NAMNA YA KUPATA WAZO ZURI LA BIASHARA - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 12. 2023
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 18

  • @MathiusGamba-mq1sw
    @MathiusGamba-mq1sw Před 7 měsíci +4

    It's a blessing to listen to you my Mentor

  • @KingKala-ik8oh
    @KingKala-ik8oh Před 6 měsíci +1

    nashukuru maana nikiwa Sina mud kabla ya yote lazima nikufatilie na Kila napo kufatilia napata wazo Zur na hamasa ya kupambana zaidi

  • @user-bj4vy1wn4t
    @user-bj4vy1wn4t Před 7 měsíci +2

    Thank you so much brother, mungu akubariki najifunza mengi sana kutoka kwako

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 7 měsíci +1

    Ahsante sana

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 Před 7 měsíci

    Nina mshukuru mungu kwaajili yako sasa na mimi nimesha kuwa mwalimu mtaani kwangu namaeneo mbali mbali Barikiwa sana mkuu

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 7 měsíci +2

    Najifunza mimi 😢😢Ahsante sana kaka Joel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 7 měsíci

      Karibu sana, tuendelee kujifunza🙏🏼

  • @aminaothman2136
    @aminaothman2136 Před 7 měsíci

    Shukran nimeanza kukufatilia tangu nilipokua form six 2018 mpka sasa nashkur kwa elimu yako

  • @user-pw9bz8wr1o
    @user-pw9bz8wr1o Před 6 měsíci

    Mungu akubariki sana

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před 7 měsíci

    Mungu akubariki sana kaka

  • @masilastahona7010
    @masilastahona7010 Před 7 měsíci +1

    Yaani umenisaidia kung'arisha uso Mungu akuweke tu kwakweli🙏

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Před 7 měsíci +1

    Asante sana ndugu,nazidi kuimarika kwa masomo yako yenye mguso na haswaa yananinoa kwaajili ya malengo yangu 2024. Ijapokuwa 2024 haijaanza najiona kama nimeshatimiza 50% ya malengo kwa hamasa za pachiko zako nyingi za mwezi huu. Bila kusahau ile ya uongozi uliyofanya na Bakwata nayo ni kama ile hazina iliyositirika katika shamba. pamoja Sana mkuu.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 7 měsíci +1

      Nashukuru sana kwa mrejesho, tuendelee kujifunza🙏🏼

    • @Mwinamila-3
      @Mwinamila-3 Před 7 měsíci

      Asante kwa kufungua akili yangu

  • @Dauson-tc3dm
    @Dauson-tc3dm Před 7 měsíci +1

    Ahsante kwa Mafunzo hayo. Naomba ushauri Mimi ni mlinzi lakini sipendi hii kazi hata kidogo.lakini nina mpango wa kwenda veta kujifunza hata short course,lakini pia upande mwingine najifikilia hii hela ya kusoma kwann nisianzishe biashara hata ya nguo za mitumba nikajiajiri.Nishauri nifanyeje!!

    • @SaidMkashari
      @SaidMkashari Před 7 měsíci

      Ushauri wangu angalia wazo ambalo nitakupa Furaha zaidi wakati unalifikiria zaid

    • @Holyghostpower.
      @Holyghostpower. Před 6 měsíci

      Ushauri Wang make saving first usiwai kuacha kazi hio Kwanza kupitia hio inakupa mtaji,Tulia Kwanza weka Akiba then baada ya mda tafuta sehem nzr ya kuwekeza