. No man will be sexually stimulated and attracted to you as before as years pass by that is why even KINGS had concubines. He married you because he wanted a family with you and share his legacy through children
wanawake wengi hufanya comparison vile wenzao wanakuwa treated na mume zao, lakini wanasahau kuwa mikono havitoshani, hata umpende vipi hawazi kukuappreciate juu anakuwa na ego, hivyo issues zinawafuata ndoa hadi mume anaamua kutoka na mwanamke pia anantoka, ## kiswahili naisomea bado##
Asante jamani, mjadala mzuri sana, isipokuwa mnatetea Utamaduni asli ? ao Mila za mkopo ? ao Ungwana Ki Dini ? Sababu nimeona kwamba hamjaichukua ipi njia ambayo itawaelekeza kwenye lengo na mtaondoka hapo bila Solution .
Huyo mama bonge ni mpotoshaji anawapoteza wanawake, huwezi kufanya upumbavu kisa mumeo kafanya ujinga, wakumlilia mambo yakae sawa ni kumuelekea Muumba na si kufanya uzinzi, wafundisheni wawe jeuri muone familia itakuwaje mama nae atoboe chupi.
Tambua mwanamme aweza kujilinda nakinga lakini mwanamke awezi jilinda aweza vaa kinga mwisho akavua au chana, wakati huo mwanamke yuko hali mbaya akiri imeshapotea kwa mahaba, ivo wanawake acha kushindana na wanaume ushauri wakati maalum nimzuri usiache Mme kaja amechoka hata ujampokea unaanza kuvimba kama paka, namaneno yakutisha utamfanya akumbuke mchepuko, ushauri mfanye mme asahau mchepuko wa njee, wale siwatu wakuchuna hela2 hawana mapenzi ni wizi2
Som ili nimzuri Ila juwa kwamba wanawake wanatoka nje kulingana na: Kuwana tama za mwili zakupindukia Mme kupungukiwa nguvu zakiume Mme kutoka toka mda mrefu -
Ndoa ni mavumiliano. na si ushindaani kama unataka kudumu na nahakikisha kika mtu akitenda nafasi yk vizuri ipaswavyo bila kumlalia mwenzei namini itadumu.
Let fathers and mothers make a solemn promise to God, whom they profess to love and obey, that by His grace they will not disagree between themselves, but will in their own life and temper manifest the spirit that they wish their children to cherish. Parents should be careful not to allow the spirit of dissension to creep into the home; for this is one of Satan's agents to make his impression on the character. If parents will strive for unity in the home by inculcating the principles that governed the life of Christ, dissension will be driven out, and unity and love will abide there. Parents and children will partake of the gift of the Holy Spirit.
Huo ukweli kabisa huyo kaka mkubwa amesema. kutembea nje kwa wanaume mbali na nyumba zao ni kutokana na kasoro za wake katika mapenzi. kutokana na hili inakuwa muhali sana kustahimili ambako inafanya mwana ume kuwa na jicho la nje
Hapo sikubaliani nawe,kuna wanaume wengine iko kwenye damu au jinsi alivyolelewa kwao,Kama inheritance,juu mvulana ataona baba zake walioa wake watatu,sasa msururu unaendelea vivyo hivyo kwa Kua wako hivyo na iko kwenye damu hata aoe mke ametulia yuko vizuri tuu ila kuenda inje mume hiyo ni desturi yake tayari usisingizie wanawake,wanaume Kua na mke mmoja hiyo haiwezekani Hilo twalijua kabisa ni maumbile Yao.nituolewe tuu ila kusema eti mume ni wako peke yako huo ni uongo
Danes1988 Tatizo kubwa la wanaume wanaona kasoro za wanawake tuuu na hawataki kuambiwa kasoro zao. Hakuna aliekamilika kasoro zipo kwa mume na mke isipokuwa subra ndio inafanya ndoa iwe madhubuti. Na wanawake hutoka nje ya ndoa kwa sababu nyingi huenda mume anachepuka mpaka anamsahau mke kama anamuhitajia alafu wanasema wanawake hawajatulia this is crazy 😜. Uaminifu unamhusu mume na mke
Jefason Kingy Mrs kweli wengine wanatoka nje kwasababu wanapenda mikundu nawewe hupendi huo mchezo mbaya sasa mtu akijakukuoa hakwambii kuwa yeye anapenda hicho kitu anakuficha mpaka mkishaowana ndio anakutilia sasa ukimkatalia kufanya anakufanya wewe ndio sababu yeye kutoka nje kwasababu humuachi akafanya hicho kitu
Mke akichepuka sababu yakulipiza siyo haki anastahili amuweke mmewe karibu amuonye ampe maneno ya busara kuliko kuwa jeuri mwanamme mwenye akiri ataacha bila lazima
mumeongea ukweli lakini mkala kuna mahali umekosea.nani kakwambia mapenzi ni cheo ama masomo.?huyo maid anaweza kua hajasoma lakini ana heshima zake na elimu ya kumtuza mwanaume kuliko huyo mkeo mwenye ni msomi.
