Jinsi Mwanamke anatakiwa kuishi na Mume Wake

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
    100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Komentáře • 265

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o Před 6 lety +5

    u r right 👍🏾 ila na mwanamme ajielewe, ajuwe majukumu na kumsoma mkewe pamoja na haki zake vile vile...👌🏾

  • @fatmahusain3773
    @fatmahusain3773 Před 7 lety +21

    Asante Kaka nimejifunza mingi kupitia kwako ingawa nimecheka Sana na karibuni naingia ktk ndoa nitayafanyia kazi nilojifunza kwako

  • @rosemarybenjamin5866
    @rosemarybenjamin5866 Před 7 lety +5

    asanteee eee e!!!h,,dida naon apo naww unahuska kabisa ,,,duu nimpenda saan iii😍😍😍😂😂😂

  • @christinajulius2527
    @christinajulius2527 Před 4 lety +1

    Jaman radio iiih Tabora inapatikana ngap pwenti gan 🙏🙏🙏

  • @user-sk2xr7yv3h
    @user-sk2xr7yv3h Před 5 lety +1

    Kabisa Kaka Asante Kwa ushauli wako😍😍😍😍😍

  • @mutomubaya
    @mutomubaya Před 6 lety +8

    Tuwahurumieni dada zetu wanapoingia kwenye ndoa kwa kuwa ukweli ni kwamba wengi wao hawakusoma Dini vyema. Viongozi wa kijamii ni vyema waingilie jambo hili wawaongoze wanandoa kwa sababu wasipoelimishwa kwa kufuata mafundisho ya Mtume ndoa nyingi zitakuwa huvunjika hovyo hovyo. Mwanamke ajue kumuheshimu mumewe, na ajue umuhimu wa kuwa na Hayaa, na wajue kuongea na mumewe maneno mazuri na ajue kuandaa mambo, na aina za mavazi na kadhalika. Kwa hivyo badala ya wanaume kuwalaumu wanawake maskini wawe na uvumilivu hadi itafutwe njia ya kurekebisha mambo. Lawama zipo lakini heri tuwakumbushe viongozi wa kijamii kwamba wamepuuza jukumu lao la kuwaelimisha hasa vijana. Wengi wanapoteza wakati wao katika anasa kisha wanataka kuingia kwenye ndoa. Walikuwa wasome kwanza. Na wazazi pia waongee na ma imaam ili washirikiane katika kuwatyarisha vijana kwa ajili ya maisha mazuri ya sasa na ya baadaye.

  • @saharasheekh5073
    @saharasheekh5073 Před 6 lety +2

    Haaaa mume ataka malezi mume anataka tungo shoga yangu namwambi 😍😍😍😍

  • @jasminebaibe7355
    @jasminebaibe7355 Před 6 lety +6

    😂😂😂😂😂maneno kuntu kaka nimecheka balaa aki bt nimejifunza baadhi ya mambo kupitia kwako....inshaallah nitayafanyia kazi kwa mume wangu mtarajiwa.

  • @queencashmadam8340
    @queencashmadam8340 Před 7 lety +11

    Daa bora mlivo leta CZcams na wapenda xn

  • @neemamsaki1111
    @neemamsaki1111 Před rokem

    😀😂😂 somo limeniingia ila dokta u made my day😆🙌🏾

  • @tongamushi2052
    @tongamushi2052 Před 6 lety +1

    asante kaka...nashkuru nimejifunza sana😂😂😂😂

  • @user-ht7if3li8r
    @user-ht7if3li8r Před 9 měsíci +1

    Nampenda sana huyo kaka,anasema ukweli mtupu,

  • @mosimasaga6542
    @mosimasaga6542 Před 6 lety +7

    Nakupenda my brother miaka yangu yote na siku zangu zote zakuishi duniani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nakuelewa sana

  • @jumanneally7388
    @jumanneally7388 Před 6 lety +1

    safi sana uyasemayo yapo na yanafanyika wape daea hao

  • @pattitoshie410
    @pattitoshie410 Před 6 lety +1

    Safi sana! nimekukubali Kungwi.

  • @yaninashebe4307
    @yaninashebe4307 Před 4 lety +2

    Mmmnh,Dida hiyo sura ulivoichubua!!!

