Jinsi yakupika mabuyu,kashata za ubuyu na achari/ubuyu wa maembe aina 3 | Snacks za Kiswahili .
Vložit
- čas přidán 22. 12. 2020
- #mabuyu #ubuyuwamaembe #kashatazaubuyu #acharizamaembe
Website:rukiaskitchen.com
Instagram: rukias _kitchen
Facebook: Rukias kitchen
Cookpad: Rukias kitchen
English recipe press the link ➡️ How to make mabuyu , baobab barfi ,3types of dried cooked mangoes (Achari ) |Top 5 swahili snacks. • How to make mabuyu , b...
Mapishi rahisi na haraka za snacks (bites) mbalimbali | Mapishi tofauti za biashara . ➡️ • Mapishi rahisi na hara...
Bites za kiswahili | Mapishi 3 ya vyakula vya ramadan | Mapishi ya mitai ,Kaimati za shira aina 2 . ➡️ • Bites za kiswahili | M...
Bites rahisi za kiswahili(ramadan)| Mapishi ya bajia za dengu na kunde, viazi slices na karai. ➡️ • Bites rahisi za kiswah...
Mapishi rahisi za bites za ramadan | Mapishi ya kababu,sambusa ,katlesi ,springrolls za kuku. ➡️ • Mapishi rahisi za bit...
Mapishi rahisi na haraka za snacks(bites) mbalimbali | Collaboration ya snacks kutoka kwa wapishi 6. ➡️ • Mapishi rahisi na hara... - Jak na to + styl
If you would like to watch this video in English language press the link ➡️ czcams.com/video/fMIz1Hzoc9I/video.html
mashaallah rukia
Mshlh👌
MashaAllah Asante Da Rukia
Masha alaah
mashaAllah
Asalam walaykum ss hapo tayari kwa kiulla eeeh
Nimependa
masha Allah tabarrak Allah thnx swt ila nauliza jee unaweza kuweka kwwnnye oven baada ya jua
Am in belgium😭😭😭nimeutamani iyo achari yako
Vyakula vyote vizuri mashaallah daa Ricky ila mm zaidi nimependa mabuyu ya embeee👌ss nauliza mm ukisha kukauka unaupeki bas🖕
Ahsante kwa darasa.vipimo vya ubuyu umetumia kiasi gani?
MASHAALLAH shukran, ubuyu Ni size ngani robo nusu?
Kilo 1
A.alekum dear...niulize naeza tumia corn flour badala ya unga wa ubuyu ...niko yemen hakuna ubuyu
Nkitka hiyo arki nitaipta wapi ama jina lngne la arki ni gani ili niweze kuipata kwa urahisi
Je hiyo rangi artificial haina madhara kwa afya?
Hupiki km vile ubuyu,?
Je hiyo rangi ya artificial haina madhara kwa afya? Ningeomba uhakikishe juu ya suala hili…. Na zaidi inaweza kudhuru afya ya watoto inavojulikana
Ubuyu ni kg ngapi
Asante sana lakini pia nataka kujuwa kupika kadhata
Kashata jee
Wewe mwana dada tafadhali peana No zako Plz
Samahani sipeani no ya simu
@@RukiaLaltia tupe bas na tumfate wapi ili tukapate ujuzii wa mapishii mwanamke jikoooo bibi weee mengine stareheee😂
Mm napenda kujuwa kila aina ya mapishiiii kwa sbb napenda kupika👌