Nini Chakufanya Unaposemwa Vibaya Na Watu?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 05. 2019
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 565

  • @oseahkaswaga4212
    @oseahkaswaga4212 Před 5 lety +12

    Post kama hizi zinahitaji kuwa na views kuanzia Billion na kuendelea,lakin tatizo watanzania wengi tunaishi na tabia kama hizi cz tunahisi kama tuna disiwa kumbe tuna pewa Elimu....Kaka unaweza sana #WorkHard #I_got_α_chαnges 4ur words.

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 Před 5 lety +61

    Brother ni kioo cha jamii nizaidi ya mwalimu ww ni zaidi ya mshauri unayoyasema yoteee ndio tulionayo kwenye jamii na ndio changa moto zetu hakika Allah akubarik daima uwe na maisha marefu mia 900

    • @innocentkyungai1138
      @innocentkyungai1138 Před 4 lety +1

      Nakusikiaga Sana kaka ila sijawahi pata muda wa kukufuatilia hakika kuanzia leo maneno yako ni chakula changu Cha kila siku Kama iliyokuwa kwa mitimingi!.

    • @tumaingideon5237
      @tumaingideon5237 Před rokem +1

      Brother thanks

    • @lesionlukumay5195
      @lesionlukumay5195 Před 9 měsíci

      Brother mm nina shida kubwa sana màana anae nisema vibaya ni mume wangu na kila akisema ukimuuliza anasema nimeteleza nisamehe anarudia kila mara najikuta naumia sana lakini hajali

    • @lesionlukumay5195
      @lesionlukumay5195 Před 9 měsíci

      Naomba msaada

  • @saumuyahaya8959
    @saumuyahaya8959 Před 10 měsíci +4

    Hapa kazini kwangu nimeshakutana nayo kwa maboss na wafanya kazi wenzangu lkn nilijitahidi na kazi sikukata tamaa mwisho nilifanikiwa Asante kaka unanielimisha sanaaaaaa

  • @queennossy921
    @queennossy921 Před 3 lety +5

    I like this guy Nanauka ananimotivate sana my God blessed u more

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 Před 5 lety +7

    Ujumbe mzuri sana kunawatu wanaweza wakasema vibaya sababu umewazidi cheo au umewazidi pesa au kiwango flani. Mwingine anweza sema vibaya sababu tu umemkopesha pesa anachelewa kulipa nawe unaitaka hivyo anaanza kupakaza mbovu. Mwingine labda alikua rafiki lakini ukamtenga sababu anapenda Starehe wewe unapenda kuwekeza hivyo lazima aseme mbovu. Ahasante kwa Ujumbe Bro.

  • @salamahamadisudi1912
    @salamahamadisudi1912 Před 4 lety +7

    Asante kaka nimejifunza ilikuwa na kerwa Sana na binadamu km hawa lkn Sai nitawapotezea niangalie mambo yangu ya maana

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 Před 4 lety +5

    This is one among your best speech.Hongera sana Teacher

  • @guadenciamapunda6593
    @guadenciamapunda6593 Před 2 lety +1

    Thank you for sharing your experience

  • @fahadabdulrazaq670
    @fahadabdulrazaq670 Před 4 lety +3

    Exactly brother, may Allah bless your hand work

  • @elisantemrerimmwiri3158
    @elisantemrerimmwiri3158 Před 5 lety +8

    Thanks brother for the powerful speech, your helping me on my way of life.

  • @user-ko1dh8zf7p
    @user-ko1dh8zf7p Před 10 měsíci +5

    Umeongea ukweli kabisaa 🙏.Mimi hapa kazi ninachangamoto mengi sana😢😢kusemwa,kudharauliwa na kukosa furaha😢

  • @joycelehmann2817
    @joycelehmann2817 Před 3 lety

    Thankyou brother i follow your advice very wise

  • @jumamustafa6402
    @jumamustafa6402 Před 4 lety

    Thanks for message bro joel

  • @medameda3920
    @medameda3920 Před 4 lety +1

    Thanks bro I'm more studying every day the thorough of your thanks so much.

