RPC MSTAAFU AANGUKA UKUMBINI BAADA ya KUFANYIWA SAPRAIZ na WANAYE WANAOISHI NJE ya NCHI....

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • RPC MSTAAFU AANGUKA UKUMBINI BAADA ya KUFANYIWA SAPRAIZ na WANAYE WANAOISHI NJE ya NCHI....
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 34

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 18 dny +5

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @viatorykashabizi2538
    @viatorykashabizi2538 Před 15 dny +2

    Best surprise! But, very dangerous though you wanted to show love to your mother. All you wanted was to make her enjoy and it was 100% successfully. You really blessed your mom. May the Lord heavenly King,Almighty God bless you abundantly in His mighty name of Jesus Christ

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 Před 18 dny +7

    Izo surprised fanyeni ulaya mtaua bongo

  • @Mamshika
    @Mamshika Před 17 dny +2

    Sasa mgemuua mgejutia maisha yenu yote nadhani mmejifunza msirudie tena fanyeni huko ulaya

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 Před 18 dny +3

    Duuuh ama kweli hiyo ni bonge la saplaizi😂😂😂😂

  • @Official83640
    @Official83640 Před 18 dny +3

    Dah mtaua mtu siku moja haya mambo haya jaman msiige mtapoteza ndugu zenu na wazazi wenu

  • @viatorykashabizi2538
    @viatorykashabizi2538 Před 15 dny

    Best surprise ! But, very dangerous

  • @rosie8704
    @rosie8704 Před 17 dny +1

    presha haina cha RPC mtamuua mama yenu liwashuke shuuuu

  • @aqwilinalyamuya5712
    @aqwilinalyamuya5712 Před 18 dny +1

    Hongeren sana🎉

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 Před 12 dny

    Suprise gani kama mko Europe hawafanyi mambo haya
    It is not good at all
    Mungu awape maarifa

  • @joycemaige6838
    @joycemaige6838 Před 15 dny

    Hongera dada mama 🎉tuwatunze na kuwapa furaha wakiwa hai

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Před 18 dny +2

    Nimelia kwaa furaha

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 Před 10 dny

    Watu wa ulaya hawanenepagi

  • @braggadachu1723
    @braggadachu1723 Před 17 dny

    Dah hongereni 😢wengine mimi mzazi kafariki 49 years nyie wa kwenu kafika 70 years nyie mna 40 and above

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 18 dny +2

    Alafu ndiyo nini yani mmepata nini zidi ya.zambi hapo

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 Před 12 dny

    RPC wa ilala, hakuwa na jina ?

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před 17 dny +1

    Na mbona hamjamuekea nywele vizuri 😮😮

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Před 18 dny +3

    Msifanye hivyo mara ingine mtapata murder case!😂😂

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Před 14 dny

    Nyie mtasabisha mzazi wenu afariki wazee Wenye presha msiwasumbue namambo ayo ayoniyetu sisi vijana

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq Před 18 dny +3

    Labda mi mshamba jamani lakini RPC wa Ilala ni kitu gani hicho 😊

  • @judithvicenty3410
    @judithvicenty3410 Před 17 dny

    Kwa kweli mlitakiwa kumuandaa vzr haswa. Mimi ni mmoja wapo ya mtu nisiyependa kushtukizwa jambo.

  • @DavidSemu-gu6wp
    @DavidSemu-gu6wp Před 16 dny

    Hakuna jambo silipendi kama hilo, mtu akinisuprize ili ni furahi au ni cheke atashangaa nitakavyo mchukia, watu tumejaa ma stress halafu ufanye mzaha! mbona Hata mbata itaweza kukuhusu.

  • @pendoanzigar3172
    @pendoanzigar3172 Před 18 dny

    waoo its a good supriae❤

  • @jemimabakari
    @jemimabakari Před 17 dny

    Mtakuja kuua