Ahsante dada Mungu wa mbinguni akubarki mnooo kwa elimu nzur kiukweli nimejifunza vitu vingi sana sana kupititia hapa pia naomba kujua rangi ya ubuyu naweka kiasi gani🙏🙏
Looks so tempting! I will definitely give it a try. Thank you! Could you please share the recipe for seedless mabuyu balls and mabuyu bars? Thank you again
Unga wa Mabuyu Recipe
czcams.com/users/shortsjju8TGJOf-w?si=ylSRgRRA5SuN24NT
Nisaidie vipimo
Tunaomba recipe ya kashata za ubuyu please☺️
😊😊 i got ue
Liking from kibwezi...iko dope...let me try to make nione
Mashallah naangalia nikiwa mtwapa 🎉
Nimeipenda asante kwa SoMo nipo mtwara
The best mabuyu video I have ever watched
woow thanks
Unaweza mashallah all the way from Tanzania
Allahubarik
Thanku so much for perfect recipe, very well explained..
karibu sana
Asante aunty Kwa darasa ♥️♥️
naitwa hanifa mama ilsa naangalia kutokea ikwiriri rufiji asante kwaujuz
asante kipenzi
Maa shaa ALLAH
Tabarakallah
MashaAllah may Allah bless the work of your hand 👌 Dada ❤
Allahuma ameen shukran
I hardly comment...u r the best chef dida🎉
awww shukran Darling ♥️♥️Be commenting pls
Ahsante dada wangu ukikaa unavunda nakosea wap??
MashaAllah.
Tabarakallah
Upishi wako smart na simple thank u
Shukran sanaa
Nimejaribu yaani kiukweli ubuyu ilikua mtamu ajabu, hauchubui mdomo. Asante sana na Mungu abariki kazi ya mikono yako.❤
Ameeen my love nakupenda sanaaaa na hongera kwa kujaribu♥️
5kg maji vikombe ngapi na sugari
Unafundisha vema c* God bless you mejifunza vizur many thanks to you
Ameen darling ♥️
🇰🇪
Npo dar shukran 🙏
karibu sana kipenzi
Asantee
karibi sana
😮Nimejifuza nashukuru nipo mbeya Tanzania
MashAllah❤ mombasa mvita
MashaAllah nafurah kuskia karibu sana
Masha Allah yummy yummy mabuyu nitajaribu na mm
utapenda babes
Asante kea elimu ya mabuyu❤❤
karibu sana❤️
Asante my ❤❤❤
karibu❤️
Salaam alykm vp hali yako thanx kwa kipimo naomba tuelekeze pia ubuyu wa vipande
Ma Shaa Allah Mpak umenitamanisha mtamu,
pole hun
MashaaAllah yametoka ajab
na matamu sana
Asante dada
karibuu
Ahsante dada Mungu wa mbinguni akubarki mnooo kwa elimu nzur kiukweli nimejifunza vitu vingi sana sana kupititia hapa pia naomba kujua rangi ya ubuyu naweka kiasi gani🙏🙏
Ameen my love weka kijiko kimoja cha chai kama haijatokea vizuri ongeza usieke nyimgi sana itakua uchungu
Looks really good better than what you get from the streets
za street sio mabuyu babees🤣🤣🤣
Asante tena kwa kutuonyesha kutengeneza mabuyu, nashukuru sana.
karibu sana
Looks so tempting! I will definitely give it a try. Thank you! Could you please share the recipe for seedless mabuyu balls and mabuyu bars? Thank you again
Hey love yes i had shared it already check my shorts
Thank you. However, I couldn't find it in the shorts. If you don't mind, could you share the link here please. Thanks again.
Hi rangi ni gani dear n pls share the each package na prices
waooooh mabuyu yametoka na lang ya kipekee
Asante sana love
MashaAllah dada, please weka recipe ya huo unga Sasa... Looks very yummy ❤😍😍😍😍
Hey love nishaeka kwa short
Mashallah yavutia mabuyu yenu...❤..mm niko yemen nimejifunza vizuri dear .
Nafurah sana kuskia umejifunza love share na wengine
@@HadijaSheban usijali dear
Ubarikiwe mnoo
Ameen my love
Naomba vipimo mamy naitaka iyo biashara
nimetaja kwa video
Tamu sana.Tunangoja jinsi ya kutengeneza unga wa mabuyu.
okey babe
Hujb
Mdada jamani nini faida ya banking soda hapo alafu mbona tunda zake zinakuwaga laini kama zimechemshwa
Mashallah didah they look yummy mpka nijaribu 😅
asante sana love
Asnt kwa funzo
karibu sana
Nipo morogoro nimejifunza vizuri kabisa ntaifanyia kazi....mtu alitaka
Akitaka kuagiza je...unauzaje
kipenzi kwa kenya itakusumbua
Inshallah na mm nitajaribu mana siku zote nikipika unakuwa mbaya au sababu naukorogea kwenye jiko
ooh kila la kheri babe
Hellow Bi Hadja mm npo Singida ahsante sana kwa elimu nzuri lkn nataka kujua ni kikombe saiz gan Cha maji busy lta au Cha chai robo lta?
kikombe kinachotoshana na 250ml
Ahsante nimependa ila je hayo maji vkombe vtatu vya nusu Lita au Lita moja
sio lita moja nikama lita kupungua kikombe kimoja
Dada Asante sanaa Kwa maarifa, but me natamn kujua na ubuyu wa vipande
nitajaribu kuleta kipenzi
Dada didah. Naomba uweke receipts za crunchy food pls. Tofauti na bites. Mfano kuku au nyama ya n'gombe
yaani kuku crunchy?
