Kwa Kweli Ubarikiwe sana Mtu wa Mungu, umekuwa Mentor mzuri sana Kwangu yaani najifunza mengi mno Toka kwako. Hata Kibari nilichonacho najua Ni Mungu tu Amewatuma ninyi ili muishape Jamii.
Ni mwezi wa pili Sasa tangu nianze kukufuatilia kwenye mitandao , na huwa najitahidi kukuelewa na kutekeleza kila ninacho amini kutoka kwako ,. Kiukwel nimeanza kuona mabadiliko kwenye kipato ata lifestyle yangu. Na kama hii elimu ningeipata miaka miwili iliopita, naamini ningekuwa mbali kiuchumi. Nakuombea kwa mungu usije choka kuelimisha ,nakutegemea mwalimu wangu And I Promis You To See Me At The Top💪
Joel nakupenda Sana Kwa ajili ya Allah,upo vizuri Sana kwenye kufatilia mambo, ebu Kaa chini uangalie ukweli kuhusu ni ipi dini sahihi Mbele ya Mungu Kwa wanadamu woooote?
Thanks bro Joel,am from Kenya hakika hayo yote nayafuatilia kweli na mimi namshukuru mungu napendwa kweli,smile is the way of showing how you are interested to others, sio kununa mda wote
Kaka joel wewe ni mtumishi wa Mungu kwa eneo hilo Kwa kutabu chako cha Mkombozi wa familia na speech ya usisubiri kuanza anza sasa my life has changed totaly My God keep you my brother🙏🙏🙏
Nimekuelewa vizuri sana kaka, upo sahihi kabisa nimejiona mwenyewe haswa kwenye tabasabu ni kweli watu wanajenga Imani na ukiwa na jitihada kubwa kazi hutojiona mpweke watu wanafurahia uwepo wake.shukrani kubwa
Ahsante sana kwa kweli katika jamii yetu issue ya kukamata simu wakati wa maongezi muhimu ni tatizo sana na unaikuta hata kwa hao wanaoitwa mastaa, utakuta anafanyiwa mahojiano muhimu ila yuko busy na simu. It's very unprofessional, jengine kukosea kutamka majina, hatufanyi bidii kumtamka mtu vile inavotakiwa, hata wewe mtaalamu hapa umeteleza kidogo 3:25 ni Inatamkwa kwa kiswahili Deil Kaa-nih-jee na sio Dale kama kwenye ma-dale.
Nakupongeza sana kwa kufundisha vizuri! Hakika wewe ni mwalimu na unanguvu za kutoka kwa Mungu! Endelea Mungu kuna kitu amekuandalia mbele pambana kaka
Nimeelewa sana nitajitahidi kuanza kila mojawapo kwa nafasi yake... Kwani hata kama nafanya baadhi ya hapo Ila sio kama umefundisha, ahsante kaka Nanauka
Kwa sababu tu nimekua nikikufatilia kwa muda mrefu nafurah kusema ayo yamekua kama marudio kwangu na faida zake nimeziona pia nazidi kuziona..you be blessed kaka💪
Jana kanisani hapa Kijitonyama.kuna mchungaji ndio ilikua mara ya kwanza kumuona.ila alivyosalimia kwa smile zuri.zaidi ya nusu ya kanisa tuli smile na ni mwanaume.Real smile inaambukiza
Thank you brother Joel, Hakika nimejifunza kitu kwenye video hii, zaid zaid nikuweka mkazo tu! Though sikuwahi kufikiria Nguvu iliyopo kwenye kumuita mtu jina lake.
Katika walimuuuuuu wote niliowasikiliza ......Huyu mwalimu nanaukaa nakupenda bure silipii chochote lakini najifunza mungu akulinde na akutunze ,.,,.,.,.,..,.,.,.,,.,..,.,.,..,.,.________
Kweri kabisa Kaka angu yaani unaongea ukweri yaani mi ni mtu wa tabasamu yaani muda wote nipo na tabasamu . Watu wengi wananipenda sana,yaani ata mtu akinikosea mimi nimwepesi sana kusahau na kuruhusu mambo mengine yandelee UBARIKIWE SANA KAKA ANGU. umenifanya niamini ni kweri kabisa unacho zungumza
Brother upo vzuri cnah, thanks much unatusaidia cnah.but na weeh pia nakushauri Kati xa kazi ambazo hupaswi kuzifikiria kuzifanya NI siasa,achana nayo kbisa.baki upande huu huu I hope utasaidia sana binadamu wengi pia hta kwa upande wako utabarikiwa cnah na Mungu pia na kipato utapata,aidha kzi nyingine ambayo waweza fanya NI kusomea neno la Mungu halafu ciku ukawa pastor,naamini kwa Kariba xko utaokoa wengi cnah.
