DOTTO MAGARI AMUWASHIA MOTO BABA LEVO, USO KWA USO, CHANZO GARI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 11. 2023

Komentáře • 96

  • @user-wp3xr8gr8u
    @user-wp3xr8gr8u Před 7 měsíci +5

    Doto Acha Tu unatisha mzazi unatufanya tujiskie good Always

  • @humphreyleodgar9434
    @humphreyleodgar9434 Před 6 měsíci +1

    Doto ni halisi halisia hakuna kufake ❤❤❤

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424 Před 7 měsíci +3

    Broo Dotto nakukubali sana unaongea ukweli

  • @user-sj8ck1bk1d
    @user-sj8ck1bk1d Před 7 měsíci +2

    Pesa haitaki kelele broo piga kazi mdomo achia Mke Wako boi

  • @ASALABOY
    @ASALABOY Před 7 měsíci +3

    Mzee wanondo Dotto maca

  • @salehkejje8786
    @salehkejje8786 Před 7 měsíci +4

    Doto ni mtu Wa kufurahisha watu
    Tunajiskia faragha sana uwepo wako

  • @katsuvakamatedaniel7893
    @katsuvakamatedaniel7893 Před 7 měsíci +2

    Hapo kwa juma nime cheka eti Kama musabato 😅😅😅

  • @haroldkayanda7092
    @haroldkayanda7092 Před 7 měsíci +6

    Hupendi maendeleo ya wenzio kazi kuwaponda, hivi wewe unauza magari au kazi kukashifu wenzio? Hiyo ndo kazi unaisha familia yako? 😂 pole!

  • @eldaddyofficial
    @eldaddyofficial Před 6 měsíci +1

    Tto kakaa nao chuoni Uganda

  • @udizungwahimalaya5213
    @udizungwahimalaya5213 Před 7 měsíci +4

    Dotto eeeeeeeh sijawahi kucomment leo acha nicheke2😂😂😂😂

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Před 7 měsíci +1

    doto mwamba upo juu kuriko mapua au mama levo

  • @SharifuAlbughul-ls4mw
    @SharifuAlbughul-ls4mw Před 7 měsíci +2

    Yan mpk waandishi wanashindwa kumhoji wajikuta wanachekaaaa to na kuskiliza😂😂😂😂😂

    • @elizajoseph7209
      @elizajoseph7209 Před 7 měsíci

      Anaendesha juma mosi na juma pili kama msabat0😂😂😂😂😂😂

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 Před 7 měsíci +1

    Doto acha uongo mbona hiyo gari haina namba kama kweli ni yako😅

  • @HappyGreenTea-fo8lz
    @HappyGreenTea-fo8lz Před 4 měsíci

    Anaendesha kila jumapili kama msabato😅😅😅😅😅

  • @angedizzle1
    @angedizzle1 Před 7 měsíci +2

    Kwa sisi watu wenye elimu.....😂😂

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu Před 7 měsíci

    Mbona doto unakaa banda la uani misifa yote hiyo uliyonayo jamani mnaishi mai sha yakuigiza sana

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Před 7 měsíci +1

    Yawezekana,kanunuliwa ,Ila wanakata kwenye mshahara

  • @danreckgodfrey4663
    @danreckgodfrey4663 Před 7 měsíci +1

    Kwani dotto una gari yaina gan? Maana unaponda wakati lakwako hatulioni na pikipiki huna😊😊

  • @user-lq1yg9mk1i
    @user-lq1yg9mk1i Před 3 měsíci

    Gari ni Chombo cha usafiri sio cha starehe...ukipata ajali ndio utajua.... Zaidi ni comfortability tu ya Gari kwa kutegemea umbali wa safari na ndio maana raisi ana magari ya town caravans' cars na gari za masafa ya mbali

    • @user-lq1yg9mk1i
      @user-lq1yg9mk1i Před 3 měsíci

      Dotto Kwa sababu yeye Ni dalali wa magari Sio ajabu....Ila Hao wengine wamezidi ulimbukeni na ushamba ....mzungu hana ujinga wa kumiliki magari mengi akiwa hata ana Pesa vipi na wasanii wa ulaya wao wanakua na magari mengi ili baadae iwe kama vintage Yard

