Assalaam Alaykum. Mimi pia nasumbuliwa na tatizo hili la nguvu za kiume. Leo nimebahatika kisikilza mchanganyo wa dawa 13.Lakini ni kweli dawa moja inkosekana kama walvyo gundua wasikilizaji wengine nabado mimi binafsi sijapata jibu ya hiyo dawa inyokosekana. Pia mimi naomba Aya/Sura rukya za kusoma na kama ipo dawa kamili iliyokwisha andaliwa ya mchanganuo huu na bei yake tafadhali Skh. tutajie. Wabillah Tawfiq.
Tatizo Sheikh wetu tunakuomba kwa niaba ya Allah ututajie mchanganyo wa 13,umetutajia michanganyo 12 pekee,pia tunaomba uwe ukitujibu tunapokuuliza maana umejitolea kwa ajili ya Allah kuelemisha Ummah
Sasa kinamama hicho ndio chakula cha wanaume , mahsusi kwa maumbile ya uzazi ya kwao, nguvu za mwanaume huletwa na vyakula hivi, ugali, maharage,kuku, wali, na vyakula vya kila siku ni vya kuupa mwili nguvu tu, lkn kwa kitandani hii ndio dawa mujarab
Sasa cheikh Michael nina swali kwako nikikufuata na nikiwa hapa Congo/ Lubumbashi. Naomba uniruhusu niyaeleze matatizo yangu ya afya. ( Canser,tezi dume,kukosa nguvu za kiume... 24:16 dume,
Ssa utamkuta m’me wa siku hzi shida tupu cha kukila mtihani anakwenda kutafuta dawa za kuongeza nguvu anakula halafu anakwenda kutafuta wtto wa watu 2,3 au 4 anaoa anaanza kuwatesa kwa kufanya kazi yy akiguswa hana pesa.
Asalam alikum ,samahani lakini shekhe huwa uko upande ngani, mara kwa ruqia mara ndoto mara mawaidha ili uwe mzuri kwajamb o fulani lazima uwe na istikama,🇰🇪 samahani kama nimekosa
Asslam Alaikum Waramatullah Wabarakatu Tulikuwa Maakini Sana Kwa Izo Dawa Ila Mumokosea Dawa Moja Kuitaja Kma Amtokali Mnaweza Kurudira Iyo Dawa Ili Ikalimike 13 Yyi Mumechanganya 12 😢😢😢
Assalaam Alaykum. Mimi pia nasumbuliwa na tatizo hili la nguvu za kiume. Leo nimebahatika kisikilza mchanganyo wa dawa 13.Lakini ni kweli dawa moja inkosekana kama walvyo gundua wasikilizaji wengine nabado mimi binafsi sijapata jibu ya hiyo dawa inyokosekana. Pia mimi naomba Aya/Sura rukya za kusoma na kama ipo dawa kamili iliyokwisha andaliwa ya mchanganuo huu na bei yake tafadhali Skh. tutajie. Wabillah Tawfiq.
Mashaa ALLAH shukran kwa somo
Shukran shekh Othman
Shukran sheikh
MaShaAllah Allah azidi kukupa umri mrefu tuzid pata faida toka kwako
Shekhe jazakallahu khaira
Shukran shekhe letu
Assalam alkum mm tatizo langu Nina mshipa watumbo umenizuya damu ya hedhi naumwa Sana he nifanyeje
Mashaallah
Maashaallah
Naam❤
I wish u can say those names in English too
Kindly explain in english
Asalam aleikm warahimathullahi wabarakatuhu sasa sisi wenye tuko Kenya Mombasa tutazipata vp hizo dawa innsha Allah
Nend duka la daw za asil
Marikiti
Shukran sheik wangu naomba namba yako
Asalam alykum sheikh mm nahitj hy dawa naipataje kutoka kwako orginal
Sheikh namba ya simu yako vp Kuna mambo ya kujadili juu ya tiba yako sheikh thks
Aslm alkum walahamatullah wabarakatuh sheikh nauliza dawa hiyo bai gani na nitayipata aje
Asslam alaikum...ina expire baada ya muda gani
Asalam alaykum mm nko kenya mombasa je naeza pata hii dawa na n kwagarama gana
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheh tunashukuru sana kwa dawa izo mimi nipo cape town south Africa tapata iyo dawa vipi?
