Ufanye nini watu wa kupende zaidi?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 10. 2020
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 226

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn8970 Před 3 lety +7

    Kwa Kweli Ubarikiwe sana Mtu wa Mungu, umekuwa Mentor mzuri sana Kwangu yaani najifunza mengi mno Toka kwako. Hata Kibari nilichonacho najua Ni Mungu tu Amewatuma ninyi ili muishape Jamii.

  • @michaelkarunda5120
    @michaelkarunda5120 Před 3 lety +9

    Nimekufuatilia kwa kipind kifupi sana na kukuelewa, nimejilaum why nilichelewa kukufamu mapema?... Upo safi sana brother.

  • @mirambovumilia3926
    @mirambovumilia3926 Před 3 lety +32

    Ni mwezi wa pili Sasa tangu nianze kukufuatilia kwenye mitandao , na huwa najitahidi kukuelewa na kutekeleza kila ninacho amini kutoka kwako ,. Kiukwel nimeanza kuona mabadiliko kwenye kipato ata lifestyle yangu. Na kama hii elimu ningeipata miaka miwili iliopita, naamini ningekuwa mbali kiuchumi. Nakuombea kwa mungu usije choka kuelimisha ,nakutegemea mwalimu wangu And I Promis You To See Me At The Top💪

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 3 lety +12

      Ahsante kwa mrejesho huu, tuendelee kujifunza zaidi

    • @emmanuelhawela6281
      @emmanuelhawela6281 Před 2 lety +1

      @@joelnanauka .l

    • @user-xo4gl3we1t
      @user-xo4gl3we1t Před 9 měsíci

      KAKA JOEL NANAUKA ASANTE WA USHAURI MZURI MUNGU AKUBALI@@emmanuelhawela6281

  • @yakubufadhil2560
    @yakubufadhil2560 Před rokem +2

    Joel nakupenda Sana Kwa ajili ya Allah,upo vizuri Sana kwenye kufatilia mambo, ebu Kaa chini uangalie ukweli kuhusu ni ipi dini sahihi Mbele ya Mungu Kwa wanadamu woooote?

  • @ANANIUSELIAS
    @ANANIUSELIAS Před rokem +1

    I have heard alot of motivational and inspiration speeches from experts and gurus , but this guy @joel nanauka is outstanding....Moses Jackson

  • @nimrodmulangi8074
    @nimrodmulangi8074 Před rokem +4

    Pamoja na yote, hili la kuwatambua majina yao umenisaidia zaidi, hapa ni moja ya maeneo nitaanzia kazi zaidi. Mwl wangu Ubarikiwe.

  • @martinjuliusadam970
    @martinjuliusadam970 Před 3 lety +4

    Umeokoa fikra, sasa si mtumwa kifikra... Ahsante bro Joel "#s60 see you at the top"

  • @vairethsimkoko3201
    @vairethsimkoko3201 Před 3 lety +2

    Hakika nimejifunza mambo mengi na naamini mfumo wangu wa maisha utazidi kuwa na matokeo mazuri,ubarikiwe sana.

  • @kasabwapeter8653
    @kasabwapeter8653 Před 3 lety +2

    asante sana
    KAKA hakika
    wewe una faha
    katiya watu makini
    zahidi.

  • @angelalwisa3321
    @angelalwisa3321 Před 3 lety +1

    Waooo I like it... Mtu wa Mungu yaani KILA nikikusikiliza uwaga najifunza Sana na kubarikiwa mnoo

  • @mwashighadijames3018
    @mwashighadijames3018 Před 3 lety +4

    Thanks bro Joel,am from Kenya hakika hayo yote nayafuatilia kweli na mimi namshukuru mungu napendwa kweli,smile is the way of showing how you are interested to others, sio kununa mda wote

  • @user-jb6hi2vs7y
    @user-jb6hi2vs7y Před 2 měsíci

    Kaka joel wewe ni mtumishi wa Mungu kwa eneo hilo Kwa kutabu chako cha Mkombozi wa familia na speech ya usisubiri kuanza anza sasa my life has changed totaly My God keep you my brother🙏🙏🙏

