AL- KASUSI INAVYOWATESA WANAUME DAR, ASIMULIA INAVYOTENGENEZWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • AL- KASUSI INAVYOWATESA WANAUME DAR, ASIMULIA INAVYOTENGENEZWA
    Baada ya kushika hatamu na kuzungumziwa sana katika mitandao mbali mbali ya kijamiii nchini kinywaji chenye asili ya pwani maarufu kama Ali kasusi ambacho kila mtu anakizungumzia kwa namna yake Global radio ikazungumza na mtengenezaji wa kinywaji hicho ambae amefunguka mambo mengi watu wasiyioyajua kuhusu kinywaji hicho
    GLOBAL TV ONLINE (+255 784 888982)
    HABARI MPYA DAILY:
    www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:
    www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    www.youtube.co...

Komentáře • 71

  • @myself4128
    @myself4128 Před 4 lety +6

    Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu,
    Taifa linawaza ngono tuuuu.....kila kitu ni nguvu za kiume,kuongeza uume,kupunguza uke,limbwata yaani ushirikina na ngono tuuu na inasikitisha kuwa mambo ya maana watu hawana tena umuhimu nayo,zinaa tuu

  • @kandorozilinde3892
    @kandorozilinde3892 Před 4 lety

    Namuona gabi mtanzania mzee wa mpo africa

  • @emmanuelbui662
    @emmanuelbui662 Před 4 lety

    Energy og hiyo acha kabisa

  • @peterkimbenju6916
    @peterkimbenju6916 Před 4 lety +2

    As eeeeeeeeee AL kasusi kuna siku ilintesa sana

    • @gwakisaezekiel2576
      @gwakisaezekiel2576 Před 4 lety

      ilikutesaje niambie rafiki

    • @hijarajab5449
      @hijarajab5449 Před 4 lety

      @@gwakisaezekiel2576 ikipikwa kali inakua km eneji hulali mm nimewahi kutokulala kabisa

  • @ahmadiluonyo7120
    @ahmadiluonyo7120 Před 4 lety +1

    Haya shehe wangu

  • @nusalim3389
    @nusalim3389 Před 4 lety

    Ama alkasus nahisi wanachanganya jina Kama kiarabu Kuna miti shamba unaitwa arqa sus au araqsus unafahamika nguvu yake ya kutibu na umetajwa kwny vitab hadithi Kama zile Sana makki na qisti Hindi nahisi Hawa wameupa jina mchanganyiko huu kutokana na jina la mti fulani .haitakuwa sahihi sana

  • @josephmgeni208
    @josephmgeni208 Před 3 lety

    Hii nimeielewa kwamba ukinywa mwili unachangamka hari ambayo inapelekea viungo vyote kua active ndio maana watu walipokunywa wakasema inaongeza nguvu za kiume sababu waliinuka upya

  • @balozichalamila4034
    @balozichalamila4034 Před 4 lety

    Mtangazaji ana kithethe duuh hii mpya

  • @surealfredkabasa4518
    @surealfredkabasa4518 Před 4 lety +3

    Ndio nin sasa?

  • @idrisaseif7464
    @idrisaseif7464 Před 4 lety +1

    dah

  • @emmamoke218
    @emmamoke218 Před 2 lety

    Unatafsiri vizuri kabisa. Ina leta énergie.

  • @TeamKRX
    @TeamKRX Před 4 lety

    Sim naomba yake

  • @huseingulam982
    @huseingulam982 Před měsícem

    Ak kasusi Simon drugs

  • @koshihadiraabdalla5673
    @koshihadiraabdalla5673 Před 4 lety +2

    Huyu Kaka hataki kusema ukweli lakini alqasusi ni dawa nzuri mwili mzima inafanya kazi papo kwa hapo asikosoe wenzake ni kweli pia upande wa nguvu za kiume mwenziwe kaeleza alichokijua na yeye aeleze ayajuayo so kukosoa mnanini watanzania kitafuta umaarufu na vipaji vya watu elimu ni bahari isiyo na mwisho

    • @muskeko7187
      @muskeko7187 Před 4 lety

      Hakosolewii mtu unaelezea uhalisia soko limevamiwa hata km mtu hajui hatak kujifunza ajue yeye hukologatu hatimaye wengine huona haifai na ikiwa ina refresh mwil ndo mana huona kunautofauti nyumban na km ingekua kwa ajil ya nguvu za kiume ingekua na affect kwa wanawake na watoto

  • @nusalim3389
    @nusalim3389 Před 4 lety

    Kuna ankasus na alkasus mwanzo twafahamu ankasus ndio ilikuwa famous ni duni isio na kahawa Yani viunngo na dawa vinakuwa Kama buni na kahawa yake yafanana na hii Ila ni na ni decaffeinated ama alkasus naona wanatumia na maziwa kitu ambacho Kama ni dawa huwez ongeza na maziwa hususan Hawa maziwa ya Sasa

  • @hajiiddi1085
    @hajiiddi1085 Před 3 lety +2

    Hehehehe huyu jamaa anawadanganyeni!! Mimi ni mpishi, mimi hicho kinywaji pia natengeneza naita 5 Star***** chai!! Ni nzuri saana kwa imuni sistumi ya mwili wako! Pia inasafisha damu,cells pia brain!ni nzuri saana kwa mtoto kwani atakuwa na akili nyingi saana! Mtoto wangu kasimama na kuanza kutembea na sasa anaongea, Yuko na mwaka1 miezi nane!

