Gari ni Chombo cha usafiri sio cha starehe...ukipata ajali ndio utajua.... Zaidi ni comfortability tu ya Gari kwa kutegemea umbali wa safari na ndio maana raisi ana magari ya town caravans' cars na gari za masafa ya mbali
Dotto Kwa sababu yeye Ni dalali wa magari Sio ajabu....Ila Hao wengine wamezidi ulimbukeni na ushamba ....mzungu hana ujinga wa kumiliki magari mengi akiwa hata ana Pesa vipi na wasanii wa ulaya wao wanakua na magari mengi ili baadae iwe kama vintage Yard
Tatizo Doto watu wanampendea uongo wake tu na kujisifu hela lkn hamna chochote maigizo tu hayo ukimaliza interview unarudisha hela za watu hizo daaaah. Unasema Mazda gari lako lkn hakuna hata plate number mamyake
@@NgengeMkeni-uo5hq, More, than him!!! For eg: Kila asubuhi nikiwa kaunta, nalazimika kutoa pesa taslimu zaidi ya milioni mia mbili ili kuwalipa wasafirishaji wa malori ya trela. Ni lazima iwe siri kubwa, iliyotunzwa vizuri na sio hiyo.
Wanaume watanzania wanaongea sana kuliko wanawake, hapa Kenya huwezi ongea vile huyu jamaa anajisifia utapigwa risasi mapema sanaa💔💔💔. Tajiri haonekani mtandaoni ama kwenye media , matajiri wanaogopa kuonekana, nashangaa vile watanzania wanapenda kujionesha wakijisifu vile wanavyo hela. Njoo hapa Nairobi uone matajiri, utajidharau kaka.
Asa nyi si mnatamaa Tz watafutaji ukiwa na pesa Yako ni Yako hakuna MTU ataitamani kikubwa kupambana Kila mtu awe na chake nyi Kenya piganen io mibunduki Kwa tamaa zenu
Doto Acha Tu unatisha mzazi unatufanya tujiskie good Always
Nakubal
Doto ni halisi halisia hakuna kufake ❤❤❤
Broo Dotto nakukubali sana unaongea ukweli
Pesa haitaki kelele broo piga kazi mdomo achia Mke Wako boi
Mzee wanondo Dotto maca
Doto ni mtu Wa kufurahisha watu
Tunajiskia faragha sana uwepo wako
Hapo kwa juma nime cheka eti Kama musabato 😅😅😅
Hupendi maendeleo ya wenzio kazi kuwaponda, hivi wewe unauza magari au kazi kukashifu wenzio? Hiyo ndo kazi unaisha familia yako? 😂 pole!
Tto kakaa nao chuoni Uganda
Dotto eeeeeeeh sijawahi kucomment leo acha nicheke2😂😂😂😂
doto mwamba upo juu kuriko mapua au mama levo
Yan mpk waandishi wanashindwa kumhoji wajikuta wanachekaaaa to na kuskiliza😂😂😂😂😂
Anaendesha juma mosi na juma pili kama msabat0😂😂😂😂😂😂
Doto acha uongo mbona hiyo gari haina namba kama kweli ni yako😅
Anaendesha kila jumapili kama msabato😅😅😅😅😅
Kwa sisi watu wenye elimu.....😂😂
Mbona doto unakaa banda la uani misifa yote hiyo uliyonayo jamani mnaishi mai sha yakuigiza sana
Yawezekana,kanunuliwa ,Ila wanakata kwenye mshahara
Kwani dotto una gari yaina gan? Maana unaponda wakati lakwako hatulioni na pikipiki huna😊😊
Gari ni Chombo cha usafiri sio cha starehe...ukipata ajali ndio utajua.... Zaidi ni comfortability tu ya Gari kwa kutegemea umbali wa safari na ndio maana raisi ana magari ya town caravans' cars na gari za masafa ya mbali
Dotto Kwa sababu yeye Ni dalali wa magari Sio ajabu....Ila Hao wengine wamezidi ulimbukeni na ushamba ....mzungu hana ujinga wa kumiliki magari mengi akiwa hata ana Pesa vipi na wasanii wa ulaya wao wanakua na magari mengi ili baadae iwe kama vintage Yard
Achani kuiga maigo yasiyo ya msingi Kuna mambo kibao yakufanyia hizo Pesa ukaweleza na kufahidika ....acheni kua na mindsets za ajabu
Dotto. Sasa sisi Wasabato tumeingiaje apo? Mbona ivyo?😅😅
😂😂😂
Baba levo kwa doto tulia wenye jj lao huwawezi
Mburundiii babalevoo
Eti hapa ipo😊
Kodi unalipa?
