DOTTO MAGARI AMVUA NGUO ''DIDA '' ATAFUTE MUME WA KUMZIKA /BABA LEVO KUNA KITU ALINIKOSEA
Vložit
- čas přidán 18. 03. 2024
- Ahsante kwa kuwa mwana familia,(BINA Tv) kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ya BINA TV ili usipitwe na habari zetu.
#alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz, #diamondplatnumz, #good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena, #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm, #wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
#BinaTv #WasafiTv #ManaraTv - Zábava
Safi doto mpende mkeo zaidi na zaidi
bisha she is a good wife who gives dotto a very total happiness, enjoying your fatalistic moment stay blessed forever
Dida na boss wake ngoma droo😂😂😂😂😂
DIDAAAAAAA MIGUU JUU KM FUNDI CHARAHANI DAH DOTO AKILI ZAKO UMENISHINDA😂😂😂😂😂
Kaka doto safi sana mchane hyo dida
Doto Magari umenichekesha sana. Siku ile na mama watoto wako ulitulia kwa Dida leo umemgeuka
Leo Doto ameongea point. Di atafute wa kumzika umri umeenda
Dotto , kingereza unakitaka, kwa nini usikitafute😂
Unasuluhisha ya wenzio wakati ya kwako yamekushinda kila siku talaka nginjanginja heeeee hebu ncheke mie😂😂😂
😂
Dotto wait Ramadan finish you can see Dida🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dotto nakukubali 😂🇨🇩
Dotto safi sana..
Umemwambia ukweli dida😂🤪
pamoja mpiga debe mwzetu una tuwakilisha vizuli pamoja mzee
Nakukubari ndugu yangu wa kizi mkazi
Nimekupenda bule doto nirikuwa sikuerewagi Leo nimefurah kumchana laivu dida anajifanya kungwi wakanti yye anachika Kila siku kwakua ana gari au nyumba mshamba sana dida
Doto anajikuta mpaka waanfishi leo anawafukuza na kichambo juu loh😅😅
Dotto upo sahihi mama mitano tena tumuhendo kizimkazi wetu rais samia
Big up Doto magari
Napenda anavosema “sawa”😂😂
Oya oya Dida upo😂😂😂
Ila kweli dida maneno mengi mbele kiza ndoa ngumu anatakiwa kavumiliae hakuna aliye mkamilifu chini ya jua dida tafuta mume uolewe umri huo sio wa kukaa single dada angu.
Mwamba sana Doto….Wanyee
Yaani waswahili akifa atazikwa na ndugu zake.
😂😂😂😂😂😂Dotto
Dotto nimekukubali leo ulivyomchana Dida 😂😂😂
Eti mende , inamaana dada kabati cio ? Au vile mende mchezea kinyesi 😮😮😮😮 ? Acha matusi bro ....😅😅😅😅
Umeongea point midida ananikera mno
🎧😎✅
Timu Ya Kina Madebe Iyo Maneno Mengi Lakini Kwenye Ndoa Wao Ndio Wakosefu Wakubwa Sana
Kkkkkk natamani nikuona live foto he Yani nimecheka mbavu sina
Kwanza hao wanao enda kupata elimu kwa dida mpumbavu hana akili, dida tangu 2009 kabadilisha wanaume wengi
Mh kumbe dida ni shangazi yangu mkubwa hivyo😂😂😂😂
WW afadhali ni shangazi mimi ni mama yangu kabisa🤔🤔🤔🤔bado tu anabadilisha wanaume
Anambomoa huku anamuita dada 😅😅😅
Content ama contract doto bana😂😂😂😂😂
Hahahah yeye kashamaliza hvyo.