  • @hagighkf8604
    @hagighkf8604 Před 7 lety +1

    nakupenda sana kaka nikusikilize mawaidha yako hongere sana

  • @user-dx5lz6du4y
    @user-dx5lz6du4y Před 6 lety +2

    Mmhhh kazi ipo

  • @agnesslaizer9525
    @agnesslaizer9525 Před 3 lety

    Anko asante sana kwa ukungwi wako...tuchambe wanawake tumezidi ujinga ndoani

  • @rehemasaidi7712
    @rehemasaidi7712 Před 5 lety

    Yani daaaa unafuraisha nakukweri unatupatia asate kaka nakukubari sana

  • @binesiharuni2609
    @binesiharuni2609 Před 7 lety +1

    Ma sha Allah penda sana ww kaka na maneno yako

  • @estheronyoro1452
    @estheronyoro1452 Před 4 lety

    Mashaallah nakubali nimecheka sio kwa msuto

  • @aishanjama8971
    @aishanjama8971 Před 6 lety

    Swadakta mashaallah mola akuzidishie umri uzidi kutukumbusha

  • @davidkims7286
    @davidkims7286 Před 4 lety +1

    We kaka Mungu anakuona😂😂😂😂😂

  • @mercysammy5984
    @mercysammy5984 Před 5 lety

    Hahahahahahaha asante kaka umenifurahisha na kunifunza mengi asante sana Kaka natamani siku tukutane tuongee mengi zaidi

  • @OmanOman-zq1jx
    @OmanOman-zq1jx Před 6 lety

    Aasante kk nikirud Tanzania nitakutafuta shuhuli ya

  • @bahatimwandwani6789
    @bahatimwandwani6789 Před 5 lety +1

    bro nakukubari

  • @ashakhamis7851
    @ashakhamis7851 Před 6 lety

    Hahaha keshkutw naolew umenifunz kaka asant sn mung akubarik

  • @albertoarcangel5859
    @albertoarcangel5859 Před 5 lety

    Unafudisha vizuri,

  • @rehemaramadhani200
    @rehemaramadhani200 Před 7 lety +3

    mashallah nilikuwa nakutafuta sana kweli bora umekuja hukuu jamani rahaaaa maneno kuntuuuuu 👌👍

  • @sasherbaiby7277
    @sasherbaiby7277 Před 5 lety +1

    kaka umemeza frash

  • @anithaligambas3131
    @anithaligambas3131 Před 5 lety

    Jamani nimefurahi sana nahaya mafunzo ongera sana kaka

  • @y6y6hg77
    @y6y6hg77 Před 7 lety +3

    Jamani huyu kaka anafundisha

  • @fettykhalfan7337
    @fettykhalfan7337 Před 6 lety +3

    chambachambaaa wafahamishe wa so juwa maana mume ataka malezi siyo mambo ya kishenzi wambireeee..👌😂

  • @andreamzigua6818
    @andreamzigua6818 Před 6 lety +5

    kiukweli kaka umeongea ukweli naomba no yako

  • @nahdasaid1640
    @nahdasaid1640 Před 7 lety

    kaka nakukubali hapa umenikosha sn ahsant nimejifunza kwa kweli

  • @zuhurahamisi3225
    @zuhurahamisi3225 Před 7 lety +7

    jaman aliyo sem yte yana ukwl daaa natamani awe somo wang

    • @khadijaomar7529
      @khadijaomar7529 Před 6 lety

      Santa sana 🤣
      Mi naukupendea hapo tu Dida
      Mambo yako supa

  • @Joze-ko9he
    @Joze-ko9he Před 6 lety +1

    Nimekupenda kweli

  • @husnamcha3173
    @husnamcha3173 Před 7 lety +4

    Asante sana wewe kaka unakuta unafanya yote hayo na steel anachepuka jee unafanyaje?

