kaka nakukubali sana ushauri wako umenitoa sehem moja kwenda nyingine kupitia mawaz yako nilitoka kijijna elfu tano now nina milik mtaji wa laki 3 na smart pia na gheto bomba kabsa mungu akubaliki
Naaam mwalim ni kweli aisee naa nikwambie maneno yako yananisaidia sana kwenye ushauli wa wadogo zangu waliopo shule nawaambiaga kila siku nawapa amasa ya kusoma aisee!! Kwamaana nyingine ni kupuuza kijana ukishajitambua ukawa na akili ya kujitaftia lisiki unatambua ni wapi unaweza kupitia namaanisha ukatambua mzuri, mbaya wako msaidizi wako n.k asante sana mwalim joel mungu akubaliki❤🙏
Bro Joel umenibadilisha sana katika maisha yangu NIMEANZA kukufuatilia 2020 nimejifuza mengi mazuri kwenye video zako na kwenye vitabu vyako , Kwa kweli Mungu akubariki sana, umetuelimisha sana katika maisha yetu wengi tunajivunia Wewe . Ubarikiwe sana🙏🙏
Barikiwa san kak unatoa elimu kubwa sana na najifunza mamb meng xan kutok kwako hakik umekuw n mentor bora kwang.....Nawezaje kupata vitabu vyako hasa cha 1.Timiza malengo yako 2. Ishi ndoto yako
Shukrani kiongozi, ila nilikuwa na shwali unipe ushauri kaka kuna watu wasio jiweza kila wiki Nina wapaga musaada sasa ningeli hitaji unipe mwelekezo namuna ya kuishi nao katika kuwa saidia
Ahsante Sana Mr Joel nanauka Video zako zinanimalizia bando sana napostigi sana huku Status na Wadau wanakuelewa vzr sana But Mm nilikuwa naombi hivi kama kuna uwezekano wa mm kuongea na wewe Mr Joel Nanauka.. mm nipo Zanzibar
Actually nimegundua hata sisi watazamaji wako tunakuchukulia poa sababu muda wote upo unapatikana na contents zako zipo muda wowote, so hatutilii maanani ohooo . Daaah sawa
kaka nakukubali sana ushauri wako umenitoa sehem moja kwenda nyingine kupitia mawaz yako nilitoka kijijna elfu tano now nina milik mtaji wa laki 3 na smart pia na gheto bomba kabsa mungu akubaliki
U made it bro
Bro Joel hii ni zaidi ya huduma..,Kila siku nimekua nikipata utajili wa maarifaa MUNGU akubariki sana🙏
Mungu azidi kukuongezea miaka mingi hapa duniani.
Nashukuru sana ❤❤
Naaam mwalim ni kweli aisee naa nikwambie maneno yako yananisaidia sana kwenye ushauli wa wadogo zangu waliopo shule nawaambiaga kila siku nawapa amasa ya kusoma aisee!! Kwamaana nyingine ni kupuuza kijana ukishajitambua ukawa na akili ya kujitaftia lisiki unatambua ni wapi unaweza kupitia namaanisha ukatambua mzuri, mbaya wako msaidizi wako n.k asante sana mwalim joel mungu akubaliki❤🙏
Najivunia kua miongon mwa mwanafunz wako mungu akujalie maisha malefu
broo nakukubali
ASANTE SANA MWALIM JOEL NIMEPATA KITU KIPYA LEO KUTOKA KWAKO MUNGU AKUBARIKI SANA.
Asante sana mtumishi Umekuwa Baraka sana kwangu na kwa wengine kila siku Tunajifuza , pia nimejifuza katika hili Asante
Umenipa kituuuuuu...🤝🤝
Unaongeya kweli kabisa. Mungu Aulinde.
Yani tokea nianze kuku fatilia 2022 maisha yangu umenibadilisha sana kiongoz ubalikiwe sana
Shukran joel❤❤❤
Bro Joel umenibadilisha sana katika maisha yangu NIMEANZA kukufuatilia 2020 nimejifuza mengi mazuri kwenye video zako na kwenye vitabu vyako , Kwa kweli Mungu akubariki sana, umetuelimisha sana katika maisha yetu wengi tunajivunia Wewe . Ubarikiwe sana🙏🙏
Asante bro
Asante sana mwalimu naendelea kujifunza .amen
Nakukubali sana. Mungu akubariki sana
Asante sana kaka Joel mungu akutunze
Barikiwa san kak unatoa elimu kubwa sana na najifunza mamb meng xan kutok kwako hakik umekuw n mentor bora kwang.....Nawezaje kupata vitabu vyako hasa cha 1.Timiza malengo yako 2. Ishi ndoto yako
Hakika somo hili limenigusa sana ma brother be blessed
Ukweliii mtupuuu huu mentor 🙏 more thanks 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Great man of God 🔥🔥🔥
Ahsante sana, hili ni zaidi ya Darasa
Nimejifunza kitu ahsante saana kaka joel❤
Amina kweli kabisa mimi yamenikuta
Kwel kabisa yamenikuta piah,,,
Mungu akubariki Kaka
Exactly ukitoa vya bure sana wnakchkulia poa
shukran brother kwa ujumbe🙏
Thanks boss🎉🎉
Asante Joel nimejifunza
Ni kweli kabisaaa kiongozi
Asante sana 🎉
Mungu akuzidishie Mafunuo brother shule yako mitian yangu matokeo yanatia moyo
Asante kwa hili.....