  • @finalovesaid6317
    @finalovesaid6317 Před 4 lety

    Hahahaha nakumbuka zanzibar watu warikuwa wananiambia uza al kasusi bwana

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 Před 4 lety

    Nikweli unaokowa vjana mara nyigi maboss wanajiangalia wao tu

  • @fatemaligalawa4151
    @fatemaligalawa4151 Před 4 lety +2

    Uku Oman ipo mingi

  • @mamukassim4075
    @mamukassim4075 Před 3 lety

    Mume Wang ukinywa iyo sikutaki

  • @khamissaid9586
    @khamissaid9586 Před 4 lety

    Al kasusi achana nayo, mara ya mwanzo nliinywa kule zanzibar yaan dah aiseee hatar

  • @salumothman7548
    @salumothman7548 Před 4 lety +3

    Al kasusi nijuavyo mimi tangu enzi tuna itumia kama dawa ya kifua tena kipande kidogo unatafuna sasa hivi habari za nguvu za kiume zimetoka wapi tena bora mus keko umesema ukweli iyo ni dawa ya kifua bika ya kuchanganya na kitu kingine

  • @hawraymuncw9893
    @hawraymuncw9893 Před 4 lety +1

    Huo mti kwa kiarabu unaitwaje?

  • @mosozifamily7633
    @mosozifamily7633 Před 4 lety

    Tunaomba namba yako mtaalam

  • @fatemaligalawa4151
    @fatemaligalawa4151 Před 4 lety

    Hata Dodoma

  • @muhammadmahmoud1068
    @muhammadmahmoud1068 Před 4 lety

    Kw English inaitwaje na cc tuweze kuipata huku tulipo+974🇶🇦🇶🇦🇶🇦

    • @nusalim3389
      @nusalim3389 Před 4 lety

      English unaitwa liqorice kwa kiarabu ni عرق السوس Ila sidhan Kama ni hii alkasus jina la mtaani unless wawe wanachukua poda ya hio arqasus (liqorice)Kisha ndio wanaifanyia chai take hapo tutaelewana kiufupi bado Sina hoja sahihi kwsbb sijawah kuitumia najisikia tu

    • @muhammadmahmoud1068
      @muhammadmahmoud1068 Před 4 lety

      @@nusalim3389 🙏

  • @mohammedmussa7378
    @mohammedmussa7378 Před 4 lety

    Uongo mtupu haitibu chochote muogope mwenyezi mungu we

    • @muskeko7187
      @muskeko7187 Před 4 lety

      Km kwl unaelimu yake unahaki ya kusema ivyo

  • @allyngoda761
    @allyngoda761 Před 4 lety

    Huyo jamaa anaweledi wa hali ya juu,ni mwerevu sana kukwepa maswali ,lakini amefafanua vizuri Sana.Kwakifupi hiyo Al kasusi ni Kama Energy Drinks UTAMU WA PIPI NI MATE YAKO Bye.

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 Před 4 lety

    Utoe namba kaka

  • @livingstoned3890
    @livingstoned3890 Před 4 lety

    Kuna wale wengine wanawekaga Viagra ndo unafanya hivyo, Ila kwa hii yako ni og

  • @maryammaram2612
    @maryammaram2612 Před 4 lety

    Kumbe mpk pumu inatibu aah lazma niitafute

    • @mohammedmussa7378
      @mohammedmussa7378 Před 4 lety

      Ungo mtupu haitibu pumu hiyo

    • @mohammedmussa7378
      @mohammedmussa7378 Před 4 lety

      Yuko mtu Pemba juzi nimezungumza naye pumu inasumbua paka kaenda kupiga sindano

    • @muskeko7187
      @muskeko7187 Před 4 lety +1

      @@mohammedmussa7378 al kasusi mti unatibu pumu na namtibu bure mgonjwa wako na akipona tunakubaliana ndo unatoa malipo sindano inatuliza haitibu usimkatishe mtu moyo kwa kitu cha kumsaidia elimu pana call 0712618888

    • @mohammedmussa7378
      @mohammedmussa7378 Před 4 lety

      @@muskeko7187 kuna mtu Yuko Pemba anasumbuliwa na pumu Sana inamfanya asipate raha ikimuanza

    • @habibswaleh1767
      @habibswaleh1767 Před 4 lety

      @@muskeko7187 je, alkasusi inasaidia katika mzunguko wa damu mwilini ? Na je, humsaidia mtu aliyeathirika na udhoofu wa uume ? Naomba maswali mawili unijbu 1 baada ya 1 shukran.

  • @thomassiruri6256
    @thomassiruri6256 Před 4 lety

    Mikoani inafika vp hiyo kitu

  • @applestru_cape2219
    @applestru_cape2219 Před 4 lety +2

    Hivi wanaume wa dar mnashida gani ? 😁mmeshahama kule kwenye bando la karanga.nazi. tende nk. Mnakwama wapi?🤓🤓🤓

    • @thomassiruri6256
      @thomassiruri6256 Před 4 lety

      Mikoani inafika vp hiyo kitu

    • @maryammaram2612
      @maryammaram2612 Před 4 lety

      Chips kuku tatizoo wanashindana na madada kula chips wakimaliza wanakimbilia al kasus😄😄😄

    • @applestru_cape2219
      @applestru_cape2219 Před 4 lety

      @@maryammaram2612 Mungu wangu jamani poleni sana .Wasichana wa Dar, pamoja na Wanaume zenu🐱🐱🐱

    • @maryammaram2612
      @maryammaram2612 Před 4 lety

      @@applestru_cape2219 😂😂😂 watajijua wenyewe wache wawaongezee kipato wenzao kwa kunywa al kasusi kwa wingi

    • @applestru_cape2219
      @applestru_cape2219 Před 4 lety

      @@maryammaram2612 🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