JAMAA ALIYEJIREKODI AKICHOMA PICHA YA RAIS SAMIA NA KUMTUKANA, RC AAGIZA "NATOA MASAA 24 ASAKWE"

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 1. 07. 2024
  • đ‘Ș𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 đ‘Ÿđ’‚đ’”đ’‚đ’‡đ’Š 𝑮𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑹𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • ZĂĄbava

Komentáƙe • 170

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j Pƙed 24 dny +24

    Mwenyezi Mungu anatukanwa mchana kweupe hatujawahi kuona kiongozi yyte wa serikal akitoa kauli km hii au Samia na Mungu Samia ni Bora kuliko Muumba

  • @user-sr6tr7ko7w
    @user-sr6tr7ko7w Pƙed 24 dny +11

    Hawatusaidii Sisi ndo tunawasaidia, tunawalipa mshahara, mnakula bule, mnajisaidia bule hizo zote ni nguvu zetu, mnakula jasho letu na bado mnaiba jasho letu, inauma Sana.

  • @thomasgabriel588
    @thomasgabriel588 Pƙed 24 dny +24

    Acha kujipendekeza kila raia ana uhuru WA kutoa maoni yake
    Muulize ruto
    Sioni kosa lake natamani ungemwita muulize kwnn ulichoma picha naje unahisi serikali ifanye nnn sio kumkamata

    • @user-pq8xh2oo6x
      @user-pq8xh2oo6x Pƙed 24 dny +2

      😂😂😂😂😂😂

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j Pƙed 24 dny +10

    Acha ujinga samai mama kwa wanae sio Mimi Wala ww ndio hata ww ukipata tatizo huwezi kumuona au kuja kukuona kwakua ww sio mama ako

  • @MwanahamisHassan
    @MwanahamisHassan Pƙed 24 dny +6

    Alitukanwa mungu na aliyetukana ni afande sele mbona serikali hamkufanya kitu Kwa sababu ni mungu ndio maana hamsemi lkn samia ndio mwajiona Kimbelembele kusema huyo MTU ashikiliwe hii sio Hakii kabisa na huu ni ukatili wa kiimani kabisa serikali mnavyofanya sio haki mwacheni MTU aseme anachokitaka. ( Every citizen has a right to do what he or she wants at any time or any place)

  • @mudrickkisinda1515
    @mudrickkisinda1515 Pƙed 24 dny +12

    Mimi najua watanzania wengi tunatamani kufanya hivi sema uoga tu😂

    • @Sahlomon-jp4jr
      @Sahlomon-jp4jr Pƙed 12 dny

      @@mudrickkisinda1515 walinda legacy na haters wa mama mbona wachache sana.....toa neno wengi.

  • @commandorsrlo175
    @commandorsrlo175 Pƙed 24 dny +8

    Asakwe kivp haliyakua ana ongea ukweli

  • @user-pf9rk6jp4f
    @user-pf9rk6jp4f Pƙed 23 dny +5

    Kumamae zenu na serikali yenu ya mama samia ya kikuma

    • @Sahlomon-jp4jr
      @Sahlomon-jp4jr Pƙed 12 dny

      @@user-pf9rk6jp4f haters stress zitawaua mamamamamamamae zenu!!

  • @johnonyango6069
    @johnonyango6069 Pƙed 24 dny +2

    Freedom of speech and expression my friend. Wewee ndio ukona umbeya

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Pƙed 24 dny +2

    Kutunwa jambo ra kawaida Kuna kazi nyingi za kutusaidia wananchi anatukanwa mungu hamuongei kwakua mungu hatoi ajira na pesa

  • @StanyOfficiol
    @StanyOfficiol Pƙed 24 dny +2

    Kwani. Mama samia ni mungu mama sio mungu ni mtu tu na ukisema kakashf basi ameshindwa kuongea kilichokera kuhusu mama ndo maana kafanya action hiyo sasa mfanyakazi wangu hawezi kuogopwa akikera anaambiwa je ni wapi sauti za maskini zitamfikia au ni shobo we mkuu ambaye nawe unalipwa mshahara kwa kupitia kodi zetu