  • @ibrahimAhmed-zq5hj
    @ibrahimAhmed-zq5hj Před 3 lety +1

    Thank you so much bro God bless you

  • @godloventegwi8400
    @godloventegwi8400 Před 3 lety

    Ahsante Sana Kaka uwe blessed Sana we learn more & more from you

  • @swalhaomar162
    @swalhaomar162 Před 3 lety +1

    Thank you so much Mr. Joel

  • @revstephenmursaotv.3198

    Asante Sana kwa elimu unazotupa mtumishi wa Mungu.
    Tunakupenda.

  • @neemaprisca7126
    @neemaprisca7126 Před 3 lety

    Thanks Sir, for u are nice presentation,

  • @devothasimbi1055
    @devothasimbi1055 Před 3 lety

    Nimekuelewa vizuri sana kaka, upo sahihi kabisa nimejiona mwenyewe haswa kwenye tabasabu ni kweli watu wanajenga Imani na ukiwa na jitihada kubwa kazi hutojiona mpweke watu wanafurahia uwepo wake.shukrani kubwa

  • @paulpeter4684
    @paulpeter4684 Před 5 měsíci

    Thank a lot for that taught us in side of life education do again 🙏🙏

  • @jimboulaya
    @jimboulaya Před 3 lety +3

    Ahsante sana kwa kweli katika jamii yetu issue ya kukamata simu wakati wa maongezi muhimu ni tatizo sana na unaikuta hata kwa hao wanaoitwa mastaa, utakuta anafanyiwa mahojiano muhimu ila yuko busy na simu. It's very unprofessional, jengine kukosea kutamka majina, hatufanyi bidii kumtamka mtu vile inavotakiwa, hata wewe mtaalamu hapa umeteleza kidogo 3:25 ni Inatamkwa kwa kiswahili Deil Kaa-nih-jee na sio Dale kama kwenye ma-dale.

  • @mubussnestv5057
    @mubussnestv5057 Před 3 lety

    Joel nanauka sijaacha kukufatilia since march 2020 nlipokuon CZcams see you at the top

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Před 2 lety

    Thanx and bless you always

  • @suzanedgar5113
    @suzanedgar5113 Před 3 lety +1

    Asante sana. Kwa kweli nilikuwa si mtu wa kutabasamu

  • @JSL.TV_TANZANIA_1
    @JSL.TV_TANZANIA_1 Před 3 měsíci

    Very powerfully,,@see you at the top.

  • @sugarkheri4680
    @sugarkheri4680 Před 2 lety +1

    Asante Na barikiwa Sana

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 Před 3 lety +1

    Asantee kk

  • @mbelwakattolwiiza2228
    @mbelwakattolwiiza2228 Před 3 lety +1

    Ahsante Sana kwa somo zuri Sana nakupenda Joe Nanauka

  • @christophernilongo6154
    @christophernilongo6154 Před 3 lety +2

    Nakubali Sanaa mafundisho yako brother, hata ukipitia sekunde chache tu lazima ujifunze kitu

  • @dottounique7184
    @dottounique7184 Před 3 lety

    Asante mno brother Joel nakutakia maisha marefu mnomno vote nitavitekeleza brother Joel

  • @victoriakimaro8869
    @victoriakimaro8869 Před rokem

    May God bless you!

  • @mengicacoconut8144
    @mengicacoconut8144 Před 3 lety

    It's really good ! Thank you brother

  • @abdallahzaidan_0143
    @abdallahzaidan_0143 Před 4 měsíci

    thanks bro,every single word is maningful

  • @deboraclass9282
    @deboraclass9282 Před rokem

    Mshauri wangu siku zote...❤
    Shukrani sana Kaka Joel Nanauka.

