Episode 2 : Je,Ufanye biashara gani?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 09. 2020
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 111

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 Před 3 lety +20

    Libarikiwe tumbo lililo kuzaa Joel. Your the best one

    • @annamilanga6087
      @annamilanga6087 Před 22 dny

      Ameen nimejifunza kitu kikubwa mno leoo be blessed Joel

  • @yahayahamadi6338
    @yahayahamadi6338 Před 26 dny +1

    Nimekuelewa kaka nawaza sana chakufanya katika maisha sasa nimeshakijua

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 Před 3 lety +17

    Kaka Joel wewe ni my Best motivator speaker na huwa nawaambia watu....Seriously

    • @rebeccatimoth9734
      @rebeccatimoth9734 Před 2 lety

      Kaka joel naomba ushauri na milioni tano nifanye biashara gani ambayo nikianza ina anza kuni ingizia hela

    • @aishaaisha6127
      @aishaaisha6127 Před rokem

      @@rebeccatimoth9734 nikopeshe

  • @aash4145
    @aash4145 Před rokem +2

    Nashukuru elim yangu ni ndogo sana lakin mashaalah nimejaaliwa ujuz wakuweza, kubadilisha maisha yangu, nanikawa tajir mkubwa

  • @beatricmmpantaleo3420
    @beatricmmpantaleo3420 Před 3 lety +8

    Yaan ww Kaka Joel unaniinspire xn 🙏 unatufanya tuamke tuliopo ucngizini❤️

  • @abdlhaleem8380
    @abdlhaleem8380 Před 3 lety +11

    Mr. Joel nanauka apewe uongoz sehemu yoyote ile bas lazima uoene mabadiliko..

  • @rithalaizer4665
    @rithalaizer4665 Před 2 lety +3

    God bless you kaka nanauka👍

  • @ramadhanrashidali7056
    @ramadhanrashidali7056 Před 3 lety +4

    God bless you 🔥🔥🔥🔥

  • @jumaalexis6020
    @jumaalexis6020 Před 3 lety +2

    Dhaaah nimekuelewa kinoma

  • @rachelmruma3767
    @rachelmruma3767 Před měsícem

    Great

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před 3 lety +2

    Best of the Best may you live longer Mr Joel Arthur Nanauka you've changed me a Lot 🙏🙏

  • @abellabakalemwa5729
    @abellabakalemwa5729 Před 3 lety

    Your that inspiring person i know! Stay blessed

  • @onesmomustafa135
    @onesmomustafa135 Před 2 lety +1

    Asante sana uko sawa.sana nanauka

  • @kelvinbernard7980
    @kelvinbernard7980 Před 2 lety

    Àsante mwalimu nabalikiwa saña na mafundisho yako

  • @user-kw6bv9qp4e
    @user-kw6bv9qp4e Před 3 měsíci

    kaka hakuna somo baya kwako very thank you

  • @princessleonard6415
    @princessleonard6415 Před 2 lety +2

    Kaka Joel natamani sana kufanikiwa lakin sijui nianzie wapi. Natamaaaaaan sana jaman

  • @fatmamkoga3766
    @fatmamkoga3766 Před 3 lety

    Bravooo...!