  • @user-zj6hp6ju3w
    @user-zj6hp6ju3w Pƙed 24 dny +6

    Mambo ayo yamepitwa na wakati,

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Pƙed 24 dny +2

    Muwasake hata wanao uuza lasilimali za inchi yetu na wanaovunja katiba

  • @CharlesMasila-nn3kg
    @CharlesMasila-nn3kg Pƙed 24 dny +2

    Nyinyi mko nyuma sana,,😂😂😂 yaani mtu hawezi akatofautiana na rahisi wenu

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Pƙed 24 dny +2

    Acha ushamba mama hajaanza kusemwa vibaya leo wala jana... Ni maraisi wote na jambo la kawaida tu.... Unaweza kuona ni jambo jema kumbe ndio kuanzisha tatizo

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Pƙed 24 dny +4

    Mim binafsi samia sio mama yangu wala sio shangazi yangu.....huyo mchoma picha ameonesha jinsi gani raia wamemchoka huyo mama yenu

  • @khamisibro2106
    @khamisibro2106 Pƙed 24 dny +2

    Musitariju kufanya kitu kama icho tena...tanzania sio 🇰đŸ‡Ș

  • @KinggureyAlii
    @KinggureyAlii Pƙed 24 dny +2

    This guys hutuambia eti kenya.. ooh.. kenya.. eehh 😂

  • @user-cv4yx4uf8u
    @user-cv4yx4uf8u Pƙed 23 dny +2

    Mnamuonea tu kumkamata picha kitu Gani nanyie serekali mnayoo tufanyia Yana uzur gan bwana ,mtu anaongea ukweli tu nyie vipi mnazingua tz Bora tuwe kama Kenya tu

  • @abdulmagido5444
    @abdulmagido5444 Pƙed 24 dny +2

    Nyinyi viongozi mnakuwa na jazba sana akili fupi tu wewe ndio kama unataka kutengeneza hili jambo lisambae na kutengeneza mada hakuna utalatibu mwingine wa busara wa kuchukuwa hii hali ya ukhanisi inazidi kiasi watu wanaogopa kupeleka watoto wao kwenye boarding school ww mwanambeya umechukuwa hatua gani ww unataka kutia kuni kwenye moto

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 Pƙed 24 dny +4

    ...kumukamata si busara itachochea mengi....

  • @ElishaZachariaEmmanuel
    @ElishaZachariaEmmanuel Pƙed 23 dny +2

    Mama mzazi nchi hii😂😱😱

  • @jeremiaholesingooi3940
    @jeremiaholesingooi3940 Pƙed 24 dny +2

    Kama hataki kutukanwa angekaa nyumbani na bwana yake juu ako kazi yetu na sisi ndo mabosi wake Tanzania wananchi mjue haki yenu kaa raia

    • @Sahlomon-jp4jr
      @Sahlomon-jp4jr Pƙed 12 dny

      @@jeremiaholesingooi3940 hebu lisikilizeni na hili punga!!đŸ„±đŸ„±đŸ„±đŸ„±

  • @agustinoezekiel
    @agustinoezekiel Pƙed 24 dny

    Aiseeee

  • @isamony58
    @isamony58 Pƙed 24 dny +8

    Bado siku chache mtakuja vijijini kutuomba kura tutakutana ukoo tumewachoka sana itakuwa kama Kenya sasa

    • @hassanmuhidin871
      @hassanmuhidin871 Pƙed 22 dny

      Kura yako haisaidii kitu raisi anakua tayari amechaguliwa😂😂😂😂

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 Pƙed 17 dny

      ​@@hassanmuhidin871utashangaa atavyochekechwa na kura! Kuiba hatowezekana

  • @SaidKipe-zm8wt
    @SaidKipe-zm8wt Pƙed 24 dny +2

    Toka zako ww ukweli. Usisemwe

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje Pƙed 24 dny +2

    No comments

  • @user-it2tr7ny8d
    @user-it2tr7ny8d Pƙed 24 dny +2

    Msengeee www

  • @fxmeddy9567
    @fxmeddy9567 Pƙed 24 dny +4

    Huyo samia ndo mungu wenu???

    • @user-tt9bp2id5p
      @user-tt9bp2id5p Pƙed 23 dny

      Uyo samia ivi ni nan mbna simjui

    • @Sahlomon-jp4jr
      @Sahlomon-jp4jr Pƙed 12 dny

      @@user-tt9bp2id5p na hata Hana haja ya kujulikana na sungusungu kama wewe, Ili iweje kwanza?!!!