Ii kitu inanitokea Sana watu kunifuata kuniambia changamoto zao mpka watu walio nizidi umri sometimes naogopaga 😅najiulizaga sababu ni nini ila leo nimegundua nawasikliza sana kwa ukaribu na kuwapa hope pia na kucheka na kutabasamu sana 😇 kweli nimewaambukiza mpka marafiki zangu ku smile wamekua affected kiasi kwamba kama kuna event yeyote chuo n mimi siendi na wao wanagoma kabisa kwenda 😂 daah kumbe!!! Thanks kaka J
Kwa Kweli Ubarikiwe sana Mtu wa Mungu, umekuwa Mentor mzuri sana Kwangu yaani najifunza mengi mno Toka kwako. Hata Kibari nilichonacho najua Ni Mungu tu Amewatuma ninyi ili muishape Jamii.
Nimekufuatilia kwa kipind kifupi sana na kukuelewa, nimejilaum why nilichelewa kukufamu mapema?... Upo safi sana brother.
Ni mwezi wa pili Sasa tangu nianze kukufuatilia kwenye mitandao , na huwa najitahidi kukuelewa na kutekeleza kila ninacho amini kutoka kwako ,. Kiukwel nimeanza kuona mabadiliko kwenye kipato ata lifestyle yangu. Na kama hii elimu ningeipata miaka miwili iliopita, naamini ningekuwa mbali kiuchumi. Nakuombea kwa mungu usije choka kuelimisha ,nakutegemea mwalimu wangu And I Promis You To See Me At The Top💪
Ahsante kwa mrejesho huu, tuendelee kujifunza zaidi
@@joelnanauka .l
KAKA JOEL NANAUKA ASANTE WA USHAURI MZURI MUNGU AKUBALI@@emmanuelhawela6281
Joel nakupenda Sana Kwa ajili ya Allah,upo vizuri Sana kwenye kufatilia mambo, ebu Kaa chini uangalie ukweli kuhusu ni ipi dini sahihi Mbele ya Mungu Kwa wanadamu woooote?
I have heard alot of motivational and inspiration speeches from experts and gurus , but this guy @joel nanauka is outstanding....Moses Jackson
Pamoja na yote, hili la kuwatambua majina yao umenisaidia zaidi, hapa ni moja ya maeneo nitaanzia kazi zaidi. Mwl wangu Ubarikiwe.
Umeokoa fikra, sasa si mtumwa kifikra... Ahsante bro Joel "#s60 see you at the top"
Hakika nimejifunza mambo mengi na naamini mfumo wangu wa maisha utazidi kuwa na matokeo mazuri,ubarikiwe sana.
asante sana
KAKA hakika
wewe una faha
katiya watu makini
zahidi.
Waooo I like it... Mtu wa Mungu yaani KILA nikikusikiliza uwaga najifunza Sana na kubarikiwa mnoo
Thanks bro Joel,am from Kenya hakika hayo yote nayafuatilia kweli na mimi namshukuru mungu napendwa kweli,smile is the way of showing how you are interested to others, sio kununa mda wote
Hongera sanaaa
Kaka joel wewe ni mtumishi wa Mungu kwa eneo hilo Kwa kutabu chako cha Mkombozi wa familia na speech ya usisubiri kuanza anza sasa my life has changed totaly My God keep you my brother🙏🙏🙏
Thank you so much bro God bless you
Ahsante Sana Kaka uwe blessed Sana we learn more & more from you
Thank you so much Mr. Joel
Asante Sana kwa elimu unazotupa mtumishi wa Mungu.
