Post kama hizi zinahitaji kuwa na views kuanzia Billion na kuendelea,lakin tatizo watanzania wengi tunaishi na tabia kama hizi cz tunahisi kama tuna disiwa kumbe tuna pewa Elimu....Kaka unaweza sana #WorkHard #I_got_α_chαnges 4ur words.
Brother ni kioo cha jamii nizaidi ya mwalimu ww ni zaidi ya mshauri unayoyasema yoteee ndio tulionayo kwenye jamii na ndio changa moto zetu hakika Allah akubarik daima uwe na maisha marefu mia 900
Nakusikiaga Sana kaka ila sijawahi pata muda wa kukufuatilia hakika kuanzia leo maneno yako ni chakula changu Cha kila siku Kama iliyokuwa kwa mitimingi!.
Brother mm nina shida kubwa sana màana anae nisema vibaya ni mume wangu na kila akisema ukimuuliza anasema nimeteleza nisamehe anarudia kila mara najikuta naumia sana lakini hajali
Hapa kazini kwangu nimeshakutana nayo kwa maboss na wafanya kazi wenzangu lkn nilijitahidi na kazi sikukata tamaa mwisho nilifanikiwa Asante kaka unanielimisha sanaaaaaa
Ujumbe mzuri sana kunawatu wanaweza wakasema vibaya sababu umewazidi cheo au umewazidi pesa au kiwango flani. Mwingine anweza sema vibaya sababu tu umemkopesha pesa anachelewa kulipa nawe unaitaka hivyo anaanza kupakaza mbovu. Mwingine labda alikua rafiki lakini ukamtenga sababu anapenda Starehe wewe unapenda kuwekeza hivyo lazima aseme mbovu. Ahasante kwa Ujumbe Bro.
Kwakwel brother unafundisha vzur sana aisee na nmekuelewa sana na ninakuombea maisha marefu yenye baraka na mafanikio makubwa sana katka maisha yako yote 🙏🙏
Asante Sana kaka daa elimu yako nzuri sana haya mambo yako Sana kwenye jamii zetu. hata ndugu kwa ndugu tuliozaliwa pamoja ipo somo la nne ilo saana Mungu akubaliki Sana..
Asante rafiki yangu wa dhati nimeguswa ni watu wa karibu kama ulivyofundisha walitaka kunishusha thamani,sasa ntakabiliana nao sitakubali wafanikiwe nasonga mbele,thanks very much.
kiukwel bro makundi yote nimekutana nayo maeneo ya kazi. kundi la watu wanaotaka kukutoa kwenye focus ni changamoto kubwa. Nashkuru kwa kunielimisha am still doing great
Nimekua nikisemwa vibaya tena pale tu ninapoongea Ukweli ktk kufikisha ujumbe sehemu tofauti ndugu marafiki. Lakn leo umenifungua ufahamu wangu kaka Joel nanauka Mungu akubariki sana
Asante kwa ushauri wako nitaendelea kuufanyia kazi. Mimi nimekutanana na makundi hayo yote na yameniumiza sana na kujisikia kukata tamaa sana lkn huwanaachilia baadae ili maisha mengine yaendelee japo huwa kunakipindi nasikia sana kuumia tena.
Mm watu kunisema vibaya hainiogopeshi sana lakini mtu ambaye tunaheshimiana na anayenifahamu vzuri kwa muda mlefu akinisema vbaya lazma nikae chini kujitafakari.
Thanks kaka nimependa somo lako kwani napitia hizi hatua zote lakini umenifungua mawazo kwa sababu haya yote nilikuwa nafanya na kumbe nilikuwa sahihi kabisa ahsante kwa kuniongezea nguvu na hatua mia mbele.Barikiwa
Aisee asante sana kwa maneno yako mazur nimezidi kujifunza vitu vingi hata watu watu wakijaribu kunisema vibaya na puuza na songa mbele mungu akubarik sana joel nanauka
Asante Sana Joel,yaan mm n mkenya bt mafunzo yako yamenifanya niiujue ulimwengu,najiona hata mtu akinifinyilia namna gani tyr huwa nmepata jawabu lake,maisha s rahisi Ila n rahisi ukijikubali na kujitoa vilivyo,barikiwa kaka
Asante sana.napitia hayo kazini nafanya kila jukumu langu vizuritu.lakini mtu mmoja aliepewa mamlaka uniripoti vibaya.emefikia nakosa Raha oficini. kila ninachofanya yeye nikibayatu.
kundi la nne la kwanza nimenigusa mno ahsantenimejifunza binadam wana sura mbili mbili ,umenenakaka ,mm nyonge sipendaji kujibu ila huwa wanavijembe kila nkitabasamu kumbe sitakiwi niwe mnyonge.mafanikio yangu yanawauma sana watu ,ahsante mungu akueke miaka 10000.
