Hi Wapenzi pia unaeza kueka harufu ya Vimto nusu kijiko cha chai samahani sana sikuitaja🤣🤣 Nawapenda Mnooo wanawake Tuamkeeeee. Pia usipofata maagizo utapata mabuyu ya rojo🤣🤣🤣 fata maagizo na uwache yakauke kabisaa ama yapoea kabisa 🔥🔥 Lovies pia hapa kuna video ingine nimeifanya 1month ago angalia upate maarifa mengine pia ya mabuyu malainii czcams.com/video/ho76boMjdJc/video.html Pls like hii video na pia ushee usisahau kusubscribe 😘
Masha alah nasema tena masha alah mola akulipe wema wako na akupe afya na akuzidishie baraka yarab asanta sana tena sana umetufundisha kwa dhati kwa roho safi sana nakupenda kwa ajili ya allah ♥️💕🌹
Thanks dear for this vedio,imenisaidia kabisa nimejaribu kupika mabuyu na nimefaulu.ni rahisi na inaeleweka. U explain it well ❤️.Allah Akujaalie kila kheri
@@HadijaSheban niliambia ndugu yangu pia yuko huku .leo kuhusu mapishi yako mazuri akaniambia ya mm huwa na muona pia nazijua videos zake mzuri sana mashaallah mm kusema kweli nimeanza kuona leo in Sha Allah tutajifundisha shukran
Hi Wapenzi pia unaeza kueka harufu ya Vimto nusu kijiko cha chai samahani sana sikuitaja🤣🤣 Nawapenda Mnooo wanawake Tuamkeeeee.
Pia usipofata maagizo utapata mabuyu ya rojo🤣🤣🤣 fata maagizo na uwache yakauke kabisaa ama yapoea kabisa 🔥🔥
Lovies pia hapa kuna video ingine nimeifanya 1month ago angalia upate maarifa mengine pia ya mabuyu malainii czcams.com/video/ho76boMjdJc/video.html
Pls like hii video na pia ushee usisahau kusubscribe 😘
Shukran Jazakallah khaira habibty
Kiasi gani mabuyu
@@agapejoel7822 nimetaja kipenzi kwa video
unapatikana wapi dada
Wanawake!hata waume pia mimi sai ni mara ya tatu bado sijaweza kuyatoa km hivo ☹️
Thnks for sharing
Maa sha ALLAH
Looks nice👌
Stay connected
Hizi miti za mabuyu zimejaa ukambani. Leo nimelearn kutengeneza mabuyu atleast 💕💕.
Waaah navile watu huziendea shop muna bahati
Allah akubarikie ktk kazi yk,na nakushkuru kwa maelezo yk mazuri bila khiyana,naomba na mm nikifanya yawe km yk,shukran.
@@HadijaSheban How much per kg kwa duka? I want to start this business
Mashallah mabuyu mazuri 👌👌🥰🥰🥰🥰❤❤❤❤❤❤❤
Mashaallah very nice mabuyu Allah Barik
Ameeen my Kipenzi shukran sanaa🥰🥰
Looks nice👌
I mis mabuyu just remembering my childhood snacks .
Walai enzi za mabuyuuu
Masha alah nasema tena masha alah mola akulipe wema wako na akupe afya na akuzidishie baraka yarab asanta sana tena sana umetufundisha kwa dhati kwa roho safi sana nakupenda kwa ajili ya allah ♥️💕🌹
Nakupenda pia My Love Zaidi na zaidi asante kwa support ❤❤❤
Ameen yarrabal Alameen
Mashaallah barakaallah
Maa sha ALLAH
Wonderful I love it
Thanks dear
Uko sawa dadangu mungu akubariki
Dada u r very generous u help people with they business may Allah swt reward Ameen
Allahuma ameeen❤️❤️ Shukran
Mashaallah mashaallah mamy ninzr nimependa sana 😘💖❤🌼
Shukran kipenzi ❤❤
Nimependa
Maa Shaa ALLAH. Shukran Jazeelan
Tabarakallah kipenzi ❤️
Mashaallah barakaallah Rahman
❤️❤️❤️Shukran 🤲🤲
Mashaallah tabarakallah shukran sana sister Allah akuzidishie
Allahuma ameen darling kwetu sote
Asante.kwa.elimu.yako.naomba.niurize.sukari.kiro.moja.ubuyu.kiro.ngapi
Amazing
Thank you
Masha Allah kumbe yanatengezwa hivi 😊 shukran saana kipenz Allah akulipe dunian na akheera Kipenz
Ameen yarrabal Alameen kipenzi Nimefurahi kwa kufika kwako..Shukran sanaaa naomba share na wenzako
Unakaukaje siku ngap kukauka au unaweka Juani tupe jibu
This is interesting i didnt know this is how mabuyu are made
Thanks sis
Thanks so much for this.
