MUME wa DIVA Afunguka "MIBIBI mtihani/HAJAWAHI Kuolewa/Nimemstiri TU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 03. 2024
  • Sehemu ya Pili ya Mahojiano ya Mume wa Diva Shekh AbdulRazak ambapo amefunguka kuhusu wanawake wanaowasema vibaya wanaume zao mitandaoni. Abdul amesema kuwa kwa sasa hataki tena wanake wenye umri mkubwa wengine
    ..........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram rickmediatz...
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    #DivaTheBawse
  • Zábava

Komentáře • 284

  • @user-li4kt7lz1r
    @user-li4kt7lz1r Před 2 měsíci +2

    Ukwel diva anapenda mambo ya ndan kuweka mitandaon jamani ona maisha ya mwijaku na mkewe sijawah sikia mke wa mwijaku kumsema au kuweka maisha yao mitandaon kuna mtu anakela kama mwijaku diva hata upate mume mwingine kugombana lazima usiweke maisha yako mitandaon mamy

  • @user-rh8bu7dq4q
    @user-rh8bu7dq4q Před 3 měsíci +10

    Wewe ni tapeli wa mapenzi . Kwani kuolewa ni nini mbona wewe ndoa zinakushinda, huna sifa za mme una sifa za uhuni hutambui wajibu wako kama mme unataka ww uheshimiwe wkt ww hujiheshimu umekua mungu wewe unyenyekewe,unawastili wewe hawakustiri au wewe unaweza kuishi bila mwanamke

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 Před 3 měsíci +38

    Huna lolote ushazoweya kuoa na kuchezeya watoto wa watu ikiwa mabibi huwawezi utawawez mijitoto huna lolote ushazoweya kumchuma diva unataka kupewa tu wanake wsngapi ushawacha

  • @user-rb5hs3lq6v
    @user-rb5hs3lq6v Před 3 měsíci +29

    Suala la kila siku kujiona wadogo ni suala linalotufelisha vijana wengi sana. Kujiona bado wadogo kunatufanya tuwe tuna relax na maisha na kusahau kuwa muda unakwenda kasi mno.Kiuhalisia hakuna mtu mdogo zaidi duniani,hata mtoto aliyezaliwa leo bado ni mkubwa kwa mtoto atakayezaliwa kesho.

    • @sharifahairstyles602
      @sharifahairstyles602 Před 3 měsíci +1

      Hakikaa

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 3 měsíci

      Diva ni mkubwa kwa huyu kaka msipinge wenye uzoefu wa kumuangalia mtu tunamjua 😊😊

    • @user-rb5hs3lq6v
      @user-rb5hs3lq6v Před 3 měsíci +2

      @@annasolomon9855Diva kaingiaje hapo?Haujaelewa point. Soma vizuri uelewe sio unakurupuka kujibu

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 3 měsíci

      @@user-rb5hs3lq6v sawa professor Markle

  • @jacklinesaidy1199
    @jacklinesaidy1199 Před 3 měsíci +28

    Tabia ya umalaya inachoshaaa unamuabisha mke wakoo uku ukiaminisha watu binti WA watu ni mbaya why umeoa kwa nn ww ni muongo dini imekufunika huna tabia nzuri Wala nn ww ni abuser 😊

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Před 3 měsíci +7

    Abdulzaki umeongea point, nakubaliana na wewe kuhusu maadiri wanawake wasio na siri za nyumbani kwake hawafai kabisa. Mwanamke unatakiwa kuficha siti za mumewe tafuta watu sahii wa kuwashirikisha kukitokea tatizo.