    • @user-lq1yg9mk1i
      @user-lq1yg9mk1i Před 3 měsíci

      Achani kuiga maigo yasiyo ya msingi Kuna mambo kibao yakufanyia hizo Pesa ukaweleza na kufahidika ....acheni kua na mindsets za ajabu

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 Před 7 měsíci +1

    Dotto. Sasa sisi Wasabato tumeingiaje apo? Mbona ivyo?😅😅

  • @bugabyarugaba3771
    @bugabyarugaba3771 Před 7 měsíci +1

    Baba levo kwa doto tulia wenye jj lao huwawezi

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 Před 7 měsíci +1

    Eti hapa ipo😊

  • @ReginaJoseph-cm3cx
    @ReginaJoseph-cm3cx Před 7 měsíci +1

    Kodi unalipa?

  • @arafatkasu
    @arafatkasu Před měsícem

    Vibunju 😅😅😅😅😅

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 Před 7 měsíci +1

    Matako ya Nyani.....Mapua

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 Před 7 měsíci

    Mbwembwe nyingi, majigambo mengi kumbe anakaa chooni.

  • @sorwasoudy6256
    @sorwasoudy6256 Před 7 měsíci +3

    Doto unaongea Sana

  • @user-el6mm4lh4m
    @user-el6mm4lh4m Před 7 měsíci

    Dotto njaaa2 uyoooo na sofa zimemjaaaa daimond hnaaa hiana na m2 bba levo chapa kazi🎉🎉🎉🎉

  • @salumDion3175
    @salumDion3175 Před 7 měsíci

    Kwan namba yagar inasemaje niileile au imebadirka

  • @gadafsalum8042
    @gadafsalum8042 Před 7 měsíci +2

    Inatakiwa uanze kuripa kofi

  • @user-fg1gg3ec2o
    @user-fg1gg3ec2o Před 7 měsíci

    Kenya waoga wanaogapa kuuawa

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 Před 7 měsíci +1

    bora umewakomoa mana wambea hao 😏😏

  • @Josephkp629
    @Josephkp629 Před 7 měsíci

    Tqngazo la biashara hili

  • @andrewmmbaga1665
    @andrewmmbaga1665 Před 7 měsíci +1

    😂😂😂

  • @user-fp9su6vp9y
    @user-fp9su6vp9y Před 7 měsíci

    🎉

  • @fanitofaustino4108
    @fanitofaustino4108 Před 7 měsíci +2

    Kkkkk

  • @YustoMlay-cv4zb
    @YustoMlay-cv4zb Před 7 měsíci +3

    🤣🤣🤣🤣

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 Před 7 měsíci

    Duuu

  • @user-uo8ce5wp9x
    @user-uo8ce5wp9x Před 7 měsíci +1

    😂😂😂😂😂

  • @sorwasoudy6256
    @sorwasoudy6256 Před 7 měsíci +2

    Doto ndo kboko w machawa

    • @eldaddyofficial
      @eldaddyofficial Před 6 měsíci

      Umeonaaa ehhhhhh hawavumiiiii tenaa wala hatuwaogopi tenaa

  • @Kimanzi001
    @Kimanzi001 Před 7 měsíci +2

    DOTO MAGARI NDO NAANI MBONA ANA KELELE SANA?

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 Před 7 měsíci

    Tatizo Doto watu wanampendea uongo wake tu na kujisifu hela lkn hamna chochote maigizo tu hayo ukimaliza interview unarudisha hela za watu hizo daaaah. Unasema Mazda gari lako lkn hakuna hata plate number mamyake

    • @Baron_Kigume
      @Baron_Kigume Před 7 měsíci

      Acha makasiriko. Tafuta Hela

    • @nasibuahmedy2438
      @nasibuahmedy2438 Před 7 měsíci

      @@Baron_Kigume Sema unataka shingap nikutumie

    • @Baron_Kigume
      @Baron_Kigume Před 7 měsíci

      @@nasibuahmedy2438 Ninajitosheleza. Silalamiki hovyo na kuanza Ku-Diss hustle za wanaume wenzangu. Ninaheshimu wapambanaji

  • @user-lq1yg9mk1i
    @user-lq1yg9mk1i Před 3 měsíci

    Acheni ushamba wa magari nyie

  • @benitokibwaa4251
    @benitokibwaa4251 Před 7 měsíci +3

    Humuwez baba levo ww

  • @westcijosh
    @westcijosh Před 7 měsíci

    Matako ya nyani yamekua matako ya sungura😂😂 dotto kenge sana

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 Před 7 měsíci +2

    Wee takataka fiche vihela vyako mshenzi nini

  • @salehkejje8786
    @salehkejje8786 Před 7 měsíci +1

    Doto achana na watu utajiharibia CV endelea kutufurahisha
    Cha mama kipo apo 😂😂

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 Před 7 měsíci

    Mbona sijaona sehemu ambayo b levo anamchana doto ?