  • @user-sr8tc8ke6q
    @user-sr8tc8ke6q Pƙed 24 dny +2

    Akiripoti kutoka China huyu ni Juma Homera

  • @ipepeetube449
    @ipepeetube449 Pƙed 24 dny +2

    HakiaMungu ngoja ninyamaze tu

    • @Sahlomon-jp4jr
      @Sahlomon-jp4jr Pƙed 12 dny

      @@ipepeetube449 lazima unyamaze, usiyemtaka Yuko mjengoni akiwa na afya tele......utafanyaje zaidi ya kutuliza kitenesi hiko.

  • @xfamefatetv
    @xfamefatetv Pƙed 24 dny

    Itakuwa Amekua divorced na empowered women😭 MSAMEHEE #Mama #Raisi #Samia #ccm

  • @user-yt9zf6xd8n
    @user-yt9zf6xd8n Pƙed 24 dny

    Huyo kijana maisha yanemshida mtaani alitaka kila vya bure

  • @user-sp2pp9yl8g
    @user-sp2pp9yl8g Pƙed 21 dnem

    KIJANA HUYO INAONYESHWA NIMFUASI WA CHADEMA UCHOCHEZI WA MBOE NA LISU UMEMUINGIA NAHUKU MIKOANI WAPO WAMESIMIA KATIKA ITKADI YA UDINI NA UTANGANYIKA

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Pƙed 24 dny

    Mnafiki ww ulisake kwanza domo la jeiz lililokua linatoa Siri za ikulu maana Hilo ndilo kubwa ubabe ni WA muda Mungu wa milele

  • @NtugwaGaleshi-w1p
    @NtugwaGaleshi-w1p Pƙed 7 dny

    Hapa Atuna kiongoz , unashindwa kulaani mauaji ya kikatili na marehem kukatwa viungo unalaani picha ya samia kuchomwa Moto kilaza kweli kweli

  • @africanatvshow4521
    @africanatvshow4521 Pƙed 24 dny

    Mkuu wa Mkoa hana akili kabisa huyu .Kila mtu ako na Freedom of expression..Shida ya sisi watanzania tunajipendekeza sana na hawa politicians wengi ni slaves kwa watu wa nje ..

  • @jumagora3462
    @jumagora3462 Pƙed 21 dnem

    Mm kama mwana jamii mwenye haki za nchi niraiya wa nchi narejea hata kama agekuwa sio rais apewe haki yake ya kuzalilisha tu kisheria kisheria

  • @Dizzolee-tz
    @Dizzolee-tz Pƙed 13 dny

    Nyinyi wote mnamtetea mama samia nyie ni masenge tu

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n Pƙed 24 dny

    Wakimalizana na huyo sheria itayotumika kumshtaki naomba itiliwe mkazo sana manake matusi mtaani imekuwa jambo la kawaida aswa kwa makonda wa dala dala na vijana wengi muda mwingine utumia tusikama sehemu ya kusifia lakini si tabia njema..

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e Pƙed 24 dny

    Wanashindwa kuwakata wanao iba mabillioni ya hela serikalini wana kazi wa kuwanyanyasa wanannchi kwanza hapo alipo sio tanzania' fanya maendeleo ya mbeya kazi uliyopewa sio kazi yako hiyo ni ya polisi

  • @ashamkesa979
    @ashamkesa979 Pƙed 24 dny

    Nikweli asakwe na nahatua zichukuliwe dhidi yake asijifanye Genz

  • @JeremiahNyunza-ov9ll
    @JeremiahNyunza-ov9ll Pƙed 23 dny

    Kwanza hapo ulipo ni Mbeya naona upo mwanjelwa hapo..

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 Pƙed 24 dny +2

    R.i.p JPM
    Mwamba kweli kweli

  • @jamesnyamila2165
    @jamesnyamila2165 Pƙed 24 dny

    Ukweli unaongelewa Tanzania, maelekezo ya kumtafuta muongea ukweli yanakoka China

  • @obsonjulius312
    @obsonjulius312 Pƙed 24 dny +2

    Boss yuko China au naona vibaya? Sijapenda kitendo cha vijana kufikia hatua ya kuchukia hadi picha za viongozi.