    • @catherinekiwipa9271
      @catherinekiwipa9271 Před 3 měsíci +1

      Kabisa Diva sio mke wakuoa anajikuta Kim kadarshian kumbe ovyo Abdul Yuko sahh diva asubir tu kuchezewa

  • @user-db9jb2yc6r
    @user-db9jb2yc6r Před 3 měsíci +7

    Abdul yuko sawa tena yuko sawa🙌na anaomgea kwa busara sana

  • @rukiapessa7112
    @rukiapessa7112 Před 3 měsíci +18

    Mimi nilijua tuuu ule msamaha aliouomba wasafi ulikuwa na lengo hili coz diva alimdhalilisha sana
    Weee mtu hadi unasema Sitaki ndugu zako kwangu mtu anakubali kirahisi vile weee hushtuki!?

  • @user-nf1lc3vr7t
    @user-nf1lc3vr7t Před 3 měsíci +5

    Kiukweli diva Si type Yako hanielewi anafkiri kingereza ndo maisha kiukweli oa mtoto mdogo yule mgongo mkubwa achana nae umemstiri kweli hamuendani

  • @ashakijaji5869
    @ashakijaji5869 Před 3 měsíci +7

    Yaani ww ni handsome Sasa inakuwaje mahusiano yanakushinda,utakuwa nashida.

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 Před 3 měsíci +21

    Abdull anaonekana kashaanza kuchoka ila mabibi tena Mh!!

  • @MkundeMussa-vh8rb
    @MkundeMussa-vh8rb Před 3 měsíci +3

    Hawa bhana wanapendana hila 2 wivu 2 unawasumbua diva anaona kama anatumika sana❤❤

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 Před 3 měsíci +2

    Kwanza jamaa ana stress balaa mungu amsaidie ajitambue mmh ni hatar wallah😴

  • @christabelkajirwa1706
    @christabelkajirwa1706 Před 3 měsíci +18

    I don’t care for or love diva but this guy is a narcissist he’s not good for anyone

    • @eddyempire9797
      @eddyempire9797 Před 3 měsíci

      Ila kwa Diva anagonga mwamba asee!

    • @btylove1870
      @btylove1870 Před 3 měsíci +1

      Narcissist 💯

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před 3 měsíci

      Exactly

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před 3 měsíci

      Huyu jamaa du, Diva masikini alibadili mpaka dini kwa ajili yake sas alitaka heshima gani na upendo toka kwa Diva, Mungu atamlipa anachostahili.

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před 3 měsíci

      Huyu mwehu kweli eti msitoke laleni watu waina hii ndio wanakufa, wanawapa mitihani wanawake kulea watoto, mtu alizuiwa kutoka hajui cha kufanya anagwa na maisha anaishia kujiuza ili watoto waishi mwisho wake watoto wanakua wanarithi kazi ya mama nakama wa kiume wapo wanaishia kuvuta unga, unataka kufuga mwanamke na sio kutunza mwanamke bro kumbuka anaefugwa ni mnyama, mtoto wa mwenzio umpangie kila unavyotaka wewe huo ni utumwa na sio ndoa msitumie mafundisho ya dini vibaya, mkatafsiri mnavyotaka, hata mwanamke ana haki ya kukukatilia kitu. Ni wajibu wako kumbembeleza kumuomba na yeye akukubalie. Unataka uishi na mwanamke ili akidhi haja zako za kimwili bro just relux usijibu maswali kama umelewa, yaani mzazi anaekubali mtoto wake aolewe na wewe ni mwehu na mtoto anaekubali kuolewa na yeye kama atakuwa hana akili basi ni tamaa ya kutaka kujulikana vitandaoni kwa ajili ya maslahi yake binafsi.

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 Před 3 měsíci +10

    Mwanamke anaee mtamani huyu atakuwa hana akuli janaume lina kera

  • @KhamisOmar-kt4kz
    @KhamisOmar-kt4kz Před 3 měsíci +6

    Uzinifu hujakatzwa ramadhani tu broo kila siku zinaa mungu kakataza

  • @user-xt6pt4pc9j
    @user-xt6pt4pc9j Před 3 měsíci +11

    Ufe nikuzike au nife unizike jaman yamefika huku?

