Jinsi Mwanamke anatakiwa kuishi na Mume Wake
Vložit
- čas přidán 25. 08. 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
u r right 👍🏾 ila na mwanamme ajielewe, ajuwe majukumu na kumsoma mkewe pamoja na haki zake vile vile...👌🏾
Asante Kaka nimejifunza mingi kupitia kwako ingawa nimecheka Sana na karibuni naingia ktk ndoa nitayafanyia kazi nilojifunza kwako
Fatma Husain my dea all best
Damaris Kwamboka VP mzima ww
Hahaaa
Kila laheri dada
asanteee eee e!!!h,,dida naon apo naww unahuska kabisa ,,,duu nimpenda saan iii😍😍😍😂😂😂
Jaman radio iiih Tabora inapatikana ngap pwenti gan 🙏🙏🙏
Kabisa Kaka Asante Kwa ushauli wako😍😍😍😍😍
Tuwahurumieni dada zetu wanapoingia kwenye ndoa kwa kuwa ukweli ni kwamba wengi wao hawakusoma Dini vyema. Viongozi wa kijamii ni vyema waingilie jambo hili wawaongoze wanandoa kwa sababu wasipoelimishwa kwa kufuata mafundisho ya Mtume ndoa nyingi zitakuwa huvunjika hovyo hovyo. Mwanamke ajue kumuheshimu mumewe, na ajue umuhimu wa kuwa na Hayaa, na wajue kuongea na mumewe maneno mazuri na ajue kuandaa mambo, na aina za mavazi na kadhalika. Kwa hivyo badala ya wanaume kuwalaumu wanawake maskini wawe na uvumilivu hadi itafutwe njia ya kurekebisha mambo. Lawama zipo lakini heri tuwakumbushe viongozi wa kijamii kwamba wamepuuza jukumu lao la kuwaelimisha hasa vijana. Wengi wanapoteza wakati wao katika anasa kisha wanataka kuingia kwenye ndoa. Walikuwa wasome kwanza. Na wazazi pia waongee na ma imaam ili washirikiane katika kuwatyarisha vijana kwa ajili ya maisha mazuri ya sasa na ya baadaye.
Mashallah
Haaaa mume ataka malezi mume anataka tungo shoga yangu namwambi 😍😍😍😍
😂😂😂😂😂maneno kuntu kaka nimecheka balaa aki bt nimejifunza baadhi ya mambo kupitia kwako....inshaallah nitayafanyia kazi kwa mume wangu mtarajiwa.
Upo maa
Daa bora mlivo leta CZcams na wapenda xn
😀😂😂 somo limeniingia ila dokta u made my day😆🙌🏾
asante kaka...nashkuru nimejifunza sana😂😂😂😂
Nampenda sana huyo kaka,anasema ukweli mtupu,
Nakupenda my brother miaka yangu yote na siku zangu zote zakuishi duniani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nakuelewa sana
safi sana uyasemayo yapo na yanafanyika wape daea hao
Safi sana! nimekukubali Kungwi.
Mmmnh,Dida hiyo sura ulivoichubua!!!
nakupenda sana kaka nikusikilize mawaidha yako hongere sana
Mmhhh kazi ipo
Anko asante sana kwa ukungwi wako...tuchambe wanawake tumezidi ujinga ndoani
Yani daaaa unafuraisha nakukweri unatupatia asate kaka nakukubari sana
Ma sha Allah penda sana ww kaka na maneno yako
Mashaallah nakubali nimecheka sio kwa msuto
Swadakta mashaallah mola akuzidishie umri uzidi kutukumbusha
We kaka Mungu anakuona😂😂😂😂😂
Hahahahahahaha asante kaka umenifurahisha na kunifunza mengi asante sana Kaka natamani siku tukutane tuongee mengi zaidi
Aasante kk nikirud Tanzania nitakutafuta shuhuli ya
bro nakukubari
Hahaha keshkutw naolew umenifunz kaka asant sn mung akubarik
Unafudisha vizuri,
mashallah nilikuwa nakutafuta sana kweli bora umekuja hukuu jamani rahaaaa maneno kuntuuuuu 👌👍
kaka umemeza frash
Jamani nimefurahi sana nahaya mafunzo ongera sana kaka
Jamani huyu kaka anafundisha
chambachambaaa wafahamishe wa so juwa maana mume ataka malezi siyo mambo ya kishenzi wambireeee..👌😂
kiukweli kaka umeongea ukweli naomba no yako
kaka nakukubali hapa umenikosha sn ahsant nimejifunza kwa kweli
jaman aliyo sem yte yana ukwl daaa natamani awe somo wang
Santa sana 🤣
Mi naukupendea hapo tu Dida
Mambo yako supa
Nimekupenda kweli
Asante sana wewe kaka unakuta unafanya yote hayo na steel anachepuka jee unafanyaje?