Tunakupenda.
Thanks Sir, for u are nice presentation,
Nimekuelewa vizuri sana kaka, upo sahihi kabisa nimejiona mwenyewe haswa kwenye tabasabu ni kweli watu wanajenga Imani na ukiwa na jitihada kubwa kazi hutojiona mpweke watu wanafurahia uwepo wake.shukrani kubwa
Thank a lot for that taught us in side of life education do again 🙏🙏
Ahsante sana kwa kweli katika jamii yetu issue ya kukamata simu wakati wa maongezi muhimu ni tatizo sana na unaikuta hata kwa hao wanaoitwa mastaa, utakuta anafanyiwa mahojiano muhimu ila yuko busy na simu. It's very unprofessional, jengine kukosea kutamka majina, hatufanyi bidii kumtamka mtu vile inavotakiwa, hata wewe mtaalamu hapa umeteleza kidogo 3:25 ni Inatamkwa kwa kiswahili Deil Kaa-nih-jee na sio Dale kama kwenye ma-dale.
Joel nanauka sijaacha kukufatilia since march 2020 nlipokuon CZcams see you at the top
Thanx and bless you always
Asante sana. Kwa kweli nilikuwa si mtu wa kutabasamu
Very powerfully,,@see you at the top.
Asante Na barikiwa Sana
Asantee kk
Ahsante Sana kwa somo zuri Sana nakupenda Joe Nanauka
Nakubali Sanaa mafundisho yako brother, hata ukipitia sekunde chache tu lazima ujifunze kitu
Asante mno brother Joel nakutakia maisha marefu mnomno vote nitavitekeleza brother Joel
May God bless you!
It's really good ! Thank you brother
thanks bro,every single word is maningful
Mshauri wangu siku zote...❤
Shukrani sana Kaka Joel Nanauka.
Nakupongeza sana kwa kufundisha vizuri! Hakika wewe ni mwalimu na unanguvu za kutoka kwa Mungu! Endelea Mungu kuna kitu amekuandalia mbele pambana kaka
Asante Sana Kaka ubarikiwe sana
Asante sana mwalinu
This enables to me improve my life and teach others
Mungu akulinde! Nashkuru nduguyangu pia naamini nitaonana nawewe live!
Unafundisha vizur sanaa kiongozi huwa napenda sanaa mafundisho yako be blessed more?
Shukran
Thnx Joel unanifanya niwe mtu katika watu sasa mimi naanza mwanzo na kusikiliza koz nlikua mbishi kwa kila maada...Asanteh
Shukrani sana Joel ..mengi nimejifunzaa.
Ur blessed Joel
Thank you sir
Mafunzo yako inaeleweka kabisa naisikiliza kwa makini ❤🎉from Kenya 🇰🇪
God bless you 🙏
active listening..be attention,high contact...this is greeting.
Cha kwanza uwe na hofu ya Mungu mtu anapokuja na tatizo ulichukue kama la kwako utaweza kufanya hayo yote Mungu akubariki kwa somo zuri
Nimeelewa sana nitajitahidi kuanza kila mojawapo kwa nafasi yake... Kwani hata kama nafanya baadhi ya hapo Ila sio kama umefundisha, ahsante kaka Nanauka
Asante sana kaka angu
Thanks bro kwa somo nzuri
Je validé beaucoup ton enseignement 👍
God Bless you Brouh
Asante Sana kaka kwamafuzo mazur🙏
Dahh hongera sna kaka kwa kazii yko nzuri
Nakuelewa Sana mwalimu nafraiya uepo wako mungu akujalie zaidi
Hakika unanifungua ufahamu kwa vingi, Barikiwa mno Mungu wa mbinguni azidi kukutunza
Amazing❤
Kwa sababu tu nimekua nikikufatilia kwa muda mrefu nafurah kusema ayo yamekua kama marudio kwangu na faida zake nimeziona pia nazidi kuziona..you be blessed kaka💪
Hi Mr Joel Nanauka nilijoin hivi juzi na ninazidi kubadilika hongera sana
Asante sana kaka Nafrahishwa sana Nimejifunza kitu
Jana kanisani hapa Kijitonyama.kuna mchungaji ndio ilikua mara ya kwanza kumuona.ila alivyosalimia kwa smile zuri.zaidi ya nusu ya kanisa tuli smile na ni mwanaume.Real smile inaambukiza
Mfano mzuri sanaa huu
Wow,listen eyes
Thank you brother Joel, Hakika nimejifunza kitu kwenye video hii, zaid zaid nikuweka mkazo tu! Though sikuwahi kufikiria Nguvu iliyopo kwenye kumuita mtu jina lake.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻 Ahsante snaa
Nashukuru mungu hivyo vyote ninavyo Ila nitaongeza kuwa active listening. Coz watu hupenda kunishikirika na kuipenda kazi yangu .