  • @roseannandambo8695
    @roseannandambo8695 Před 7 měsíci

    Utani utani tupinge utani na doto magari?

  • @user-uo8ce5wp9x
    @user-uo8ce5wp9x Před 7 měsíci

    duu huyu mwamba hatar

  • @user-rw9kc2wg4f
    @user-rw9kc2wg4f Před 7 měsíci

    Sema mnazingua nyie midia yenu jau iyo uso uso kwa uso baba levo yupo wapi ss acheni mamb ya kiwaki

  • @laurentmupira1280
    @laurentmupira1280 Před 7 měsíci +2

    Tukizichange kwenye dollars za Marekani, hamna kitu!!!! Ni ugari tu, na mboga za majani.

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 Před 7 měsíci +3

      Ila zakwakweeeeee

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci +3

      We unazooo😂

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Před 7 měsíci +2

      Mtumwa wa mayahudi

    • @davcodavid8651
      @davcodavid8651 Před 7 měsíci +2

      Acha bwana wewe zake lkn

    • @laurentmupira1280
      @laurentmupira1280 Před 7 měsíci +1

      @@NgengeMkeni-uo5hq, More, than him!!! For eg: Kila asubuhi nikiwa kaunta, nalazimika kutoa pesa taslimu zaidi ya milioni mia mbili ili kuwalipa wasafirishaji wa malori ya trela. Ni lazima iwe siri kubwa, iliyotunzwa vizuri na sio hiyo.

  • @KIPUDA2023
    @KIPUDA2023 Před 7 měsíci +2

    😂😂❤❤

  • @KingSillah-gx5nv
    @KingSillah-gx5nv Před 7 měsíci +10

    Wanaume watanzania wanaongea sana kuliko wanawake, hapa Kenya huwezi ongea vile huyu jamaa anajisifia utapigwa risasi mapema sanaa💔💔💔. Tajiri haonekani mtandaoni ama kwenye media , matajiri wanaogopa kuonekana, nashangaa vile watanzania wanapenda kujionesha wakijisifu vile wanavyo hela. Njoo hapa Nairobi uone matajiri, utajidharau kaka.

    • @wilsonthomas9176
      @wilsonthomas9176 Před 7 měsíci +1

      Nchi yenu c haina aman

    • @nasibuahmedy2438
      @nasibuahmedy2438 Před 7 měsíci +2

      Ushasema huko kwenu Kenya ila tambua huku ni Tanzania nchi huru. Alafu huyu Doto magari wala sio tajiri au umepagawa na hicho kibunda kidogo cha hela

    • @MCNgakungaJunior
      @MCNgakungaJunior Před 7 měsíci +1

      Million moja siyo utajiri.Hao unaowaona wanaongea sana riziki yao iko mdomoni.Hivyo lazima waongee sana.

    • @zakariadesha2707
      @zakariadesha2707 Před 7 měsíci +2

      Kenya wanaumehawana pesa Tanzania tulishazoeya kutumiya pesa mtanzania wahaliyachini hakosikumiliki MILIONI kwanziya 5 kwahio kwetu tunaona kwawaidatu

    • @allendaniel3172
      @allendaniel3172 Před 7 měsíci

      Asa nyi si mnatamaa Tz watafutaji ukiwa na pesa Yako ni Yako hakuna MTU ataitamani kikubwa kupambana Kila mtu awe na chake nyi Kenya piganen io mibunduki Kwa tamaa zenu

  • @user-hi1xf3je6l
    @user-hi1xf3je6l Před 7 měsíci

    Mmezingua kwa mzawa mwenye dar yke

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 7 měsíci

    @babalevo waitwa huku

  • @user-vw7te4fu9h
    @user-vw7te4fu9h Před 7 měsíci +2

    😂😂😂