MUME wa DIVA Afunguka MAZITO "Simtaki Tena/NIMETUKANWA SANA/KUDHALILISHWA
Vložit
- čas přidán 13. 03. 2024
- Kwa mara ya Kwanza Mume wa DIVA amefunguka mazito aliyoyapitia kwenye Ndoa yake. Shekh Abdulrazak amesema kuwa sasa imetosha na hataki tena maana ametukanwa, kudhalilishwa na DIVA
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Diva #MumewaDiva - Zábava
Huyu alikuwa kuna kitu anataka kwa diva limwanaume la kuramba ramba midomo c mume 🥱kwanza ni kweli unadharaulika sanaaa na umalaya wako na wanawake cc cjui tukoje
Kweli kabisa
Anamtingisha na diva anavyolazimisha hii ndoa yatamkuta makubwa
Hivi ujiulizi nani alimtaka mwenzie au, Diva ndy aliyemtaka huyu angekuwa huyu ndy kamtaka Diva basi Diva angeolewa kwa mahari aliyoitaka lkn kwakuwa yy ndy aliyeitaka ndoa fasta na ndy kaolewa kirahisi tu Diva sifa zinamponza mno maana hakuna alichokosa kuambiwa kuhusu mganga ila alimkingia kifua sasa acha yamkute si ajui kubalance shobo
Tapeli
😂😂😂midomo nimechek
Ila tujifunze kuyaweka mambo yetu private Kwa kweli ..🇰🇪🇰🇪
Kweli kabisa mimi mwenyewe ni mwanamke ila diva kazidi kaingia mpaka kwa wazazi kama kweli mungu awasaidie wote mpate watu sahihi
Diva kazid hatakama mwanaume nimalaya ila anmdhalilisha sana huyu kaka mambo yandani kuyatowa nje mwanamke kafundwa kweli
Sana mwanaume kama umemchoka Kwa umaraya usije Instagram kutangaza kutoa Siri za ndani mpaka wakwe unawaingiza yule mke wa manara haji rubyna mbona aliachana na haji manara kimnya kimnya bila maneno Wala skendo umemchoka mtu basi sasa nani Leo atamuowa diva hatolewa mwanaume ataofia atatowa Siri za ndani mwanaume ajuwi kutomba sema huyu anamboro kubwa na anatomba hatari@@zainabufeka87
Umeachwa kwa tabia zako mbovu
People are judging this guy but kwenye ndoa mke na mume kila mtu ana kuwaga na mabaya yake na mazuri yake y’all don’t know why they tired of each other 😊
Kabisa dadangu , kwanza huyu kaka amevumilia Sana kwa hio misifa ya huyo bibi kizee na roporopo za mitandao Kila siku, hata iweje hakuna mwanaume anaeweza kuvumilia hayo mambo anayofanya mwanamke wako
kuishi na Diva ni kazi
Umuendani na diva tafuta mtoto wakiislam aliejistir upate amani
Yeye mwenyewe anafuatilia maadili ya kiislam au maneno mengi tu mdomo mwanaume kama mwanamke kwa kuongea.
Dogo aliona kumwagwa n mwanamke haijawahi kutokea aliumia sana ile siku diva alivyotangaza amtaki akajishsha diva akrd saiv kamuacha yey😅kaja mbio kutangaza yeye😂😂😂 et amtak diva nyie mapenz haya 😂😂😂
Yaan wew utakumbuka kitonga kwa diva alikupenda sana ukamuona fala sasa huamini kama kakuacha .
Bibi huyo , huyu ni mdogo Hana hata wasiwasi aumbuke kwani diva ndo alimzaa na kumkuza mpaka hapo alipo mfyuuuu 😊😊
Diva alikua anatumia fame yake kwenye maisha private..Kila kitu chake alikiweka Kwa mtandao,hio ndio shida...haimaanishi Ndoa za wengine hazina shida ila ni Kwamba wameweka private...Hana jeuri ya kumuacha huyu kaka,sema tu huyu kaka amemchoka na yeye...
Huyu kaka wa mjini ajifanya akili kweli diva uamuwe hatari utaingi choo kiumbe utapeli kweli ajifanya wema kumbe bongo movie kabisa
Diamond Platnumz anarogwa hadi State House... Harmonize kumuchezea kaa Doli mbele ya Samia 😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mwangu Kama umeachana.nayule mwanamke mshukuru MUNGU. Oamke bora
Kama ni kwelo bora muachane tu
SHEKHE Ana saut nzuri😂😂😂😂 hapo wanawake wamejpanga kumuwinda kumbe... Yy mwenyewe KAWAJAZAAA. WANAWAKE SISI
Ndoa za kwenye mitandao apana kweli 😢
Ama kweli tabia ya mtu haipo kwenye uso
Huyu si alitufunza ku ramba nanasi vipi tena
Unapenda mtandao ukuze jina
Vua pete yake.wewe hata kwenye kuongea tu unaonekana hujatulia kabisa.leave our diva alone.