Most Welcome
Kazi safi sana ...ubarikiwe
Ameen na asante sana
Maashallah shukran umenilimisha
Nimefurahi sana kipenzi
Asante sana kwa kutufunza
Thanks dear may Almighty God bless you unamoyo Safi sana nimejifunza nitapika NAMI🙏🙏🙏
Welcome kipenzi Ameen mungu atubariki sote❤❤
Mashallah barakallah ❤
♥️♥️
Shukran dada Allah akulipe kheir
Ameen kwa sote nimeshkuru
Mansha Allah
Tabarakallah
May Allah bless you my dear for your kindness
Aameen shukran Love for the prayer😍You tooo
Asante sana bb khadijaa shabaani
Shukran kipenzi
❤❤❤❤ my mfano kilo moja ya mabuyu unaweka sukar kiasi gn unga kiasi gn
Nimelezea kwa video
Mzuri sana nimependa
Asante sana
Safi sana mungu akubariki
Ameen atubariki sote kipenzi na ww pia share ujuzi na mwingine afaidike❤
Asante daa mungu akubariki kwa somo zuri
Tafadhali share na wengine waweze kufaidika🤝🤝❤
Mashaallah
Shukran
nakupenda piaa dada Kwa ajili ya Allah🥰🥰
nimejifunza sanaa yan nmeanza kuuza na mimi ubuyu huku chuoni kwetu
Hongera sana na mungu akubariki
Maa shaa Allah napenda sana vedeos zako za mapishi
Shukran mpenzi
Thanks sister your so lovely
Most Welcome dear 😘
Nzur San ongera 👏
Asante dear
Shukran sana
Afwan na karibu
Waooooh asante sana mngu akuzidishie ujuz
Ameen
@@HadijaSheban Mashallah Mashallah
Maaashaaallah Tabarakallah tu nashkur Unty
Bil Afya
Hongera sana swty kazi nzr
Asante sana kwa kufika naomba share
Asante kwa maelekezo mazuri Dada.
Karibu sana
Asante mungu akubariki
Ameen kipenzi ww pia
Barikiwa mnooo yn una moyo wa dhahabu
Ameen my love asante sana
Hongera dada Khadija na Asante nimejifunza vngi
karibu sana kipenzi
Mashallah khadija Allah ibarik fyk
Tabarakallah kipenzi 🤲🤲
Mashallah nimependa nitajaribu
Asante mpenzi
Asante kwa somo nzuri
Karibu sana please Subscribe❤
Sawa sana
Asante
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
mashaAllah na kama nataka kupika nusu sukari na maji nitapimaje tafadhali
Fuata video nilivyoeleza mpenzi utapata majibu yote kwa kiwango chochote kile
New subbie here from kenya 🇰🇪
Aww thanks soo much my country people🥰🥰🤗
Thanks dear for this vedio,imenisaidia kabisa nimejaribu kupika mabuyu na nimefaulu.ni rahisi na inaeleweka. U explain it well ❤️.Allah Akujaalie kila kheri
Ameen yarrabal Alameen mpenzi niko na hii nyingine angalia utapata ujuzi mara 2 czcams.com/video/ho76boMjdJc/video.html
Mashaallah Mngu abariki kazi ya mkono wako ya halali big 🤗 from Madrid Spain 🇪🇦
Tabarakallah love Ameen yarrabal Alameen thanks for coming🥰🥰please Subscribe and share shukran
@@HadijaSheban niliambia ndugu yangu pia yuko huku .leo kuhusu mapishi yako mazuri akaniambia ya mm huwa na muona pia nazijua videos zake mzuri sana mashaallah mm kusema kweli nimeanza kuona leo in Sha Allah tutajifundisha shukran
Asate mpenzi nashukuru pia mm nakupenda❤❤❤❤❤❤
Mungu akubariki na asante kwa kufika hapa
❤❤❤❤
Nimependa sanaa dada tunaomba tupikie embe kama unavyo pika ubuyu asante
InshaaAllah mpenzi nikienda nyumbani nitafanya hivyo
Thanks very much my dear.