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 Před 3 měsíci +15

    Diva ukome tulikwambia hakuna mume hapa ila unaforce. Na bado atakutesa emotionally mpka ujute

    • @matridamwalyoyo1735
      @matridamwalyoyo1735 Před 3 měsíci +1

      Hajawahi elewa

    • @cdeleo9336
      @cdeleo9336 Před 3 měsíci +3

      @@matridamwalyoyo1735hata akiforce kila siku atakuwa analia na kuteseka. Huyu kaka ni tapeli na hampendi diva

    • @mwanaishaabubakar5013
      @mwanaishaabubakar5013 Před 3 měsíci

      Unaposema ramadhani tumekatazwa kufanya uzinifu kwa maana Siku nyengine tumeruhusiwa? Umepotoka

  • @noenana3352
    @noenana3352 Před 3 měsíci +6

    Yani huyu na diva wote wanacoach kuhusu mahusiano ila wao wapi yamewashinda kabisa😂😂😂😂

  • @mamilathegreat3267
    @mamilathegreat3267 Před 3 měsíci +4

    We Abdul let it go to honestly tulijua hakuna ndoa kaa utulie na ujibadilishe na ww Ni mtu wa sifa na wanawake hatupendi Alie Jaa na sifa

  • @user-gk5lz1sz4u
    @user-gk5lz1sz4u Před 3 měsíci +13

    Analamba lips diamond mwenyewe aingii Ndani 😊

  • @Marjeby
    @Marjeby Před 3 měsíci +5

    Wallah we jamaa mtihani sana aiseeee mpumbafu mkubwa mtu mwenye akili timamu na mwenye vision hata kidogo hawezi kumsikiliza huyu jamaa hata dk 1 en acha kabisa kuutumia uislam kama ngao kwenye ushenzi wako!na meno yako hayo kama umeuma mavi

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Před 3 měsíci +10

    Mi naelewa sana abachosema huyu kaka hivi kwa mitabia ya lile bibi kila siku ropo ropo kujiskia wakati umri umeenda

  • @bas2823
    @bas2823 Před 3 měsíci +3

    UBSOLUTLY U R WRIGHT! MOTHER IS A MOTHER WHAT EVER SHE IS! NEED TO RESPECT HER N RESPECTS ALL THE MOTHERS IN THE WORLD👍RASUL SAW SAYS: THUMMA UMM 3 TIMES N HE SAYS: THUMMA ABB 1 TIME! WE HAVE TO RESPECTS THE 2 PARENTS👌 BUT MORE RESPECTS TO THE MOTHERS👍 AL JANNAH TAH'AT KUDDAM UMMAHATEEKUM👍❤👌 LOVE YR MOTHER AS MUCH U CAN N RESPECT HER AFTER THE GOD! RESPECTS FIRST RESPECTS GOD💙💜💚 N OBEY TO YR GOD!👍N THEN RESPECT YR MOTHER MORETHEN ANY BODY ELSE👌! ALSO RESPECT YR FATHER ALSO👌

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube Před 3 měsíci +7

    Shekhe unapenda utelezi bana huna pesa unataka kulelewa

  • @vumiliakilosa4548
    @vumiliakilosa4548 Před 3 měsíci +3

    Anaonekana ana stress bado hayupo sawa naona kama anapaniki

  • @catherinekiwipa9271
    @catherinekiwipa9271 Před 3 měsíci +7

    😂😂😂😂 hongera abduli kwakumbia lile furushi, yani ushamba mwingi yule dada ajifunze kwa zamarad ana kipatao kuliko mume wake lkn heshima ilo mume wake kasemwa mara ngapi kuhusu kutelekeza watt lkn ukweli wanaujua wao kampa heshima mume wake Salama ya mwanamke ni Mume ,na mume anahitaji heshima ❤❤❤❤ Abdul uko vizur sana mwanamke anafos apewe zawadi, apewe mi dola mara apelekwe Dubai😂😂😂 yy anaish kwa dola anavaaa mawigi makavu kama katani