Tatizo Sheikh wetu tunakuomba kwa niaba ya Allah ututajie mchanganyo wa 13,umetutajia michanganyo 12 pekee,pia tunaomba uwe ukitujibu tunapokuuliza maana umejitolea kwa ajili ya Allah kuelemisha Ummah
Hiyo dawa inaitwaje maana jina hujalisema ili tuweze kuinunua na kuitumia.
Wapi watu wengine tumehamasika nayo.
Assala alaikum warahmatullah wabarakatuh vipi halizenu? Kwa watu Burundi dawa iyo waipata vipi?
asalamwaleikum sheik shukran kwa darsa nakufatilia vizuri mungu akulipe inshaala
Maashaallah, Allah akulipe kheri shekh wetu kwa faida hizi adhwiim, ilaa dawa ya 9, hatujaisikia.
ni kweli namba 9 imerukwa
Dawa ni 13 na zote zimetajwa
Hajataja
Waslmu walekum Niko Kenya nikitaka nitaipataje
nipe contact no. za kupata hio dawa
Sasa kinamama hicho ndio chakula cha wanaume , mahsusi kwa maumbile ya uzazi ya kwao, nguvu za mwanaume huletwa na vyakula hivi, ugali, maharage,kuku, wali, na vyakula vya kila siku ni vya kuupa mwili nguvu tu, lkn kwa kitandani hii ndio dawa mujarab
Asalamu alaykum shek mm nipo zanzibar ntaipataje
Sasa cheikh Michael nina swali kwako nikikufuata na nikiwa hapa Congo/ Lubumbashi. Naomba uniruhusu niyaeleze matatizo yangu ya afya. ( Canser,tezi dume,kukosa nguvu za kiume... 24:16 dume,
Na Mimi naitaji dawa hii ninaishi Zambia je ninawezaje kuipata nina umri wa miaka 65
Nimepata elim nashukulu
Doctor unapatikana wap maana nam nahitaji dawa maana ninatatizo la nguvu za kiume
Cha Tano Iliki Jameni Mtatuchangaya
Samahani naomba numbers za Cheikh za WhatsApp ! Nisaidiyeni Ndugu zangu
Nimefurahia somo lkni je dawa no. 9 mbone hujaitaja. Dawa hizi ziapatikana wapi.
Ssa utamkuta m’me wa siku hzi shida tupu cha kukila mtihani anakwenda kutafuta dawa za kuongeza nguvu anakula halafu anakwenda kutafuta wtto wa watu 2,3 au 4 anaoa anaanza kuwatesa kwa kufanya kazi yy akiguswa hana pesa.
Unapatikana wap
munapatikana wapi hapa zanzibr nataka yaguvu zakiume ilokamilika muchaganyo ote
Masha Allah 🙏
nimekufata munganga sasa sisi tuko Kivu tuta pata hisomadawa wapi hizo amatupe bamba zako
No 9 hakuna please,
Swml imamu tutapatadje iyi Dawa Congo ? Upande wa mokambo njiya ya kwenda lubumbashi.
Ss wa mombasa
Hulinjani kiingereza ni nini?
Urijani sijakuelewa ni mmea gani au unajina lingne hapa tanzania
Na ni shilingi ngapi
Kindly uwe pia unaeleza na kiingereza please to those who don’t understand Kiswahili properly
Sio bahati yako kama hujui kiswahili
Aslm alkm sheikh maboga ninini hukukenya twachanganyikiwa hatujui maboga ninini
Pumpkins seeds
Hayo Maziwa yanachemshwa au?
Yenye Uko Tayari kwa hiyo Mkebe mdogo inaitwaje
Tumeiskia dawa yako shehk ila tutakupataje ili tupate maelekezo zaidi?
*sheikh tupo ktk karafuu nasio hiliki*
Wamama pia wanaweza tumia??
Je shekh as wakina mama tutumie ip
Sheikh nimekufuatia sana ila mmeruka kitu cha 10
Sheikh iyo dawa ni shingapi
Aliepata majibu ya namba 9 atuambie jamani
Dawa bei gani,na nipo kilimanjaro
Abasauda kwa jina lingne ni lipi hapa tanzania
Aksanti Mzee lakini utusaidiye kufasiriya hiki kiungo Cha pili habasauda
Sheikh kijana wko hayuko makini ktk kuhesabu kabisaaa
HABA SODA jina ni hili tu inajulikana kote jina hili.pia ni Kiarabu.
