UBUYU WA ZANZIBAR | Njia rahisi sana ya kuutengeneza | Faida ni kubwa mnoooo
Vložit
- čas přidán 6. 01. 2023
- Usisumbuke kununua unga wa ubuyu dukani. Tengeneza mwenyewe nyumbani ndipo utaweza kupata faida ya kutosha.
Angalia video ya jinsi ya kutengeneza unga wa ubuyu.
@ • UNGA WA UBUYU. || NJIA...
NAMNA YA KUTENGENEZA UNGA WA UBUYU NYUMBANI
umeelekeza vizuri na umejibu vizuri sana maswali ya sisi tuliokufuatilia....Mungu akubariki mnoooo
🎉🎉🎉🎉I love this Mungu Akuzidishie
Una moyo wa pekee dear,barikiwa sana.Naomba unionyeshe package zako my
Asante mwalimu nimekuelewa
Hongera good explanation
Ahsante Sana na mm hatimae nimeweza barikiwa❤
Vailethy utafika mbali Mwenyezi Mungu akazidi kukutunza. Katika waelekezaji nadhani ur my the best wengi wamepata kitu kutoka kwako even me. Thank you be blessed
Waoo nasikia furaha kupata comment kama hii,
Asante dear. Be blessed too
Upo vizuri sana ubuyu
Asante dear
asante sana
Shukrani sasa dada mzuri Mungu akubariki sana
Asante, ubarikiwe pia
Maasha Allah
😊
Uko vizuri kuelekeza mungu akubariki sana
Amen. Karibu...
Asante dd UBARIKIWE
Amen
Ubarikiwe pia kipenzi
Ubuyu kilo moja unatoa pakti ngap?
Asante dada nimeelewa vizuri
Karibu sana
Mashaallah shukran momy😊
Karibu dear
❤
unaweza 😊😊
Asante sana Dada angu kwani ata mwanangu kajifunza kupitia ww😊😊👏👏👏
Waooo nafurahi sana kusikia hivyo. Asante kwa feedback nzuri. Pia usisahau kuangalia video zingine kwenye channel hii.
Karibu
Asante unafundisha vizur
Asante dear
Mashallah 😊😊😊
Maelezo mazuri, naomba mawasiliano yako tafadhari
Nimependa
Hi mashalla ubiyu mzuri sanaaa chumvi huweki
Asantee dear
Chumvi siweki
Mbona sijaona ile shila uliyoipunguza ukiiweka?
Asant Dada, naomba mawasiliano yako
Baking powder ni aina gani na unga wa ubuyu unaweka kiasi nusu , robo au kilo
Asante mpendwa
Karibu tena dear
Nimependa mpenz asant
Karibu
Asante dada nimeherewa
Karibu.
Samahan dada inamaana kias cha ubuyu ndo kias cha sukar??
Hapo pa kuweka shira, unaweka na kuchanganya unga wa ubuyu bila kuweka jikoni/motoni? Unachanganya ukiwa umezima jiko?
Hauweki jikoni, unakua umeitoa shira yako jikoni, ndipo unachanganya
Nice
Thanks
Dada ahsante kwa darasa naomba mawasiliano yako kwa maswali please
Wow wow so nice dada hicho kikombe ni Cha ujazo kiasi gani
Ñi cha robo na kidogo
Ila usisumbuke pima vikombe vile vya nusu kilo vitatu kwa sukari kg moja
Unautunzaje ili usikauke
Asante my dear ngoja nifanye naamini ntaweza
Sawa, mahali utakapoona ugum utaniuliza
My dear nimepika Leo ila wangu haujaachana kama wewe ulivoachana mwishoni na nusu ya unga haijaisha ila unaradha sa sijui nimekosea wapi
Maji kiasi gani
nimeipenda hiyo, mm nilipika nilifuata hvyo shida haukukauka kwa wakati nilikosea wap
Hapo mpenzi haukuivisha shila yako.
Hakikisha shila inaiva ili ubuyu ukauke, ikikauka inakua inatoa povu nene
@@Vaileths_Kitchen asante umeniongezea kitu asante sana
Dada naenda kazi yko nisaidie namba yko
Baking powder ya maandazi
Upo vizuri dear, unga wa ubuyu umeupataje?
Asante dear.
Unga wa ubuyu nautengeneza mwenyewe, kuna video nimepost namna ya kuutengeneza huo unga mpenzi
Angalia kwenye description box kuna link nimeiweka dear
czcams.com/video/1mkWezRPZ4Q/video.html
Dada nimependa maelezo yako.naomba unisaidie namba yako
Mamy iyo kilo moja unatoa ubuyu wa 500 ngap kwa kufungia zile take away za makopo? Au ww hua unatoa makopo mangap makubwa na madg kwa zile package za take away?
Huwa natoa vikopo 40 hadi 42
@@Vaileths_Kitchen 40-42 mchanganyko wa kopo kubwa na ndogo au ndogo tuu? Na vp kuusu faida make naona gharama kubwa ya sukari + take away
Asante dada kwa kutupa madini barikiwa sn nimekupenda bure,naomba namba yako
Amen.
Ubarikiwe pia kipenzi.
Usiache kiendelea kuangalia video zinazopatikana ndani ya Vaileth's Kitchen najua utajifunza mengi zaidi
Naomba unifundishe
Unataka darasa private?! La peke ako?!
Asantee dear!Mie napka ubuyu n mtam xana lkn haung'ai kama ule wa zanzibar au hua kinawekwa nn kung'arisha ?