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c Před 5 lety +4

    Asante sana kaka elimu yako ni pana mno malipo sina ila mungu atakulipa

  • @HappyDuck-cd2cx
    @HappyDuck-cd2cx Před 28 dny +1

    Asante umeniponya kidonda kikubwa mno mungu akubariki Sana 🙏🙏

  • @noelakyungu4559
    @noelakyungu4559 Před 3 lety

    Thank you Sir

  • @hurumaemmanuel470
    @hurumaemmanuel470 Před 5 lety +4

    Very powerful bro!!!

  • @mwangazajoyce2287
    @mwangazajoyce2287 Před 3 lety

    Thanks dear brother

  • @user-ur8cz7ls3s
    @user-ur8cz7ls3s Před 13 dny

    Kwakwel brother unafundisha vzur sana aisee na nmekuelewa sana na ninakuombea maisha marefu yenye baraka na mafanikio makubwa sana katka maisha yako yote 🙏🙏

  • @qatardoha9378
    @qatardoha9378 Před 5 lety

    Asante kwa funzo hilo

  • @okokamfaume6888
    @okokamfaume6888 Před 5 lety

    Asante sana,

  • @victoriabulambo2029
    @victoriabulambo2029 Před 2 lety

    Asante sana pastor nimejifunza kitu 🙏

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein4019 Před 5 lety +3

    Absolutely true talk .

  • @maseiafricano1250
    @maseiafricano1250 Před 2 lety

    Asante sana kwa elimu yako nzuri nimejifunza kitu kwa somo lako mungu akubari sana mwalimu

  • @egonkasiano7822
    @egonkasiano7822 Před 5 lety

    Shukran

  • @veronicamwautenga7394
    @veronicamwautenga7394 Před 2 měsíci

    Asante sana

  • @kitegwelucas1562
    @kitegwelucas1562 Před 5 lety +3

    Kiongozi me nakuelewaga sana motivation zako na napenda sana kukusikiliza #God_bless_you👏👏👏

  • @amariaelieneza1854
    @amariaelieneza1854 Před 3 lety +2

    Jamani Mimi nimekutana na yote. KWA sasa napambana na kundi no nne. Asante kwa kunipa njia ya kuishi nao. Wooowooooo. Keep on what you doing. 💪💪💪💪💪💪

  • @thegirl1405
    @thegirl1405 Před 5 lety +3

    Shukraan brother barikiwa sana

  • @mwajumamwishehe3423
    @mwajumamwishehe3423 Před 5 lety +7

    Asante kaka Mimi namba nne wanataka kunitoa katika muereleo wangu Ila nakomaa. Nao 😬😬

  • @lucygodlove8838
    @lucygodlove8838 Před 5 lety

    b blessed brother.

  • @EuniaRyaga-zd3zx
    @EuniaRyaga-zd3zx Před 6 měsíci

    May God bless you! You are the one whom I appreciate

  • @kinogomuriga8631
    @kinogomuriga8631 Před 5 lety +2

    Uko vizuri sana kk. 💕

  • @josephmwanyika8300
    @josephmwanyika8300 Před 4 lety

    Asante Sana kaka daa elimu yako nzuri sana haya mambo yako Sana kwenye jamii zetu. hata ndugu kwa ndugu tuliozaliwa pamoja ipo somo la nne ilo saana Mungu akubaliki Sana..

  • @hassnhaji8585
    @hassnhaji8585 Před 3 lety

    Shukran kaka

  • @nathanmateow9455
    @nathanmateow9455 Před 5 lety

    Asante rafiki yangu wa dhati nimeguswa ni watu wa karibu kama ulivyofundisha walitaka kunishusha thamani,sasa ntakabiliana nao sitakubali wafanikiwe nasonga mbele,thanks very much.

  • @derickluhaga738
    @derickluhaga738 Před 5 lety +2

    Remain blessed bro.....

  • @agathamichael8818
    @agathamichael8818 Před 5 lety

    Thanks bro

  • @jacksonmoshi1152
    @jacksonmoshi1152 Před 3 lety

    Thanx brother umenifundisha mambo mengi Sana'a

  • @michaelmichael7758
    @michaelmichael7758 Před 5 lety +5

    Nice speach God bless you Brother.