    • @Ibraah06
      @Ibraah06 Před 3 měsíci +2

      Nauongana na wew akuna mwanaume anaewez kumvumilia mwanamke kama diba

    • @matridamwalyoyo1735
      @matridamwalyoyo1735 Před 3 měsíci +1

      I want go Dubai 😂

    • @salmanassor8732
      @salmanassor8732 Před 3 měsíci

      Mawigi makavu kama katani😂😂😂😂

    • @WinWilly4162
      @WinWilly4162 Před 3 měsíci

      Salute!!😂

    • @matanohassan9667
      @matanohassan9667 Před 3 měsíci

      DIDA pakacha la maembe full screen shot kudade Maza big yaani ATAKUJA kukupasua Moyo au chango Kaka tafuta kitoto kizuri mwili Saiz kama wewe ama vipi

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Před 3 měsíci +10

    Nacheka kwa sababu wapo wanawake wataolewa hapo hata kesho😂😂😂yupo tayar mbadala😂😂au tayari keshaoa aweee chezeyaa wanawake ss😂😂😂 abdullll😂😂😂

  • @anitapendo6201
    @anitapendo6201 Před 3 měsíci

    Ila tuseme ukweli uyu jama ni bonge la handsome MashaAllah 😍 alafu napenda anavyoita "saraphina"

  • @jestinaluvanda-jm4tc
    @jestinaluvanda-jm4tc Před 3 měsíci +2

    Jaman, mmmh mungu nifundishe kunyamaza huyu mwanaume hana Siri

  • @marydimoso6303
    @marydimoso6303 Před 3 měsíci +6

    😂😂😂 duuh hv kuna wanawake mnakuwaga na wanaume wa hv??khaà siwezi

  • @FatmaAlamry01
    @FatmaAlamry01 Před 3 měsíci +3

    Harusi hioooooo twataka haluwa abdul🇰🇪🥳🥳🥳🥳

  • @daphnemasogange7353
    @daphnemasogange7353 Před 3 měsíci +5

    I agree with you sir, The family must be respected.

  • @yakfizahran4536
    @yakfizahran4536 Před 3 měsíci +10

    Mungu anakulaan mbwa ulimuacha mtoto wa watu na mtoto mchanga ukamuoa diva

    • @catherinekiwipa9271
      @catherinekiwipa9271 Před 3 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @raniahAbdul
      @raniahAbdul Před 3 měsíci

      Mtoto hakuwa wake . Alimuoa bint aliyekuwa kaachika akiwa na ujauzito wake. Abdul watoto wake wote anawalea

    • @happynescostat7420
      @happynescostat7420 Před 3 měsíci

      ​@@raniahAbdulkwani kumlea mtot wa mpenzi wako no kosa?

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg Před 3 měsíci +9

    😂😂😂😂😂😂😂Ila diva kamsotesha mara madeni mara sijui kutukanwa mitandaoni 😂😂yeye wakati anaolewa hakujua kama anaolewa na ustadhi kwahio mi ndoa itakuwa kiyaaa kiyaaaaaaa
    Diva hachelewi kusema kesho anaolewa na mtoto wa mfalme wa Qatar 🤣…siku zote kwenye ndoa mkijifanya wote mnajua lazima shuhuli ibaluzweee tu

    • @minaeli5989
      @minaeli5989 Před 3 měsíci +3

      Nacheka kama mazuri 😂😂😂Abdul mdogo wangu Allah atakupa hitaji la moyo wako

    • @user-ur7pw9ek6s
      @user-ur7pw9ek6s Před 2 měsíci +1

      Dah😂😂😂

  • @allyzumo5832
    @allyzumo5832 Před 3 měsíci +3

    Ndoa kuvunjwa ndani ya dakka 5 Duh

  • @happymfiomy4673
    @happymfiomy4673 Před 3 měsíci +2

    Wakwanza leo jmn nipeni like zangu😂😂😂

  • @MaiKasimu-xf4fz
    @MaiKasimu-xf4fz Před 3 měsíci +17

    Sema twende mbele turud nyuma......mm nimemuelewa huyu kaka😂😂😂😂 kasemwa sana

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 Před 3 měsíci +3

    We subiri tu na hao wengine mtalalishwa na njaa subirini mwezenu aliachwa hospital akamkimbia hakumlipia hata hospital akakimbia na chupa ya chai

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 Před 3 měsíci +3

    mhhh shekheee watch ur words aseee!!!