Waooooo!!!!! Nmejifunza. Nmekutana na kundi la 3 but pia la 4 hadi nmeamua kumake decision Ya kuhama kituo cha kazi licha ya kwamba maeneo yale nilkua Tayar nmeanzisha biashara yangu Nzuri. Nilikua depressed Kwa kipindi kirefu. Nashukuru Mungu now baada ya kuhama nmetulia na inabidi kuanza MAISHA/KUJIPANGA vizuri.
@@joelnanauka kaka na je kama sitaki kabisa kuzungumza nae yaani kila siku group ya whatsap mambo ya kazi ananisema vibaya yaani ana na kagroup ka wenzie ka wa5 nilishamcomfront face to face ila kwa sasa sihitaji kuongea nae tena, je nikimkalia kimya?bado ataniona mnyonge?
Ahsante wapo watu hunisema mbele ya uso wangu mara nyingi hunyamaza na huwa mnyoge mpk ikafikia kipindi husema kwa kuwaskia kuwa tunamuumiza malusudi ashindwe concentrate akose furaha .kaka umesema kweli ahsante nakupenda bureeeee mungu akueke ktk uhai wangu wote ili niishi kwa raha duniani ,unajua mwanzo akili yangu hakuwa kubwa mm ukinipa kijembe ukinsema vobaya nacheka tu ila sasa nimeishi nawatu nakuwa nafaham .km hiki mlengwa ni mm imekua shida napoteza furaha yangu ya asili .ahsantee
Post kama hizi zinahitaji kuwa na views kuanzia Billion na kuendelea,lakin tatizo watanzania wengi tunaishi na tabia kama hizi cz tunahisi kama tuna disiwa kumbe tuna pewa Elimu....Kaka unaweza sana #WorkHard #I_got_α_chαnges 4ur words.
Brother ni kioo cha jamii nizaidi ya mwalimu ww ni zaidi ya mshauri unayoyasema yoteee ndio tulionayo kwenye jamii na ndio changa moto zetu hakika Allah akubarik daima uwe na maisha marefu mia 900
Nakusikiaga Sana kaka ila sijawahi pata muda wa kukufuatilia hakika kuanzia leo maneno yako ni chakula changu Cha kila siku Kama iliyokuwa kwa mitimingi!.
Brother thanks
Brother mm nina shida kubwa sana màana anae nisema vibaya ni mume wangu na kila akisema ukimuuliza anasema nimeteleza nisamehe anarudia kila mara najikuta naumia sana lakini hajali
Naomba msaada
Hapa kazini kwangu nimeshakutana nayo kwa maboss na wafanya kazi wenzangu lkn nilijitahidi na kazi sikukata tamaa mwisho nilifanikiwa Asante kaka unanielimisha sanaaaaaa
I like this guy Nanauka ananimotivate sana my God blessed u more
Ujumbe mzuri sana kunawatu wanaweza wakasema vibaya sababu umewazidi cheo au umewazidi pesa au kiwango flani. Mwingine anweza sema vibaya sababu tu umemkopesha pesa anachelewa kulipa nawe unaitaka hivyo anaanza kupakaza mbovu. Mwingine labda alikua rafiki lakini ukamtenga sababu anapenda Starehe wewe unapenda kuwekeza hivyo lazima aseme mbovu. Ahasante kwa Ujumbe Bro.
Maneno Lugendo Ni Kweli kabisa
Asante kaka nimejifunza ilikuwa na kerwa Sana na binadamu km hawa lkn Sai nitawapotezea niangalie mambo yangu ya maana
This is one among your best speech.Hongera sana Teacher
Thank you for sharing your experience
Exactly brother, may Allah bless your hand work
Thanks brother for the powerful speech, your helping me on my way of life.
Umeongea ukweli kabisaa 🙏.Mimi hapa kazi ninachangamoto mengi sana😢😢kusemwa,kudharauliwa na kukosa furaha😢
Pole sana 😢
Kiukweli sio wewe tu,Kuna watu ni mashetani hasa makazini
Thankyou brother i follow your advice very wise
Thanks for message bro joel
Thanks bro I'm more studying every day the thorough of your thanks so much.
Asante sana kaka elimu yako ni pana mno malipo sina ila mungu atakulipa
Asante umeniponya kidonda kikubwa mno mungu akubariki Sana 🙏🙏
Thank you Sir
Very powerful bro!!!
