DOTTO MAGARI AMUWASHIA MOTO JUMA LOKOLE ,AWEKA WAZI TABIA ZAKE “ATATUHARIBIA WATOTO“

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 11. 2023
  • DOTTO MAGARI AWAVAA ICU “ WALE WOTE NI UPINDE“ NKIPATA CHEO WATAPATA TABU | WANANIOMBA HELA SANA
    Hakika ni za kweli
    #simba #yanga #simbayanga #mpira #sport #kombeladunia #worldcup
  • Zábava

Komentáře • 217

  • @shambashareef7316
    @shambashareef7316 Před 7 měsíci +5

    Dotto anajua alipotoka mwacheni ajiachie ,sema mwana hugeki maisha big up dotto

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Před 7 měsíci +17

    Kaka doto unanifuraisha kweli kweli,Yani nakusikiliza nacheka mpka naugua.Juma nikiherehere kma ngoma yamdundiko

  • @OmarKipanyakhamis-pe2qx
    @OmarKipanyakhamis-pe2qx Před 6 měsíci +2

    Semaaa kkaa nmkuelewa sanaaaa point yko sem allh bless 🇹🇿🇹🇿❤️💯💯

  • @saidharith5643
    @saidharith5643 Před 6 měsíci +2

    Doto hapa kaongea kwa hisia kali sana ukimuelewa cz yeye ni mpambanaji kwanini wanamfatilia maisha yake ya undani hakupenda ndio maana yeye anawajua undani na hakuwasemea mbele za watu leo katoboa Yao pia

  • @LtkMfs-hd5zf
    @LtkMfs-hd5zf Před 7 měsíci +7

    Uyu jamaa anaakili sana naanapambana na ipo sku atafika mbali saba doto magari saluti

  • @kitovasaidi6753
    @kitovasaidi6753 Před 7 měsíci +8

    Masaki kabisa apatimenti😂😂😂😂 Safi sana nimekukubali sana ukweli utakuweka huru.

  • @user-hp3bx8ih4y
    @user-hp3bx8ih4y Před 7 měsíci +4

    nakubali broo kimsingi wa bongo tunafeki sana maisha binafsi najifuza sana

  • @WaziriRamadhan-ML
    @WaziriRamadhan-ML Před 7 měsíci +5

    Daaah nimecheka leooo😂😂😂 walahi hii hata samia km kaiona naye atakuwa kacheka had kajamba😂😂

  • @andreamtitunathan9644
    @andreamtitunathan9644 Před 7 měsíci +7

    Wamekupaisha tu
    Mtu wangu
    Maisha ya wengi ni ulio nayo ww ndio haijasumbua jamii

  • @jerryjackson3464
    @jerryjackson3464 Před 7 měsíci +8

    Original wenyewe hawaja pinda😂😂😂 daaah kiswahili na WA Swahili kinanoga sana

  • @amosimussa3360
    @amosimussa3360 Před 3 měsíci

    Dotto magari unajua bro nini unajua ni hayo tu na wish kukuona live hivyo tu♥️♥️♥️

  • @amoonatnzani9834
    @amoonatnzani9834 Před 7 měsíci +7

    Haya wambea wa I C U kula chuma iyo 😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-pt7qj4qg8p
    @user-pt7qj4qg8p Před 7 měsíci +3

    Hahahhahahahahahahaa Dotto una mdomo sana ww duuuuuuh niatari Sana juma njoo huku uruke kichura chura tuone na ndooo juu bro

  • @suleimankitango
    @suleimankitango Před 7 měsíci +2

    Kk dotto upo vizuri

  • @abdishakurhassan7651
    @abdishakurhassan7651 Před měsícem

    Dotto magari self made keep it up the sky is the limit

  • @madinakitemo8902
    @madinakitemo8902 Před 7 měsíci +2

    Doto magari nakupenda bureeee umemkomesha uyo shoga juma lokole na wenzie

  • @koffilove2796
    @koffilove2796 Před 7 měsíci +18

    Ndoto katika siku leo nimekupa saluti umeongea ukweli mimi niko Europe ila unaongea ukweli wa senge hao

    • @elizajoseph7209
      @elizajoseph7209 Před 7 měsíci +1

      Wewe doto eti wanapinda migongo huku wanapiga miruzi😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @neemaberny3598
    @neemaberny3598 Před 7 měsíci +41

    Wenye akili timamu Ndio atamuelewa huyu jamaa...Dotto kapitia magumu mengi,na hata hapo alipo Bado anaendelea kujitafuta...uwezi kisa umeanza kupokea rizki wakati unajitafuta uhame nyumba ya 50000 ukahamie nyumba ya millioni kwa mwezi!!Huyu anatambua kwamba Huwa wanapata madili..hayo madili yanamsimu awezi akajitoa kwenye uhalisia na kujitoa amani kwa maisha ya kuwqfurahisha watu wa mitandaoni alafu aje adhalilike mara hana Kodi ..tunawaona mastar kibao yanawakuta..

