Kaka joel Mungu akubarik sana kwan.unaona mbali katika future,mimi ni mwanafunzi wa chuo natamani sana kufanya biashara nikiwa nasoma naomba ushauri wako nifanye biashara gani itakayonisaidia
Somo hili sio jipya kwangu, lakini kila ninaposikiliza Habari za ujuzi/skills kuna kitu kipya kina kinaibuka kwenye ufahamu wangu. Shukrani saana mwalimu.
Hello Mr. Joel natumia hujambo. Mimi nilikuwa nataka Ushauri wako nimejaribu Mara nyingi kufanya biashara tofauti lakini sikufanikiwa na Sasa Nina biashara ambayo nataka kuianza ndio Nataka kujaribu.
Kaka joel kiukweli ninateseka na hiki kitu, napenda kufanya biashara ya kusambaza bidhaa kuchukua huku na kupeleka kule lakin ni bidhaaa gan sijui ipi na itakuwa endelevu hapo ndo tatizo lilipo je nifanyeje?
Ahsant Baba nimechereewa kukufaham lkn hapa nilipokupata muda huu naamini nitafanikiwa Toka nianzee kukufatiliia akili yng imefunguka na Sasa najipanga kuanzishaa biashaara Kuna siku ntakupa majibu
Kaka Joel, Mimi bwana Nina uwezo kushawishi mtu kwa leongo la kuboresha bidhaa nilianayo au biashara flan na mtu akavutiwa au kukubali hata Kama hajatarajia?? Je Mimi kutokana na hiki nilicho nacho Naweza nikafanya kaz au nianzishe kitu gani Cha namna hii???
Kaka mm ninafanya biashara yakuuza vifaa vya simu na bado najiuliza biashara yangu ni ndogo sehemu niliopo wateja wenyewe wa msimu najiuliza niongeze kitu gani
baba kweli unaongea ukweli lkn na jambo nataka nikuombe siku moja ufundishe upande mwngne kuna ili janga la vijana kujingiza kuangalia vdeo chafu na kuwafanya waowenyewe kupelekea kukosa raha na familia zao kulingana na madhara waliyoyapa kwenye uangaliaji wa vdeo chafu na leo hii awajui jinsi ya kuacha nayo na wengne wamezama kwenye suala la punyeto embu baba kwa ili embu lifikirie kwa upande mwngne
Libarikiwe tumbo lililo kuzaa Joel. Your the best one
Ameen nimejifunza kitu kikubwa mno leoo be blessed Joel
Nimekuelewa kaka nawaza sana chakufanya katika maisha sasa nimeshakijua
Kaka Joel wewe ni my Best motivator speaker na huwa nawaambia watu....Seriously
Kaka joel naomba ushauri na milioni tano nifanye biashara gani ambayo nikianza ina anza kuni ingizia hela
@@rebeccatimoth9734 nikopeshe
Nashukuru elim yangu ni ndogo sana lakin mashaalah nimejaaliwa ujuz wakuweza, kubadilisha maisha yangu, nanikawa tajir mkubwa
Yaan ww Kaka Joel unaniinspire xn 🙏 unatufanya tuamke tuliopo ucngizini❤️
Yes ur my twin idea!!!🇹🇿
Mr. Joel nanauka apewe uongoz sehemu yoyote ile bas lazima uoene mabadiliko..
Sio passion yake mwenzio kashasema
God bless you kaka nanauka👍
God bless you 🔥🔥🔥🔥
Dhaaah nimekuelewa kinoma
Great
Best of the Best may you live longer Mr Joel Arthur Nanauka you've changed me a Lot 🙏🙏
Your that inspiring person i know! Stay blessed
Asante sana uko sawa.sana nanauka
Àsante mwalimu nabalikiwa saña na mafundisho yako
kaka hakuna somo baya kwako very thank you
Kaka Joel natamani sana kufanikiwa lakin sijui nianzie wapi. Natamaaaaaan sana jaman
Bravooo...!
Thank you sir
Nabarikiwa sana na maneno yako
Nimependa
your amazing bro keep inspiring
I have impressed with your motivation mr Joel I see you reach so far 🙌
Dah mafundisho mazuri sana bro
Be blessed
Masha Allha mipia nawaza nn chakufanya kiniingizie kipato kama mama wanyumbani
Shukran kwa kutupatia maarifa aa,, 🌹🌹🌹
Stay blessed forever
kaka asante sana kwa mafundisho yako
Shukran sana
Thank you so much for this information 😄
Thank you so much🙏🏾
Ahsante sana kakaangu
Kaka joel Mungu akubarik sana kwan.unaona mbali katika future,mimi ni mwanafunzi wa chuo natamani sana kufanya biashara nikiwa nasoma naomba ushauri wako nifanye biashara gani itakayonisaidia
Eeee
Ww una ujuzi gn
Naomba ushauli
Point noted.
Maneno matam sna
Ahsante sana bro
you are the best broo
Somo hili sio jipya kwangu, lakini kila ninaposikiliza Habari za ujuzi/skills kuna kitu kipya kina kinaibuka kwenye ufahamu wangu. Shukrani saana mwalimu.
Waoo katik zote hii ndoiko poa sanaa kiupande wangu m.mng aliyeumba mbingu na ardhi akubariki
Ahsant kwa elimu mzuri
Am so happy kusikia swala linaloitwa biashara lakin leo nimepata kitu kutokana ww brother Joel Give us medicine
Asante ndugu
Kiukweli upo vizuri
Nimtu mwenye mawazo mapana na mungu akubariki
Asante Kaka
Hello Mr. Joel natumia hujambo. Mimi nilikuwa nataka Ushauri wako nimejaribu Mara nyingi kufanya biashara tofauti lakini sikufanikiwa na Sasa Nina biashara ambayo nataka kuianza ndio Nataka kujaribu.
