ONGEZA KIPATO KWA KUFANYA BIASHARA HIZI 5 ZITAKAZOKULIPA VIZURI KWA MTAJI WA KUANZIA ELFU 50 TU.
Vložit
- čas přidán 5. 01. 2023
- Kununua Vitabu vyangu vya Ushauri wa Maisha
1. Thubutu Kufanikiwa - 10,000
2. Mwanamke wa Thamani - 10,000
3. Siri za Kuishi Maisha ya Furaha - 15,000
Piga simu namba 0687786576.
Hongera sana dogo kwa exposure nzuri sana big up sana ❤❤
🙏♥️somo nzuri dada ,ubarikiwe! wengi wataelimika na kujikomboa kiuchumi kupitia wewe👏
Amina dear, tubarikiwe sote ❤️
Ubarikiwe sana, Mungu azidi kukutumia kufungua watu kimawazo
Amina dear, Asante sana.
Mashaa Allah shukran sana kwa elimu ALLAH azidi kukuhifadhi my sister.
Amina Amina 🙏🏾 ubarikiwe.
Thanks,Mungu akubariki kwa elimu kwa uma. Keep on doing it!
Thank you dear ❤️
Niko kenya dada nimependa sana maelezo yako mungu akubariki
Amina kipenzi. Karibu sana.
Asnte sana mama kwa biashala ya chakula nimeipenda sanaaa
@@LucyChistopha asante kushukuru dear.
Ubarikiwe sana kwa ujumla umetoa somo zuri msingi wa mafanikio nimependa sana somo lako.
Amina, asante sana. Ubarikiwe pia.
Asante dada kwa somo zuri
Asante sana madam ❤
Asante dear.
Mungu akubariki kwa kazi na elimu unayo saidia vijana wenye nia yakutafuta na kujituma kupata kipato halali
Amina, ubarikiwe sana.
Dada nimekuelewa, lakini umezungumzia kwa watu walioko mjini tu, je kwa walioko vijijini?
Asante sana dada Mungu akubariki sana
Amina, tubarikiwe sote.
Nimekuelewa sana Mungu akubless
@@Paschalbalashishi-je8wm Amina, asante 🙏🏾
Asante sana Mimi nitaanza na mitumba ya akina mama na icessories. Nitatangaza mtandaoni, haviozi nitauza, ubarikiwe
Sawa dear. Hongera sana kwa maamuzi.
Thanks so much kwakunifungulia dunia kwa mawazo konki kabisa kilicho baki ni kazikwangu kuchukua hatua yani ni Mungu tu nilikua napita tu youtube sahivi ndiyo nikaona hili somo japo ulifundisha siku nyingi miezi 7 imepita Ila sihaba nimepata kitu ubarikiwe mno dada angu yani mh sijui nisemaje kwakweli be blessed indeed
Amina mpendwa. Ubarikiwe pia na Mwenyezi Mungu akufanikishe katika mipango yako.
Asante kwa Elim mungu akulinde
@@user-wo5bj8wm4y Amina dear 🙏🏾
Asante sana dadangu nmejifunza kitu kwa kupitia maelezo yako barkiwa sana🎉
Amina, asante sana ubarikiwe pia 🙏🏾
Asante dada kwa ushaur mungu akuzidishie kwa kila jambo
@@Zuwenamuhammedy Amina, karibu sana.
Asantee sana dada
Asante sana dada kwa yshUri wake nitaufNuia kszi
karibu sana.
Asante sana kwa mafundisho mazuri nimependa
Asante dear.
Asante sana kwa elimu Bure wewe ni wa maana kulikoni wanaojitahidi kusema uongo
Amina mpendwa, nashukuru.
Nimekuelewa Sana dada angu ahsante Sana Barikiwa Sana.
Amina dear, ubarikiwe pia 🙏🏾
Nimekupenda sana kwa utoaji wa Elimu hiyo nzuri..
Asante dear, karibu
@@annaclaireshija Asante kwa elimu
Hamjambo,
Mimi kikweli nipo ulaya na mtaji wangu sio mdogo, naona ki kweli nipo na uwezo mkubwa. Nahitaji kufanya Biashara ya REAL ESTATE TANZANIA ila sijui nianziye wapi...
