RPC MSTAAFU AANGUKA UKUMBINI BAADA ya KUFANYIWA SAPRAIZ na WANAYE WANAOISHI NJE ya NCHI....
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- RPC MSTAAFU AANGUKA UKUMBINI BAADA ya KUFANYIWA SAPRAIZ na WANAYE WANAOISHI NJE ya NCHI....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Best surprise! But, very dangerous though you wanted to show love to your mother. All you wanted was to make her enjoy and it was 100% successfully. You really blessed your mom. May the Lord heavenly King,Almighty God bless you abundantly in His mighty name of Jesus Christ
Izo surprised fanyeni ulaya mtaua bongo
😂😂😂
Sasa mgemuua mgejutia maisha yenu yote nadhani mmejifunza msirudie tena fanyeni huko ulaya
Duuuh ama kweli hiyo ni bonge la saplaizi😂😂😂😂
Dah mtaua mtu siku moja haya mambo haya jaman msiige mtapoteza ndugu zenu na wazazi wenu
Best surprise ! But, very dangerous
presha haina cha RPC mtamuua mama yenu liwashuke shuuuu
Hongeren sana🎉
Suprise gani kama mko Europe hawafanyi mambo haya
It is not good at all
Mungu awape maarifa
Hongera dada mama 🎉tuwatunze na kuwapa furaha wakiwa hai
Nimelia kwaa furaha
Watu wa ulaya hawanenepagi
Dah hongereni 😢wengine mimi mzazi kafariki 49 years nyie wa kwenu kafika 70 years nyie mna 40 and above
Alafu ndiyo nini yani mmepata nini zidi ya.zambi hapo
RPC wa ilala, hakuwa na jina ?
Na mbona hamjamuekea nywele vizuri 😮😮
We nae unatakaje khaaa
Msifanye hivyo mara ingine mtapata murder case!😂😂
Nyie mtasabisha mzazi wenu afariki wazee Wenye presha msiwasumbue namambo ayo ayoniyetu sisi vijana
Labda mi mshamba jamani lakini RPC wa Ilala ni kitu gani hicho 😊
Labda ni mkoa wa kipolos
Mkoa wa kipolisi
Huenda ikawa Reginal Police Commander (😂) sina hakika
@@MsAggie5 bangi wewe hahahaha
Nikweli wewe ni mshamba😂😂😂 ila sio mshamba ni kutokujua tu. Mkoa wa kipolisi
Kwa kweli mlitakiwa kumuandaa vzr haswa. Mimi ni mmoja wapo ya mtu nisiyependa kushtukizwa jambo.
Hakuna jambo silipendi kama hilo, mtu akinisuprize ili ni furahi au ni cheke atashangaa nitakavyo mchukia, watu tumejaa ma stress halafu ufanye mzaha! mbona Hata mbata itaweza kukuhusu.
😂😂😂
waoo its a good supriae❤
Mtakuja kuua