  • @walterkisaro-9168
    @walterkisaro-9168 Před 3 měsíci +5

    Uyu bwana mi simjui wala simtetei ila mwanamke wake ktk kipindi alipigiwa cm hakukubali kuongea na mme wake ilo ni kosa pili kodi anataka usd 2000 mshikaji alikataa hawezi Lipa mara anataka maua daily mi sielewi ni ya nini ten anaweka wazi asafiri nnje mshikaji uwezo uo Hana

    • @bazzgarkimea5469
      @bazzgarkimea5469 Před 3 měsíci +2

      Binafc me pia nipo upande wake

    • @nahyialetomia9284
      @nahyialetomia9284 Před 3 měsíci +1

      Diva ana kasoro kubwa kichwani, alijua shekhe sio billionaire halafu anamlazimishia maisha ya Masaki

    • @catherinekiwipa9271
      @catherinekiwipa9271 Před 3 měsíci

      ​@@thamani5842diva sio uzungu diva Ni ushamba nakujiami tu huyu kaka yupo sahh coz ni MTU wa dini,Ni mtu anafundisha mahusiano alitaka dunia ijue kuwa anaweza kumbadilisha mtu lakn diva kingunge Yani shindikanaaaa yule dada

    • @catherinekiwipa9271
      @catherinekiwipa9271 Před 3 měsíci

      ​@@bazzgarkimea5469Mimi pia

    • @catherinekiwipa9271
      @catherinekiwipa9271 Před 3 měsíci

      ​@@nahyialetomia9284kabisa

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Před 3 měsíci +5

    Msalie mtume sheikh haifai kukashifiana aibu ya mwenzio usiitoe hadharani na sikwambii tuko kwenye mwezi mtukufu

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 Před 3 měsíci +1

      Yaaan jmn ni huzuni

    • @minaeli5989
      @minaeli5989 Před 3 měsíci

      Na yeyevanavyomkashifu mpaka familia yake mnadhani yeye ana roho ya jiwe

  • @3Dshoez
    @3Dshoez Před 3 měsíci +1

    Daaaah Diva mume wangu mimi tuuuuuuuuuuu ndo mke wake ndo huyu huyu mume au

  • @ferouzkeis6994
    @ferouzkeis6994 Před 2 měsíci

    Mamae huyu jamaa ni noma. Anamchanganya sana diva. 😂😂😂

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Před 2 měsíci

    SAFI SANA HUWEZI KAA MWEZI BILA KUFANYA MAPENZI WEWE NI MKWELI SANA NIMEIPENDA HIYO😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @sadikabdallah8061
    @sadikabdallah8061 Před 3 měsíci +3

    Hawa watu wamanino mingi ndio ndoa hawaziwezi

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Před 3 měsíci +6

    Chagua mke sahihi usioe haraka kwa kumkomoa diva!

