BAADA YA MZEE WA MIAKA 65 KUPONA KTK UBORA WAKE NGUVU ZA KIUME OTHMAN MAIKO AAMUA KUIELEKEZA LIVE.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 11. 2022

Komentáře • 132

  • @jumamwindadi
    @jumamwindadi Před 2 měsíci +1

    Assalaam Alaykum. Mimi pia nasumbuliwa na tatizo hili la nguvu za kiume. Leo nimebahatika kisikilza mchanganyo wa dawa 13.Lakini ni kweli dawa moja inkosekana kama walvyo gundua wasikilizaji wengine nabado mimi binafsi sijapata jibu ya hiyo dawa inyokosekana. Pia mimi naomba Aya/Sura rukya za kusoma na kama ipo dawa kamili iliyokwisha andaliwa ya mchanganuo huu na bei yake tafadhali Skh. tutajie. Wabillah Tawfiq.

  • @ngamiazukhty3126
    @ngamiazukhty3126 Před rokem +3

    Mashaa ALLAH shukran kwa somo

  • @ibrahimcollow1789
    @ibrahimcollow1789 Před 8 měsíci

    Shukran shekh Othman

  • @MwinyiMwinyihija
    @MwinyiMwinyihija Před 11 měsíci

    Shukran sheikh

  • @user-in8ob4un7g
    @user-in8ob4un7g Před 10 měsíci

    MaShaAllah Allah azidi kukupa umri mrefu tuzid pata faida toka kwako

  • @ukhtiamina776
    @ukhtiamina776 Před 2 měsíci

    Shekhe jazakallahu khaira

  • @user-ee3th3tn4i
    @user-ee3th3tn4i Před 5 měsíci

    Shukran shekhe letu

  • @user-ml6ms5js9x
    @user-ml6ms5js9x Před 11 měsíci

    Assalam alkum mm tatizo langu Nina mshipa watumbo umenizuya damu ya hedhi naumwa Sana he nifanyeje

  • @shuweyaabdulkarim3261
    @shuweyaabdulkarim3261 Před 7 měsíci

    Mashaallah

  • @SalumHaji-ys4nj
    @SalumHaji-ys4nj Před 9 měsíci

    Maashaallah

  • @mamdiakite698
    @mamdiakite698 Před 7 měsíci

    Naam❤

  • @jerrymcbride2230
    @jerrymcbride2230 Před 10 měsíci

    I wish u can say those names in English too

  • @Rapidscity
    @Rapidscity Před 5 měsíci

    Kindly explain in english

  • @user-zr5lb9zk1g
    @user-zr5lb9zk1g Před rokem +4

    Asalam aleikm warahimathullahi wabarakatuhu sasa sisi wenye tuko Kenya Mombasa tutazipata vp hizo dawa innsha Allah

  • @user-pl2um2wy4z
    @user-pl2um2wy4z Před 10 měsíci

    Shukran sheik wangu naomba namba yako

  • @user-qo1db1eq2c
    @user-qo1db1eq2c Před 10 měsíci

    Asalam alykum sheikh mm nahitj hy dawa naipataje kutoka kwako orginal

  • @ibrahimmaulid2704
    @ibrahimmaulid2704 Před rokem +1

    Sheikh namba ya simu yako vp Kuna mambo ya kujadili juu ya tiba yako sheikh thks

  • @ismagatarama1285
    @ismagatarama1285 Před rokem +1

    Aslm alkum walahamatullah wabarakatuh sheikh nauliza dawa hiyo bai gani na nitayipata aje

  • @mkmwayama4534
    @mkmwayama4534 Před rokem

    Asslam alaikum...ina expire baada ya muda gani

  • @alimanzele9557
    @alimanzele9557 Před 9 měsíci

    Asalam alaykum mm nko kenya mombasa je naeza pata hii dawa na n kwagarama gana

  • @user-qj5us7zb7x
    @user-qj5us7zb7x Před 5 měsíci

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheh tunashukuru sana kwa dawa izo mimi nipo cape town south Africa tapata iyo dawa vipi?

  • @mwalimumlaula6167
    @mwalimumlaula6167 Před rokem +2

    Tatizo Sheikh wetu tunakuomba kwa niaba ya Allah ututajie mchanganyo wa 13,umetutajia michanganyo 12 pekee,pia tunaomba uwe ukitujibu tunapokuuliza maana umejitolea kwa ajili ya Allah kuelemisha Ummah

  • @AlexGLyimo
    @AlexGLyimo Před 9 měsíci +1

    Hiyo dawa inaitwaje maana jina hujalisema ili tuweze kuinunua na kuitumia.
    Wapi watu wengine tumehamasika nayo.