  • @healinghomeprayercentre

    Thank you sir

  • @paulmanyanza1330
    @paulmanyanza1330 Před 3 lety

    Nabarikiwa sana na maneno yako

  • @RivadoBabliery
    @RivadoBabliery Před 8 měsíci +1

    Nimependa

  • @barakagonzalve4147
    @barakagonzalve4147 Před 3 lety +2

    your amazing bro keep inspiring

  • @raytonhungu1793
    @raytonhungu1793 Před 8 měsíci

    I have impressed with your motivation mr Joel I see you reach so far 🙌

  • @abrahammeatui3897
    @abrahammeatui3897 Před 3 lety +1

    Dah mafundisho mazuri sana bro

  • @user-dq3ck1lv7p
    @user-dq3ck1lv7p Před 4 měsíci

    Be blessed

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Před rokem

    Masha Allha mipia nawaza nn chakufanya kiniingizie kipato kama mama wanyumbani

  • @aash4145
    @aash4145 Před rokem

    Shukran kwa kutupatia maarifa aa,, 🌹🌹🌹

  • @user-fl6gd1ub8p
    @user-fl6gd1ub8p Před 8 měsíci

    Stay blessed forever

  • @Francsimba64
    @Francsimba64 Před 3 lety

    kaka asante sana kwa mafundisho yako

  • @nshimirimanadjamilla7270

    Shukran sana

  • @alimambabazi3666
    @alimambabazi3666 Před 3 lety +2

    Thank you so much for this information 😄

  • @missdee9501
    @missdee9501 Před 2 lety +2

    Thank you so much🙏🏾

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d Před 5 měsíci

    Ahsante sana kakaangu

  • @MencyJoachim
    @MencyJoachim Před měsícem +1

    Kaka joel Mungu akubarik sana kwan.unaona mbali katika future,mimi ni mwanafunzi wa chuo natamani sana kufanya biashara nikiwa nasoma naomba ushauri wako nifanye biashara gani itakayonisaidia

  • @RodaEmmy
    @RodaEmmy Před měsícem

    Naomba ushauli

  • @patriciasylvester897
    @patriciasylvester897 Před rokem

    Point noted.

  • @mpeliakhim3770
    @mpeliakhim3770 Před 3 lety +2

    Maneno matam sna

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 Před 3 lety

    Ahsante sana bro

  • @m-tatu1050
    @m-tatu1050 Před 2 lety

    you are the best broo

  • @jamesibrahim8849
    @jamesibrahim8849 Před 3 lety +2

    Somo hili sio jipya kwangu, lakini kila ninaposikiliza Habari za ujuzi/skills kuna kitu kipya kina kinaibuka kwenye ufahamu wangu. Shukrani saana mwalimu.

  • @fatimaalbraiki2341
    @fatimaalbraiki2341 Před 3 lety +1

    Waoo katik zote hii ndoiko poa sanaa kiupande wangu m.mng aliyeumba mbingu na ardhi akubariki

  • @husnamasham5078
    @husnamasham5078 Před 3 lety +1

    Ahsant kwa elimu mzuri

  • @jimmyally5974
    @jimmyally5974 Před rokem

    Am so happy kusikia swala linaloitwa biashara lakin leo nimepata kitu kutokana ww brother Joel Give us medicine

  • @onesmomustafa135
    @onesmomustafa135 Před 2 lety

    Asante ndugu

  • @wilbertmlyuka5723
    @wilbertmlyuka5723 Před rokem

    Kiukweli upo vizuri

  • @emanuelmasawe2673
    @emanuelmasawe2673 Před 2 lety

    Nimtu mwenye mawazo mapana na mungu akubariki

  • @Pathro_Cavosia
    @Pathro_Cavosia Před 3 lety

    Asante Kaka

  • @ruqayahaloraimi4007
    @ruqayahaloraimi4007 Před 3 lety +2

    Hello Mr. Joel natumia hujambo. Mimi nilikuwa nataka Ushauri wako nimejaribu Mara nyingi kufanya biashara tofauti lakini sikufanikiwa na Sasa Nina biashara ambayo nataka kuianza ndio Nataka kujaribu.

  • @salimkhamisi6490
    @salimkhamisi6490 Před rokem

    Nashkuru joel nmekuuliza swali hapo lakin naona nshapta jibu shukran bishara nzuri yenye kuendelea ni ile iyambatane na ujuzi wako

  • @LemyIddy
    @LemyIddy Před měsícem

    Kutengeneza sim

  • @mosesgandi8414
    @mosesgandi8414 Před 3 lety

    True

  • @jeniferorotho9928
    @jeniferorotho9928 Před rokem

    🙏sana

  • @chrispojosep4738
    @chrispojosep4738 Před 3 lety +3

    Me napenda sana kilimo vip uwo nao niujuzi

    • @user-lt7kk4ye9c
      @user-lt7kk4ye9c Před 3 měsíci

      Ni unapenda kilimo lakin je una ujuz na kilimo?