  • @FatmaAlamry01
    @FatmaAlamry01 Před 3 měsíci +9

    Huyo diva mtu mzima kwa abdulrazak kila mwaka yy ana 35 hahaha sura inaonesha ya 45 😅

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 3 měsíci +2

      Diva ni mkubwa kwa huyu kaka .. hio ipo wazi et yeye ni mdogo khaa Ali kiba alishmwitaga Kigagula😅😅

    • @user-ip7mp8mn5p
      @user-ip7mp8mn5p Před 3 měsíci

      ​@@annasolomon9855😂😂

  • @elizakovaga12
    @elizakovaga12 Před 3 měsíci

    HUYU MTANGAZAJI ANAJUA SANA....... HONGERA SANA PHINA❤

  • @khadijahali6856
    @khadijahali6856 Před 2 měsíci

    Huyu si mume kupata wala kukosa wallah mm hata nashangaa kwa nn wanawake wanakubali kuolewa na yeye licha wanaona wengine wakiolewa na kuachwa

  • @BerthaModest
    @BerthaModest Před 3 měsíci +1

    😢pole divva hii inaumiza sana uyu ana hekima wala huruma ajielewi

    • @bahatiwilliams
      @bahatiwilliams Před 3 měsíci +2

      Ana hekima au hana hekima umenichanganya hapo

    • @gracemtonga3263
      @gracemtonga3263 Před 3 měsíci

      ​@@bahatiwilliamsamemaanisha Hana hekima! Ni kiswahili chetu!

  • @fatimamsangi2626
    @fatimamsangi2626 Před 3 měsíci +2

    Napenda sheikh anavyoita “Saraphina”

  • @Neema92
    @Neema92 Před 3 měsíci +3

    Mibibi 😂😂😂 Ila mahusiano haya Mungu atusaidie.

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před 3 měsíci +1

    kamalaya akoo😊,,toka apa

  • @verenabusanda4044
    @verenabusanda4044 Před 3 měsíci +1

    Ila jamani ujie kila siku tunasikia bidada analalamika...tulikua hatusikii upande wa pili na ndo tumeusikia,huyu kaka hata kama ana shida zake lakini ja yeye ni binadam...

  • @perismwanyika9093
    @perismwanyika9093 Před 3 měsíci +1

    Yaani sijui ni mm lkn huyu kaka jamani hapana anaonekana ni tapumta wa hatari😊

  • @rukiasalum2248
    @rukiasalum2248 Před 2 měsíci

    Nyinyi wanaume hamjui hata nini mnataka.mara dogo mara wakubwa

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 Před 3 měsíci +1

    Kaenda pewa ngwengwe anadhan anamkomoa diva..mwenzie kaungua kitambo😂😂..au labda nayeye aliungua pia..

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 Před 3 měsíci +4

    Eti Ndoa zangu nyooo

  • @wahidamrisho644
    @wahidamrisho644 Před 3 měsíci +2

    Mh!siye tunapita😂😂😂

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Před 3 měsíci +1

    Nakufollow kuanzia leo lile bibi lilizidi wallah

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 3 měsíci

      Alikuwa mkubwa pia kwa huyu kaka , lakini alistiriwa pamoja na hivo hsmata kama hawakuwa sahihi wote lakini Diva alizidi kutoa mambo ya ndani in public 😊😊

  • @user-up1py2tk9x
    @user-up1py2tk9x Před 3 měsíci

    Pole kijana Wang u safari Hi kuwa makini usioe mke
    wamtandaoni

  • @peacemollel5344
    @peacemollel5344 Před 3 měsíci +1

    Duuuuh......heheheeeee.....khaaaa....Toba roho yangu

  • @albertinendume5016
    @albertinendume5016 Před 3 měsíci +2

    Uyu ni rofa sanaa

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 Před 3 měsíci +3

    Haki Amungu mibibi mtihani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 umepigaje apo 😂😂😂😂

  • @MedYahya-jm5pu
    @MedYahya-jm5pu Před 3 měsíci +2

    Watatokea wakumstiri wengine pia

  • @shamsasoud2989
    @shamsasoud2989 Před 3 měsíci

    Huyo diva angekua kafundwa asingekua anaweka maisha yake yote mtandaon,,, kama angechoka yeye angetoka kimya kimya tu

