Maua Sama: Alikiba ni Mwanaume Mzuri Anavutia | Nipo Tayari kwa Lolote
Vložit
- čas přidán 5. 03. 2024
- " @officialalikiba ni mwanaume mzuri anavutia pia ni kaka yangu hivyo sikuona shida kurekodi video ya wimbo wangu wa #Zamani huku nikicheza naye kwanza nipo single na yeye yupo single" @mauasama
- Sport
Dah maisha haya demu anamtaka Ali kiba kilazima
Mwijaku hilo pala lang'aa
Ukweli nayo ni kua Alikiba anavutia kw wote. Kwanza hananga pupa mingi 🎉❤
❤❤❤❤❤❤❤
🔥🔥🔥🔥
Mauwa anampenda alikiba hawezi ficha hisia zake tena
Suala la Nyumba Maua limekujaje kwenye hii mada😆
❤ kila mutu iko huru kama anapenda alikiba iyo ni isiya yake siyo kumulaumu
😂😂😂 eti kaka ndo umkalie vile kwenye mapaja alafu yeye alikiba uso wake anakugusa kwenye ziwa lako maua wewe jiangalie sisi watu wazima tumeona vzr ile video eti kaka we
mmmhh sasa wew maua sama mbona ali kibaa sasa mzuri kuliko wew itawaje?
ww bwege c tumempenda shemej le2
New hit loading
Dunia tyuu wacheni wenzenu msiwajadili kwani maisha yanaenda kwa bahati
😂😂😂maua me napenda ivyo
Njoo kwngu mm
❤❤❤
Mhhhh maua sama kiba huyo n mtu wako na mpo kweny mahusiano
Tafadhali naomba munitafutie number ya maua sama
Huyu dem mbaya bhna hata bure me ctaki
Amesemaa ukwerii wakee jmn mwijaku nn lakini
mauwa nichek DM
😂😂😂
Dooh
😆🤣
Tatizo huna uzuri wowote Kabisa
Wew ndo mwenye uzur
Koma wew😏
MAUA SAMA mwenzio nipo tayar kuuza FIGO ili niwe nawe.I LOVE YOU ❤
😂😂😂😂😂😂
Washaingia kwnye mahusiano hakuna haja ya kuanza kuzunguka hapa