    • @jumajaji7149
      @jumajaji7149 Před 3 lety

      Nikweli kaka angu unayoyasema ni kweli

  • @lightnesstumsifu6593
    @lightnesstumsifu6593 Před 4 lety

    Asante kaka nimejifunza sana

  • @maggiepeter8936
    @maggiepeter8936 Před 4 lety +1

    Powerful words mwalimu....

  • @zuhuraabdillah6941
    @zuhuraabdillah6941 Před 5 lety +5

    kiukwel bro makundi yote nimekutana nayo maeneo ya kazi. kundi la watu wanaotaka kukutoa kwenye focus ni changamoto kubwa. Nashkuru kwa kunielimisha am still doing great

  • @yolandasebastian685
    @yolandasebastian685 Před rokem +2

    Kaka Asante kwa ushauri makundi yote manne nimekutana nayo.

  • @anasanga922
    @anasanga922 Před 2 lety +1

    Thank you God bres you

  • @tmsalumu9258
    @tmsalumu9258 Před 3 lety

    Nakuelewa Sana nitaendelea kukufatilia thank you my brother

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 Před 5 lety

    Nice teachings

  • @ibrahimkassim4505
    @ibrahimkassim4505 Před rokem

    Thanks for your hospitality

  • @shemsamussa608
    @shemsamussa608 Před 4 lety

    Asante xana kwa lecture kaka ,kweli kabisa uyasemayo

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Před 3 lety

    Be blessed

  • @abubakarihamissi4178
    @abubakarihamissi4178 Před 2 lety

    thanks bro

  • @keflentito8052
    @keflentito8052 Před 5 lety

    Asante my kaka Joel

  • @muhamedichipila3182
    @muhamedichipila3182 Před 3 lety

    God bless you more..

  • @sugarkheri4680
    @sugarkheri4680 Před 2 lety

    Barikiwa Sana kaka J Umenigusa kwa sasa hapo kwenye kusemwa kuna ambao wanakusema kwa watu wengine hawa tunawakabili vipi

  • @gracedamas5883
    @gracedamas5883 Před 3 lety +1

    Nimekua nikisemwa vibaya tena pale tu ninapoongea Ukweli ktk kufikisha ujumbe sehemu tofauti ndugu marafiki.
    Lakn leo umenifungua ufahamu wangu kaka Joel nanauka Mungu akubariki sana

  • @glorymushi5425
    @glorymushi5425 Před 2 lety

    Thankyou bratherwew ni mshauri sana kwenye jamiii muda mwingine huwa tunakatamaaa kupitia watu wanaotuzunguka

  • @bressafya605
    @bressafya605 Před 5 lety

    Be blessed brother....

  • @marthahaule8337
    @marthahaule8337 Před 3 lety +1

    Asante kwa ushauri wako nitaendelea kuufanyia kazi. Mimi nimekutanana na makundi hayo yote na yameniumiza sana na kujisikia kukata tamaa sana lkn huwanaachilia baadae ili maisha mengine yaendelee japo huwa kunakipindi nasikia sana kuumia tena.

  • @charlzzesonconsciousness6685

    Mm watu kunisema vibaya hainiogopeshi sana lakini mtu ambaye tunaheshimiana na anayenifahamu vzuri kwa muda mlefu akinisema vbaya lazma nikae chini kujitafakari.

    • @saficharles216
      @saficharles216 Před 5 lety

      Kaka asante kwa mafundisho mazur ubarikiwe

    • @mumanyimulyowa8361
      @mumanyimulyowa8361 Před 3 lety

      Ndio wale namba mbili umeshauriwa usikae kimya tetea haki yako dhidi yao

  • @user-pb2kp9qm9x
    @user-pb2kp9qm9x Před měsícem

    Asante kwa elimu yako

  • @lilianmachahha7709
    @lilianmachahha7709 Před 3 lety

    Wow thanks kaka

  • @PasoKaratta
    @PasoKaratta Před 3 lety

    I appreciate u buddy

  • @mariammwambungu3174
    @mariammwambungu3174 Před 4 lety

    Asante sana nikweli nimejifuza Sana.