  • @BashirMatola
    @BashirMatola Pƙed 24 dny

    Kumtukana kiongozi wa nchi ni kosa kubwa kuna njia nyingi za kufikisha malalamiko achukuliwe atua kali sana huyo ni muovu akamatwe

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Pƙed 24 dny

    hakuna maoni ya kumtukana raisi,tusisababishe vurugu na ukosefu wa heshima kwa kisingizio cha kutoa maoni!!
    kwanza kuchoma picha ya raisi ni kosa kisheria!!

  • @modestcomred9500
    @modestcomred9500 Pƙed 24 dny

    Hinyi sio kabisa oo akamatwemara moja yani mamboyamsingi mnashindwa kuyafuatilia mnafatilia upuuzi inatakiwa ujiulize kwa nini Kadanya hivi tafuta sababu ila kauliyake nikwamba yupo upande wa đŸ‘čđŸ‘čđŸ‘č

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 Pƙed 24 dny

    Mkuu wa Mko mwenyewe anatoa maelekezo huku ayuko eneo lake la kazi, Anatoa maelekezo yuko China, Hii nchi bhana

  • @user-ky9ft1bd1m
    @user-ky9ft1bd1m Pƙed 24 dny +4

    Na ww ni msenge

  • @LeonGregory-nz6ob
    @LeonGregory-nz6ob Pƙed 24 dny

    Tanzania hao viongoz sisi tumepiga kura wengine wameingia bila sera tuliyemchagua alikuwa na sera tofaut kwan rais ni mfamle au malikia mbona viongoz wengi wamesemwa

  • @classicdenzmorlke
    @classicdenzmorlke Pƙed 24 dny

    😂😅 Kenya hatuna. nidhamu kwel

  • @johnshayo9635
    @johnshayo9635 Pƙed 24 dny

    Duh haya bhana ndo kazi ya polisi hiyo

  • @nhztmemery4030
    @nhztmemery4030 Pƙed 24 dny

    Story ya kumtukana Rais watuachie wa Kenya 😅

  • @thefinalstand2022
    @thefinalstand2022 Pƙed 23 dny

    Kumtia hatiani ni ngumu sana sana maana hajavunja sheria...! Hiyo picha ya samia, ni picha ya kawaida tu na siyo nembo ya taifa. Lakini, anapokuwanayo,, anakuwa anaimiliki kama personal property yake, so anaweza kuichana tu au kuichoma... lakini, kamkosoa Mama... tu, hajamtukana matusi ya nguoni.... HUYO JAMAA, LABDA SHERIA ISITENDE HAKI...IKITENDA HAKI, HAWEZI FUNGWA KABISA.

  • @davideditz2049
    @davideditz2049 Pƙed 24 dny

    Fanyeni kazi za maana kutukanwa kupo

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 Pƙed 24 dny

    Eti mama ni mama yako yupo.acha tundu lisu hawanyooshe.jamaa kasha zinguliwa huyo.

  • @allybakari5791
    @allybakari5791 Pƙed 24 dny

    Sasa kama hawatusaidii Sisi tufanyeje

  • @Bendouble
    @Bendouble Pƙed 23 dny

    Huyu mkuu wa mkoa ye yuko china amepoa ,mama anadhalilishwa huku

  • @user-oo3ty2ll4k
    @user-oo3ty2ll4k Pƙed 24 dny

    Ipo siku yenu TU. Tukichoka.

  • @user-tt9bp2id5p
    @user-tt9bp2id5p Pƙed 23 dny

    Achen miyeyusho mbona jamaa amefanya good baada apewe pongez mnamkamata

  • @harithrashid5314
    @harithrashid5314 Pƙed 23 dny

    Akamatwe kwani kavunja sheria gani?

  • @KetonyMbedule
    @KetonyMbedule Pƙed 24 dny

    Tanzania bhn ukisema ukwer tu ujue maisha yako yapo hatarini asa sijui uhuru wetu niwaviongoz tu au maana wananchi hawana uhuru wakuseme ukwerđŸ€”đŸ€”đŸ€”

    • @user-cv4yx4uf8u
      @user-cv4yx4uf8u Pƙed 23 dny

      Tatizo wabongo kumsifia mama ndio wanaona dili mama kizimkazi mm wananiboa kumsimfu mtu ambae Hana msaada wowote zaidi yakutuzingua tu na uongozi wake wa urith ,,mpaka mtu afe

  • @GodsonAyo
    @GodsonAyo Pƙed 23 dny

    Hii nguvu polisi wanayoitumia wangetumia kutafuta jambazi Lilo muua dreva bajaji ar

  • @tusanemheta8638
    @tusanemheta8638 Pƙed 24 dny

    Mungu tunusuru tutatekwa wengi kwa serikali hii ya nguvu nyingi kuliko_?