  • @user-qz9gl2qu1e
    @user-qz9gl2qu1e Před rokem

    Assala alaikum warahmatullah wabarakatuh vipi halizenu? Kwa watu Burundi dawa iyo waipata vipi?

  • @AbdiKadirKanu
    @AbdiKadirKanu Před 10 měsíci

    asalamwaleikum sheik shukran kwa darsa nakufatilia vizuri mungu akulipe inshaala

  • @ridhiwanisaidi-gs5tf
    @ridhiwanisaidi-gs5tf Před rokem +3

    Maashaallah, Allah akulipe kheri shekh wetu kwa faida hizi adhwiim, ilaa dawa ya 9, hatujaisikia.

  • @delvinaemanel2519
    @delvinaemanel2519 Před rokem

    Waslmu walekum Niko Kenya nikitaka nitaipataje

  • @sss3s867
    @sss3s867 Před rokem

    nipe contact no. za kupata hio dawa

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před rokem +1

    Sasa kinamama hicho ndio chakula cha wanaume , mahsusi kwa maumbile ya uzazi ya kwao, nguvu za mwanaume huletwa na vyakula hivi, ugali, maharage,kuku, wali, na vyakula vya kila siku ni vya kuupa mwili nguvu tu, lkn kwa kitandani hii ndio dawa mujarab

  • @user-sf2ne3tf9w
    @user-sf2ne3tf9w Před 6 měsíci

    Asalamu alaykum shek mm nipo zanzibar ntaipataje

  • @kit-thsabanyene9752
    @kit-thsabanyene9752 Před 4 měsíci

    Sasa cheikh Michael nina swali kwako nikikufuata na nikiwa hapa Congo/ Lubumbashi. Naomba uniruhusu niyaeleze matatizo yangu ya afya. ( Canser,tezi dume,kukosa nguvu za kiume... 24:16 dume,

  • @OBEDIMikoba-no9rb
    @OBEDIMikoba-no9rb Před 10 měsíci

    Na Mimi naitaji dawa hii ninaishi Zambia je ninawezaje kuipata nina umri wa miaka 65

  • @user-gd3sf8zx3j
    @user-gd3sf8zx3j Před 5 měsíci

    Nimepata elim nashukulu

  • @MarwaMsela-zx5wr
    @MarwaMsela-zx5wr Před rokem +1

    Doctor unapatikana wap maana nam nahitaji dawa maana ninatatizo la nguvu za kiume

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Před rokem

    Cha Tano Iliki Jameni Mtatuchangaya

  • @abdulhakimhussein6039
    @abdulhakimhussein6039 Před 9 měsíci

    Samahani naomba numbers za Cheikh za WhatsApp ! Nisaidiyeni Ndugu zangu

  • @brunonguma3152
    @brunonguma3152 Před 11 měsíci

    Nimefurahia somo lkni je dawa no. 9 mbone hujaitaja. Dawa hizi ziapatikana wapi.

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Před 8 měsíci

    Ssa utamkuta m’me wa siku hzi shida tupu cha kukila mtihani anakwenda kutafuta dawa za kuongeza nguvu anakula halafu anakwenda kutafuta wtto wa watu 2,3 au 4 anaoa anaanza kuwatesa kwa kufanya kazi yy akiguswa hana pesa.

  • @mickmill4342
    @mickmill4342 Před měsícem

    Unapatikana wap

  • @jumannemaganga-yu7ky
    @jumannemaganga-yu7ky Před 9 měsíci

    munapatikana wapi hapa zanzibr nataka yaguvu zakiume ilokamilika muchaganyo ote

  • @alimzee
    @alimzee Před rokem

    Masha Allah 🙏

    • @dalmondmavoko788
      @dalmondmavoko788 Před 9 měsíci

      nimekufata munganga sasa sisi tuko Kivu tuta pata hisomadawa wapi hizo amatupe bamba zako

  • @cecilngigi8538
    @cecilngigi8538 Před 9 měsíci

    No 9 hakuna please,

  • @Assani123
    @Assani123 Před rokem +1

    Swml imamu tutapatadje iyi Dawa Congo ? Upande wa mokambo njiya ya kwenda lubumbashi.

  • @ghaniyyatkinyogoli8214
    @ghaniyyatkinyogoli8214 Před 9 měsíci

    Ss wa mombasa

  • @jumachengo2677
    @jumachengo2677 Před rokem +1

    Hulinjani kiingereza ni nini?