hicho kipindi nikizuri sana nakina nigusa mimi. kulingana na ubovu wa ndoa yangu. nitawaombeni mawasiliano ya moja kwa moja ili huyu mke wangu apewe ushahuri
Mbona mnakandamiza wanawake peke yake ikiwa wanaume ni waongo kazi yao wanapenda kwenda nje kisha wao ndio wanaoa wanawake watatu wanaume wacheni kutesa wake zenu jambo hilo sikubaliani nalo
Kwa hakika kaka unaongea hakika hapo sababu kabla hujasema unemuendea mkeo kinyume umeiendea nafsi yako kwanza ....sila lana hapo ni haki mume awe na wake zaidi ya mmoja
Kanze always amazed me with bi mswafari and mkalla,she always fight back
wow hongera sana bi musafari kazi zuri. ..
Mm niko na mme wangu,nampenda sana,lakini ako na ulimi wa sukari kwa wanawake,na sitaki kufwata huo mtindo,afadhali nimwombee mume wangu apate kubadilika
Fahamu dalili za tezi dume
1.Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku
2.mkojo kutoka kisiri siri
3.mkojo kutoka bila nguvu na kutokuruka mbali.
4.kokosa hamu ya tendo la ndoa na kuishiwa nguvu za kiume.
5.kupata ugumu na maumivu wakati wa kukojoa.
Tezi dume isipotibiwa mapema huleta madhara mbalimbali kama
🔸 Upungufu wa nguvu za kiume
🔸 Saratani ya tezi dume
🔸Figo kufeli
🔸Mawe kwenye figo
🔸Kifo
Kwa ushauri na tiba 0655523211
lulu asema mapenzi Hayaitaji degreee.... big up dears mnatufungua macho
0ottpo99f"t0ö9t"p
great show always , wish it was daily
Ahadi ya ndoa ni ngumu. Waaminifu ni wachache. Sababu ni nyingi. Ila mimi naona kama gari haitembsezwi vizuri. Lazima ipelekwe garage. Kwa wote wawili. Inaweza ikatokea kwa pande zote mbili.Mafunzo hayatolei kama zamani kabla ya ndoa. Umuhimu wa mafunzo ni jambo zuri sana. Ila sasa watu hawajali.
Tatizo wanaume wanatembea nje mpaka wanasahau kama kuna mke anamuhitajia na wakiambiwa wanakuja juu mpaka wanawake wanaamua watoke nje ni hawa wanaume ndio sababu kubwa ya mke kutoka nje ya ndoa
I liked the show, mapacha's keep it up,mkalla today you were on your on, walikuruka!!
Inauma sana bi msafar wkt mumeo atatembea na rafik yako mpaka wazae hata ukikaa miaka mingapi huwez sahau na kila ukifikiria wakosa iman na yule mume
bi safari ur killing me with lough watching fro saudi arabia
SINCE NIMEMFUMANIA MME WANGU BAHADA WEEK MOJA KUJIFUNGUWA NAKWENDA KULALA WITH ANOTHER LADY ..leaving me alone with the child and spend the night with that lady..but i knew exactly where he was and went there straight early in the morning and find hI'm really there in that room with a lady...i was heart broken ..since that day whenever am about to sleep with him i remember about that day
Leave him
Hard pain
Tatizo moja bado ni kutoelewa kuwa tabiya ya wanaume inaendana natabiya wakila ndege sababu aliye pata mume njiwa ako nastarehe kuliko aliye pata mume mwewe tabiya inaendana nalivyo mazingira natabiya ya mwenyewe hata menyezi mungu asema kiungo chamwili kikiwa kita kupoteza amuwa kukikata ili uwe salama amuwa kulingana najaribu ulilo nalo
Men don't cheat, we are faithful as our options. The more financially secure we are, the more the women.
