Mambo ya kuzingatia kabla hujachukua mkopo wowote (MORNING TRUMPET - 24/09/2018)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Kutana na Mahamoud Omar ambaye ni mtaalamu wa masuala ya fedha na mikopo hasa ile inayofanywa kupitia Vikundi vya Kuweka na Kukopa (SACOSS) akitoa elimu juu ya misingi ya ukopaji.
    Mahamoud alikuwa ni mgeni katika sehemu ya kwanza ya majadiliano ya Mada ya Leo kwenye kipindi cha Morning Trumpet hapa Azam TV.
    Amezungumza mengi, kubwa likiwa ni mambo muhimu ya kuzingatia kabla ya kuchukua mkopo wowote ule.
    Kipindi cha Morning Trumpet ni kila Jumatatu hadi Ijumaa saa 12;00 asubuhi hapa Azam TWO.

Komentáře • 1