  • @adelaidenganyagwa3900
    @adelaidenganyagwa3900 Před 2 lety

    Nakupongeza sana kwa kufundisha vizuri! Hakika wewe ni mwalimu na unanguvu za kutoka kwa Mungu! Endelea Mungu kuna kitu amekuandalia mbele pambana kaka

  • @happymushi2219
    @happymushi2219 Před rokem

    Asante Sana Kaka ubarikiwe sana

  • @jaypeace5090
    @jaypeace5090 Před 3 lety

    Asante sana mwalinu

  • @mahmoudmnyamzugu6628
    @mahmoudmnyamzugu6628 Před 2 lety

    This enables to me improve my life and teach others

  • @thrivehappy9610
    @thrivehappy9610 Před 2 lety

    Mungu akulinde! Nashkuru nduguyangu pia naamini nitaonana nawewe live!

  • @Mbembela737
    @Mbembela737 Před 5 měsíci

    Unafundisha vizur sanaa kiongozi huwa napenda sanaa mafundisho yako be blessed more?

  • @juniorcx0114
    @juniorcx0114 Před 3 lety

    Shukran

  • @jumbewatson4164
    @jumbewatson4164 Před 2 lety

    Thnx Joel unanifanya niwe mtu katika watu sasa mimi naanza mwanzo na kusikiliza koz nlikua mbishi kwa kila maada...Asanteh

  • @hilaryndosi249
    @hilaryndosi249 Před 3 lety

    Shukrani sana Joel ..mengi nimejifunzaa.

  • @juliethfrank6626
    @juliethfrank6626 Před 3 lety +1

    Ur blessed Joel

  • @healinghomeprayercentre

    Thank you sir

  • @Oderabrenda
    @Oderabrenda Před měsícem

    Mafunzo yako inaeleweka kabisa naisikiliza kwa makini ❤🎉from Kenya 🇰🇪

  • @MariaMosi-xi4hh
    @MariaMosi-xi4hh Před 2 měsíci

    God bless you 🙏

  • @hassanmgao2795
    @hassanmgao2795 Před 3 lety

    active listening..be attention,high contact...this is greeting.

  • @omaryshafii1174
    @omaryshafii1174 Před 3 lety +1

    Cha kwanza uwe na hofu ya Mungu mtu anapokuja na tatizo ulichukue kama la kwako utaweza kufanya hayo yote Mungu akubariki kwa somo zuri

  • @jasonjastinmatandala3037

    Nimeelewa sana nitajitahidi kuanza kila mojawapo kwa nafasi yake... Kwani hata kama nafanya baadhi ya hapo Ila sio kama umefundisha, ahsante kaka Nanauka

  • @uwimananadia6066
    @uwimananadia6066 Před 3 lety

    Asante sana kaka angu

  • @boazigelefasi8769
    @boazigelefasi8769 Před 3 lety +1

    Thanks bro kwa somo nzuri

  • @jeremiebahane6679
    @jeremiebahane6679 Před rokem

    Je validé beaucoup ton enseignement 👍

  • @delaxitmt7236
    @delaxitmt7236 Před 3 lety

    God Bless you Brouh

  • @patrisheradam5790
    @patrisheradam5790 Před 3 lety

    Asante Sana kaka kwamafuzo mazur🙏

  • @JamesJux-cl6pv
    @JamesJux-cl6pv Před 2 měsíci

    Dahh hongera sna kaka kwa kazii yko nzuri

  • @anoldnelson2049
    @anoldnelson2049 Před 3 lety

    Nakuelewa Sana mwalimu nafraiya uepo wako mungu akujalie zaidi

  • @mariaphilemon7857
    @mariaphilemon7857 Před 3 lety

    Hakika unanifungua ufahamu kwa vingi, Barikiwa mno Mungu wa mbinguni azidi kukutunza

  • @ndoakikristo7777
    @ndoakikristo7777 Před 2 měsíci

    Amazing❤

  • @faudhiatmasoud4025
    @faudhiatmasoud4025 Před 3 lety

    Kwa sababu tu nimekua nikikufatilia kwa muda mrefu nafurah kusema ayo yamekua kama marudio kwangu na faida zake nimeziona pia nazidi kuziona..you be blessed kaka💪