  • @user-zz3pw8vk7g
    @user-zz3pw8vk7g Před 2 měsíci

    Nice 🎉

  • @christinamushi2273
    @christinamushi2273 Před 3 lety

    Daimaa napendaa kuwa Kama wew

  • @agnesspeter7042
    @agnesspeter7042 Před rokem

    Nakupata vp kak nanauka

  • @sleyshabani3644
    @sleyshabani3644 Před 3 lety

    Nakusoma bro

  • @shukuru9792
    @shukuru9792 Před rokem

    Balikiwa

  • @johnsonkiwia6577
    @johnsonkiwia6577 Před 3 lety +2

    Kusema rahisi sana..hebu toa mifano kutoka kwenye biashara ulizo wahi anzisha

    • @lairumbelaizer4429
      @lairumbelaizer4429 Před 3 lety +5

      Kwani kuna biashara kubwa zaidi ya hiyo anayofanya kutufundisha . Biashara siyo lazima uuze vitu .

    • @user-lt7kk4ye9c
      @user-lt7kk4ye9c Před 3 měsíci

      Anaujuz wa kuongea na watu wakamsikiliza na wakamuelewa tayar hapo ana ujuz na anaingiza pesa.. acha ujuaj na jifunze. lione kwanza

    • @hussenmzaganya1081
      @hussenmzaganya1081 Před 2 měsíci

      hiyo kuongea ni ujuzi, kama unaona rahisi ongea na wewe tucoment hapa

  • @nshimirimanadjamilla7270

    👍

  • @user-dr2in7kz4k
    @user-dr2in7kz4k Před 4 měsíci

    kaka mm nimkulima wa kilimo Cha biashara naomba ushaulizaid niweze kunufaika nacho zaidi san ushaulii wako nimeupenda San hongera

  • @jameslidonde9211
    @jameslidonde9211 Před 2 lety

    Unatujenga sana vijana wa kiafrika

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 Před 12 dny

    Bwana wewe fundi gari ni car mechanic engineer

  • @lulufaruk6208
    @lulufaruk6208 Před 10 měsíci

    MyLifeCoach

  • @user-iz8ne2jw4b
    @user-iz8ne2jw4b Před 2 měsíci

    Mimi napenda Sana ufugaji na kilimo lakini sehemu ya kufugia sasa changamoto

  • @nihlamoscary6569
    @nihlamoscary6569 Před 3 lety

    Kaka joel kiukweli ninateseka na hiki kitu, napenda kufanya biashara ya kusambaza bidhaa kuchukua huku na kupeleka kule lakin ni bidhaaa gan sijui ipi na itakuwa endelevu hapo ndo tatizo lilipo je nifanyeje?

  • @mtindimagogera2525
    @mtindimagogera2525 Před 3 lety

    Shukulan kak Kwa som lalk zuri san

  • @user-ko2zi4le3p
    @user-ko2zi4le3p Před měsícem

    Mimi Nina eneo kubwa la Hela 19 na nyumba pamoja na mabanda ya kuku na ya Ng'ombe nauza

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 2 lety

    🔨

  • @jasminandrew3244
    @jasminandrew3244 Před rokem

    Kak mim ninafanya biashara ya kupika vitafunwa vizur sana pia huwa ni msusi, pia naweza kupamba vitanda lakin kak bado sjafanikiwa nifanye nin sas?

  • @salumamran2108
    @salumamran2108 Před 2 lety

    Kweli ujuzi niuhimu

  • @FaustiniMjuni
    @FaustiniMjuni Před měsícem

    ni mepata elimu juu ya ujuzi

  • @queenhuu2852
    @queenhuu2852 Před 2 lety

    Ahsant Baba nimechereewa kukufaham lkn hapa nilipokupata muda huu naamini nitafanikiwa Toka nianzee kukufatiliia akili yng imefunguka na Sasa najipanga kuanzishaa biashaara Kuna siku ntakupa majibu

  • @idrissadadekinomaaaalikaji8172

    Joel √√

  • @luckamnyalu-un4qm
    @luckamnyalu-un4qm Před rokem

    napataje namb yako jmn unanibarik

  • @bechatvlive
    @bechatvlive Před 9 měsíci

    Mi ni operator wa motor grader na sijaajiriwa na campuni au mtu binafsi sasa swali nafanyaje kutengeneza pesa?