  • @user-ys6zu8hd8q
    @user-ys6zu8hd8q Před 6 měsíci

    Urijani sijakuelewa ni mmea gani au unajina lingne hapa tanzania

  • @delvinaemanel2519
    @delvinaemanel2519 Před rokem

    Na ni shilingi ngapi

  • @conniekimaru705
    @conniekimaru705 Před rokem +2

    Kindly uwe pia unaeleza na kiingereza please to those who don’t understand Kiswahili properly

  • @user-wm4cb7sd4w
    @user-wm4cb7sd4w Před 10 měsíci

    Hayo Maziwa yanachemshwa au?

  • @abdulrahmanmwinga3248
    @abdulrahmanmwinga3248 Před 11 měsíci

    Yenye Uko Tayari kwa hiyo Mkebe mdogo inaitwaje

  • @philipsaleh
    @philipsaleh Před 7 měsíci

    Tumeiskia dawa yako shehk ila tutakupataje ili tupate maelekezo zaidi?

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 Před rokem

    *sheikh tupo ktk karafuu nasio hiliki*

  • @nishkip791
    @nishkip791 Před 9 měsíci

    Wamama pia wanaweza tumia??

  • @ukhtiamina776
    @ukhtiamina776 Před 2 měsíci

    Je shekh as wakina mama tutumie ip

  • @Cute-jh4jw
    @Cute-jh4jw Před 7 měsíci

    Sheikh nimekufuatia sana ila mmeruka kitu cha 10

  • @abdullymalambaya
    @abdullymalambaya Před 7 hodinami

    Sheikh iyo dawa ni shingapi

  • @ismailissa3996
    @ismailissa3996 Před 6 měsíci

    Aliepata majibu ya namba 9 atuambie jamani

  • @user-eq7co3jr2n
    @user-eq7co3jr2n Před 9 měsíci

    Dawa bei gani,na nipo kilimanjaro

  • @user-ys6zu8hd8q
    @user-ys6zu8hd8q Před 6 měsíci

    Abasauda kwa jina lingne ni lipi hapa tanzania

  • @user-ti2jj4ek1v
    @user-ti2jj4ek1v Před 9 měsíci

    Aksanti Mzee lakini utusaidiye kufasiriya hiki kiungo Cha pili habasauda

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 Před rokem

    Sheikh kijana wko hayuko makini ktk kuhesabu kabisaaa

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Před 2 měsíci

    HABA SODA jina ni hili tu inajulikana kote jina hili.pia ni Kiarabu.

  • @ameiramme2548
    @ameiramme2548 Před 3 měsíci

    Jina gani la dawa na inapatikana Duka gani

  • @batulimafita8204
    @batulimafita8204 Před 10 měsíci

    Hyo dawa bei gani shekh???

  • @ridhiwanisaidi-gs5tf
    @ridhiwanisaidi-gs5tf Před rokem

    Allah akulipe kheri, ilaa dawa ya 9, hatujaisikia

  • @sesilialaga5403
    @sesilialaga5403 Před 2 měsíci

    Namwanamke anatumia?

  • @AmorMasoud
    @AmorMasoud Před 3 měsíci

    Naomba namba yako yasimu wasap

  • @SharifaYaru-ev9su
    @SharifaYaru-ev9su Před 10 měsíci

    Mimi naitaka hiyo dawa

  • @issaiddy1295
    @issaiddy1295 Před 11 měsíci

    Asalamualikumu warahmatullah wabarakatu shekh mimi niko swiss sijuwi nitaipataje iyodawa

  • @zawadidagamra4106
    @zawadidagamra4106 Před 11 měsíci

    Assalmalkm, huku Kenya tutazipata wapi? Count ya Kilifi. Mashallah Allah akupe kheri utupe mafunzo.

  • @user-ej6mc2sr1o
    @user-ej6mc2sr1o Před rokem

    Najee kama hujuwi hizo ayah atafanyaje?

  • @user-ps8qh1sy4r
    @user-ps8qh1sy4r Před 7 měsíci

    Tutajieshee pamoja nadawa

  • @SaddiqRamadhan
    @SaddiqRamadhan Před rokem

    𝘐𝘯𝘴𝘩𝘢𝘢𝘭𝘭𝘢

  • @user-dg2lo3fi9b
    @user-dg2lo3fi9b Před 9 měsíci

    Asalam alikum ,samahani lakini shekhe huwa uko upande ngani, mara kwa ruqia mara ndoto mara mawaidha ili uwe mzuri kwajamb
    o fulani lazima uwe na istikama,🇰🇪 samahani kama nimekosa

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 9 měsíci

    Ukasema karafuu vijiko vingapi!