  • @faniceokila9866
    @faniceokila9866 Před 6 lety

    Sukran kaka Sana kwa mafundisho yako

  • @veronicacosmas6796
    @veronicacosmas6796 Před 6 lety

    Unanifurahishaga dk... najifunza pia

  • @fatumahalifa6623
    @fatumahalifa6623 Před 6 lety

    unachekesha sn kaka angu,hongera kipind kixur

  • @christinelihavi7923
    @christinelihavi7923 Před 6 lety +3

    Na nyie wanaume mujifunze jinsi ya kuishi na wanawake....hata wanawake tunahitaji kubembelezwa

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996

    jamani huyu kaka ni nomaaaaaaaaa😂😂

  • @aixhajumaa6362
    @aixhajumaa6362 Před 5 lety

    da dida hiyo sura khaaa kama ungekua na maisha ya hali ya chini hungekimbiwa manake hungekosa hata hela ya losheni kupiga deki huwo huso

  • @Oman-ik1be
    @Oman-ik1be Před 4 lety

    Nimecheka sana eti kama sungusungu

  • @SmilingChocolateStrawber-by7sn

    Duuuh! Uyo mkeo mbona kazi anayo,

  • @jeffmauzo5483
    @jeffmauzo5483 Před 5 lety

    Nawapenda sana maneno kuntu

  • @FatmaFatma-kt1or
    @FatmaFatma-kt1or Před 5 lety +1

    😂😂nimecheka adi basi

  • @nfbdbxbxbdb2902
    @nfbdbxbxbdb2902 Před 4 lety +1

    santeee 😂😂😂😂 DK kumbukaa ww

  • @MariamMohamed-kg6js
    @MariamMohamed-kg6js Před 6 lety

    Fumbuka nakupenda bureeee teeenaaaa mwanamke jiko babuwe

  • @ayshahams7373
    @ayshahams7373 Před 6 lety

    Hahaaaa shukran kwa kutufunza

  • @bettybetty3518
    @bettybetty3518 Před 3 lety

    Heeee eti harufu tatu ya juzi, jana na ya leo mamaaaa!!!!😂🤣

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 5 měsíci

    Huyu nae anaeachika kila siku ana kelele

  • @faridamwinyi1218
    @faridamwinyi1218 Před 6 lety

    Mwanamke ana harufu tatu.juzi.jana leo.mmh we mwisho.nikuulize mkeo pia wamwongelesha hivo.haraka kama skuta

  • @OsmanAli-cu5gz
    @OsmanAli-cu5gz Před 6 lety

    Polepole basi babaweeee

  • @shakisasadick4141
    @shakisasadick4141 Před 7 lety +7

    Hahaaah jaman ntakufa na hizi raha

  • @saadaalmamary8397
    @saadaalmamary8397 Před 4 lety

    Na mueme Na yeye ajuwe jinsibyakulea mwanamke pia

  • @charleschesco1921
    @charleschesco1921 Před 6 lety

    Mh we dr ni nomaaaaa

  • @khadijashibani5233
    @khadijashibani5233 Před 5 lety +1

    Asante dk wa mahaba😂😂

  • @guillainbahati420
    @guillainbahati420 Před 4 lety

    Nakukubali kabisa

  • @halimasali.8081
    @halimasali.8081 Před 6 lety +1

    Limwana mume ni limwana mume tuu hataukalibeba tena litaenda likahangaike

  • @asmabintikiwasha13
    @asmabintikiwasha13 Před 6 lety

    nakupenda kaka mafundisho yako

  • @mbunahchannel2179
    @mbunahchannel2179 Před 7 lety +4

    hahaahahaha umetisha kaka ukweli umenena

  • @komanyaamin6732
    @komanyaamin6732 Před 5 lety +4

    Kaka Asante nikiolewa sinahaja ya kichen part maneno yako kuntu

  • @laymapeace4538
    @laymapeace4538 Před 5 lety

    uyo mkeo kazi anayo

  • @sakinashemahonge7692
    @sakinashemahonge7692 Před 6 lety

    Nice brother

  • @yaaishbaybe7477
    @yaaishbaybe7477 Před 6 lety

    jeee mbavu zanguuuu kwakwakwaaa msome mumeo

  • @lizzythomas8171
    @lizzythomas8171 Před 6 lety +2

    Nmecheka mwanzo mwishoo

  • @habiba0022
    @habiba0022 Před 7 lety +1

    niliwamic sanaaa

  • @mayelias4207
    @mayelias4207 Před 6 lety

    asantee kaka BG up

  • @hanifaamani3363
    @hanifaamani3363 Před 2 lety

    duh.