  • @didah6553
    @didah6553 Před 3 měsíci

    Wakati ukila pesa zake ukimwita kimwali sasa hakutaki unamwita Bibi .waache wanaume wezio wamtazame diva lakini Wewe Sheikhe unapenda kuchezea watoto wa watu kwani watu wataona ajabu kama diva mke WA kwanza unajitetea tu umezoweya kuchezea watoto wa watu mungu atakulipia Ramadhan hii. Huna uwoga hata kidogo

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 3 měsíci

      Ukweli ni mkubwa kwa huyu kaka , Diva ni mkubwa 😊😊

  • @user-rc6so2km7c
    @user-rc6so2km7c Před 3 měsíci

    Ata haelwekiiii huyu mwanaume kwa kweli Diva hakupaswa kuwa nae n hay mapenz tu hayadhuilikiii ila hajitambui kabisaaa haa

  • @aminajuma1156
    @aminajuma1156 Před 3 měsíci +2

    Huyu anapapatika😂😂😂

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 Před 3 měsíci

    ABDUL yupu sawa acheni kumtukana

  • @HanifaBruno-lv1qf
    @HanifaBruno-lv1qf Před 3 měsíci

    Yaani wew ni kiboko au kwasababu mweupe

  • @samehewaliokukoseya2605
    @samehewaliokukoseya2605 Před 3 měsíci +3

    Dakika 5 👋?😂😂😂

  • @chilukigembe1956
    @chilukigembe1956 Před 3 měsíci

    Shekhe bora nenda kamuoe Wema Sepetu kuliko huyo Diva mtihani

  • @esthermramba9395
    @esthermramba9395 Před 3 měsíci

    Uyu mganga hajielewi,,kumuoa Diva nivyenye alimroga lkn hawaenda na Diva kabisa

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 Před 3 měsíci +3

    Diva alizingua kusema hawapendi ndugu zake hasa mamake na Abdul hiyo haina afya

  • @MagrethKessy-fj1ul
    @MagrethKessy-fj1ul Před 3 měsíci +8

    Mibibi tena😊tumekumosea nn????

  • @Ibraah06
    @Ibraah06 Před 3 měsíci +2

    Uyu kaka ukimsikiliza kwa makini utamuelewa mim nlikuwa team diva lakini kwa hapa apana nipo na shekhe abdulazk akuna mwanaume anawez kumvumilia mwanamke kama diva😊

  • @user-nf1lc3vr7t
    @user-nf1lc3vr7t Před 3 měsíci +1

    Abduli ana busara ,mzuri sana..

  • @kadino_jc
    @kadino_jc Před 3 měsíci +2

    Fala ww Mario

  • @khadijahali6856
    @khadijahali6856 Před 2 měsíci

    Abdul una tabia mbaya za kuchezea wanawake unajifanya mkamilifu kweli wewe

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Před 3 měsíci +7

    Diva atajinyonga

  • @user-qq6zu3no4z
    @user-qq6zu3no4z Před 3 měsíci

    HATA SIELEWI KWANINI UNAONGEA MAMBO HAYA KUNYAMAZA NIBUSARA SANA WENGI WANAPITIA MAKUBWA KUKUZIDI ILA KIMYA NIJAMBO BUSARA

  • @ashuraomar4935
    @ashuraomar4935 Před 3 měsíci

    Hakuna Mwanamme MPUMBAVU KAMA HUYU KATIKA TANZANIA NZIMA

  • @jenestermerchades9111
    @jenestermerchades9111 Před 3 měsíci +2

    Huyu nae kapanic hii sio akili yake😅😅

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Před 3 měsíci

    Hahahhahahhaj nacheka kama mazuri katika vitu ambavyo sitokosea ni kuolewa na mwanaume nikiyemzidi miaka wallah sitokosea ht kidogo pole diva uliyakanyaga😊

  • @Lulucut
    @Lulucut Před 3 měsíci

    Wanawake wa media ya WCB hawatulii kwenye ndo na hawadumu

  • @ashakijaji5869
    @ashakijaji5869 Před 3 měsíci +1

    Hivi kwa nn mnapendaga kusema mnawaelekeza wanawake mm sipendagi ,tayar ulimkuta anaishi Sasa unamfundisha nn