Ila kiukweli ni viema ivi mmeachana ,hakuna ndoa za mitandaoni , tafuta mke muenye kujistir
Ndoa dei😂
Laiti hayo unayoyaongea ndiyo ungekuwa unayaishi ungekuwa bonge la mme.Ila wewe ni mchafuzi mkubwa wa wanawake
Tujifunze tu kuwa mambo yako ya private si yakuyaanika anika humu. Aisee hawa watu hawana busara kabisa .pe,pe,pe nyinqi pyuuuuii
Ndoa inachangamoto sana ila diva c mtu sahihi kwake
Tumekuchoka ww mganga 😂😂😂 tuavhie diva wetu
😂😂😂😂😂😂😂😂keshakivuta mbk kimerefuka leo hamtak Tena!!!!!shikamoo ndoa😂😂😂😂
Kakivuta kinini hicho my 😂😂😂❤❤❤
Ndoa ina mengi kweli
Hv ww mtangazaji wamjua shekhe kweli ww ? Huyu ni shekhe ? Ebu acha kuchafua jina la watu bhn
Haswa shekhe Gani mhuni tu
Mganga huyo😂😂😂😂
Huyu sio shekhe huyu nimganga
😂😂😂 Mganga wa DIVA
Kwenda huko ulifuata kiki kwa Diva 😂😂😂
Huyu kenge acha tu atukanue pia nikicheche wakuchezea wanawake n kulelewa kibenteni asiye kua haya janadume ovyo mrudie mkeo w kwnza upate amani 😏au uzidi kudalilishua
Kiukweli kbsa muhun kapanick,ss wanaume tupo hivi kuna mwanamke flan unakuwa humuelew sana ila anakupa uhakika flan wa maisha,kwa mfano ukipata ttzo la kifedha unajua kbs yupo wa kumkimbilia fasta na atasolve kwa sbb unajua anakuelewa,ss siku akichoka na kusepa huwa tunachngnyikiwa sio kwa sbb unampenda sana au ni mzur sana but je utampata nani ambae atakuwa ng'ombe wako wa kumswaga unavytk, inawezkana ukawa na pisi kaliiii lkn zisiwe km yule flan
Ukweli kabisa ulichoongea 👏🥰😁
Nakubaliana na wewe
Oooooh. Asante kwa somo
Umeongea ukweli kabisa
Kumekucha
Mbona Bado una pete ya ndoa
Umetukanwa kwakuwa hujitambui hujitambui
Mlikutana akili 😅😅
Jamaa anaongea fact ukiachilia mambo nayule mjinga
Bado hujatukanwa muongo weweunamtumia Mungu kwa unafiki wako. Jitu zima halina akili uongo ni kama chakula kwako. Diva alirogwa kukubali wewe.
Sasa tumwelewe Nan au Nan mwema Nan mbaya
😂😂😂😂😂usilolijua litakusumbua ko tuyaache
Siumeola tena diva hataki tena tapeli
Diva mwenyewe tapeli
Mtu anasura nyingi hata hajulikani
hivi sas hivi wabongo tumekuwa waarabu wote nimebaki mimi tu kila mtu sas hivi ni mweupe kaa warabu 😃
So what!?
Angalia vifpundo vya miguu vyeusi tiiii
Huyu ana asiri ya weupe jmn
Huyu ni mweupe , penye ukweli tumtetee babake shombe wa Mombasa tunaijua familia yake hapa Arusha ..
Mweupe hyu ameshawahi kukaa znz snaaa miaka pale ni mweupe hasa.
Mara sitaki kuongea mara unaongea mmh tuamini kipi?
A big liar😢😢
Mm n mwanamke lkn diva cyo mke kbsa anautoto mwingi pia luxury nying
😅😅😅😅😅😅😅umemchezeaaa leo umtakiii shikamooo ndoa
Mwana mke mwenyewe chenga bwana
Ww abduli siulisema juzi tu kwamba mwanamke anatakiwa mshindilio mzr ss mbn ww tena unakimbia mwnyw
😂😂 Diva anakichaa Cha ndoa anatakiwa atolewe na kichaa mwenzie@@MohamedMkota
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂@@MohamedMkota
Huyu sindiyo alisema atampa mimba diva ????
Shangaaaa😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Ulipambana moyo umefika mwisho😂
Lakini we mzuri
mbona bado anapete
Pete kwenye Imani ya dini ya kiislam haina maana yoyote
Kashaoa mke mwingine tayari. Ni juzi tu hukusikia kwa Mange?
Kaoa juzi
@@user-rb5hs3lq6vhe. Diva kamuacha?
Baadhi ya watu tunaokutana naoni wenda wazimu hawatibiki hawarekebiki wala hawawezi kuishi na mtu yeyote popote hata uwape kitu gani.
Kumekucha mazamwamwa wamepona uchizi huku🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Anamiaka 32 mdogo kweli
Miaka 34
@@fatimamsangi2626diva ana miaka mingapi
Pumbavu wewe muhuni
Muoeee zuchuuuu
🙄🙄🙄
😂😂😂😂😂
😂😂😂