  • @hashimramadhani1394
    @hashimramadhani1394 Před 4 lety

    Dah asant

  • @jA-ox7vz
    @jA-ox7vz Před 5 lety +1

    Halaf kwani nyi waume mko peponi hapa, ati kila mkitakacho kutoka kwa mke mkipate?,,,subra hamna,,,mbona km ni hio sunna ya mtume mnaoa hawa wake wa 2,3mpka4, na bado hamtosheki 😏😏, mtu hanichokeshi kunipeleka nafsi mbio ati ubunifu,,,kwani ni biashara,,,exept ur spouse life goes on, akikushinda mwache uende kwa mwingine mpka ufike kwa atakae kutosheleza!!!!

  • @aminabakari2214
    @aminabakari2214 Před 6 lety +1

    ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @furahayamoyo9193
    @furahayamoyo9193 Před rokem

    Lini mutaanza kuongelea kuhusu wanaume na vipi anatakikanwa kuwa na mke wake?

  • @wycliffekavagi1930
    @wycliffekavagi1930 Před 7 lety +3

    asanta sana kaka.

  • @fettykhalfan7337
    @fettykhalfan7337 Před 6 lety +1

    hahaaaaaa weye wee atiii 😂😂😂

  • @hamidukampira9666
    @hamidukampira9666 Před 6 lety

    Kiukweli huyu kaka noma

  • @najathyrashidy57
    @najathyrashidy57 Před 6 lety

    duh ninaona mnanigusa mno jaman

  • @augustinealumera2925
    @augustinealumera2925 Před 5 lety

    sisemi kitu miye toka Nairobi kenya

  • @myqueen4397
    @myqueen4397 Před 6 lety +2

    😂😁😁sasa kama hajaacha hela utampikiya aje chakula kizri

  • @alexandrinadomaino9868

    Haaa haaa jaman khaaa aisee mwanzo mwisho nafurahi

  • @knwknw5069
    @knwknw5069 Před 6 lety +3

    yani unanibamba kweli

  • @jackysilayo3832
    @jackysilayo3832 Před 6 lety +24

    mwanaume ata umbebe vp,, kama kuchepuka atachepuka tuy

  • @rizikirasy9063
    @rizikirasy9063 Před 7 lety

    Naomba usaidizi

  • @fauziachingobi5040
    @fauziachingobi5040 Před 4 lety

    Kaka tuko pamoja,I sulute you,,😂😂😂😂

  • @mishisaidi8696
    @mishisaidi8696 Před 6 lety +8

    huyu kaka nampenda lakini anaongea harakaharaka kama amemeza CD mengine simuelewi

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 5 měsíci

    Anafanya harusi za kila siku kumbe kazi yake apate zawadi ni mtaji kwake ansolewa jumamosi anaachika jumapili

  • @devotajoeli7286
    @devotajoeli7286 Před 6 lety

    nimekuelewa kaka

  • @rahmanassor988
    @rahmanassor988 Před 6 lety +2

    Mawaidha yako mazuri but waongea sanaa punguza mwanamke ndo wakuengea hivyo but wewe yako Kali atakaekupata wewe afaa aweee kungwi

  • @hawaally8234
    @hawaally8234 Před 5 lety +2

    Dk kumbuka hao wanaume wenyewe hawana mda wakukaa chini nakuongea na mke yeye akija anajua kukugeuza nakufanya anachotaka kisha yuleee kasepa mda wanadai hawana

  • @MrMtebwa
    @MrMtebwa Před 7 lety +1

    😂😂😂😂😂😂 eti kama mabomu ya mbagala haha safi kaka nimeipenda hii

  • @zuusaidibushiri5556
    @zuusaidibushiri5556 Před 6 lety

    😃😃😃😃😃😃wasifu wa marehemu duu

  • @nancyjoy287
    @nancyjoy287 Před 6 lety +6

    Wanaume Ni wale wale tw hata uwape nini

  • @jescawilliam1979
    @jescawilliam1979 Před 6 lety

    hahahahaha askari jamii😹😹😹😹

  • @victoriachengula5630
    @victoriachengula5630 Před 5 lety

    du kweli ndugu

  • @hasiyakeniyausiachiebabu7634

    asante kungwi

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban8693 Před 7 lety +2

    Hahahahahahaha jaman mbavu sina

  • @yusufwewe8600
    @yusufwewe8600 Před 4 lety

    Vp jamani