Hakuna wanachoweka dear, sukari ndiyo inayoung'arisha ubuyu, pia angalia kwenye unga, yawezekana unaweka mwingi
Na ubuyu huonekana kama unang'aa unapokua sehem ya jua au mwanga
Unaweza kunipa namba zako
Naomba darasa la ubuyu wa vipande plz afu unitag
Sawa ucjal nitapost video hivi karibuni
Namm nataka
Nimependa naomba nione kopo la hiyo rangi pliiiiz maan nmenunua yangu imeandikwa raspberry red ubuyu hautoki na rangi kam hyo ya kwako
Angalia kwenye channel kuna video nimepost jioni hii, nimeonesha hilo kopo la rangi ambayo huwa natumia, n kavideo ka sekunde chache tu
czcams.com/video/0U54mGqjYPU/video.html
Bonyeza hii link ya hiyo video
Nimzur kwakweli
Santeee
❤ nimependa jinsi ulivyo tengeneza na unavyo elekeza vzr natumain na mm nitaweza kutengeneza Vzr ❤🎉🎉🎉
Ooh asante sana kipenzi
Naamini utaweza pia kutengeneza vizuri
Ahsante namimi nitajaribu
Asante nimejufunza lkn kilo moja sukari sio.nyingi kweli?
Sio nyingi
backinpoweder ni iipi?
Chapa maandashi
Samahani dada mbona mm nikijaribu kipika ubuyu wangu haushiki rangi wote mwengine huwa mweupw
Nilipost video kielekeza jinsi ya kupunguza huo weupe kwa kuutwanga ili kupata unga, pia kunauwezekano mkubwa kwamba umeweka ubuyu mwingi kuzi Shira uloitengeneza.
Karibu
Nitumie number from Zambia
Baking powder natumia hata ya maandazi au lazma iwe hyo?
Ata ya maandazi inafaa, ila usiweke baking soda. Ni baking powder aina yeyote
@@Vaileths_Kitchenthanks dear
Nimependa jamani
Karibu dear
Naomba namba yako
Uho unga unauzwa ivyo ivyo au unatenganisha na mbegu before ya kuanza kutengeneza
Unga unauzwa, ila unaweza ukatengeneza pia. Video ipo kwenye channel hii ya jinsi ya kutengeneza huo unga
Video ya jinsi ya kutengeneza unga wa ubuyu
czcams.com/video/1mkWezRPZ4Q/video.html
Samahani dada, mbona mm nkijaribu nnapoumumunya unakua mweupe ndani na mgumu?? Tofauti na wengine wakitengeneza.....
My dear fuata maelekezo, unautwanga ubuyu kwanza kabla ya kuutengeneza, na hakikisha shila yako inaiva, pia unapokua unachanganya usiweke unga mwingi
Pia usikate tamaa, endelea kujaribu
Mwanzoni unaeza kosea ila jinsi unavyoendelea utajua zaidi kipenzi
Samahani Naomba kuulza hiyo shira inafananaje na km Sina naweza kutumia nn kwa niaba?
Bila samahani
Shila ni ya lazima my dear.
Ukiangalia video vizuri nmeelekeza jinsi ya kutengeneza
Shira ni huo mchanganyiko Wa sukari na rangi na viungo vyote
Rice cooker sufuria ya kilo ngapi
Ya kg 2
Maji unaposema kikombe kimoja ni sawa na robo lita au ni kiasi gani?
ameelekeza mdau akasemaa sukari kilo moja aweke vikombe vitatu vya nusu lita
Kikombe cha maji ulopima kina ujazo gani??
Kinazidi kile kikombe cha robo kidogo, ni kama robo na kidogo
Ni aina kama vile ambavyo zaman vilikua vimeandikwa "Ok"
Vifaa unapata wp?
Upo mkoa gani?!
Kama hauna hiyo Radha ya strobel waweza weka maziwa?
Ndio, japo ubuyu wa maziwa usitengeneze mwingi sana maana unatabia ya kuwahi kuharibika
Dadake kwa jumla unauzaje
Kwasasa siuzi ubuyu kipenzi.
Utapata faida nzuri kama ukitengeneza mwenyeww
Dada asante sana nimekupenda bure ubarrikiwe naomba no zako
Asante pia mpz
Dada ukiwamgumu unafanyaje
Unauacha kwamda gani ili ukauke
Huwa haugandi kabisa, unakua sio mkavu, ukisha poa tu we endelea na kuupaki kwenye vifungashio vyako
ubuyu wa unga unaweka kiasi gan kwny iyo kilo maja
Mbn nimetengenez lkn umegandamana hautaki kuachiana
Usikate tamaa my dear, ata Mimi wakati najifunza niliharibu mara nyingi lakini mwisho wa siku niliweza, anza kidogo kidogo, rudia tena na tena kwa kufuata maelekezo niliyotoa kwny video, hakikisha Shira yako inaiva vizuri ili upate matokeo mazuri. Ukishindwa mahali niulize
Nimependa Sana jins anavyo ereza vizuri dear Nina matumaini namimi nitaweza na utakuwa mzuri km wako
Kama nataka kutengeneza lita10 sukari nawekaje nimechangakiwa sielew
Usianze na ubuyu mwingi kama ndo unaanza kujifunza
Kwenye vipimo n vizuri ujue vya kilo kwanza
Ubuyu mzur sana lkn mm nikipika unashikana sana sijui shida nini?
Naomb namba yako
Hi
HUo ubuy unakaukaje
Unakauka wenyewe tu, japo huwa hauwi mkavu sana kama ukifuata maelekezo vizuri. Pia ukikosea usikate tamaa rudia tena na tena
Wsp number
❤
🙏
Kwani unauzabeigani hapo Mimi ninunuekwako
Naomba niwekee mtejawako