A man that loves you will not show you, he will not father outside, bring you STDs and mistreat you.
No man will be sexually stimulated and attracted to you as before as years pass by that is why even KINGS had concubines.
He married you because he wanted a family with you and share his legacy through children
wanawake wengi hufanya comparison vile wenzao wanakuwa treated na mume zao, lakini wanasahau kuwa mikono havitoshani, hata umpende vipi hawazi kukuappreciate juu anakuwa na ego, hivyo issues zinawafuata ndoa hadi mume anaamua kutoka na mwanamke pia anantoka, ## kiswahili naisomea bado##
show iko juu
safi sana mkala unaongea vizuri sana
Asante jamani, mjadala mzuri sana, isipokuwa mnatetea Utamaduni asli ? ao Mila za mkopo ? ao Ungwana Ki Dini ? Sababu nimeona kwamba hamjaichukua ipi njia ambayo itawaelekeza kwenye lengo na mtaondoka hapo bila Solution .
Mkala na upanga you're right man!
Frm Tz hawa akina mama wanawapotosha wasichana, i feel sorry for them
Huyo mama bonge ni mpotoshaji anawapoteza wanawake, huwezi kufanya upumbavu kisa mumeo kafanya ujinga, wakumlilia mambo yakae sawa ni kumuelekea Muumba na si kufanya uzinzi, wafundisheni wawe jeuri muone familia itakuwaje mama nae atoboe chupi.
Anayetembea nje ni mwanamume na Mwanamke sasa tatizo ni nini?!! Bila shaka hawa wote watakuwa wanatoka ndoani hivyo hakuna cha Mwanamke au mwanamume
mkala your rocking the stage haha ati wanaume wanawazimu haha
Kuchepuka ni mtu yeye mwenyewe iwe Mwanamke au Mwanamme,,lkn mara nyingi ni tamaaa tuuu iwe ya Mali au matamanio ya kijinsia,,
hongera sana mwatu elimisha juu ya ndoa zetu
Ukweli umesemwa mke wangu alinipata na cousin yake tangu hiyo siku ndoa yetu Iko na shida sana.sisi wanaume ndio tuko na tabia mbaya kwa ndoa
pole na uendelee kujifunza
Umegonga ndipo
Jefason Kingy sister wanaume tuko na tamaa mbaya
+Kevin Mokua Ndio hiyo ya tamaa mko nayo tangu jadi ,Yani tangu Enzi za Adam na Hawa.
Kevin Mokua wewe ndio mwenye tabia mbaya
Asanteni sana Mkalla ,Bi mswafari, somo yangu kanze na lulu Hassan,mjadala hii ulikua mzuri sana.
Tambua mwanamme aweza kujilinda nakinga lakini mwanamke awezi jilinda aweza vaa kinga mwisho akavua au chana, wakati huo mwanamke yuko hali mbaya akiri imeshapotea kwa mahaba, ivo wanawake acha kushindana na wanaume ushauri wakati maalum nimzuri usiache Mme kaja amechoka hata ujampokea unaanza kuvimba kama paka, namaneno yakutisha utamfanya akumbuke mchepuko, ushauri mfanye mme asahau mchepuko wa njee, wale siwatu wakuchuna hela2 hawana mapenzi ni wizi2
mwanamke hatoki nje bila yasababu yamsingi yanatosha kwawanaume
kweli maman
Tamaa ya mvuvi....
Som ili nimzuri
Ila juwa kwamba wanawake wanatoka nje kulingana na:
Kuwana tama za mwili zakupindukia
Mme kupungukiwa nguvu zakiume
Mme kutoka toka mda mrefu
-
mada nzuri sana
Wake kwa waume wote wanatoka nje ya ndoa, kwa kutaka wenyewe na sababu zao.
mkalla zamani ukimwi haikuwepo mwanaume ataenda atarudi lakini sasa unangojea ukimwi afadhali utoke.
Ndoa ni mavumiliano. na si ushindaani kama unataka kudumu na nahakikisha kika mtu akitenda nafasi yk vizuri ipaswavyo bila kumlalia mwenzei namini itadumu.
Ama jina lake la fb plz
Pwaaaa mkala wee mkali,anaeza shikwa na mharo duh!Kali hiyo
true watu wengi wana senses Kali sana kama anafanyiwa ubaya anajua
Mimi uwa na hisi pia hivyo,it's dangerous
Wanaume wanakazi heri kumuombea abadilike ju hata ukisema utoke nje wanaume sawa tu utadhani walizaliwa na mama mmoja mmmmh
Mkala👏👏👏👏👏👊
Mke wangu kanipa pesa ili niende nikajisaidie kwa malaya, kwa madai kwamba: amechoka hawezi .