Thanks dear brother
Kwakwel brother unafundisha vzur sana aisee na nmekuelewa sana na ninakuombea maisha marefu yenye baraka na mafanikio makubwa sana katka maisha yako yote 🙏🙏
Asante kwa funzo hilo
Asante sana,
Asante sana pastor nimejifunza kitu 🙏
Absolutely true talk .
Asante sana kwa elimu yako nzuri nimejifunza kitu kwa somo lako mungu akubari sana mwalimu
Shukran
Asante sana
Kiongozi me nakuelewaga sana motivation zako na napenda sana kukusikiliza #God_bless_you👏👏👏
Jamani Mimi nimekutana na yote. KWA sasa napambana na kundi no nne. Asante kwa kunipa njia ya kuishi nao. Wooowooooo. Keep on what you doing. 💪💪💪💪💪💪
Shukraan brother barikiwa sana
Asante kaka Mimi namba nne wanataka kunitoa katika muereleo wangu Ila nakomaa. Nao 😬😬
b blessed brother.
May God bless you! You are the one whom I appreciate
Uko vizuri sana kk. 💕
Asante Sana kaka daa elimu yako nzuri sana haya mambo yako Sana kwenye jamii zetu. hata ndugu kwa ndugu tuliozaliwa pamoja ipo somo la nne ilo saana Mungu akubaliki Sana..
Shukran kaka
Asante rafiki yangu wa dhati nimeguswa ni watu wa karibu kama ulivyofundisha walitaka kunishusha thamani,sasa ntakabiliana nao sitakubali wafanikiwe nasonga mbele,thanks very much.
Remain blessed bro.....
Thanks bro
Thanx brother umenifundisha mambo mengi Sana'a
Nice speach God bless you Brother.
Nikweli kaka angu unayoyasema ni kweli
Asante kaka nimejifunza sana
Powerful words mwalimu....
kiukwel bro makundi yote nimekutana nayo maeneo ya kazi. kundi la watu wanaotaka kukutoa kwenye focus ni changamoto kubwa. Nashkuru kwa kunielimisha am still doing great
Kaka Asante kwa ushauri makundi yote manne nimekutana nayo.
Thank you God bres you
Nakuelewa Sana nitaendelea kukufatilia thank you my brother
Nice teachings
Thanks for your hospitality
Asante xana kwa lecture kaka ,kweli kabisa uyasemayo
Be blessed
thanks bro
Asante my kaka Joel
God bless you more..
Barikiwa Sana kaka J Umenigusa kwa sasa hapo kwenye kusemwa kuna ambao wanakusema kwa watu wengine hawa tunawakabili vipi
Nimekua nikisemwa vibaya tena pale tu ninapoongea Ukweli ktk kufikisha ujumbe sehemu tofauti ndugu marafiki.
Lakn leo umenifungua ufahamu wangu kaka Joel nanauka Mungu akubariki sana
Thankyou bratherwew ni mshauri sana kwenye jamiii muda mwingine huwa tunakatamaaa kupitia watu wanaotuzunguka
Be blessed brother....
Asante kwa ushauri wako nitaendelea kuufanyia kazi. Mimi nimekutanana na makundi hayo yote na yameniumiza sana na kujisikia kukata tamaa sana lkn huwanaachilia baadae ili maisha mengine yaendelee japo huwa kunakipindi nasikia sana kuumia tena.
Mm watu kunisema vibaya hainiogopeshi sana lakini mtu ambaye tunaheshimiana na anayenifahamu vzuri kwa muda mlefu akinisema vbaya lazma nikae chini kujitafakari.
Kaka asante kwa mafundisho mazur ubarikiwe
Ndio wale namba mbili umeshauriwa usikae kimya tetea haki yako dhidi yao
Asante kwa elimu yako
Wow thanks kaka
I appreciate u buddy
Asante sana nikweli nimejifuza Sana.