  • @revjosemushulta940
    @revjosemushulta940 Před rokem

    Big up brother 💪💪.be blessed

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 Před 3 lety

    Asante kwa somo nzuri. Mimi karibia nimekutana na makundi hayo lkn ni wale ambao hawana cha kufanya na oppressors

  • @mshindivictor1690
    @mshindivictor1690 Před 5 lety +1

    Ahsante Joel

  • @4gtradingimpex201
    @4gtradingimpex201 Před rokem

    Thanks kaka nimependa somo lako kwani napitia hizi hatua zote lakini umenifungua mawazo kwa sababu haya yote nilikuwa nafanya na kumbe nilikuwa sahihi kabisa ahsante kwa kuniongezea nguvu na hatua mia mbele.Barikiwa

  • @freshman9913
    @freshman9913 Před 2 lety

    Aisee asante sana kwa maneno yako mazur nimezidi kujifunza vitu vingi hata watu watu wakijaribu kunisema vibaya na puuza na songa mbele mungu akubarik sana joel nanauka

  • @tabycatytabitha
    @tabycatytabitha Před 5 lety

    God bless you

  • @husnauthman7609
    @husnauthman7609 Před 5 lety

    Asantee kaka

  • @reginamkuti7615
    @reginamkuti7615 Před 2 lety

    Barikiwa sanaa mimi karibia Anna zote nimekutana nazo sema nashukuru nimepata mbinu yakukabiliana nao🙏🙏🙏

  • @josephmathew4418
    @josephmathew4418 Před 4 lety

    Uko vizuri xana Mr Joel

  • @joannafula9496
    @joannafula9496 Před 2 lety

    Ahsante brother. Joel

  • @furahairene1829
    @furahairene1829 Před 3 lety

    Asante Sana Joel,yaan mm n mkenya bt mafunzo yako yamenifanya niiujue ulimwengu,najiona hata mtu akinifinyilia namna gani tyr huwa nmepata jawabu lake,maisha s rahisi Ila n rahisi ukijikubali na kujitoa vilivyo,barikiwa kaka

  • @shukranjs4307
    @shukranjs4307 Před 4 lety

    Asante kaka

  • @user-qj3bb2qb4r
    @user-qj3bb2qb4r Před 4 měsíci

    Ahsante kaka nimejifunza

  • @eunicemachunde986
    @eunicemachunde986 Před 5 lety

    Ahsante kaka Joel kwa ushauri na mafunzo pia nimebarikiwa

  • @johnkapalamula4351
    @johnkapalamula4351 Před rokem

    Asante sana.napitia hayo kazini nafanya kila jukumu langu vizuritu.lakini mtu mmoja aliepewa mamlaka uniripoti vibaya.emefikia nakosa Raha oficini. kila ninachofanya yeye nikibayatu.

  • @nevernicodem8420
    @nevernicodem8420 Před 5 lety

    Asante sana kaka Joel leo nimekuelewa vzriiiii kbsa Mungu akubariki

  • @samweliponera1100
    @samweliponera1100 Před 3 lety +3

    Kaka Joel yesu akubariki sana

  • @mwanaharusialifakifaki8716

    kundi la nne la kwanza nimenigusa mno ahsantenimejifunza binadam wana sura mbili mbili ,umenenakaka ,mm nyonge sipendaji kujibu ila huwa wanavijembe kila nkitabasamu kumbe sitakiwi niwe mnyonge.mafanikio yangu yanawauma sana watu ,ahsante mungu akueke miaka 10000.

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 Před 5 lety +2

    Nakushkuru mwalimu Joel nimezungukwa na vitu hivo nimepata majibu leo asant sanaa

  • @judaspantaleo9779
    @judaspantaleo9779 Před 5 lety

    Much help

  • @specialistmkombozi2353

    Safi sana brother

  • @johnluhwa8342
    @johnluhwa8342 Před 5 lety

    Shkrani kaka Joel, nikwel bro unacho tufundisha kuna watu raha yao nikuona mtu kachukia.

