UBISHANI MILLARD NA FRIDA: KUOMBA RUHUSA KWA MPENZI WAKO NI SAWA? KAMA MAJIZO NA LULU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 05. 2024

Komentáře • 38

  • @user-wh7gj9ug9s
    @user-wh7gj9ug9s Před měsícem +2

    Nimewapenda hamna presha na maongezi

  • @NANCYWARD488
    @NANCYWARD488 Před měsícem +2

    Mke bora.
    Anapenda Mume na watoto pia.
    Lakini
    Hapiki kwa wakati.
    Watoto nguo za shule hazina usafi wa kutosha.
    Nyumba hata pazia hazina mpangilio.
    Vyombo usiku vinalala vichafu.
    Huyo sio Mama bora.
    Anampenda Mumewe
    Ana msikiliz Mumewe
    Hana hekaheka za Mtaani.
    Ham cheat Mumewe

  • @andreatutu6179
    @andreatutu6179 Před měsícem +1

    Converstion yenu ni nzuri na ya kibabe, i love it

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 Před měsícem +1

    Frida ww unaendaga kutafuta kwajil ya familia unaweza

  • @bina2557
    @bina2557 Před měsícem +1

    Mimi natoa taarifa pia😂😂😂

  • @user-sg6ez3cf1f
    @user-sg6ez3cf1f Před měsícem +4

    Millard unaonaje kuanzisha Moja segment inayohusiana na kuonyesha fursa mbalimbali za Ajira kwa vijana kupitia taasisi au makampuni au sehemu mbalimbali kuzitembelea kwa kuzionyesha kupitia kamera zenu

    • @user-sg6ez3cf1f
      @user-sg6ez3cf1f Před měsícem

      Asante!

    • @bina2557
      @bina2557 Před měsícem +1

      Mnatafuta ajira hapahapa TZ ama wapi😂😂

    • @user-sg6ez3cf1f
      @user-sg6ez3cf1f Před měsícem

      Hata ingewezekana nje ya hapa MR MIllard

    • @bina2557
      @bina2557 Před měsícem

      @@user-sg6ez3cf1f saivi uhaba wa ajira ni mkubwa sana kazi ndio zipo ila ajira amna

    • @EvaJuakaliTV
      @EvaJuakaliTV Před měsícem

      Wazo zuri @millardayo njoo uone

  • @lovesallu5292
    @lovesallu5292 Před měsícem

    Ujue ruhusa Unaeza kataliwa🤣😁inshort natoa taarifaa

  • @goodluckabdul7316
    @goodluckabdul7316 Před měsícem

    Nakukubali sana Frida

  • @gloryprotas1043
    @gloryprotas1043 Před měsícem

    Mm nilienda zanzbar hata nyumban sikusema nilisema baada ya miez miwili tena nikasema mm sahv sipo tena tanga nimepata connection kwamwalim wangu wa chuo tna nilituma mesej fullstop😅😅😅😅

  • @MosessMaganga
    @MosessMaganga Před měsícem +1

    Yani vido mumebora ni mtu Ambae anakupenda ww saana kila ukitakacho unapata ila tuu ukisha Kua na ujauzito uliofikisha miezi Saba anakua mvivu kwakoTena ukijifungua tuu ndio anakuja nyumban kwa mwez maramoja ukweli apo anasua sua kwa majukum uzazi ndipo seem ya matumizi mengi ya pesa,

  • @user-sv2uj8ty9p
    @user-sv2uj8ty9p Před měsícem +1

    True

  • @joshemman520
    @joshemman520 Před měsícem

    kuna tofauti ya matunzo na malezi....mfano kumpa mtoto shule bora, chalula na hata mavazi hamaanishi ndio malezi bora hapo ndio utapata mume bora ambaye sio baba bora

  • @user-tf5mm2fn3p
    @user-tf5mm2fn3p Před měsícem

    Mpenzi ,wazazi. Kote huombi ruhusa. Adabu 0

  • @dianamlagwa9383
    @dianamlagwa9383 Před měsícem

    Frida 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽

  • @hellenmroso6786
    @hellenmroso6786 Před měsícem

    Eti mke bora awapende mawifi😂😂😂

  • @spency2371
    @spency2371 Před měsícem

    Na mm ni fridah kabisaa niko zangu kitaa napambana

  • @user-qy5qw1jv4s
    @user-qy5qw1jv4s Před měsícem +4

    Mimi naomba niongee kitu hapo kwenye swala ya kutafuta, mimi naishi marekani ambako wanaaminisha wanawake kua mwanamk na mwanaum ni sawa yaani 50/50 lakini likija swala la majukumu kisheria bado wanakuambia mali za baba niza wote lakini za mama ni zake hapo ndo utajua ni jukumu letu kutafuta so ukweli usiopingika ni kwamba ni jukumu la mwanaum kutafuta na sio la mwanamk, so kwa mwanaum yoyte anayejitambua ni lazima atimize jukumu lake la kutafuta na mama ni sehemu tu ya kuchangia kwa kile anacholeta baba.

  • @pascalmgassa8441
    @pascalmgassa8441 Před měsícem

    Huyu dada Jeuri hafai kuwa mke Ana kiburi

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 Před měsícem

    Yaani Frida unanichekesha😂😂 yu r such a genius kudadavua staffs

  • @user-nc4ko3qz7t
    @user-nc4ko3qz7t Před měsícem

    Rrida kanicheksh mwisha wa hii video yani kajitetea hawez leo watot wa shigaak❤😂😂😂😂😂😂hawez iy

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 Před měsícem

    Frida mjinga Sana 😂😂😂
    Ati mume anazaalisha njee ale mtt apate kuambia c mke Bura nimeipenda Sana
    AKA BACHUCHU MOMBASA 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @joesimba
    @joesimba Před měsícem

    7:27 "mhhh na ni very ok" 😅

  • @aggreyyonna5925
    @aggreyyonna5925 Před měsícem

    Unavyo cheka kama ngumu😂😂😂😂

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 Před měsícem +2

    Ila nyieeh😀😀😀😀😀

  • @user-nc4ko3qz7t
    @user-nc4ko3qz7t Před měsícem

    Ruhusu kwamzaz sio mpenz mpenz mpenz apew taarifa2 ili ikiktokea lolot ajue nilisem

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Před měsícem

    Mi nilikuwa nimekaa muda mrefu single kwa miaka 4 nilipamua kuwa kwenye mahusiao jamaa akawa anataka nimuage hata km natoka nje ya nyumban yani hata km naenda beach 😂😂😂😂sasa bac mi hizo sijazoea kbs nimezoe nakurupuka km chafya huyoooo sasa akawaakinipigia namwambia sipo nyumban nipo kwa bro wangu nimelala huku😂😂😂😂anasema sinilikuwa uwe unaniambia km unatoka nilichomwambia we zoea tu na mie nitajitahidi nizoee kuupa taarifa km natoka

  • @CarinEmil
    @CarinEmil Před měsícem

    Ka frida kana macho ya wizi aka

  • @user-wh7gj9ug9s
    @user-wh7gj9ug9s Před měsícem

    Kuishi ni kunyenyekeana