Naomba sana usaidizi...
Shukran
😅
tuwasiliane niko tarime Mara kwa rel estate hapa ardhi ipo na kilimo cha mahindi misimu miwili na soko zuri kwa nchi ya Kenya na South Sudan
Ujenzi wa nyumba na kupangisha au kuuza soko lipo tuko mpakani soko lipo
vile vile ununuzi wa dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo waliowengi hapa
Mzee karibu Tz sisi tupo Mzee uwezo na uhaminifu ktk Biashara ninao na najihamini kwa Hilo japo Sina wakunibusti tuwasiliane napatikana Tanzania Bukoba Kagera
Aridhi ya kilimo Cha parachichi ninayo karibu Sana
Asante sana dada kwa somo zuri
Nashukuru 🙏🏾👍🏾
Ahsante sana dada mungu akubariki kwa ushauri mzuri
@@HappyMathias-f1d Amina dear. Ubarikiwe pia.
Ahsante sana nimejifunza kitu kutoka kwako mungu akubariki
Asante sana dear. Amina 🙏🏾 ubarikiwe.
ubarkiwe kwaushqur mzur Mungu akubarki sana nimeguswa nanitqyafanyia kazi
Amina dear, ubarikiwe pia.
Asante sana nimejifunza sasa nikuingia kwenye utekelezaji tu barikiwa sana mama
Amina dear, ubarikiwe pia.
Shukran dada❤
karibu sana.
Asante sana dada mungu akubariki nimejifu za kitu
Amina dear 🙏🏾 Ubarikiwe.
Ubarikiwe sana mpendwa kwa kutuelim8sha
Akina dear, ubarikiwe pia kwa kutazama.
Asante Kwa ushauri dada
@@EmmanuelChinguile-t7x Karibu sana.
Mungu akutunze dada SoMo lako nizur naomba unifundishe jinsi yakutumia mtandao kibiashara❤
Wasiliana nami kwa namba 0687786576.
🎉🎉🎉thankfully madame
you are welcome
Asante Kwa ushauli wako mzur❤❤
Karibu sana.
Asante dada nakuelewa sana
Asante dear.
Asante sana kwa elm yko endlea kutpa maujuziii
Asante sana dear.
Ubarikiwe dada nimependa ushauri wako,umeongea kweli
Asante dear.
Asante sana kwa elim yako mama.
Nashukuru sana dear.
Asante mum wewe ni super woman ushauri wako umenijenga kiimani na kifikra pia💕😘
Asante sana dear.
A Great motivation dada shija
Thank you very much 🙏🏾
Asante nimeipenda sana somo zuri
Asante sana dear.
Umenitia moyo sana dada angu nataman kuelekezwa jinsi ya kutumia mtandao kupost biashara msaada jamn
La kwanza, ujue unataka kuwa unapost nini hasa au bidhaa gani, kisha unaweka maelezo ya bidhaa yako, mahali inapopatikana, bei na mawasiliano yako. Ni muhimu uwe unapost kila siku na kubuni njia za kutengeneza maudhui yatakayovutia wateja wako.
Ahsante Mungu akubariki dada
Amina dear. Ubarikiwe pia.
Thanks dear ❤
you are welcome ❤️
thanks cster
you are welcome dear.
Barikiwa dada, nimechukua mawazo yako.
Karibu sana.
Asante sana. Inaelimisha sana
karibu sana dear 👍🏾
Ahsante Sana kwa Elimu yako nzuri ya Biashara Dada angu.
karibu sana na asante kwa kutazama.
Unapatikna wapi Dada
@@annaclaireshija nimependa Sana elimishaji yako 🙏
@@fredrickmutabilwa8269 Dar es salaam.
Asante dada nimekuelewa sana
Karibu sana.
Asante dada kwa kunihelimisha
karibu dear.
Yaan ww Dada una mawazo mazuri ya Ujasiriamali🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Asante sana na karibu.
Asante dada kwa ushauli wako
Karibu sana.
thanks so much mom nmeamua kitu sasa
hongera na karibu sana.
