FRIDA ASIMULIA KUACHWA NA NDEGE MAREKANI, MILLARD ASIMULIA HOTEL ZA NEWYORK, MONI KUACHA MUZIKI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 01. 2024

Komentáře • 33

  • @bettykessy3728
    @bettykessy3728 Před 5 měsíci +2

    Natamani sana kufanya kazi na nyie....
    Millard si hata unione huku na mimi❤

  • @user-fk7rt6rz4i
    @user-fk7rt6rz4i Před 5 měsíci +10

    Ila mimi nalipa $1500 kwa mweli ila huku kazi ni nyingi saaana kuliko bongo acheni kuwakatisha tamaa vijana , kwa sasa naweza kujenga nyumba nyingi hapo Tanzania, huku unafanya kazi unalipwa kila saa inayoenda kwa Mungu, fanyeni connection na watu wanaoishi huku hutoumia

    • @kdloon2030
      @kdloon2030 Před 5 měsíci

      Malimbukeni utawajua tuu.Acha ushamba

    • @EvanRand
      @EvanRand Před 5 měsíci

      Vp kaka

    • @user-fk7rt6rz4i
      @user-fk7rt6rz4i Před 5 měsíci

      @@EvanRand poa ndugu yangu

    • @user-fk7rt6rz4i
      @user-fk7rt6rz4i Před 5 měsíci

      @@kdloon2030 huna chakula nyie ndo wale mnaotukana watu mtandaoni wakati huwafikii hata theluthi ya maisha Yao , kuwa mpole siku zote mtu hufanikiwa palipo watu , acha makasiriko ishi vizuri na watu utaona matunda yake, ndio niliondoka hapo airport kama mshamba ila kila nikirudi napokelewa kama mfalme majumba ninayo na magari pia 🙏🙏🙏

    • @user-fk7rt6rz4i
      @user-fk7rt6rz4i Před 5 měsíci

      @@kdloon2030 ukiacha makasiriko, na wivu utakuwa mtu wa maendeleo maana hivyo ni vyanzo vya mtu kuwa mchawi pia , fanya kazi, ishi vizuri na watu, maana mafanikio ya mtu yanatoka kwa watu , naamini utakuwa umenielewa sitaki matusi ila kama nimesema vibaya nisamehe pia 🙏🙏🙏

  • @marawatv5871
    @marawatv5871 Před 5 měsíci +1

    Ilaaa Frida your so beautiful mommy

  • @murtanseif3539
    @murtanseif3539 Před 5 měsíci +2

    Bora mumelisema hili watu wengi hawajui wanadhani ukiishi nchi za nje ni rahisi sana kodi ya nyumba ya mwezi mmoja tu tena nyumba ya kawaida ni sawa na kodi ya nyumba ya tz ya mwaka ama miezi 6

  • @husseinhussein9971
    @husseinhussein9971 Před 5 měsíci +6

    Sema Frida mzuri sana.

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 Před 5 měsíci

    I like hiyo background ya migos bad bouch

  • @timothnakiz-zb4rz
    @timothnakiz-zb4rz Před 5 měsíci

    Woooooooow beautiful frida

  • @alikhamis4550
    @alikhamis4550 Před 5 měsíci

    Kwa mwanya wa Frida Amani Mimi naweza kuipia mahari hata kama milioni10. Nakupenda sana Frida

  • @IbrahimCharles-sc9vq
    @IbrahimCharles-sc9vq Před 5 měsíci +1

    Wa kwanza leo naombeni like za kutosha

  • @mustafajaku9772
    @mustafajaku9772 Před 5 měsíci

    Hey Milard umeongelea kitu khs NMB kuwa huna haja ya kuchange pesa ukiwa nje mm nipo nje napata tabu Sana kwenye makato

  • @MashakaEmanuel-eo8vg
    @MashakaEmanuel-eo8vg Před 5 měsíci

    Kwan Frida na Milad ni ndugu maan wnafanan sana

  • @deusntobi6682
    @deusntobi6682 Před 5 měsíci

    Kenya wanashida hiyo upigaji kwenye kubadilisha pesa. Ila kuna maduka ya wasomali hayo uhakika

  • @funnyboy369
    @funnyboy369 Před 5 měsíci

    Jaman nataman pia frida awe mmoja wa watangazaji wenu yuko pw Haboi kiukwel na anavocal baraaa...

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před 5 měsíci +1

    Mbwembwe nyingiii sasa tufanyaje sasa

  • @djtomtz5025
    @djtomtz5025 Před 5 měsíci +1

    dodoma tupo

  • @freakboy1804
    @freakboy1804 Před 5 měsíci

    Kadada kazur sanaa

  • @Eliabennet
    @Eliabennet Před 5 měsíci

    Angepanda Train Wala asingepata shida😂

  • @MashakaEmanuel-eo8vg
    @MashakaEmanuel-eo8vg Před 5 měsíci

    Kwan Frida na Milad ni ndugu maan wnafanan sana