  • @amosimussa3360
    @amosimussa3360 Před 3 měsíci

    Unajua nn unafanya kaka mzaramo og big up

  • @partickkessy5997
    @partickkessy5997 Před 7 měsíci +7

    😂😂😂ila Doto Leo nimecheka sana

  • @ellymzera2457
    @ellymzera2457 Před 6 měsíci +1

    Hata kwetu wapo.🇰🇪 🇹🇿

  • @angelinamwakilufi8881
    @angelinamwakilufi8881 Před 7 měsíci +2

    Doto Wa kizimkazi😂😂😂😂 anewawezaa ,JUMA HUYU NDO KIBOKO YAKO

  • @kismarthashvan
    @kismarthashvan Před 7 měsíci +4

    Wazalamo atufeki maisha doto aowa2 wanapenda kitonga awali mbaka wapinde mgogo

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 Před 7 měsíci +5

    Eti kw sisi waislamu😢 na shingoni ana libonge la msalaba dah!!! Uislamu wa kibingo bana😂

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 Před 7 měsíci +8

    Tanzania in inchi ya comedy watu wote

  • @DeborahChristopher-th6nl
    @DeborahChristopher-th6nl Před 5 měsíci

    Nakupenda Bure Dotto❤❤❤❤

  • @user-tj2jq1xx1n
    @user-tj2jq1xx1n Před 7 měsíci +1

    Doto kwanz mjini imeingia juzi mbuzi wew

  • @michaelkonga2975
    @michaelkonga2975 Před 7 měsíci +3

    Hela nyingi mpaka balabendi haitoshi😂😂

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 Před 7 měsíci +6

    ❤❤❤ hapo hapo Dotto wala usinyamaze😂😂😂

  • @AlexJohn-gp6bu
    @AlexJohn-gp6bu Před 7 měsíci +2

    Kweli apo umeongea fact mashoga wauliwe wote

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 Před 7 měsíci +1

    Duh 🤔 na umewanyea sana kaka

  • @edwardpeter8569
    @edwardpeter8569 Před 7 měsíci +1

    😂😂😂 ila dotto kawaweza kwa majibuu daaah anajua

  • @tatukarume6140
    @tatukarume6140 Před 7 měsíci +2

    Wape vidonge vyao hakuezi tunakuoenda mpka bas yani mtu ukiwa na stress zako mtu akikuskiliza tu anaenjoy

  • @neemammbaga227
    @neemammbaga227 Před 7 měsíci +3

    Lakin dotto kipindi anaanza anza kujulikana alifanyiw interview kwake anapokaa na palikua palepale icu walipoenda sema tu wambea hawajalitilia maanani kuitafuta hiyo interview dotto alisema kabsa hapa ndo kwangu na ni zamani sana kama miaka miwili

  • @ayshazambia6509
    @ayshazambia6509 Před 7 měsíci +1

    Msema kweli kipenz cha mungu umeongea ukweli kabisa

  • @user-nl5mm5pu1g
    @user-nl5mm5pu1g Před 7 měsíci +1

    Dotto umeomgea ukweli uyoo juma lokole hamna kitu jumba bovu anatuabosha Sana wanaume wenzake hongera Sana kumwambia ukweli uyoo abadilike tabiya yake sio mzuri ya kupinda mgongo

  • @GodfreyMoshi-mk7fn
    @GodfreyMoshi-mk7fn Před 6 měsíci +1

    Kaka Dotto yani umenifurahisha sana leo sioni sababu yaku fake maisha kabisa yani kama wew ni mkubwa utakua mkubwa tuuu

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 Před 7 měsíci +4

    Team Doto magari gonga like

  • @neitherherenorthere8367
    @neitherherenorthere8367 Před 7 měsíci +10

    Yaani i love tzanian's confidence. Their mouths runs faster than their wallets!

