Hakuna haibu ukitafuta pesa. Mimi nimewahi fulia wasee nipate pesa nikiwa uko Kenya aki tumetoka mbali🤣. Hizi ni ideas poa im going to learn hii mambo cakes. Kusonga nywele iko na doo uku wacha tu
Asalamaleykum dada mm nilikua natafuta kazi ya salon najua kusonga kufunga vilemba na kidogo kupaka makeup naomba dada kama waeza pata conection naomba niconectie niweze kujikimu pia kupata iyo rizki inshaallah dadangu
Asant Dada Allah akulipe Nimefaidika nasomo lako pia sauti naifananisha km vile nilishakusikiaga kwenye group la uliza ujibiwe wakinamama km sio wewe sorry I love you
Ma Sha Allah Allahu barik hbbty. Tanxs alot 4 this ides.
Ameen yarrabal Alameen My Love
Mash allah khadija nimekupenda kuwapa watu idea nzuri sana allah atakulipa mema in sha allah dunian na akhera allahuma amin yarab
Ameen yarrabal Alameen my love shukran sanaaa
Wow..I like your advice so much dear sister.
Thanks mummy all the best
Mashallah ideas poa mwanamke ni kujituma hali imekuwa mbaya these days watu wasaidiane nyumbani maisha iende mbele.
Lazima kusaidiana kwakweli sis❤❤
much blessings to you
Shukran habibthy jazakillahu kheyran ❤
afwan kipenzi
Mashallah..mpenzi shukran sanaa
Karibu sana kipenzi 🥰🥰🤝
Shukran love
Afwan love
Amiin
MashaAllah love,this is excellent
My babe asanteee
@@HadijaSheban thenks my love good aidear
have loved every word and statements in this video
Thanks dear🥰
the best encouragement to begin business
Asante sana dada Mungu akubariki kutufungua kwa ideas
Ameen kipenzi
Thnk you yuve inspired me.
You're most welcome dear😍😍
Shikamoo Dada nakupa big up umetupatia ukweli kila mtu tajir kwa huu msemo kwel una ukweli
Yes kila mtu tajiri asante sana kipenzi Be Blessed
Nakupenda pia ❤️❤️🥰👌napenda make up sanaa na ure mbo kwa ujumla nguo na mapambo
Awwww mwanamke wakisawasawa🔥🔥🔥
masha Allah...Mungu akubariki uzidi kusaidia umma
Allahuma ameen mpenzi kwasote
Good advice habbity
Shukran sana dear
hiiiii before nimalize ,love you content......
Thank you dear❤❤❤
asante sana kwa huu wasia
Nimekupend khadija shaabaan
Nakupenda pia Kipenzi ❤❤❤
Asante nimelpenda
Masha Allah may Allah protect you
Allahuma Ameen
Ahsante dada ang alla akulip
thanks
Mashaallh elimu nzuri sana asante dda
Karibu sana kipenzi
Thanks so much
Karibu dada
Uko vizuri dada unaongea vizur unajua kuhamasisha
Asante sana kipenzi
Wanawake nikujituma sis, asante kwa video hii nakumbuka nikiuzaa nguo za watoto mtumba nilipata pesa poa sana.
Lazima tujitume sis❤❤
Nakupenda sanaaa kwa kutakiya watu mema allah akuzidishie moyo huo
Nakupenda pia mpenzi Ameen yarrabal alameen
Nimeipenda hii swahiba tnks
Shukran mpenzi naomba share❤❤❤
Jamoon ahsante my
Karibu sana dear
Mashallah tabaraka llwah
I miss you
Liked very nice good 👍 stay supporting together honey
Allah azidi kukuongoza na kuzidi kutuelimisha
Ameen my Love shukran
Hakuna haibu ukitafuta pesa. Mimi nimewahi fulia wasee nipate pesa nikiwa uko Kenya aki tumetoka mbali🤣. Hizi ni ideas poa im going to learn hii mambo cakes. Kusonga nywele iko na doo uku wacha tu
Haya maisha wacha tu biashara ni biashara❤❤❤
Kwani uko wapi
@@faimaally7329 Germany
Asalamaleykum dada mm nilikua natafuta kazi ya salon najua kusonga kufunga vilemba na kidogo kupaka makeup naomba dada kama waeza pata conection naomba niconectie niweze kujikimu pia kupata iyo rizki inshaallah dadangu
Waaleykhm mussalam uko wapi
Masha Allah wow
Shukran
Nashkuru Sana Mungu akulipe kila la khair
Ameen asante sana
Mashaallah
Tabarakallah kipenzi
eye opener
Masha Allah
Dada nataka nianze kutengeneza icecream za mia mia ila naitaji nitengeneze vizuri naomba unielekeze
Ni zipi hizo kuna ice cream nshawai fanya pia ila mi sijazoea sana
Mashaallah habbity
Tabarakallah
Mashallah
Tabarakallah
Ahsante
karibu sana
Asante dada mm natamani nikilud Tanzania niunze mtumba
All the best dada utafaulu
Leo umeomekana mpenzi love u so much natamani ningekuwa jirani yako
I love you too darling 😘 karibu sana
Hata Mii nimefurahi kumuona kumbe mdogo nilijua ni mtu mzima Sanaa was umri Kama 50
Good idea
❤️❤️❤️
Santeee madam wangu
Karibu sana
Shuklani habipt ♥️
Karibu sana dear
Somo zur sana dada hadija
Shukran sana ❤️
I like
Thanks
Umetusii tuangalie video mpaka mwisho
Naam ndio uweze kujua kila kitu
need to tag some people here
Asante sanaa
Ahsante nimejifunza kitu
Nimefurahi kuskia hivyo
Me natamani sana kufany biasha mitandaon ila cjui kuunda magurp
Pole sana jaribu kugoogle
Safi sn nielekeze juisi na icecream na vitabu nakeki
Okey kipenzi
Msusi kazi yake ni kusuka hii msonga kaziyake ni kusonga kazi kuharibu kiswahili msusi hawezi kusonga😅😅😅😅
Asant san dad
Karibu kipenzi pls Subscribe 🥰🥰
Asant Dada Allah akulipe
Nimefaidika nasomo lako pia sauti naifananisha km vile nilishakusikiaga kwenye group la uliza ujibiwe wakinamama km sio wewe sorry
I love you
M.a
Tabarakallah
Kusonga ugali
Niko makini
Asante kipenzi
Good idea
❤❤❤
Cant u make yo videos in english plizzz