Hakika toka nimesema furaha inaanza na mimi mwenyewe maana asilia 90 ya furaha ipo mikononi mwangu na 10 ni mambo yanayotuzunguuka hivo nikasema asilimia 10 haiwez kupoteza furaha yangu.
Kiukweli Mungu akubariki, zamani nilitegemea furaha naweza pata kwa marafiki au kwa mwenza lakini nilikuja amua kua furaha nijukumu langu,baada ya kuachwa na mwenza hivyo niliamua kusimama mwenyewe namshukuru Mungu hadi leo nimeinarika🙏🙏
See at the top mr. Joel naomba basi wale wa kwanza take time to answer our requests I have a book but I don't know nianzie wapi naomba msaada wako na mwanga ili nikawamulike wanajamii I real appreciate your efforts we thank God for having brought you to us may God bless you
MUNGU akuzidishie upeo zaidi na zaidi maana motivation zako zimebadilisha life style yangu!!!
Hii imenifurahicha Sana cause hata sauti yako niyabusara kabisa, thanks brother Joel 🙏🏽
Furaha ni ENERGY 🫂
Nasubiri hii,barikiwa zaidi kaka yangu umekua baraka kwa wengi 🎉🎉
cool content you deserve more views
Sana tuu content zake zimeenda shule napenda sana
Jambo kaka Mungu akubariki zaidi ndio furaha ni kitu muhimu sana kwenye MAISHA 🎉🎉🙏🇨🇩
Tujifunze kuwa positive minded ndio njia ya kujitengenezea furaha
Ameen
👏👏👏👏👏
Ahsante Sana Kaka Joel Kwa elim unay tufundisha walio Weng tuna feli kwa kukosa Elim kama hizi see you at the top
Kaka ubarikiwe xn
Waiting 🏆
ahsante sana mwalimu ilikua ikini tesa sana
🎉Wowowoow Ahsante sana
Thanks,Kaka Joel Asante Kwa Mafundo Yko
Asantee Mkurugenzi
Nashukuru Sana kwa hekima hizi
Àsante ❤
🇰🇪🙏🙏
Hakika toka nimesema furaha inaanza na mimi mwenyewe maana asilia 90 ya furaha ipo mikononi mwangu na 10 ni mambo yanayotuzunguuka hivo nikasema asilimia 10 haiwez kupoteza furaha yangu.
Kweli mwalimu furaha nimutu mwenyewe ajitafutiye
❤❤❤❤❤❤
😊jxhf8ddd
Kiukweli Mungu akubariki, zamani nilitegemea furaha naweza pata kwa marafiki au kwa mwenza lakini nilikuja amua kua furaha nijukumu langu,baada ya kuachwa na mwenza hivyo niliamua kusimama mwenyewe namshukuru Mungu hadi leo nimeinarika🙏🙏
Kaka joel me shida yangu nashindwa kuwa na bajet ya kifedha nisaidi kaka
Joel mimi ninunua kitabu cha timiza malengo yako sasa bdo kuna vitu nashindwa kuvitiza nifanyen nini joel please help me nanauk🧎🧑🦽
See at the top mr. Joel naomba basi wale wa kwanza take time to answer our requests I have a book but I don't know nianzie wapi naomba msaada wako na mwanga ili nikawamulike wanajamii
I real appreciate your efforts we thank God for having brought you to us may God bless you
Hongera Sana sana, karibu tuwasiliane kuna Kozi fupi itakusadia ya kuhusu kitabu Chako +255 749 741 923
@@joelnanauka nashukuru sana kaka angu
Morning nikweli kujitaftiya Furaha..ata hunakuwa na hafya ya moyo piya na Hakili
We Salome mbona ivo? Sio hakili ni akili, pia sio Hafya sema afya,, we sio wa Morogoro kweli wew hahahahaaaaa...!
@@andrew0502 pole mimi mkenya najaribu kiswahili I m soory
@@salomemrembo7482 unanipiga na kitu kizito naona hivihivi!