    • @user-cv4yx4uf8u
      @user-cv4yx4uf8u Pƙed 23 dny

      Wacha watuteke ukweli uwafikie ,miyayusho tushachoka sasa

  • @stevenialbert5033
    @stevenialbert5033 Pƙed 24 dny +5

    Huyu raisi mpendwa rushwa atumtak kauza nchi ytu na ndugu zake wakin kikwete cmpendi huyu mama bc tu

    • @Sahlomon-jp4jr
      @Sahlomon-jp4jr Pƙed 24 dny

      Mjinga km wewe usipompenda unampunguzia nini'?!!! Bado yupo sana minduku wakubwa nyie na udini wenu huo!

    • @Dizzolee-tz
      @Dizzolee-tz Pƙed 13 dny

      @@Sahlomon-jp4jrwe ni msenge sana huyo mama ako kaupata urais kwa kumzima mwenzao nasio kumpa kura kwa utayali wetu we komwe lako matako yako wewe

    • @Sahlomon-jp4jr
      @Sahlomon-jp4jr Pƙed 12 dny

      @@Dizzolee-tz na mkizidi kuleta ushoga wenu atawatia vidole kabisa.....bwabwa mkubwa wewe. Mna chuki mpaka hamjui hata mnaloongea?!! Hebu nendeni mkafirimbwe kwa nabii Tito huko.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Pƙed 24 dny

    Tabia mbaya, Hana adabu kwa Wote tunaojiheshimu 😱

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw Pƙed 24 dny

    Mkuu fanya kazi yako kwani asiefunza na mamae hufunzwa na ulimwengu lakini huenda ni mwenda wazimu mumchunguze

  • @user-fc3og1eo3x
    @user-fc3og1eo3x Pƙed 24 dny

    Kivp Sasa

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 Pƙed 20 dny

    Sio kumkashif😂 watu wanatoa ya moyoni yanayowatesa

  • @yanawezekana9429
    @yanawezekana9429 Pƙed 22 dny

    KIJIJI ULICHOKISEMA MKUU WA MKOA SIO ALICHOKITAMKA KUWA YUPO. MIHEMUKO HIYO

  • @arafahhh5574
    @arafahhh5574 Pƙed 24 dny

    Jipendekeza

  • @MrGoatAi
    @MrGoatAi Pƙed 24 dny

    Nikiriport kutoka china nimimi mkuu 😅😅😅

  • @Dizzolee-tz
    @Dizzolee-tz Pƙed 13 dny

    Hatuna uhuru wala amani nimateso tu

  • @MbossoMbosso-rw4ox
    @MbossoMbosso-rw4ox Pƙed 24 dny

    Na badooo Gen Zzzzzzzzzzzz

  • @richardtom38
    @richardtom38 Pƙed 24 dny

    Wewe upo china umeacha kazi mbeya unazan atujui

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 Pƙed 23 dny +1

    Huyu anyongwe kafiri anamtuka Rais wetu

  • @DanielMwasi-cq2rg
    @DanielMwasi-cq2rg Pƙed 22 dny

    Hakuna aliyeongea ukweli akabaki salama

  • @Lameckmichael-h2m
    @Lameckmichael-h2m Pƙed 24 dny

    Ukiona hivo ujue kunamambo hayaendisawa kwaraia unakamata ili iweje kwani rais ni MUNGU?