Naendelea kujifunza, Ahsante sana Mwalimu kwa kunizungumzia.
bro mungu akupe maisha uundelee kuelimisha watu
Mm binafsi umenivusha mahalo mungu akubariki sana
Daaaah hii ndo situation napitia Tena kwa mtu wa karibu sanaaa daaaah thnx kwa somo hili
Asante kaka Joel leo nimejifunza kitu,maana yamenikuta.na video imekuja kwa wakati
Daaah😢 hii imenigusa sana kaka
🙏🙏 Shukran sana acha nijikague nianze na mm mwenyewe kujirekebisha
Mungu aendelee kukuinua, Najifunza mengi sana kwako.
Daah! Huu ujumbe umenifikia kwa wakati sahihi sana kama vile umejua hali ninayoipitia kwa sasa. Asante sana Kaka @Joel Nanauka
Heshima yako bro,,
Hiyo jambo upo sawa kabisa hata mimi nipo hivyo ninaweza vumilia sana ila nikiamua kubwaga manyanga huwa siangalii upoje kwangu
Dedicated to you my best coach
Asante sana, nimejifunza kitu kikubwa sana. Ukiwapa watu vitu vya bure sana wanakuchukulia poa
Asante baba nimeongeza jambo jipya kwenye Maisha yangu
Ubarikiwe sana brother mimi nmewahi kupitia hapa
exclusive ❤❤❤❤❤❤
Asante.
Asanteee sana kaka
Duuh nimejifinza sana
❤Ujumbe mzuri huo
Asante xana kaka munguakubariki
Shukran
Ahsante sana
Good speech
Hapo kweri
Ahsante sana kwa kuendelea kuni'alert' Pr Joel. Mungu Aendelee kukutumia.
Shukrani kiongozi, ila nilikuwa na shwali unipe ushauri kaka kuna watu wasio jiweza kila wiki Nina wapaga musaada sasa ningeli hitaji unipe mwelekezo namuna ya kuishi nao katika kuwa saidia
Unyama san
KAKA MUNGU AKUBARIKI SANA
Brother nmetokea kuelewa sana somo lako
Tuko pamoja kaka
Mm yamenikuta tena kwa ndugu wakaribu Yani nimeanza kulia upya
We achabtu ndugu yangu ! Yamenikuta kwa ndugu zangu ndugu zanguuuù.uwiii jamani
Life wisdom series
Kaka mngu akabaliki ishi mda mwingi tuzidi kujifunza kupitia wew
Jmn yamenikutaa saaaana mi
🔥🔥🔥🔥
🙌🤝
🙏🙏
Good
❤❤
Daaah umenigusa kwakweli 🙏🙏🙏🙏 napenda kujibebesha mizigo ya watu adi wanafika stage wananichukulia powa
We acha tu
Joel nanauka 📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌
Mungu akubariki sana. Kwa sasa wapo wawili wanaonisaidia hapa duniani. Yupo Mungu na wewe.
💪
👏👏💪🎉🙏
Rolemodal forever💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊
Naomb namb yako y sm tafadhal
Kuanzia leo nazima data kwenye kichwa changu ili nithaminiwe nimekuelewa teacher 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mm pia kipenz yan sitasikiliza la mtu tena
Kaka yangu mimi
Mazoe
Brooo joel vitabu vyako naweza pataje
Ahsante Sana Mr Joel nanauka Video zako zinanimalizia bando sana napostigi sana huku Status na Wadau wanakuelewa vzr sana
But Mm nilikuwa naombi hivi kama kuna uwezekano wa mm kuongea na wewe Mr Joel Nanauka.. mm nipo Zanzibar
Asant nimepata kitu
I wish ningekuwa Tz ningekuja jamani
Nina 2 months tangu nikujuwe ila umenibadilisha sana
I am very careful,
Kaka joel mindset watu wa sigma inaezabadilishwa aje
Ni kweli kabisa unachosem bro tujifunze tusipende kuwachukulia watu poa n tujiepushe n kuchuliw poa na tujaliane pia✍️✍️✍️✍️✍️
Broo mbona speach zak kila nikizisikiliza zinakuwa kama unanisimulia Mimi
Nisijikutake nanime kosea bila kujua
Actually nimegundua hata sisi watazamaji wako tunakuchukulia poa sababu muda wote upo unapatikana na contents zako zipo muda wowote, so hatutilii maanani ohooo . Daaah sawa
Naam Mungu akubariki kwa ajili ya wengine wote nasisi sote katika HUDUMA hii
asante sana kiongozi wangu