  • @rehabokaya2232
    @rehabokaya2232 Před 2 lety

    Hi Mr Joel Nanauka nilijoin hivi juzi na ninazidi kubadilika hongera sana

  • @AidaMakwaruzi
    @AidaMakwaruzi Před měsícem

    Asante sana kaka Nafrahishwa sana Nimejifunza kitu

  • @epafranyambalo
    @epafranyambalo Před 3 lety +2

    Jana kanisani hapa Kijitonyama.kuna mchungaji ndio ilikua mara ya kwanza kumuona.ila alivyosalimia kwa smile zuri.zaidi ya nusu ya kanisa tuli smile na ni mwanaume.Real smile inaambukiza

  • @yohanamagele3633
    @yohanamagele3633 Před 3 lety

    Wow,listen eyes

  • @newtondangote6954
    @newtondangote6954 Před 3 lety +4

    Thank you brother Joel, Hakika nimejifunza kitu kwenye video hii, zaid zaid nikuweka mkazo tu! Though sikuwahi kufikiria Nguvu iliyopo kwenye kumuita mtu jina lake.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 3 lety +1

      🙏🏻🙏🏻🙏🏻 Ahsante snaa

    • @sharifamtilly1014
      @sharifamtilly1014 Před 3 lety

      Nashukuru mungu hivyo vyote ninavyo Ila nitaongeza kuwa active listening. Coz watu hupenda kunishikirika na kuipenda kazi yangu .

  • @giftkelvin7
    @giftkelvin7 Před 3 lety

    Mm naenda kuanza kufanyia kazi hayo matatu hasa, smile, active listening na names

  • @wemajoashi3549
    @wemajoashi3549 Před 2 lety

    Asante umenifungua hakir

  • @NancyKahindi-qy8vh
    @NancyKahindi-qy8vh Před rokem

    Asante sana kaka joel

  • @julianambone9584
    @julianambone9584 Před rokem

    Thanks 🇰🇪

  • @ziyadanyandwi2908
    @ziyadanyandwi2908 Před 3 lety

    Asante sana nimejifunza kitu

  • @SiSaLeSeArusha
    @SiSaLeSeArusha Před 3 lety

    Shukrani sana kaka.

  • @mawam6462
    @mawam6462 Před 3 lety +2

    Sahih

  • @philomenaemanuel869
    @philomenaemanuel869 Před 2 lety

    Nafatilia kila siku masomo yako barikiwa sana na Mungu akutumie zaid

  • @nkezabahizifulgence8646

    Nashukuru Sana bro Joel

  • @rizikisuleiman7820
    @rizikisuleiman7820 Před 3 lety

    Asante kaka

  • @tillytildarobert5669
    @tillytildarobert5669 Před 2 lety

    Well done simple but creall

  • @user-pb2kp9qm9x
    @user-pb2kp9qm9x Před měsícem

    Nimeanza wiki hii kukufatilia masomo yako ni mazuri barikiwa sana kaka

  • @ghostelmendez7206
    @ghostelmendez7206 Před 3 lety +3

    Katika walimuuuuuu wote niliowasikiliza ......Huyu mwalimu nanaukaa nakupenda bure silipii chochote lakini najifunza mungu akulinde na akutunze ,.,,.,.,.,..,.,.,.,,.,..,.,.,..,.,.________

  • @amosdaud9410
    @amosdaud9410 Před rokem

    Binafsi nafurahia Sana masomo yako brother Joel, Mimi ntaanza na kusikiliza kwa makini (active listening)

  • @hildahmathew7800
    @hildahmathew7800 Před 2 lety

    Asant sana kwa somo hili.je mtu afanyeje endapo yy c mtu wa kutabasamu maan nimeona kuwa anakoswa fursa

  • @robertchris8819
    @robertchris8819 Před 3 lety

    Excellent

  • @emmanuelnjovu4611
    @emmanuelnjovu4611 Před rokem

    Hongera sana kwa ujumbe mzuri
    Je nawezaje kuwasiliana na wewe?