  • @elizajoseph7209
    @elizajoseph7209 Před 7 měsíci +5

    Wanapinda mgongo afu mwingine ni mgonjwa Doto wewe😂😂😂😂

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo9798 Před 6 měsíci

    Wazaramo acha tu watu wa Dar balalaa @!Dotto from MK @uk

  • @sleyumomar3637
    @sleyumomar3637 Před 7 měsíci +1

    Weeeh dotto apo umepigajee, huyu ndo dotto keto tajiri wa maneno 😂😂

  • @jacklineanthony5191
    @jacklineanthony5191 Před 7 měsíci +1

    Kweli 😅kabisaa mji wameukuta na watauwacha😂😂chezea wazaramo wwe😂😂😂

  • @mohamedrajabu2734
    @mohamedrajabu2734 Před 7 měsíci +3

    Dotto magari😂😂😂

  • @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
    @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm Před 7 měsíci +1

    haya juma piga pushap km za doto kisha upost ili tujirizishe 😅😅😅😅😅😅

  • @victorjems1865
    @victorjems1865 Před 7 měsíci +1

    eti rangi kama afkeki michilizi kama tango😂😂

  • @HappyGreenTea-fo8lz
    @HappyGreenTea-fo8lz Před 4 měsíci

    Kweliii kabisa wasanii wanafeki sana maishaaa😅😅😅😢

  • @wilfredmwakatwila6295
    @wilfredmwakatwila6295 Před 7 měsíci +1

    Umeongea vizuri

  • @mpozenzidavid4801
    @mpozenzidavid4801 Před 7 měsíci +4

    Niko nawewe kaka

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Před 7 měsíci

    Doto nomaa wameleft group

  • @mpozenzidavid4801
    @mpozenzidavid4801 Před 7 měsíci +2

    Mbona baba levo hajawahi kujibu??😂😂😂

  • @allybobsaith
    @allybobsaith Před 7 měsíci +7

    Doto magari umewaweza ICU, umewajibu kisomi sana

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Před 7 měsíci +2

    Doto magari mara hii unampoteza mwijaku

  • @firereal001
    @firereal001 Před 7 měsíci +7

    Eti hawal kabla hawajapinda mgongo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 7 měsíci +1

    😂😂wakijamba tu sema

  • @joharyMussa-kc5vs
    @joharyMussa-kc5vs Před 4 měsíci

    doto magar ww hua msema ukweli hukosegi anae kuchukia wivu unasumbua

  • @user-nl5mm5pu1g
    @user-nl5mm5pu1g Před 7 měsíci +1

    Kaka doto Niko zanzibar jumapili nakuja dar umenifurahisha Sana juma lokole kumwambia ukweli tabiya yake aache anatuabosha Sana wanaume wenzake juzi kavaa chupi doto hongera milioni Yako iko😂

  • @hansmsangi9828
    @hansmsangi9828 Před 6 měsíci +3

    Nakukubali sana dotto asante sana unatubeba sana sisi watu kawaida tumezaliwa tuishi hapa duniani dhamira ya Molla sio kuwa tuwe matajiri km wao hapa ni vile Muumba kapendezwa atupe pumzi tuishi maisha ss km wao wamepata basi washkuru tu lkn sio kutuona ss km wakukosa tu hapana tuna haki ya kuishi maisha ya kawaida na katika mazingira yyte... Dotto asante kwa kutetea mazingira yetu km mabaya ndio Mungu katupa... Mwambie huyo mshamba wa dunia atakuelewa tu ss ndio mkazi wa mama Samia....😂

  • @user-gy3bv7nm7d
    @user-gy3bv7nm7d Před měsícem

    Mpaka wapinde migongo😂😂😂

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 Před 7 měsíci +4

    Hehehe na mpenda sana Doto ❤❤❤ nani Mgonjwa?

  • @user-se5rz8fh6f
    @user-se5rz8fh6f Před 6 měsíci

    Mh huyu jamaa noma

  • @ashurasaid1315
    @ashurasaid1315 Před 7 měsíci +2

    Hatakae piga mruzi apite huku😂😂😂😂

  • @arafatkasu
    @arafatkasu Před měsícem

    😂😂 mtungi mirefu 😂😂😂

  • @davidtz4595
    @davidtz4595 Před 7 měsíci +1

    😂😂😂😂Et eti waluke kichula😂😂

  • @user-dr1su7pf7w
    @user-dr1su7pf7w Před 6 měsíci

    leo umeongea point sana

  • @user-ez5br4gu1m
    @user-ez5br4gu1m Před 5 měsíci

    Wemukweli sana😅😅😅😅

  • @jacklineanthony5191
    @jacklineanthony5191 Před 7 měsíci +1

    Dotto magari mzaramo wa kizzy mkazi 😂😂😂😂😂

  • @OmaryKaniki-hs5mz
    @OmaryKaniki-hs5mz Před 6 měsíci

    Sema mzaramo mwenzangu

  • @MussaNassoro-vj9li
    @MussaNassoro-vj9li Před 5 měsíci

    Mama kizimkazi na hapa ipo

  • @edithhassan4196
    @edithhassan4196 Před 5 měsíci

    😂😂😂😂 huyu ni balaaah!!