  • @fatmahmed5647
    @fatmahmed5647 Před 10 měsíci

    Mi napenda san kufanya biashala iwe duka au mgahawa napenda san

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 Před 11 měsíci

    Kaka mimi nimekuelewa saan

  • @ghazalmsophe5322
    @ghazalmsophe5322 Před 9 měsíci

    Biashara ni ujuzi "find ur skills" bado najitafuta

  • @ibrahimjabir6023
    @ibrahimjabir6023 Před 2 lety

    Na je kama huna ujuzi ila unamtu wako yeye anaujuzi ila hana mtaji haiwezekani kufanya jambo kwa pamoja?

  • @ashuradaud9668
    @ashuradaud9668 Před 11 měsíci +1

    Kaka Joel, Mimi bwana Nina uwezo kushawishi mtu kwa leongo la kuboresha bidhaa nilianayo au biashara flan na mtu akavutiwa au kukubali hata Kama hajatarajia?? Je Mimi kutokana na hiki nilicho nacho Naweza nikafanya kaz au nianzishe kitu gani Cha namna hii???

    • @academiazsoft
      @academiazsoft Před 9 měsíci

      Natamani nikuelewe nahis kuna kitu hapa

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 Před 3 lety

    Ila Tz Mzima inatakiwa ijue KUWA Kuna mtu Kama wewe na nje ya mipaka ya Tz. Una upeo was ajabu sana wewe

  • @anatoleniyokwizigira3717

    kabx,,,, ila tatizo unaweza ukawa na hizo skills ila mtaji ukakuta hauna,, je,, mtu anaweza akafanyaje????

  • @bibishejuma2272
    @bibishejuma2272 Před rokem

    Miminauzaviuato

  • @stellamwali1848
    @stellamwali1848 Před rokem

    Na Wayne awazasoma tufanye gani kaka

  • @falesiboniphace2194
    @falesiboniphace2194 Před 2 lety

    Tatizo namba unayoitoa msg ukituma haijibiwi cm inatumika mno,tunapaje kitabu

  • @mussajuma7755
    @mussajuma7755 Před 3 lety

    Kaka mm ninafanya biashara yakuuza vifaa vya simu na bado najiuliza biashara yangu ni ndogo sehemu niliopo wateja wenyewe wa msimu najiuliza niongeze kitu gani

  • @ismailabdallah1932
    @ismailabdallah1932 Před 3 lety

    brow umenikosha sana mwaka utakapo kuja mtwara naomba nikuone

  • @alexbushishi8342
    @alexbushishi8342 Před 3 lety

    Good

    • @rehemakawamda629
      @rehemakawamda629 Před 3 lety

      Kaka joel nakukubali sana mungu akubaliki sana

    • @magigemwita3053
      @magigemwita3053 Před 2 lety

      Joel Mungu akutie nguvu unatuamsha tulio lala unatia nguvu tuliokata tamaa 🙏🙏🙏

  • @mwajabumhita5814
    @mwajabumhita5814 Před rokem

    Kaka niko na laki moja ila sijui nifanye biashara gani

  • @afyayangutv6015
    @afyayangutv6015 Před 3 lety

    Bro uko vizuri ila nitatatixo LA kupenda kila biashara ninayoiona

  • @michaelkatigula5793
    @michaelkatigula5793 Před 3 lety

    Nakupata Sana mwalim na ninaomba kupata namba yako ya WhatsApp

  • @tristanjolly8756
    @tristanjolly8756 Před rokem

    baba kweli unaongea ukweli lkn na jambo nataka nikuombe siku moja ufundishe upande mwngne kuna ili janga la vijana kujingiza kuangalia vdeo chafu na kuwafanya waowenyewe kupelekea kukosa raha na familia zao kulingana na madhara waliyoyapa kwenye uangaliaji wa vdeo chafu na leo hii awajui jinsi ya kuacha nayo na wengne wamezama kwenye suala la punyeto embu baba kwa ili embu lifikirie kwa upande mwngne

  • @modeboytz
    @modeboytz Před rokem

    Umeongea kitu kikubwa sana kaka

  • @bryannassary3255
    @bryannassary3255 Před 3 lety

    Bro naomba namba yako kunavi2 nataka mwongozo wako yangu ni 0746283695