Asante kwa elim ya biashara
Karibu sana.
Asante Dada. Kwa ushauri
Karibu dear.
Asante,samahani unauzoefu juu ya kuingiza kama nguo viatu ktk nchi nyingine utaratibu ukoje?
Asante sana umenifungua na umenipa nguvu
Ubarikiwe mamii. Asante sana ❤️
Asante ubarikiwe dada
Amina mpendwa.
Asante dada🙏🏽❤
Karibu dear 👍🏾
Honger san dada nmeipend❤❤🙏
Asante sana dear.
Asante sana dada
karibu sana dear.
Ni nzuri sana, utawasaidia wengi
asante dear 👍🏾
Nipo zanzibar asante sana kwaushauri wako tutaufanyikazi asante
Asante dear. Karibu sana.
Ahsante sana dada Kwa elimu hii
karibu sana dear.
Asante dada kwa SoMo zuri
@@SityLuu Karibu sana. Unaweza pia kupata Vitabu vyenye mafunzo mbalimbali ambayo yatakusaidia kujipatia maendeleo 0687786576.
Asante barikiwa
Amina dear, tubarikiwe sote.
Ok sawa dada nitafute Mimi mdogo wako
Asante kwakwel kwa nasaha nzur. ❤.
Asante kushukuru.
Asante Sana mama waeleweshe
Nashukuru 🙏🏾
Asante kwa elim ya biashsra
karibu sana dear.
Safe sana, darasa nzuri, endelea kuelimisha jamii, nimeipenda.
Asante mpendwa. Ubarikiwe.
Ubarikiwe Sana kipenzi
❤❤
Ubarikiwe!
Ubarikiwe San dad
Amina, tubarikiwe sote dear.
Hongera sana,mdada kwa mashule haya
Nashukuru sana dear.
Hongera kwa somo.
Asante dear ❤️
Mashallah...unajitahid Sana my dear....unatujenga kiakil
Asante sana Mpendwa. Uzidi kubarikiwa.
@@annaclaireshija ameeen...my dear
Asante sana kwa darasa tamu
asante na karibu
Asante dada shija❤
Karibu 👍🏾👍🏾
Mungu awe pamoja nawe
🎉🎉 ahsante dada
Karibu sana.
Barikiwa ssna asante
amina, ubarikiwe pia.
Asante Sana ume nifundisha kitu hapo nime kuelewa
Karibu sana my dear.
Nimependa sana ,na nimejifunza kitu ubalikiwe
Asante sana dear.
Ubarikiwe dada ❤
Amina mpendwa 🙏🏾
Asanteh mama kwa somo zuri
Karibu dear.
Asanteh
Daaa mm nataka hizo cheni vipuli hapo tadzania lakini sijui ntazipatavipi asante
Ahsante Kwa darasa ,ur
karibu sana dear.
Asante dada vp kuhus biashar ya vikapu
Ni nzuri tu mpendwa hasa ukizingatia sasa hivi matumizi ya mifuko ya plastic hayaruhusiwi.
madam SHIJA umetisha
shukurani sana 👍🏾
Nimejifunza kitu Asante
Karibu sana.
Darasa nzuri sana dada nahitajikujifunza zaid
Asante dear na Karibu.
BARIKIWA Anna na zaidi ya KUBARIKIWA.
Amina kipenzi. Ubarikiwe sana pia 🙏🏾
Barikiwe dada yangu
Amina Amina tubarikiwe sote.
Nimekuelewa sana mamaangu kipenzi Naomba uendelee kutupa seminar usichoke tafadhali.
Asante dear. Nitaendelea.
Asante sn dada .rakini mm naomba unishauri kitu mm hapa nikonamutaji wa 20000 rakini sijaona biashara ya kufanya
Kama unaweza kupika, pika maandazi, yatafaa kwa mtaji huo.
Barikiwa dada.
Amina dear. Tubarikiwe sote.
I like
youa re welcome 👍🏾
Ubarikiwe Dada umenifungua kiakili
Amina, ubarikiwe pia.
Amina