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Před rokem +1

    Jameni Pili Pili Manga Ni Dawa Ya 9 Mbona Muneruka

  • @carolinelucky9199
    @carolinelucky9199 Před 10 měsíci

    How much

  • @BakariMaulidKhatib
    @BakariMaulidKhatib Před 3 měsíci

    Shehe iyodawa ntaipataje?

  • @delvinaemanel2519
    @delvinaemanel2519 Před rokem

    Nimetamani nipate mtoto wa kiume

    • @oj6595
      @oj6595 Před 10 měsíci

      Allah ndo mjuzi wa kIla jambo mu ombe Allah usi ambie Bina damu mwenzangu

  • @delvinaemanel2519
    @delvinaemanel2519 Před rokem

    Mimi mrija wa kizazi umefunga

  • @danielmasunu5851
    @danielmasunu5851 Před 9 měsíci

    Wapige pesa tuuuuuuu, majin na uchaw shilik tupu

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Před rokem +7

    Asslam Alaikum Waramatullah Wabarakatu Tulikuwa Maakini Sana Kwa Izo Dawa Ila Mumokosea Dawa Moja Kuitaja Kma Amtokali Mnaweza Kurudira Iyo Dawa Ili Ikalimike 13 Yyi Mumechanganya 12 😢😢😢

  • @simongitonga8045
    @simongitonga8045 Před 11 měsíci

    .nitapata..aje.niko.kenya

    • @tashone7884
      @tashone7884 Před 10 měsíci

      Mpigie number zinapita chini ya video

  • @user-ej6mc2sr1o
    @user-ej6mc2sr1o Před rokem

    Mchefua uchawi inauzwa madukanii ama

  • @carolinelucky9199
    @carolinelucky9199 Před 10 měsíci

    Hi...nichaganyie hunitumie niko eldoret

  • @Rapidscity
    @Rapidscity Před 5 měsíci

    Tuletee hizi data zako nairobi

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Před rokem

    Kuuliza 2 Karanga Ni Njuguu Au

  • @shalomyashua2884
    @shalomyashua2884 Před 10 měsíci

    Nini dawa ya majo ikiuma

  • @dicksonnussu702
    @dicksonnussu702 Před 9 měsíci

    Mtakuja kuua watu ninyi

  • @kasumunigwasa
    @kasumunigwasa Před 10 měsíci +2

    Apo kwenye dawa ya kissunah ni uongo dawa ni jambo la jitihada kwaio hukmu ya dawa ni ibaha hakuna dawa ya kisunnah

    • @user-se5zb4qh2f
      @user-se5zb4qh2f Před 9 měsíci

      Akili zako zinakutosha kula na kulala tu. Hayo mengine yapo nnje ya uwezo wa akili yako.

    • @kasumunigwasa
      @kasumunigwasa Před 9 měsíci

      ​@@user-se5zb4qh2fkasome kwanza jaahil wewe

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Před 8 měsíci

      Dawa za kisunna kwamaana ni dawa alizokua akitumia Mtume Muhammad s.a.w au alizozifundisha.

    • @user-ch5xl9ou4w
      @user-ch5xl9ou4w Před 5 měsíci

      Sheikh kunawatu wanakukosoa hao usiwasikilize hawana akili mzuli kama wao wanajua mbona hawafundishi watu kaziyao kukosoa tu hawana lolote usiwaxikilize mapungu hao

    • @user-ch5xl9ou4w
      @user-ch5xl9ou4w Před 5 měsíci

      Sheikh usiache kufundisha kwa ajili ya hao wanaekosoa hawana lolote kz kuwakosowa wenzao km wao wamekamilika doctor libanda chingungwe kuchele

  • @mwakapalamwakapala8317
    @mwakapalamwakapala8317 Před 9 měsíci

    je huu mchanganyiko, mwenye tatizo ya Homa ya Ini itamsaidiaje?

  • @carolinelucky9199
    @carolinelucky9199 Před 10 měsíci

    Sasa na faa nikunyue yenye hume honysha

  • @abdulrahmanmwinga3248
    @abdulrahmanmwinga3248 Před 11 měsíci

    Naomba kujua maboga ni nn

  • @samkim2321
    @samkim2321 Před 9 měsíci

    Habasauda ni nini kwa English

  • @fadhilichitagu2730
    @fadhilichitagu2730 Před rokem +1

    Sperm count!

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l Před 10 měsíci

    Mashalllah

    • @LightworshipTeam
      @LightworshipTeam Před 10 měsíci

      Sidi tuko rahiya wa Burundi hebu mukatuletee dawa hiyo kwamchanganyiko tunununuwe'

  • @user-ys6zu8hd8q
    @user-ys6zu8hd8q Před 6 měsíci

    Urijani sijakuelewa ni mmea gani au unajina lingne hapa tanzania