Asante sana ndugu,nazidi kuimarika kwa masomo yako yenye mguso na haswaa yananinoa kwaajili ya malengo yangu 2024. Ijapokuwa 2024 haijaanza najiona kama nimeshatimiza 50% ya malengo kwa hamasa za pachiko zako nyingi za mwezi huu. Bila kusahau ile ya uongozi uliyofanya na Bakwata nayo ni kama ile hazina iliyositirika katika shamba. pamoja Sana mkuu.
Ahsante kwa Mafunzo hayo. Naomba ushauri Mimi ni mlinzi lakini sipendi hii kazi hata kidogo.lakini nina mpango wa kwenda veta kujifunza hata short course,lakini pia upande mwingine najifikilia hii hela ya kusoma kwann nisianzishe biashara hata ya nguo za mitumba nikajiajiri.Nishauri nifanyeje!!
Ushauri Wang make saving first usiwai kuacha kazi hio Kwanza kupitia hio inakupa mtaji,Tulia Kwanza weka Akiba then baada ya mda tafuta sehem nzr ya kuwekeza
It's a blessing to listen to you my Mentor
nashukuru maana nikiwa Sina mud kabla ya yote lazima nikufatilie na Kila napo kufatilia napata wazo Zur na hamasa ya kupambana zaidi
Thank you so much brother, mungu akubariki najifunza mengi sana kutoka kwako
Ahsante sana
Nina mshukuru mungu kwaajili yako sasa na mimi nimesha kuwa mwalimu mtaani kwangu namaeneo mbali mbali Barikiwa sana mkuu
Najifunza mimi 😢😢Ahsante sana kaka Joel
Karibu sana, tuendelee kujifunza🙏🏼
Shukran nimeanza kukufatilia tangu nilipokua form six 2018 mpka sasa nashkur kwa elimu yako
Mungu akubariki sana
Mungu akubariki sana kaka
Yaani umenisaidia kung'arisha uso Mungu akuweke tu kwakweli🙏
Ameen Ameen🙏🏼
Asante sana ndugu,nazidi kuimarika kwa masomo yako yenye mguso na haswaa yananinoa kwaajili ya malengo yangu 2024. Ijapokuwa 2024 haijaanza najiona kama nimeshatimiza 50% ya malengo kwa hamasa za pachiko zako nyingi za mwezi huu. Bila kusahau ile ya uongozi uliyofanya na Bakwata nayo ni kama ile hazina iliyositirika katika shamba. pamoja Sana mkuu.
Nashukuru sana kwa mrejesho, tuendelee kujifunza🙏🏼
Asante kwa kufungua akili yangu
Ahsante kwa Mafunzo hayo. Naomba ushauri Mimi ni mlinzi lakini sipendi hii kazi hata kidogo.lakini nina mpango wa kwenda veta kujifunza hata short course,lakini pia upande mwingine najifikilia hii hela ya kusoma kwann nisianzishe biashara hata ya nguo za mitumba nikajiajiri.Nishauri nifanyeje!!
Ushauri wangu angalia wazo ambalo nitakupa Furaha zaidi wakati unalifikiria zaid
Ushauri Wang make saving first usiwai kuacha kazi hio Kwanza kupitia hio inakupa mtaji,Tulia Kwanza weka Akiba then baada ya mda tafuta sehem nzr ya kuwekeza