  • @suleimanikimwagas-tk1zq
    @suleimanikimwagas-tk1zq Před 7 měsíci +3

    Yaani Leo umeongea mawe tupo, kufeki maisha 😂😂 Ila hahaha kitengo utapata nawachukia Sana hao wapiga miruzi

  • @johnkitwima6963
    @johnkitwima6963 Před 7 měsíci +1

    Mwite Olamide😂😂

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Před 7 měsíci +2

    😂😂😂😂😂 nimecheka kwenye miluzi

  • @FrancoisElesambo
    @FrancoisElesambo Před 6 měsíci

    Congo tunamuelewa

  • @AishaTarimo
    @AishaTarimo Před 7 měsíci +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka jmn

  • @CAN.164
    @CAN.164 Před 7 měsíci

    Doto doto kubali dana

  • @needtohear994
    @needtohear994 Před 3 měsíci

    visokolokwinyo 😂😂😂😂😂😂ila Dotto

  • @user-oh2rz6sn5r
    @user-oh2rz6sn5r Před 7 měsíci +1

    Dotto bhana et mludhi 😅😅😅

  • @titongholo6261
    @titongholo6261 Před 7 měsíci +2

    Doto nakubaliana na wewe , Watanzania wengi ni malimbukeni sana sana akipata kidogo anataka kujionesha . Wewe una tabia kama za Hayati Mwl Nyerere ambaye aliishi maisha yake halisi pale Msasani na kule Mwitongo licha ya kuwa Rais wa nchi kwa miaka 25 Hongera Dito Magari hata hao watangazaji nao ni ovyo kabisa awanafuatilia mambo y ovyo ovyo

    • @BenjaPas
      @BenjaPas Před 7 měsíci

      Usifananishe Mwalimu Nyerere na vitu vya kipumbavu wewe

  • @mohdmbarouk8116
    @mohdmbarouk8116 Před 7 měsíci

    Hhhhhhh yani huyu jmaa anaburdisha

  • @filemonniariraahadieleliam3275

  • @malikzegega3179
    @malikzegega3179 Před 7 měsíci +3

    Kaka Doto watoto wamjin tunakuelewa nini usema😂😂😂

  • @zachariajustine873
    @zachariajustine873 Před 7 měsíci

    Mwamba huyu hapa sass😂😂😂😂😂

  • @issaswalehe200
    @issaswalehe200 Před 7 měsíci +1

    👍👍👍👍👍👍👍

  • @HansBwoi
    @HansBwoi Před 7 měsíci +1

    Dotto kaongea ukweli mtupu

  • @SelemaniSaid-ip6se
    @SelemaniSaid-ip6se Před 7 měsíci +1

    we doto mluzi ndo nini hahahaha😅😅😅😅😅

  • @HappyGreenTea-fo8lz
    @HappyGreenTea-fo8lz Před 4 měsíci

    Mitungi yao kama nguzo za tanesco😅😅😅😅😂

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 Před 7 měsíci

    Waadishi hawa wanasoma wapi jamani

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 4 měsíci

    mganga wako yupo vizuri kama mganga wa John bocco

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Před 6 měsíci

    Dotto; barabend haitoshi; mwandishi; rababend haitoshi

  • @ndayisengaamissi6102
    @ndayisengaamissi6102 Před 7 měsíci +3

    Watu walio Left Draft😂😂😂😂

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by Před 7 měsíci

    Ety"Balabendi"haitosh haha😂😂😂😂😂 ila dotto

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 Před 7 měsíci +1

    😂😂😂😂😂wakiruka vichura wakipiga mluzi tu unawachoma

  • @user-sr4ow9wi4k
    @user-sr4ow9wi4k Před 7 měsíci +1

    😅😅😅😅😅 kavurugwa

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před 7 měsíci

    Hapa ipo

  • @mwinyisarai-rm5oo
    @mwinyisarai-rm5oo Před 7 měsíci

    Atakae piga mluzitu..hahahaaaaa swiiiiiiii

  • @digoMastar-zf4ji
    @digoMastar-zf4ji Před 6 měsíci

    doto magari Leo umenichekesha sana 😂😂

  • @husseinrashidi5828
    @husseinrashidi5828 Před 7 měsíci

    Inforensa

  • @rehemamillasi2858
    @rehemamillasi2858 Před 7 měsíci

    Twenye jiji letu Dar

  • @nicolausmavoa7909
    @nicolausmavoa7909 Před 7 měsíci +1

    Mluziii😂😂😂😂😂