Hapa kiss kwa nani janani?
Bwana wangu alikuwa anaenda ije niliachana naye hajaamini mpaka saahuu nimemsamehea lakini waganda wanasema" yakutula cable! "
Hongera bi .msafwari wish hii show ingekua ndefu ama daily
Ni kwel kbs wanaume waache izo tabia wabadilike .
Yaan wa mama mko sawa hawa wanaume wanachosha tunavumilia vya kutosha mwisho unapata kishawish unaachwa miaka Saba tunavumilia tu bora kutoka
Hongera bi mswafir
Mpango wa kando ni nn
Ni mchepuko.
kosa lazinaa hta kwa dini alisamewi
Ukishinda na mwanamme utakuwa malaya
Hy naomba namba ya Bi msafiri
nikweli
Mwakila
W
Safy sana mkala
Let fathers and mothers make a solemn promise to God, whom they profess to love and obey, that by His grace they will not disagree between themselves, but will in their own life and temper manifest the spirit that they wish their children to cherish. Parents should be careful not to allow the spirit of dissension to creep into the home; for this is one of Satan's agents to make his impression on the character. If parents will strive for unity in the home by inculcating the principles that governed the life of Christ, dissension will be driven out, and unity and love will abide there. Parents and children will partake of the gift of the Holy Spirit.
Vinauma sana mkala
Biblia inafundisha, mwanamke akileta ukorofi Nyumbani basi nenda Inje wewe Mmewe. Mithali 21 : 9 Unafikiri kule anakoenda pana raha ? Qur'an/ Anisaa ; hufundisha, 1. Msiwabughudhi Wanawake na kuwaondoa majumbani zao. 2. Hakika wanawake wana Vituko vingi. ( Swali ) Mnatetewa ijapo Ukorofi na Vituko, mnadhani kule Inje wanakoambiwa waende kuhangaika ni sehemu ipi ? Kuna raha kubaki inje kiholela tu ? Akimkuta bibi Mary ao Hadijah na kumtunza laangukia nani kosa ?
ABDU NUR liar mithali21.1 says it’s better to live in a corner of a house top than in a house shared with a quarrelsome wife
divyo urilivyo wanaumume unawatetea wanaumue wenziyo
jamani suremani halikuwa hatamaa kama nn haliowa wanawake mia moja wa ndowa tuu walikuwa sabin masurilia sabin hakuna viumbe viye tamaa kama wanaume
Mtu akimpenda me au mke wake kweli na kunyenyekeana pamoja na kuheshimiana hawatandendana udhalimu wataheshimu ndoa zao
Huo ukweli kabisa huyo kaka mkubwa amesema. kutembea nje kwa wanaume mbali na nyumba zao ni kutokana na kasoro za wake katika mapenzi. kutokana na hili inakuwa muhali sana kustahimili ambako inafanya mwana ume kuwa na jicho la nje
Hapo sikubaliani nawe,kuna wanaume wengine iko kwenye damu au jinsi alivyolelewa kwao,Kama inheritance,juu mvulana ataona baba zake walioa wake watatu,sasa msururu unaendelea vivyo hivyo kwa Kua wako hivyo na iko kwenye damu hata aoe mke ametulia yuko vizuri tuu ila kuenda inje mume hiyo ni desturi yake tayari usisingizie wanawake,wanaume Kua na mke mmoja hiyo haiwezekani Hilo twalijua kabisa ni maumbile Yao.nituolewe tuu ila kusema eti mume ni wako peke yako huo ni uongo
Danes1988 Tatizo kubwa la wanaume wanaona kasoro za wanawake tuuu na hawataki kuambiwa kasoro zao. Hakuna aliekamilika kasoro zipo kwa mume na mke isipokuwa subra ndio inafanya ndoa iwe madhubuti. Na wanawake hutoka nje ya ndoa kwa sababu nyingi huenda mume anachepuka mpaka anamsahau mke kama anamuhitajia alafu wanasema wanawake hawajatulia this is crazy 😜. Uaminifu unamhusu mume na mke
Jefason Kingy Mrs kweli wengine wanatoka nje kwasababu wanapenda mikundu nawewe hupendi huo mchezo mbaya sasa mtu akijakukuoa hakwambii kuwa yeye anapenda hicho kitu anakuficha mpaka mkishaowana ndio anakutilia sasa ukimkatalia kufanya anakufanya wewe ndio sababu yeye kutoka nje kwasababu humuachi akafanya hicho kitu
Kama mkeo hawezi mfundishe ili mwende pamoja
wanaume hata ukiwabeba na maturubai watatafuta nyembe wachane,hawajaponakwa hilo.
