WANAUME WANAOKUNYWA BIA WANA WINGI WA HOMONI ZA KIKE, KUVAA 'MODO' KUNASABABISHA UGUMBA -DR.GREYSON
Vložit
- čas přidán 15. 01. 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz - Zábava
Doctor yupo vizuri. Pia tunajifunza mengi. Asante
Ahsante sana doctor. Hiyo ya kuvaa modo na boksa ni hatari sana kwa mwanaume, lakini pia wanaume kupika anaweka korodani karibu na joto na ni hatari sana
Saivi bora niokoke tu😮
Binafsi Nahitaji kubadilika maana ninavyoishi najijua mwenyewe😀
Mbona n Unyama tu.😂✔️✍️
Waeleze ukweli docta
Hii ni shida kwakweli
Somo zuri sana
Hapa hamna doctor 😂😂😂
Endelea kubisha
DOKTA NA SISI TUNAOTUMIA WATER DISPENSA
😂😂
😅😅😅😅😂
MDA WA KUOKOKA🤭
Kwani kuuokoka kunakataza kuwa na Mwenza Maana hata Vitabu ya Mungu vinaagiza Tuijaze Dunia Sasa km wewe hutaki haya mafundisho utaijaza vipi hii Duniani......NDIO MAANA MNAITWAGA WANAFIKI !!!
Hapo hamna doctor bali kuna mfano wake sijui kajifunzia wapi haya bogaz kabisa ,
Wewe doctor tuelekeze hayo unayoyajua
Kwanini huamini sayansi
Hata hicho anachokisema ni sayansi pia. We unaamini kitu akisema mzungu tu
huyu ajiangalie sana unaongea kwenye media vitu unaongea ni out kabisa na udoctor
Hujui kitu wewe kaa kwa kutulia
HAYA WEWE NDIO UNAJUA SASA TUKUONE MJUAJI
@@soulja_strength