BIRYANI YA KUKU TAMU NA RAHISI KULIKO ZOTE YOUTUBE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 03. 2021
  • video ya leo tutajifunza jinsi ya kupika biriani ya kuku tamu na rahisi kuliko zote youtube haswa kwa wasiojua kabisa na mabachela.
    biryani hii ya kuku ni tamu sana na rahisi sana kupika naomba ujaribu recipe hii hasa msimu huu wa sikukuu na uniambie umeipenda kiasi gani na ilikuwa rahisi kiasi gani.
    kwa recipe nyingine ya birian bonyeza link hii
    BIRYANI YA NYAMA
    • BIRIANI YA NYAMA
    Na recipe za pilau bonyeza link hizi
    PILAU YA NYAMA TAMU SANA
    • JINSI YA KUPIKA PILAU ...
    PILAU YA KUKU
    • PILAU LA KUKU TAMU SAN...
    WALI WA MAUA
    • WALI MAUA |WALI MTAMU ...
    kwa recipe zingine za wali bonyeza link hizi
    WALI WA MAYAI
    • WALI WA MAYAI|EGG PILA...
    WALI WA NYANYA NA NYAMA ZAKE
    • WALI MTAMU SANA WA NY...

Komentáře • 294

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly  Před 3 lety +21

    Pia unaeza kutumia nyama ila upishi wake tofauti,pika nyama yako kwanza....halafu ufanye kama ivo,usiogope kuiacha nyama yako jikoni baada ya kutia maji kama tulivofanya kwenye kuku ili aive sababu nyama ya biriani inafaa kuwa laini sana. Kwaiyo pika kwa amani

  • @HamidaMrishoMahmoud
    @HamidaMrishoMahmoud Před 19 hodinami

    Mashaallah birani linanukia mpaka huku

  • @gladnessjohn3975
    @gladnessjohn3975 Před rokem +15

    Yaani hili pishi nilikuwa nalitafuta kwasababu chakula Kama Hiki dada mmoja alikuwa akiwapikia maboss zangu wakati huo me nilikuwa office assistant hongera dada natamani nilike mara Mia 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @z.s773
    @z.s773 Před 3 lety +6

    Mashaallah Mashaallah Mashaallah dearest..This is sooo good ntajaribu kupika hivi InShaaAllah..Allah (swt)akuzidishie kwa kila jambo la kheir,Aamin.Nakupenda kwa kutufunza

  • @gatrethgabriel3690
    @gatrethgabriel3690 Před rokem +3

    Napika leo hii🤤🤤❤️❤️

  • @nazymwasaha3727
    @nazymwasaha3727 Před rokem +1

    Wow haki nimejaribu nitamu kweli nimefata maelezo

  • @carolynatotiah9738

    Yaan Dada nmependa maelezo yako mashallah ♥️

  • @RechoDanieli
    @RechoDanieli Před dnem

    Mtindi ni maziwa ya mgando au

  • @yusuphjohn42

    Maziwa mtindi yoyote yanafaa au kunamengine

  • @amnadossa2656
    @amnadossa2656 Před rokem +1

    Very easy and tasty receipy❤️ Thanks for sharing!!

  • @felisterjoshuamollel3930

    Wow mashalaah mashalaah

  • @user-hj7io6qy9n

    Ahsante sana

  • @user-eu5jt9cc8e

    Mashallah kwakweli haya nimapish rahisi thanks my dada Allah akupe umri mrefu na afya njema

  • @sabahally4566
    @sabahally4566 Před rokem

    Mashaa ALLAH tamu sana nimeijaribu

  • @user-vi4jw1lc9y

    Mashallah hngera kipenz nitapik inshallah hivi punde

  • @maridhiakhamid928
    @maridhiakhamid928 Před rokem

    Mashallah Nimenda sana sijaamin kilicho tokea mwisho sijakipika ila ntakipika inshallah nimekipenda vibaya mnoo

  • @MugishaIngrid
    @MugishaIngrid Před 21 dnem

    Maziwa mtindi nimaziwa gan hay

  • @ayshaaysha2165
    @ayshaaysha2165 Před rokem

    Mashaallah sn lahisi na nzur

  • @LightnessMrema-qv4uy

    Asante sana nimejifunza

  • @SleepyBarn-jv6sn

    Wow 👍👍👍👍 I like it