km anachepuka achepuke t lkn huwez kushindana na mt kwa mng utaulizwa pk yako,ila akianza kuchepuka asikuguse na co vinginevyo
Mwanaume anawza oa mke zaid ya mmoja ila mwanamke haez olewa na mwanaume zaid ya mmoja ,hlo ifahamike
Samahani jamani.waislamu wameruhusiwa kuoa mpaka wanne . Wakristo pia wanaoa wanaoa wanne ?
uongo nina marafiki wengi wanaume wao wako waaminifu mimi nanjua wamatoka inje wala mabwana zao hawajui nawaonea huruma na viboys vidogo vidogo haha
Think again tena sana usidanganyike na upole wa mtu
Mke akichepuka sababu yakulipiza siyo haki anastahili amuweke mmewe karibu amuonye ampe maneno ya busara kuliko kuwa jeuri mwanamme mwenye akiri ataacha bila lazima
Mwakila na anko
Wanaume sio mwenzio baki na watoto wako tu.
Wajinga Sana naumia Sana basi tu.
mkala umesema kweli mm mume wangu akiwa ametenda jambo mbaya huwa nahisi tu nafsin
0p
Bado hawajaelewana hapo ,Nina ni hapo anakwenda nje, kama Ni Mume au Mke anaye toka ni nani amekosa.
Wapumbavu ni wanaume na wanawake wana hisia kama wake
Upuuzi huo, mume akinya barabarani nae atakunya barabarani? Huyo mwanamke atakuwa mpumbavu, malipizi hayana maana.
Pwaaaa mkala wee mkali
Wote wa wili hakuna anayeruhusiwa Bwana asitokonyuma ya ndawa na Bibi hivi asitoke
sawa kabisa kaka maana mchepuko ni maamuzi ya mtu mwenyewe hayahusiani na makosa ya mwingine ni sababu ya kutembea nje
haha kanze umeniwezeshea mkala Leo haha
14:00 Huyu anapita ni mule mule.
wana umeee,mbona mwajifanya mastar sana
Kirozo doh
Mkaka umebugi stepu.
mnazi mwenga..kaudzaza kadzama ...ukihalwa hurira...
Musumeno lazima ukate mbele na nyuma
mumeongea ukweli lakini mkala kuna mahali umekosea.nani kakwambia mapenzi ni cheo ama masomo.?huyo maid anaweza kua hajasoma lakini ana heshima zake na elimu ya kumtuza mwanaume kuliko huyo mkeo mwenye ni msomi.
Kweli kabisa
Katafute wa kwako.....
Mchepuko nitabia yamtu mkewangu hawezi kunifanyamimi nichepukw
😁😁😁 nimefurahia kweli
hicho kipindi nikizuri sana nakina nigusa mimi. kulingana na ubovu wa ndoa yangu. nitawaombeni mawasiliano ya moja kwa moja ili huyu mke wangu apewe ushahuri
Wanaume tulio wenge hatutosheki na mke mmoja
Kama hamutosheki owa basili ya kutoka inie ya ndoa aaah waume mumezidi mwafundisha wake zenu tabia mbaya
Uko sawa babaa mkala kabisa
Huyomwanamke kamanimalayapoa
Mkala wew uko mankin sana na wayajua hasa
Wewe mkala huna jipya wanaume nyie waonezi nawanawake wanaroho
bi safari na mkalla... Mafundisho mazuri
Mke wandani hanaeshimazake
Mdajadala Mzuri sana
Mbona mnakandamiza wanawake peke yake ikiwa wanaume ni waongo kazi yao wanapenda kwenda nje kisha wao ndio wanaoa wanawake watatu wanaume wacheni kutesa wake zenu jambo hilo sikubaliani nalo
Emma Kaneko ,ema ww unaakili sanaaaa
mkala hahaaaaaa
Kwa hakika kaka unaongea hakika hapo sababu kabla hujasema unemuendea mkeo kinyume umeiendea nafsi yako kwanza ....sila lana hapo ni haki mume awe na wake zaidi ya mmoja