  • @robertmutani8893
    @robertmutani8893 Před 3 lety

    Bro big up for advcing us

  • @NsajigwaMwakanyamale
    @NsajigwaMwakanyamale Před 3 měsíci

    Kaka nashukuru sana maana nilikosa kaz kisa nilikua nmenuna

  • @happnesstupuyo155
    @happnesstupuyo155 Před 3 lety

    Hili somo ni la kwel namefanyakaz kubwa. San kwenye maisha yangu

  • @eveswai5501
    @eveswai5501 Před 3 lety

    Samahani kaka Joel.....jambo lakumpata msaidizi kwenye biashara au MTU wakufanyanae biashara linanisumbua sana

  • @azizakwileka1686
    @azizakwileka1686 Před 3 lety

    Barikiwa kaka... Unatusaidia sana.

  • @nover8035
    @nover8035 Před 3 lety +3

    Yote hayo nayafanyaga naturally and automatically....who aim I!? smart person or!?

  • @edwinalfred6460
    @edwinalfred6460 Před 2 lety

    Ubarikiwe sana kaka. Hakika yote ni mema.

  • @emmanuelkitomary7354
    @emmanuelkitomary7354 Před 2 lety

    Nimependa actve listening

  • @donaldssixmond3533
    @donaldssixmond3533 Před 2 lety

    Good idea broo

  • @restutamjuni4739
    @restutamjuni4739 Před 2 lety

    Asante

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko8251 Před 2 lety

    Safi sana kaka nakuelewa sawa

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 Před 3 lety

    Thanks

  • @herimailo8183
    @herimailo8183 Před rokem

    Brother asante sana

  • @MerryLaurent-ug6jm
    @MerryLaurent-ug6jm Před měsícem

    Kweri kabisa Kaka angu yaani unaongea ukweri yaani mi ni mtu wa tabasamu yaani muda wote nipo na tabasamu .
    Watu wengi wananipenda sana,yaani ata mtu akinikosea mimi nimwepesi sana kusahau na kuruhusu mambo mengine yandelee
    UBARIKIWE SANA KAKA ANGU.
    umenifanya niamini ni kweri kabisa unacho zungumza

  • @emmanuelakutulaga9756
    @emmanuelakutulaga9756 Před 3 lety

    Brother upo vzuri cnah, thanks much unatusaidia cnah.but na weeh pia nakushauri Kati xa kazi ambazo hupaswi kuzifikiria kuzifanya NI siasa,achana nayo kbisa.baki upande huu huu I hope utasaidia sana binadamu wengi pia hta kwa upande wako utabarikiwa cnah na Mungu pia na kipato utapata,aidha kzi nyingine ambayo waweza fanya NI kusomea neno la Mungu halafu ciku ukawa pastor,naamini kwa Kariba xko utaokoa wengi cnah.

  • @FrankMathias-ux2ki
    @FrankMathias-ux2ki Před 4 měsíci

    cheer up

  • @dayanamchina3685
    @dayanamchina3685 Před 3 lety

    asante sana

  • @user-fu5wi1ez7e
    @user-fu5wi1ez7e Před rokem

    Keep up my brother

  • @tedytitus7205
    @tedytitus7205 Před 3 lety

    Ii kitu inanitokea Sana watu kunifuata kuniambia changamoto zao mpka watu walio nizidi umri sometimes naogopaga 😅najiulizaga sababu ni nini ila leo nimegundua nawasikliza sana kwa ukaribu na kuwapa hope pia na kucheka na kutabasamu sana 😇 kweli nimewaambukiza mpka marafiki zangu ku smile wamekua affected kiasi kwamba kama kuna event yeyote chuo n mimi siendi na wao wanagoma kabisa kwenda 😂 daah kumbe!!! Thanks kaka J