Sukran kaka Sana kwa mafundisho yako
Unanifurahishaga dk... najifunza pia
unachekesha sn kaka angu,hongera kipind kixur
Na nyie wanaume mujifunze jinsi ya kuishi na wanawake....hata wanawake tunahitaji kubembelezwa
jamani huyu kaka ni nomaaaaaaaaa😂😂
da dida hiyo sura khaaa kama ungekua na maisha ya hali ya chini hungekimbiwa manake hungekosa hata hela ya losheni kupiga deki huwo huso
Nimecheka sana eti kama sungusungu
Duuuh! Uyo mkeo mbona kazi anayo,
Nawapenda sana maneno kuntu
😂😂nimecheka adi basi
santeee 😂😂😂😂 DK kumbukaa ww
Fumbuka nakupenda bureeee teeenaaaa mwanamke jiko babuwe
Hahaaaa shukran kwa kutufunza
Heeee eti harufu tatu ya juzi, jana na ya leo mamaaaa!!!!😂🤣
Huyu nae anaeachika kila siku ana kelele
Mwanamke ana harufu tatu.juzi.jana leo.mmh we mwisho.nikuulize mkeo pia wamwongelesha hivo.haraka kama skuta
Polepole basi babaweeee
Hahaaah jaman ntakufa na hizi raha
Na mueme Na yeye ajuwe jinsibyakulea mwanamke pia
Mh we dr ni nomaaaaa
Asante dk wa mahaba😂😂
Nakukubali kabisa
Limwana mume ni limwana mume tuu hataukalibeba tena litaenda likahangaike
nakupenda kaka mafundisho yako
hahaahahaha umetisha kaka ukweli umenena
Dida. Punguza cream
Kaka Asante nikiolewa sinahaja ya kichen part maneno yako kuntu
uyo mkeo kazi anayo
Nice brother
jeee mbavu zanguuuu kwakwakwaaa msome mumeo
Nmecheka mwanzo mwishoo
niliwamic sanaaa
asantee kaka BG up
duh.
Dah asant
Halaf kwani nyi waume mko peponi hapa, ati kila mkitakacho kutoka kwa mke mkipate?,,,subra hamna,,,mbona km ni hio sunna ya mtume mnaoa hawa wake wa 2,3mpka4, na bado hamtosheki 😏😏, mtu hanichokeshi kunipeleka nafsi mbio ati ubunifu,,,kwani ni biashara,,,exept ur spouse life goes on, akikushinda mwache uende kwa mwingine mpka ufike kwa atakae kutosheleza!!!!
ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Lini mutaanza kuongelea kuhusu wanaume na vipi anatakikanwa kuwa na mke wake?
asanta sana kaka.
Asante sana kwa ujumbe mzuri
hahaaaaaa weye wee atiii 😂😂😂
Kiukweli huyu kaka noma
duh ninaona mnanigusa mno jaman
sisemi kitu miye toka Nairobi kenya
😂😁😁sasa kama hajaacha hela utampikiya aje chakula kizri
Haaa haaa jaman khaaa aisee mwanzo mwisho nafurahi
yani unanibamba kweli
mwanaume ata umbebe vp,, kama kuchepuka atachepuka tuy
Haswaaaaaaa hata ulipende vp nje litakwenda tyuu
Juliana Edward duh
Na ww chepuka, kwani umefungwa.??
Sana tuh
Naomba usaidizi
Kaka tuko pamoja,I sulute you,,😂😂😂😂
huyu kaka nampenda lakini anaongea harakaharaka kama amemeza CD mengine simuelewi
kak nimempend. misemo yake2
HYu kaka ana maneno kwel ila tutajifunza kwny ndoa zetu na mungu akuzidshi maish marefu
🤣🤣🤣😃😃
.
Anafanya harusi za kila siku kumbe kazi yake apate zawadi ni mtaji kwake ansolewa jumamosi anaachika jumapili
nimekuelewa kaka
Mawaidha yako mazuri but waongea sanaa punguza mwanamke ndo wakuengea hivyo but wewe yako Kali atakaekupata wewe afaa aweee kungwi
Dk kumbuka hao wanaume wenyewe hawana mda wakukaa chini nakuongea na mke yeye akija anajua kukugeuza nakufanya anachotaka kisha yuleee kasepa mda wanadai hawana
😂😂😂😂😂😂 eti kama mabomu ya mbagala haha safi kaka nimeipenda hii
Mmmh kweli kaka umeongea!
safi
mtebwa acrobats hahah
😃😃😃😃😃😃wasifu wa marehemu duu
Wanaume Ni wale wale tw hata uwape nini
uko juu mkaka
Ndo kwanza linasepa vizuri hawafadhiliki
hahahahaha askari jamii😹😹😹😹
du kweli ndugu
asante kungwi
Hahahahahahaha jaman mbavu sina
Vp jamani