  • @kingtiger4829
    @kingtiger4829 Pƙed 24 dny

    Uhu ndo udicteta Sasa

  • @sethstiven3393
    @sethstiven3393 Pƙed 20 dny

    Uongozi wenu mubovu tunalilia moyoni IPO siku tutakiwasha msituchagulie watu wa ovyo

  • @wahshiy-dizzier-nm5rx
    @wahshiy-dizzier-nm5rx Pƙed 24 dny

    Nilijua tuu atatafutwa

  • @user-ib2ew9ec3d
    @user-ib2ew9ec3d Pƙed 24 dny

    Hii nji yaamani kwann mnaenda kumkamata msimuulize kwann umefanya ivyo mimi mwenyewe simpendi uyo samia kiujumla viongoc wetu hawajitambui

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lw Pƙed 19 dny

    Kazigan wanafanya kupandisha bei tuu

  • @SalimSalimu-z5c
    @SalimSalimu-z5c Pƙed 24 dny

    Nani Kama mama😂

  • @hendricaoduba6028
    @hendricaoduba6028 Pƙed 24 dny

    Waah, kwani wabongo hawana uhuru wa kuongea?

  • @YangaNews
    @YangaNews Pƙed 24 dny

    Nyie endeleeni siku tukichoka na mateso yenu mtatukoma mtahama nyumba zenu mkakae porini

    • @Sahlomon-jp4jr
      @Sahlomon-jp4jr Pƙed 12 dny

      @@YangaNews we bwege hebu nenda katishe dada zako jikoni huko mkishamaliza kucheza mdako.

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126

    Huyo nae anavuta bangi

  • @vibes6446
    @vibes6446 Pƙed 22 dny

    Mkuu wa mkoa unaongea ukiwa wapi

  • @DeusNkunga
    @DeusNkunga Pƙed 24 dny

    You're too emotional, Sir. Calm down!

  • @mrsmussa
    @mrsmussa Pƙed 24 dny

    Just a picture, get over it

  • @infodigtechforcommunityemp4103

    Muacheni

  • @kilelechaimani.8956
    @kilelechaimani.8956 Pƙed 22 dny

    Viongoz wanatusaidia,je kama hawatusaidia tuendelee kuwasifia?huyu nae mkuu wa mkoa zwazwa tu kaweka tambi lake mbele analinda ugali.

  • @hassanmuhidin871
    @hassanmuhidin871 Pƙed 22 dny

    Akamatwe haraka asituletee ujinga wa kikenya hapa tz

    • @MariamKhalid-ub9jj
      @MariamKhalid-ub9jj Pƙed 21 dnem

      Ujinga wa kikenya ni upi??? Wananchi kupigania haki zao?? Skia mjinga ni ww tena mjinga wa kutupwa... useless 😏😏

  • @hallin9561
    @hallin9561 Pƙed 24 dny

    Rais akifanya ushenz asifiwe, uyu mpuuz ajiuzuru tu hatumtaki

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Pƙed 24 dny

    Uko china unakula kodi

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Pƙed 21 dnem

    Kutusaidia kutuibia

  • @charackally8846
    @charackally8846 Pƙed 24 dny +2

    Vijana wa Tanzania asilimia kubwa ni wajinga sn, Na hawajuwi wanachokifanya, yaani kuna mtu anatetea ujinga wa huyu kijana, eti ni sw, hebu jaalia kwamba rais samia ni km mama yako mzazi alafu anafanyiwa ivyo, ungepokeaje Na ungejihisije?, Hakuna alokatazwa kutoa maoni yake ila kwa utaratibu Na uungwana Na sio kwa kuvunjiana heshima, huyu kijana sijuwi anatoka familia gani ila hichi anachokifanya ni matokeo ya malezi ya wazazi wake ambayo wamempatia, Na sijuwi dini gani, maana dini zote zinakataza kumvunjia mtu heshima yake.

    • @AbubakaryOmary-qw5dk
      @AbubakaryOmary-qw5dk Pƙed 24 dny +2

      Watu wamechoka hakuna Cha heshima

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Pƙed 24 dny

      ​@AbubakaryOmry-qw5dk umechoka wewe Fala usiyetaka kufanya kazi unasubiri serikali ikupe vya bure nyau wewe

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 Pƙed 22 dny

      @@walidmgonja3644Najua wewe ni shoga unapata pesa kirahisi,sasa acha wanaume wa kazi walalamike maama wanafanya ngumu,we umeshaolewa tayari 👙

    • @Dizzolee-tz
      @Dizzolee-tz Pƙed 13 dny

      Hauna akili wewe

  • @NikiMaliki
    @NikiMaliki Pƙed 24 dny

    Ukiongea kutoka china 😂 au wap