Jina gani la dawa na inapatikana Duka gani
Hyo dawa bei gani shekh???
Allah akulipe kheri, ilaa dawa ya 9, hatujaisikia
Namwanamke anatumia?
Naomba namba yako yasimu wasap
Mimi naitaka hiyo dawa
Asalamualikumu warahmatullah wabarakatu shekh mimi niko swiss sijuwi nitaipataje iyodawa
Assalmalkm, huku Kenya tutazipata wapi? Count ya Kilifi. Mashallah Allah akupe kheri utupe mafunzo.
Najee kama hujuwi hizo ayah atafanyaje?
Tutajieshee pamoja nadawa
𝘐𝘯𝘴𝘩𝘢𝘢𝘭𝘭𝘢
Asalam alikum ,samahani lakini shekhe huwa uko upande ngani, mara kwa ruqia mara ndoto mara mawaidha ili uwe mzuri kwajamb
o fulani lazima uwe na istikama,🇰🇪 samahani kama nimekosa
Ukasema karafuu vijiko vingapi!
Jameni Pili Pili Manga Ni Dawa Ya 9 Mbona Muneruka
Huyo mwenye kumsomea ndio hayuko makini
How much
Shehe iyodawa ntaipataje?
Nimetamani nipate mtoto wa kiume
Allah ndo mjuzi wa kIla jambo mu ombe Allah usi ambie Bina damu mwenzangu
Mimi mrija wa kizazi umefunga
Wapige pesa tuuuuuuu, majin na uchaw shilik tupu
Asslam Alaikum Waramatullah Wabarakatu Tulikuwa Maakini Sana Kwa Izo Dawa Ila Mumokosea Dawa Moja Kuitaja Kma Amtokali Mnaweza Kurudira Iyo Dawa Ili Ikalimike 13 Yyi Mumechanganya 12 😢😢😢
kWELI
10:42 10:45
.nitapata..aje.niko.kenya
Mpigie number zinapita chini ya video
Mchefua uchawi inauzwa madukanii ama
Ya madawa asili
Hi...nichaganyie hunitumie niko eldoret
Tuletee hizi data zako nairobi
Dawa
Kuuliza 2 Karanga Ni Njuguu Au
Ndio
Ndio
Nini dawa ya majo ikiuma
Mtakuja kuua watu ninyi
Hahhahahaha kwann
Apo kwenye dawa ya kissunah ni uongo dawa ni jambo la jitihada kwaio hukmu ya dawa ni ibaha hakuna dawa ya kisunnah
Akili zako zinakutosha kula na kulala tu. Hayo mengine yapo nnje ya uwezo wa akili yako.
@@user-se5zb4qh2fkasome kwanza jaahil wewe
Dawa za kisunna kwamaana ni dawa alizokua akitumia Mtume Muhammad s.a.w au alizozifundisha.
Sheikh kunawatu wanakukosoa hao usiwasikilize hawana akili mzuli kama wao wanajua mbona hawafundishi watu kaziyao kukosoa tu hawana lolote usiwaxikilize mapungu hao
Sheikh usiache kufundisha kwa ajili ya hao wanaekosoa hawana lolote kz kuwakosowa wenzao km wao wamekamilika doctor libanda chingungwe kuchele
je huu mchanganyiko, mwenye tatizo ya Homa ya Ini itamsaidiaje?
Sasa na faa nikunyue yenye hume honysha
Naomba kujua maboga ni nn
Palmkin
Pumpkin
Wenye mswahili na unazungumza Kiswahili, unaaandika Kiswahili halafu hujuo boga nini hebu kalale.
Pumpkin ,
Pumpkin seeds
Habasauda ni nini kwa English
Black seeds powder
Blackseeds oil
Sperm count!
Mwanza ofisi yenu mnapatikana mtaa gani?
Mashalllah
Sidi tuko rahiya wa Burundi hebu mukatuletee dawa hiyo kwamchanganyiko tunununuwe'
Urijani sijakuelewa ni mmea gani au unajina lingne hapa tanzania