  • @samwelalex8417
    @samwelalex8417 Před 5 lety +5

    Waooooo!!!!!
    Nmejifunza.
    Nmekutana na kundi la 3 but pia la 4 hadi nmeamua kumake decision Ya kuhama kituo cha kazi licha ya kwamba maeneo yale nilkua Tayar nmeanzisha biashara yangu Nzuri.
    Nilikua depressed Kwa kipindi kirefu. Nashukuru Mungu now baada ya kuhama nmetulia na inabidi kuanza MAISHA/KUJIPANGA vizuri.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 5 lety +1

      Samwel Alex pole kwa changamoto na hongera kwa kuchukua hatua haraka kabla mambo hayajaharibika

    • @meshackngadango6855
      @meshackngadango6855 Před 5 lety

      Pole sana,Mungu mwema utafika utakapo tu

  • @lauchungulau9255
    @lauchungulau9255 Před 5 lety +3

    Thank you so much teacher joel for the power full speech I Lean something god bless you so much

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 5 lety +1

      Lauchungu Lau Ameen thanks so much Lauchungu

    • @eliasevelin869
      @eliasevelin869 Před 4 lety

      god bless you my brother

    • @jackypaul8846
      @jackypaul8846 Před 2 lety

      @@joelnanauka kaka na je kama sitaki kabisa kuzungumza nae yaani kila siku group ya whatsap mambo ya kazi ananisema vibaya yaani ana na kagroup ka wenzie ka wa5 nilishamcomfront face to face ila kwa sasa sihitaji kuongea nae tena, je nikimkalia kimya?bado ataniona mnyonge?

  • @happinessbitababaje2970
    @happinessbitababaje2970 Před 5 lety +4

    Asante Yesu, nimepata majibu maana nimepitia changamoto hizi kazini kwangu. Barikiwa bro uishi milele

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 5 lety

      shukrani sana. endelea kubaki na sisi kuna video nyingi zinakuja

    • @festonmwampashe5767
      @festonmwampashe5767 Před 5 lety

      Big up bro mungu akupe long life na ukuongezee uwezo zaidi ya juu ulinao @

  • @mwanaharusialifakifaki8716

    Ahsante wapo watu hunisema mbele ya uso wangu mara nyingi hunyamaza na huwa mnyoge mpk ikafikia kipindi husema kwa kuwaskia kuwa tunamuumiza malusudi ashindwe concentrate akose furaha .kaka umesema kweli ahsante nakupenda bureeeee mungu akueke ktk uhai wangu wote ili niishi kwa raha duniani ,unajua mwanzo akili yangu hakuwa kubwa mm ukinipa kijembe ukinsema vobaya nacheka tu ila sasa nimeishi nawatu nakuwa nafaham .km hiki mlengwa ni mm imekua shida napoteza furaha yangu ya asili .ahsantee

  • @leilalusekelo153
    @leilalusekelo153 Před rokem

    Ahsante sana

  • @lydiaedwin3998
    @lydiaedwin3998 Před 3 lety

    Ahsante Sana kaka Joel umenirudisha now ,daah nilikuwa nataman kuacha Kaz eti. Nimekuwa jasili

  • @faridaiddy6015
    @faridaiddy6015 Před 5 lety

    nmependa somo... asante bro

  • @berthsunshine3936
    @berthsunshine3936 Před 5 lety

    Asante sana kaka unanisaidia mno

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob9897 Před 3 lety

    Dah mungu akubariki brother

  • @seifzongo320
    @seifzongo320 Před 5 lety +5

    Wanataka kunitoa kweny focus.... huyu mm kabisa watu wanataka kunitoa...I'm keeping doing the right thing , Asante sn kaka

  • @danielmlanda5597
    @danielmlanda5597 Před 5 lety +1

    AMEEEN.............

  • @tumaingideon5237
    @tumaingideon5237 Před rokem

    You light brother

  • @emanuelavaleriani8646
    @emanuelavaleriani8646 Před 5 měsíci

    Dah hii nzuri sana

  • @michaeltimoth366
    @michaeltimoth366 Před 2 lety

    Nice presentation...binafsi nishakutana na makundi yote 4