BIASHARA YA BIRIANI YENYE FAIDA KUBWA SANA/BIRIANI YA NYAMA YA NG'OMBE
Vložit
- čas přidán 28. 03. 2021
- #biryanirecipe
Hi Lovies
Hizo zote nizabiriani chagua ipi itakayokupendeza❤️❤️🙏
Biriani yakuchanganya ya kuku👇
• Biriyani ya kuku yakuc...
Biriani Ya Jodariiiii
• Biriani Ya Jodari || F...
Biriani ya kuku
• Biryani recipe /Birian... - Zábava
MashaAllah mashaAllah this is what am talking about love👌👌👌👏👏👏👏👏👏👏i loooove it..asante sana kwa somo zuri ,nitashare na ndugu jamaa na marafiki ili wao pia wajifunze👍👍🎉🎉😋😋😋😋😋
Unajua nakupenda bure we dadaaaaaaaaa..... Yaaani kunywa soda nalipa shukran sana na sana tutaonana kule mtaa wapili😂😂shukran sana nimefurahi
you prolly dont care but does any of you know a way to get back into an instagram account?
I was dumb forgot my account password. I appreciate any assistance you can give me
Oooooo man! 🙂 🌤
i love perfectly fluffy rice.
even my favorite sushi chef (*rated top 3 sushi chefs in Japan) said that "his RICE was most important ingredient" he said "background" taste & texture makes the entré that much more interesting ♡
Tuna shukukuru Sana kwa maujuzi kama haya jamani maan ni bure na unawez kupata faida nzuri Sana❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Umeexplain vizuri kabisa. This is way to go. Biashara poa sanaa faida pia iko poa biryani imekaa Tamu sana
Asante sana sis
Mawaidha mazuri sana dada.. Shukran sana.
Masha Allah
Sili beef lakini hiyo rojo yatamanisga. Biashara nzuri tena. Wishing you all the best in it. Nami pia nitamake order hizi karibuni InshaAllah😍
Khadija asante sana mwenyezi mungu akupe afya na furaha,uzidi kutufunza,akujalie na ibada na mwesho mwema ameen ameen ya Allah jazakillah kher ukhti fiillah
Allahuma ameen shukran sana kipenzi kwa Islam sote🤲🤲
Funzo nzuri sana step by step recipe imetokea ya kuvutia
Mchele nao umekubali sana si kuchambuka uko..yani hii biashara na uko jiji inaweza mbaya sana😋😋
Hii inaweza mbayaaa🔥🔥🔥 asante my babe
This is such a good idea and well explained.
This is really yummy and I like the way you prepare this recipe
nice recipe thanks for sharing 💕
Wow thanks for sharing ❤️
Looks so delicious
Nice recipe yummy delicious
Maa sha ALLAH
The meal looks very tasty and yummy
Mashaa Allah Allah akuhifadhi unapatikana mkoa gn.
Ameen nipo Nairobi
Wow looks delicious Sis. Enjoy 😊
Mashaallah
Woow lovely I am going to do this thanks for sharing.Good job
Most Welcome love
Asante da kwa kutuelimisha.... Mungu akubariki.
Ameen shukran
Ma Sha Allah
Tabarakallah ❤❤
mashaallah
Ukiwa na biashara ya chakula hauwezi lala njaa, mautamu tu hapa, all the best on this new venture.
Thanks love❤️❤️❤️
MashaAllah MashaAllah MashaAllah nimeipanda mapichi yako nimebonyeza makosa
Shukran love
Mashallah,
Shukran my love❤️ Asante kwa kuja
Asante sana. Upishi ndio talanta yangu. Tuma recipes zingine utanisaidia sana. Barikiwa.
Asante sana my love
Be blessed.idea poa ya biashara❤❤
Ameen kwasote😘
Wooo beautiful
Thanksss
Tujaribu hiii kwa kweli ni biashara mzuri
Mwanzo nairobi nzuri sana
Yaaani nimejifunza mengi kuhusu upishi wa biriani.. lakini nmemaliza kuwatch nikakimbia jikoni kutafuta food koz ya njaa😂😋.. so delicious 😋
Asante mpenzi- all the best😍
Hahhaha watu wakupenda kula tuko wengi😂😂asante my love
Dada mungu akubariki sana 🙏🙏🙏
Ameen Asante Sana kipenzi
Ma sha Allah..asante sana dada.Mimi pia nimekua nikitamani kuanza biashara ya chakula.In sha Allah soon nitaanza.
Karibu sana love..kila la kheri
Hilo rojo mpenzi 😋
Tamuu sanaa mpenzi asante share pls
Jamani ilo rojo
Much love from Burundi🤩
Aww thanks My love
😍🤤
Na salad yako watengezaje ama una video yake??
Nimejifunza sana..chakula kina vutia sanaa
Asante mpenzi ❤️❤️
Kilo moja ya biriyani inatoa sahani ngapi
Nimesela skiliza mpka mwisho
😋😋😋🥰🥰
Hilo rojo lanikumbusha mbali sana
Usijali mpishi atkuja hamisa😂😂
Heh si tungekua huko na ss😂😂order kama zote ingekua sipiki mm
Hahhahaa yaani najua masimu kama yote alafu ningekua nakupa offer ujue😂😂
Mashaallah nmeipenda hii ila naomba kujuwa kw mchele kilo 10 naweza toa sahani ngap
Tafadhali fanya hio hesabu kwa umakini
Sister naweza kutumia yoghurt kama huna maziwa mala
Plain youghurt unaweza je ya kupika nyumbani ama ya biashara? Asante kwa kuja please usisahau kusubscribe 🙏❤️
400 to Tanzania shillings 7900 kweli ina Farida Kwa kenya
Eeh MashaaAllah ina faida
Ningependa utumie kipimo na sio kukisia wakati watia chunvi Mana umejitolea kutoa mafunzo kwa uma
InshaaAllah
Maziwa ni lazima?
yes
Yaani napenda mapishi yako ungekuwa karibu ningekufuata
Shukran love uko wapi kwani??
@@HadijaSheban zanzibar
Sh 400 ya Kenya kwa tz ngapi sh
Sijui jaribu kuangalia kwa google dear
Elfu 8 hapo
Ume2mia basmat gani kwa ajili ya biashara
Sahii micebele imegeuka kwakweli
Masha Allah
TabarakaAllah ❤️
Mashaallah