Nashkuru joel nmekuuliza swali hapo lakin naona nshapta jibu shukran bishara nzuri yenye kuendelea ni ile iyambatane na ujuzi wako
Kutengeneza sim
True
🙏sana
Me napenda sana kilimo vip uwo nao niujuzi
Ni unapenda kilimo lakin je una ujuz na kilimo?
Nice 🎉
Daimaa napendaa kuwa Kama wew
Nakupata vp kak nanauka
Nakusoma bro
Balikiwa
Kusema rahisi sana..hebu toa mifano kutoka kwenye biashara ulizo wahi anzisha
Kwani kuna biashara kubwa zaidi ya hiyo anayofanya kutufundisha . Biashara siyo lazima uuze vitu .
Anaujuz wa kuongea na watu wakamsikiliza na wakamuelewa tayar hapo ana ujuz na anaingiza pesa.. acha ujuaj na jifunze. lione kwanza
hiyo kuongea ni ujuzi, kama unaona rahisi ongea na wewe tucoment hapa
👍
kaka mm nimkulima wa kilimo Cha biashara naomba ushaulizaid niweze kunufaika nacho zaidi san ushaulii wako nimeupenda San hongera
Unatujenga sana vijana wa kiafrika
Bwana wewe fundi gari ni car mechanic engineer
MyLifeCoach
Mimi napenda Sana ufugaji na kilimo lakini sehemu ya kufugia sasa changamoto
Kaka joel kiukweli ninateseka na hiki kitu, napenda kufanya biashara ya kusambaza bidhaa kuchukua huku na kupeleka kule lakin ni bidhaaa gan sijui ipi na itakuwa endelevu hapo ndo tatizo lilipo je nifanyeje?
Shukulan kak Kwa som lalk zuri san
Mimi Nina eneo kubwa la Hela 19 na nyumba pamoja na mabanda ya kuku na ya Ng'ombe nauza
🔨
Kak mim ninafanya biashara ya kupika vitafunwa vizur sana pia huwa ni msusi, pia naweza kupamba vitanda lakin kak bado sjafanikiwa nifanye nin sas?
Kweli ujuzi niuhimu
ni mepata elimu juu ya ujuzi
Ahsant Baba nimechereewa kukufaham lkn hapa nilipokupata muda huu naamini nitafanikiwa Toka nianzee kukufatiliia akili yng imefunguka na Sasa najipanga kuanzishaa biashaara Kuna siku ntakupa majibu
Joel √√
napataje namb yako jmn unanibarik
Mi ni operator wa motor grader na sijaajiriwa na campuni au mtu binafsi sasa swali nafanyaje kutengeneza pesa?
Mi napenda san kufanya biashala iwe duka au mgahawa napenda san
Kaka mimi nimekuelewa saan
Biashara ni ujuzi "find ur skills" bado najitafuta
Na je kama huna ujuzi ila unamtu wako yeye anaujuzi ila hana mtaji haiwezekani kufanya jambo kwa pamoja?
Kaka Joel, Mimi bwana Nina uwezo kushawishi mtu kwa leongo la kuboresha bidhaa nilianayo au biashara flan na mtu akavutiwa au kukubali hata Kama hajatarajia?? Je Mimi kutokana na hiki nilicho nacho Naweza nikafanya kaz au nianzishe kitu gani Cha namna hii???
Natamani nikuelewe nahis kuna kitu hapa
Ila Tz Mzima inatakiwa ijue KUWA Kuna mtu Kama wewe na nje ya mipaka ya Tz. Una upeo was ajabu sana wewe
kabx,,,, ila tatizo unaweza ukawa na hizo skills ila mtaji ukakuta hauna,, je,, mtu anaweza akafanyaje????
Miminauzaviuato
Na Wayne awazasoma tufanye gani kaka
Tatizo namba unayoitoa msg ukituma haijibiwi cm inatumika mno,tunapaje kitabu
Kaka mm ninafanya biashara yakuuza vifaa vya simu na bado najiuliza biashara yangu ni ndogo sehemu niliopo wateja wenyewe wa msimu najiuliza niongeze kitu gani
brow umenikosha sana mwaka utakapo kuja mtwara naomba nikuone
Good
Kaka joel nakukubali sana mungu akubaliki sana
Joel Mungu akutie nguvu unatuamsha tulio lala unatia nguvu tuliokata tamaa 🙏🙏🙏
Kaka niko na laki moja ila sijui nifanye biashara gani
Bro uko vizuri ila nitatatixo LA kupenda kila biashara ninayoiona
Anza bange inalipa sana
Nakupata Sana mwalim na ninaomba kupata namba yako ya WhatsApp
baba kweli unaongea ukweli lkn na jambo nataka nikuombe siku moja ufundishe upande mwngne kuna ili janga la vijana kujingiza kuangalia vdeo chafu na kuwafanya waowenyewe kupelekea kukosa raha na familia zao kulingana na madhara waliyoyapa kwenye uangaliaji wa vdeo chafu na leo hii awajui jinsi ya kuacha nayo na wengne wamezama kwenye suala la punyeto embu baba kwa ili embu lifikirie kwa upande mwngne
Umeongea kitu kikubwa sana kaka
Bro naomba namba yako kunavi2 nataka mwongozo wako yangu ni 0746283695