Ndo ushamuelewa
Hivo hivo
Mwacheni dott aseme
Uyo dida labda yesu arudi ndo aje amshauri
hana pepo la ngono si la ndoa
Doto kanywe mkubwawao nakuja kulipa umeongea vizur
Doto muislam nashangaaga anavaa msalaba sielewi
akuna muisilamu anaeva msalaba.apo mi sikukubali sema we mtoto wa kizalamu sio muisilamu
Et juice ya maziw duuh wanaume achen kulelew mtatukanwa mpaka mkome
Wajidanganya mwenyewe eti Muisilamu aje tena unavaa msalaba wacha kudanganya watu😂😂😂😂
Msalaba unakuumizaaa, huo ni ukombozi wa wanadamu wote
Nakpenda doto mpe vyake hyo didaa mshamba tu
TAFUTENI MASWALI YA MAANA WAANDISHI WA HABARI KILA SIKU DOTTO ANAWATOA KNOCK OUT
Fata maneno yake usifate matendo yake jamani
😂😂😂..nakukubar sana kk unaongea ukwel sana ww broo saf sana
Dotto we kiboko
Kaoa lin huyu maywele nae kusifia zina tuy
kwanza katembea na mdogo wangu mtangazaji mdogo kitoka kiss fm sitaki kimtaji jina ... mtafute
dida acha ujinga ustaaa na majivuno vitakupereka motoni
Disipirini😂.. Contract mjue ni content
😂😂😂😂
😂😂😂😂 contact
@@masalakulwa7601 🤣😂🤣
😆😆 devu kama yuda 😆😆🤣 dotto magari utaniua 😆
Yaani Dotto miguu ya Diddah ipo kama ya SHANGAZI YAKO.....😂😂😂😂😂
dida hata kupika hajui ndio maans kaachika kea mumewe na kudanga kumezidi alsfu anajiita kungwi kunguni dida vipi wewe umemwaribu mpaka juma juma lokole ana left group juma lokole tizameni viugoko vyake kama vya basha wake mond lokole tokaapa uyouyo
Guy get proper mic 🎙️
😂😂😂Dotto 🎉
Tangazo hamliachi lituliee linakimbiakimbiaaaa.
Pank kama mcheza x wa uturukiiii
Wenyewe wameshachukua dhahabu zao😂😂😂😂😂
Dotto sim inaita iyo 😂😂😂😂😂
atuambie kuhusu ez den the lock
Totoooooo😂😂😂
HANA UWEZO KUONGEA KUMZIDI DIDA UYO MCHUMBA TU UYO.
Huyo ndio kiboko ya dida sasa hadhubutu kunyanyua mdomo
Unachosema ni kwe li doto yeye kaachw a ndoa kibao atamfu ndisha Nani mambo ya ndoa na yeye ndo a zake hakai hata m wezi kwenye ndoa s asa yeye anajitia ku ngwi wakati yeye ya ke hayawezi ya ndo a anaachwa kilasiku kweli kabisa doto un avyosema
hajajitia kungwi jueni kutofautisha Dotto alipe Ada ya Mtoto wake
Nimecheka 😅
Dotto pesa ipo
Unajua ila usitukane makabila unaounguza wafuatiliaji wako
Mie mkigoma nakufuatilia ila uliposema watu wa mwanza wana akili kinyume chake kigoma hawana
Akati ni kina mwijaku na baba levo ulowalenga
Dotto sio contact ni content 😅
hehehehehehehehehheeheheh
TUNALUKA TUNALUKA KWELI
Wacha weee
Mtufudenge nini?🇰🇪
Mmepanga eti mke akupigie
www wamepanga wapi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sema dotto waandishi ndo wanaokupeleka mjini Acha kuwafokea
😊😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😅😅😅
HUYU mwandishi namtabiria soon ni katibu tawala
Uyu mke kazi yake kukupikia tu ajue na kukupamba kuonekana hizo nywele na ndevu kama hazinaushirikiano
alimpanga,,,ushamba tu.
😂😂😂
Hahahaaaaah!
Didaa kachambwa
wacha kusoma Qur'an kama hujui fala ww
😂🧎🧎🤗🤗🤗🤗🤗
Wamekuzid ndo maan ww unakaa kwenye mabanda yauwan mjinga san ww
Bad haujasema
@@samirshabani-yu4xu kimewaramba na bado tafuten maendeleo achen midom
Mshamba huyo anaongea na mke kwenye media pumbavu mkubwa.
Mshamba ni wewe you sound jealous and stupid 🤣
Sasa unamuingilia dida kwa sababu mke wako alikuja kwa mashamsham wewe Mbona ulitelekeja mtoto wako
🤣🤣🤣🤣👍👍👍👍
Rudi shule kenge mmoja
@samsonkingdom-xc8😂😂😂😂😂😂 eti ulitelekeja
Ndo namshangaa 😂 povu lamtoka Didah hajakosea sehemu 😅 dotto ahudumie mwanae
Mchane dida huyo, kazidi😂😂
🤣🤣🤣 eti kila siku anaposti miguu juu , kama cherehani 🤣🤣🤣
😊😂
😂😂😂
😅😅😅😅
😊😂
😂😂😂