@@HadijaSheban Ndio
Aslaam alaykum naomba kujua ni kikombe cha size gani ulichopimia maji shukran kwa sadaka hii Allah akuzidishie❤
waalykhm mussalam ameen tumia tu the normal cup ile kikombe haikosekani nyumba zote
Naomba kujua Ni kikombe gani hicho ambacho hakikosekani kwa nyumba zote😅
😂😂😂😂😂😂
Tufundishe na ubuyu wa vipande
sawa nimeskia
Naanagalia nikiwa Malawi 🥰
Asante sana
Da hadija natokea dodoma na mm najaribu Leo kutengeneza
karibu kipenzi
Naangalia nikiwa Mbeya, naomba namba yako
Dada naomba utufundishe namnan ya kutendeneza ubuyu wa vipande(kashata)
nitajaribu siku moja love
Co nilitengeneza mabuyu yalikuwa red nikaweka kikopo kimoja after 2weeks nimekuta mabuyu ni light red au pink hii ni kwa sababu ya baking soda???????
yalikuwa wazi au?basi maybe rangi ilikua kidogo ila sio kawaida
How do you sell in whole sale
1kg 600
Yakiwa meusi hayana neno ama hayatumiki
😂 j 3 fikq mapema niende kilombero nianze biashara nipate ela yavikundi mie
Nipo unguja, nimepemda
asante sana
Nifanye nn mabuyu yangu yakaukee😢
Asante dada nipo pemba umenifunza vzuri ila nataaka kujua ubuyu wako hukuutwanga twanga hata kidogo?
hapana hatukutwanga
Asante dada je kindoo kidogo sukar ni kiasi gani?
pima kwa kilo
Mbona umekuja mbichi
sijaelewa
Nifurahi kuona hayo mapishi ya mabuyu naagalia video hii kutoka majengo kanamai
woow asante sana love
Mashallah 😢😢
Tabarakallah
Mtu yuaezaje kupata ya kuuza dadangu niko nairobi pliz
nairobi islii yako pia love
How much is a kg of mabuyu
inategemea
Waooo tuandikie recipies hapo chini
ok
Mtu akihitaji contact yako inakuaje au kuna masharti🙏🙏
nambie baby niko haoa
Baada ya kumaliza
Unaweka kwa masaa 2/3 ukiwa umeyafunika?
unaacha wazi
Da hadija hivi baking soda kwny ubuyu unasababisha mabuyu kubadilika rangi
hapana labda nimuulize nyanyangu
Unafanya delivery?
yes uko?
Hiyo ni food color ?
yes
bikabonet unatumia ipi
Naangalia nikiwa singida Tanzania nitajaribu na kuleta mrejesho dada
karibu
Mi najaribu unakuwa haukaiki
Dada menilijalibu ila kaukuusawa maana ndani ulikua badomweupe ukaivajuuu tu ukila unauchachu ubuyu mgumu sana nisaidie nifanyaje
sukari haikuiva vizuuri basi baby
sijaona rangi ilivowekwa
ok
Naangalia nikiwa Tanga mjini
Nisalimie ndugu zetu wa Tanga♥️
Pia baking soda unaweka mara mbili? Kwenye unga & na kwenye rojo baada ya kuepua ina maana kwa vipimo hivyo baking soda ni kijiko kimoja kikubwa?
yes
Baking soda inasaidia ubuyu kuwaje?@@HadijaSheban
MIMI NINA ANGALIYA NIKO MOMBASA
Asante sana
Sorry dada, nimejaribu kufuata vipimo hivyo lkn ubuyu wangu haukauki na haujiachii kutoa ungaunga. Je nitakuwa nakosea wapi??
sukari yako haijaiva
Kama ubuyu kilo 1 maji kiasi gan
nimetaja
Nimetengeneza Ila mabuyu yakawa makavu hayakiwa na unyevu je nilikosea wapi?msada samahani.
pole sana maybe sukari umekausha sana ama ulizidisha unga wa mabuyu
Maji kikombe cha robo au
ndio
Habari Dada naomba namba yako
Nakufata tokeya DRC ila sasa kwetu huku haya mambo hayapo kiukweli sijuwi mabuyu ni nini
Mabuyu ni baobab
@@fatmatiro3362 baobab si mti?
asante
Mabuyu ni nini kwa English
Baobao seed
Lazma njsrb jmn