Karibu sana
Good business
Perfect
Mashallah❤❤
Tabarakallah
❤
Tamu😋
Asante sana
Ahsante sana Kipenz Allah azid kukulinda na uzidi kutufunza nimepata faida sana kuitazama hii video Mashallah hukua mchoyo kwa kweli nakupendraaaaaaa!
Karibu love nimeeka video mpya itakusaidia..nakupenda piaaaaa
MashaaAllah wengi wenye hii biashara ya mabuyu n wachoyo
Asanteee nimejifunza nimejua
karibu sana
I'm the one to watch this Chanel
Thank you❤❤
@@HadijaSheban thank you too
Asante jazakillah hii recipe nimefanya day one nikayapatia Leo hii nauza mabuyu tnx
Aww homgera sana
asante mpendwa,, nimejifuza kitu
Na mm nimefurahi kipenzi
Mama asante sana kwa this recipe, nimetamani Sana kujua vile mabuyu hutengenezwa, perfect timing. Baraka sis
Thanks pia sis
Asante sana dada 🤲
Karibu sana
Aiya, I'm gaining so many tips, from this chanel
Thanks sis
Ahsateee Ubarikiwe saaana aaa naulza Unayaacha kwa mda gani ili yapoe vzr
Asante kipenzi 3hours
Ajsat momy
Upo vzr mdada
Asante sana
Hi @hadijasheban how long does it take for the mabuyu to dry
Hey inategemea 1 to 2hours bora sukari iwe imaiva vizuri
🤤
Ninapenda Sana nifanye biashara ya mabuyu lakini sijiu pakupata. Unga,Niko Uganda
Bonda hayo mabuyu yako nitaleta video soon
Naomba kuanza ,nianze na kiasi gani niko kenya thnax
Anza na kilo moja Ana nusu kilo mpenzi
Asante dear wangu
karibu sana
Hizi mabuyu naeza toa wapi jameni. Nimezimiss. Napenda hii mekundu. Tamu ajabu. Sikujua waongeza unga wa mabuyu
Asnte Kwa kutupenda,,nmependa video,,,ntajaribu kufanya,,,
Naomba ufanye yaani mimi nilitengeneze jana kupitia video ya huyu bidada uwiii mabuyu yalitoka mwaaaaaa nimefurahi sana ! Thank so much dada
Shukurani
Biashara mzuri yenye faida. I'm glad to know how to prepare mabuyu
Asante kipenzi
Asante sana
Karibu kipenzi
Asante xana dadangu
Most Welcome dear
MashaAllah babe,Allah Barik🙏🙏🙏🙏
Asante mpenzi
😋😋😋😋😛
ASATE sana mapeza yako 🙏
Karibu sana
Shukran
Afwan
Asante sana.
Karibu dear
Love your explanation. Nimejiona pro kwa kutengeneza mabuyu😂😂😂
Mabuyu yana faida sana
Thanks
Welcome
Asante kwa ujuzi wako
Karibu babe
😋😋😋😋😋😋😋😋
Nimejifunza kitu ahsante
Nimefurahi pia kipenzi
Sukari kilo moja mabuyu debe ngapi daa
Nimeeleza love
😍😍😍😍
Allah akujaze dada na akufungulie njia zako InshaAllah nimepeta idea ya biashara
Shukran sana Love atujaze sote na kwa support pia nimefurahi sanaa🤲🤲share na wengine
@@HadijaSheban tuwekee namba my tukufuate inbox