Big up brother 💪💪.be blessed
Asante kwa somo nzuri. Mimi karibia nimekutana na makundi hayo lkn ni wale ambao hawana cha kufanya na oppressors
Ahsante Joel
Thanks kaka nimependa somo lako kwani napitia hizi hatua zote lakini umenifungua mawazo kwa sababu haya yote nilikuwa nafanya na kumbe nilikuwa sahihi kabisa ahsante kwa kuniongezea nguvu na hatua mia mbele.Barikiwa
Aisee asante sana kwa maneno yako mazur nimezidi kujifunza vitu vingi hata watu watu wakijaribu kunisema vibaya na puuza na songa mbele mungu akubarik sana joel nanauka
God bless you
Asantee kaka
Barikiwa sanaa mimi karibia Anna zote nimekutana nazo sema nashukuru nimepata mbinu yakukabiliana nao🙏🙏🙏
Uko vizuri xana Mr Joel
Ahsante brother. Joel
Asante Sana Joel,yaan mm n mkenya bt mafunzo yako yamenifanya niiujue ulimwengu,najiona hata mtu akinifinyilia namna gani tyr huwa nmepata jawabu lake,maisha s rahisi Ila n rahisi ukijikubali na kujitoa vilivyo,barikiwa kaka
Asante kaka
Ahsante kaka nimejifunza
Ahsante kaka Joel kwa ushauri na mafunzo pia nimebarikiwa
Asante sana.napitia hayo kazini nafanya kila jukumu langu vizuritu.lakini mtu mmoja aliepewa mamlaka uniripoti vibaya.emefikia nakosa Raha oficini. kila ninachofanya yeye nikibayatu.
Asante sana kaka Joel leo nimekuelewa vzriiiii kbsa Mungu akubariki
ahsante brother nakupata
Kaka Joel yesu akubariki sana
kundi la nne la kwanza nimenigusa mno ahsantenimejifunza binadam wana sura mbili mbili ,umenenakaka ,mm nyonge sipendaji kujibu ila huwa wanavijembe kila nkitabasamu kumbe sitakiwi niwe mnyonge.mafanikio yangu yanawauma sana watu ,ahsante mungu akueke miaka 10000.
Nakushkuru mwalimu Joel nimezungukwa na vitu hivo nimepata majibu leo asant sanaa
Much help
Safi sana brother
Shkrani kaka Joel, nikwel bro unacho tufundisha kuna watu raha yao nikuona mtu kachukia.
Waooooo!!!!!
Nmejifunza.
Nmekutana na kundi la 3 but pia la 4 hadi nmeamua kumake decision Ya kuhama kituo cha kazi licha ya kwamba maeneo yale nilkua Tayar nmeanzisha biashara yangu Nzuri.
Nilikua depressed Kwa kipindi kirefu. Nashukuru Mungu now baada ya kuhama nmetulia na inabidi kuanza MAISHA/KUJIPANGA vizuri.
Samwel Alex pole kwa changamoto na hongera kwa kuchukua hatua haraka kabla mambo hayajaharibika
Pole sana,Mungu mwema utafika utakapo tu
Thank you so much teacher joel for the power full speech I Lean something god bless you so much
Lauchungu Lau Ameen thanks so much Lauchungu
god bless you my brother
@@joelnanauka kaka na je kama sitaki kabisa kuzungumza nae yaani kila siku group ya whatsap mambo ya kazi ananisema vibaya yaani ana na kagroup ka wenzie ka wa5 nilishamcomfront face to face ila kwa sasa sihitaji kuongea nae tena, je nikimkalia kimya?bado ataniona mnyonge?
Asante Yesu, nimepata majibu maana nimepitia changamoto hizi kazini kwangu. Barikiwa bro uishi milele
shukrani sana. endelea kubaki na sisi kuna video nyingi zinakuja
Big up bro mungu akupe long life na ukuongezee uwezo zaidi ya juu ulinao @
Ahsante wapo watu hunisema mbele ya uso wangu mara nyingi hunyamaza na huwa mnyoge mpk ikafikia kipindi husema kwa kuwaskia kuwa tunamuumiza malusudi ashindwe concentrate akose furaha .kaka umesema kweli ahsante nakupenda bureeeee mungu akueke ktk uhai wangu wote ili niishi kwa raha duniani ,unajua mwanzo akili yangu hakuwa kubwa mm ukinipa kijembe ukinsema vobaya nacheka tu ila sasa nimeishi nawatu nakuwa nafaham .km hiki mlengwa ni mm imekua shida napoteza furaha yangu ya asili .ahsantee
Ahsante sana
Ahsante Sana kaka Joel umenirudisha now ,daah nilikuwa nataman kuacha Kaz eti. Nimekuwa jasili
nmependa somo... asante bro
Asante sana kaka unanisaidia mno
Dah mungu akubariki brother
Wanataka kunitoa kweny focus.... huyu mm kabisa watu wanataka kunitoa...I'm keeping doing the right thing , Asante sn kaka
Seif Zongo kabisa Zongo
Tuko pamoja
AMEEEN.............
You light brother
Dah hii nzuri sana
Nice presentation...binafsi nishakutana na makundi yote 4