Vibunju 😅😅😅😅😅
Matako ya Nyani.....Mapua
Mbwembwe nyingi, majigambo mengi kumbe anakaa chooni.
Doto unaongea Sana
Dotto njaaa2 uyoooo na sofa zimemjaaaa daimond hnaaa hiana na m2 bba levo chapa kazi🎉🎉🎉🎉
Kwan namba yagar inasemaje niileile au imebadirka
Inatakiwa uanze kuripa kofi
Kenya waoga wanaogapa kuuawa
bora umewakomoa mana wambea hao 😏😏
Tqngazo la biashara hili
😂😂😂
🎉
Kkkkk
🤣🤣🤣🤣
Duuu
😂😂😂😂😂
Doto ndo kboko w machawa
Umeonaaa ehhhhhh hawavumiiiii tenaa wala hatuwaogopi tenaa
DOTO MAGARI NDO NAANI MBONA ANA KELELE SANA?
Tatizo Doto watu wanampendea uongo wake tu na kujisifu hela lkn hamna chochote maigizo tu hayo ukimaliza interview unarudisha hela za watu hizo daaaah. Unasema Mazda gari lako lkn hakuna hata plate number mamyake
Acha makasiriko. Tafuta Hela
@@Baron_Kigume Sema unataka shingap nikutumie
@@nasibuahmedy2438 Ninajitosheleza. Silalamiki hovyo na kuanza Ku-Diss hustle za wanaume wenzangu. Ninaheshimu wapambanaji
Acheni ushamba wa magari nyie
Humuwez baba levo ww
Matako ya nyani yamekua matako ya sungura😂😂 dotto kenge sana
Wee takataka fiche vihela vyako mshenzi nini
Doto achana na watu utajiharibia CV endelea kutufurahisha
Cha mama kipo apo 😂😂
Mbona sijaona sehemu ambayo b levo anamchana doto ?
Ukifungua macho utaona
Utani utani tupinge utani na doto magari?
duu huyu mwamba hatar
Sema mnazingua nyie midia yenu jau iyo uso uso kwa uso baba levo yupo wapi ss acheni mamb ya kiwaki
Tukizichange kwenye dollars za Marekani, hamna kitu!!!! Ni ugari tu, na mboga za majani.
Ila zakwakweeeeee
We unazooo😂
Mtumwa wa mayahudi
Acha bwana wewe zake lkn
@@NgengeMkeni-uo5hq, More, than him!!! For eg: Kila asubuhi nikiwa kaunta, nalazimika kutoa pesa taslimu zaidi ya milioni mia mbili ili kuwalipa wasafirishaji wa malori ya trela. Ni lazima iwe siri kubwa, iliyotunzwa vizuri na sio hiyo.
😂😂❤❤
Wanaume watanzania wanaongea sana kuliko wanawake, hapa Kenya huwezi ongea vile huyu jamaa anajisifia utapigwa risasi mapema sanaa💔💔💔. Tajiri haonekani mtandaoni ama kwenye media , matajiri wanaogopa kuonekana, nashangaa vile watanzania wanapenda kujionesha wakijisifu vile wanavyo hela. Njoo hapa Nairobi uone matajiri, utajidharau kaka.
Nchi yenu c haina aman
Ushasema huko kwenu Kenya ila tambua huku ni Tanzania nchi huru. Alafu huyu Doto magari wala sio tajiri au umepagawa na hicho kibunda kidogo cha hela
Million moja siyo utajiri.Hao unaowaona wanaongea sana riziki yao iko mdomoni.Hivyo lazima waongee sana.
Kenya wanaumehawana pesa Tanzania tulishazoeya kutumiya pesa mtanzania wahaliyachini hakosikumiliki MILIONI kwanziya 5 kwahio kwetu tunaona kwawaidatu
Asa nyi si mnatamaa Tz watafutaji ukiwa na pesa Yako ni Yako hakuna MTU ataitamani kikubwa kupambana Kila mtu awe na chake nyi Kenya piganen io mibunduki Kwa tamaa zenu
Mmezingua kwa mzawa mwenye dar yke
@babalevo waitwa huku
😂😂😂