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x Před 3 měsíci

      Mwanaume anaekupenda lazima atakubadilisha na mwanamke anaekuheshim lazima atakusikiliza na atafata kile ambacho anapenda mwanaume so ndo hivyo

    • @malkiarosemuhando3310
      @malkiarosemuhando3310 Před 3 měsíci +2

      Khaa!? Sio kweli mi Ninachojua ni Kila mtu ni mwalimu Kwa mwenzie sio Kila kitu mwanaume ndo wa kufundisha Mwanamke ,kwani nyie mnajua vyote, Basi tufundisheni hata kwenda leba Muwe na adabu na wake zenu

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Před 3 měsíci

    Nimekulewa makofi kwako Abdul cheupe

  • @Babygirl758
    @Babygirl758 Před 2 měsíci

    Nimecheka sana 😂 eti hii mibibi mtihani 🤣

  • @Mina.15
    @Mina.15 Před 3 měsíci +4

    Mdomo anavoufany 😂😂😂😂

    • @jocelyneliaminarukundo3633
      @jocelyneliaminarukundo3633 Před 3 měsíci

      😂😂😂😂

    • @Mina.15
      @Mina.15 Před 3 měsíci

      @@jocelyneliaminarukundo3633 uku USA 🇺🇸 wale wavuta ungaa nakuwaga kama yeye 😂😂

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Před 3 měsíci

      ​@@Mina.15niletee mchongo nije USA 😂😂😂😂🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @btylove1870
    @btylove1870 Před 3 měsíci

    Wanawake
    / wasichana/mabibi please msimkubali huyu mgonjwa wa akili a.k.a narcissist 🚮

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Před 3 měsíci +1

    Wema anamfaa shekhe anajua kudeka na kudekeza

  • @user-hw7ie7qs1n
    @user-hw7ie7qs1n Před 3 měsíci +2

    Jamani mimi nilikuwa timu Diva lakini nimekwenda upande wa AbdoulRazak anatowa ushahidi lakini bado haaminiwi sasa afanyeje?

  • @CuteDon-ek9rb
    @CuteDon-ek9rb Před 3 měsíci

    Mi nimegundua kwamba huyu ana tatizo la afya ya akili yupo over confidence alafu anajiona yeye ni mfalme vile

  • @nathalieswedy3653
    @nathalieswedy3653 Před 3 měsíci

    Malaya mchafu we kaka leo unakashfu mtu eti bibi MUNGU akusamehe tu umemdangia we ulikua unatafuta jina umepata yanakutoka kile kibint ulikiacha mbn ulikiacha hujielew we mbwa

  • @beatrice4780
    @beatrice4780 Před 3 měsíci

    Huyu sio mume jamani Kha!

  • @HanifaBruno-lv1qf
    @HanifaBruno-lv1qf Před 3 měsíci

    Wewe nimganga. Wateja wako ni Wanamaker tu ndymaana mkeo hakuamini jitahid usimuache mkeo

  • @user-qt4zv7xl3z
    @user-qt4zv7xl3z Před 9 dny

    Ok

  • @chariedecute8200
    @chariedecute8200 Před 3 měsíci

    Bana eeeh Abdul anajua kujitetea muongo kila siku na wanawake zake wote wawe wanamsingizia Bora diva apate amani ya Moyo kashampa jina na kajulikana imetosha mbona ajawai sema diva anatabia mbaya kamcheat Ila yeye kila siku na ni ukwel mchungu akuna chenye mwanzo kisicho na mwisho wa anaume Hawa na unakuta wanaomtetea n hao wanawake ndio mtajua adui ya mwanamke n mwanamke uyu kaka muongo mpka media kila siku Abdul Kaoa Abdul kafumaniwa Abdul kalala na wateja Abdul ivi vile why yeye na anajua kujieka kidini coz anajua Sana kujielezea bas