Mm naenda kuanza kufanyia kazi hayo matatu hasa, smile, active listening na names
Asante umenifungua hakir
Asante sana kaka joel
Thanks 🇰🇪
Asante sana nimejifunza kitu
Shukrani sana kaka.
Sahih
Nafatilia kila siku masomo yako barikiwa sana na Mungu akutumie zaid
Nashukuru Sana bro Joel
Asante kaka
Well done simple but creall
Nimeanza wiki hii kukufatilia masomo yako ni mazuri barikiwa sana kaka
Katika walimuuuuuu wote niliowasikiliza ......Huyu mwalimu nanaukaa nakupenda bure silipii chochote lakini najifunza mungu akulinde na akutunze ,.,,.,.,.,..,.,.,.,,.,..,.,.,..,.,.________
Nashukuru sanaaa
Binafsi nafurahia Sana masomo yako brother Joel, Mimi ntaanza na kusikiliza kwa makini (active listening)
Asant sana kwa somo hili.je mtu afanyeje endapo yy c mtu wa kutabasamu maan nimeona kuwa anakoswa fursa
Excellent
Hongera sana kwa ujumbe mzuri
Je nawezaje kuwasiliana na wewe?
Bro big up for advcing us
Kaka nashukuru sana maana nilikosa kaz kisa nilikua nmenuna
Hili somo ni la kwel namefanyakaz kubwa. San kwenye maisha yangu
Samahani kaka Joel.....jambo lakumpata msaidizi kwenye biashara au MTU wakufanyanae biashara linanisumbua sana
Barikiwa kaka... Unatusaidia sana.
Yote hayo nayafanyaga naturally and automatically....who aim I!? smart person or!?
👍👍👍
Ubarikiwe sana kaka. Hakika yote ni mema.
Nimependa actve listening
Good idea broo
Asante
Safi sana kaka nakuelewa sawa
Thanks
Brother asante sana
Kweri kabisa Kaka angu yaani unaongea ukweri yaani mi ni mtu wa tabasamu yaani muda wote nipo na tabasamu .
Watu wengi wananipenda sana,yaani ata mtu akinikosea mimi nimwepesi sana kusahau na kuruhusu mambo mengine yandelee
UBARIKIWE SANA KAKA ANGU.
umenifanya niamini ni kweri kabisa unacho zungumza
Brother upo vzuri cnah, thanks much unatusaidia cnah.but na weeh pia nakushauri Kati xa kazi ambazo hupaswi kuzifikiria kuzifanya NI siasa,achana nayo kbisa.baki upande huu huu I hope utasaidia sana binadamu wengi pia hta kwa upande wako utabarikiwa cnah na Mungu pia na kipato utapata,aidha kzi nyingine ambayo waweza fanya NI kusomea neno la Mungu halafu ciku ukawa pastor,naamini kwa Kariba xko utaokoa wengi cnah.
cheer up
asante sana
Keep up my brother
Ii kitu inanitokea Sana watu kunifuata kuniambia changamoto zao mpka watu walio nizidi umri sometimes naogopaga 😅najiulizaga sababu ni nini ila leo nimegundua nawasikliza sana kwa ukaribu na kuwapa hope pia na kucheka na kutabasamu sana 😇 kweli nimewaambukiza mpka marafiki zangu ku smile wamekua affected kiasi kwamba kama kuna event yeyote chuo n mimi siendi na wao wanagoma kabisa kwenda 😂 daah kumbe!!! Thanks kaka J