ESHA BUHETI AMUUMBUA SHISHI SMS ZA SIRI KUNUNUA TUZO "KASHAKUFA SIKU NYINGI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 69

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 Před měsícem +18

    Much love eshe mimi nimekula kwa Shilole na kwa Eshe .... Ila Eshe anajuwa sana ata mke wangu anapenda chakula cha Eshe na yeye ni mtu wa kuchagua sana mimi nilishangaa

  • @HamadMwagoani
    @HamadMwagoani Před měsícem +2

    Hii iwafikie shilole na esha nyote nawapenda wazuri nyote mashallah Mungu kawapa mifanano mpk kazi zenu Ila onyo kama waislam wenzangu tumeitwa Uma bora sababu ya kukatazana maovu kumrishana mema kauli ambayo sikuipenda ATA NIKIFA ASIJE MSIBANI N MBAYA SANA MAMA ZANGU SHISHI NA BUETI IYO SIO YA KUTAMKA MUSAMEENE ATAKAMA KILA MTU ATAANGALIA MASIHA YAKE PLZ KUMBUKENI KULU NAFSI IDHAAIKATUL MAUTI

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Před měsícem +19

    Shishi mkorofi hata kwa snura ilikua ivyo

  • @DalphinaMnyau-ho9vx
    @DalphinaMnyau-ho9vx Před měsícem +11

    Nakupenda sana eshe achana na Hao watu wanakuharibia endelea kukaa kimnya dada mkubwa allah atakujali❤❤❤

  • @user-yw2nf5dr8x
    @user-yw2nf5dr8x Před měsícem +11

    Ww dada eshe anajua kupika nyinyi JAMANI

  • @SabraDivele
    @SabraDivele Před měsícem +3

    Namkubali sanaaa sanaaa da Esha much love to you

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Před měsícem +3

    Wajukuu wa mtume Allah ndie kinga tu nimeipenda hio Esha😊😊😊

  • @Atb300
    @Atb300 Před měsícem +16

    Esha anaongea classic kbs❤❤❤

  • @MairaAlly
    @MairaAlly Před měsícem +7

    Sister wangu moyo mweupe sana #shombe

  • @ZwainhOman
    @ZwainhOman Před měsícem +4

    Esha ww mpishi mzuri sana acha plesha

  • @user-rw1xh2tt8c
    @user-rw1xh2tt8c Před měsícem +2

    Esha uko vizuri nakupenda mabishi yako yanajitosheleza

  • @darking3634
    @darking3634 Před měsícem +4

    Esha bwana m nakupenda ivoivo,ila si umesema we mtu akikuletea maneno unamtaja haya tutajie huyo alokutumia izo message😅😅😅😅m nakupenda buanah

  • @alsam4881
    @alsam4881 Před měsícem +27

    Shilole ni mshari sana na ana wivu sana haswa akiona mwenzake amemzidi mapishi au kuimba, kwasababu hapo zamani alikuwa akimchukia sana Snura, kwasababu alikuwa akiimba na kucheza kuliko yeye Shilole, na ndiyo hapo akaanzisha bifu na Snura na kuanza kumdhalilisha mwenzake mbele za watu wakati yupo jukwaani, Lakini Snura ni mtu mmoja mstaarabu sana na ana hekima na busara hajawahi kubishana na huyo mropokaji Shilole, kwahiyo Shilole aache chuki kwa wenzake akiona wana maendeleo au wamemzidi kitu fulani.

  • @salmakwayu3951
    @salmakwayu3951 Před měsícem +3

    Shilole ni mshari sana

  • @__1184
    @__1184 Před měsícem +3

    Esha upo jjuuu

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Před měsícem +6

    😂😂😂 esha bwana eti siyo mdogo yule ni mkubwa anajidogosha 😂

  • @mwananganzi
    @mwananganzi Před měsícem +3

    Dada kibonge kayakanyaga

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Před měsícem +3

    😂😂😂😂😂dah eti kata kona anadondoka 😅😅😅dah sema wew na shishi ,mnene shishi😅😅

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 Před měsícem

    Bzuhet
    ❤❤❤❤❤❤superstar wa kupika

  • @happymaimu4330
    @happymaimu4330 Před měsícem +2

    Una akili sana Esha.Tena una ustaarabu,Shishi Mshari sana

  • @HappyWilson-i9f
    @HappyWilson-i9f Před měsícem

    Esha kipenzi acha iende mdogo wangu kimya pia ni jibu mshukuru Mungu kwa unachokipata watunze wateja wako wasiondoke

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs Před měsícem

    Re fresh ❤❤

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Před měsícem +3

    Nanyinyi mamedia hapo mmefurahiya sana natena njomunazidi kuchochoya chocheya .tangiya mlianza kuchikonowa chokonowa simuishiye hapo . Ila kitu nilipenda Esha anaongeya kwaustarabu. Shishi anaongeya kavile anataka kupigana 😀😀

  • @MsabatoTindwa
    @MsabatoTindwa Před měsícem +1

    Huna baya jirani yangu uko vizur

  • @MsabatoTindwa
    @MsabatoTindwa Před měsícem

    Huna baya jiran yangu ,nakukubali

  • @LilianJuma-r2l
    @LilianJuma-r2l Před měsícem

    jamani shishi mkorofi sana.hata Snura ilikuwa hivyo

  • @user-ky5wu4gc9g
    @user-ky5wu4gc9g Před měsícem +1

    Kaeni mezani muyamalize mshakua watu wazima mnawayumbisha wateja wenu pia acheni kutoleana siri

  • @farhannahkulishwaburekunam5360

    Amekujaribu shishi ndomaana alijuaje unapaa kama hajakujaribu

  • @DelightfulFish-ps8ny
    @DelightfulFish-ps8ny Před měsícem +2

    Yeah chakula cha changa kama lote 😂

  • @user-jg3ek6ot3u
    @user-jg3ek6ot3u Před měsícem

    Buana tunapenda😂😂

  • @Yness-vh4yy
    @Yness-vh4yy Před měsícem

    Na sura mnafanana

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před měsícem +3

    Shishi anataka zichapwe hilo naunga mkono mpambano tutalipia

  • @user-sx1xi4yb2z
    @user-sx1xi4yb2z Před měsícem +3

    Harafu Eshe humfikii shishi kimaendeleo,so piga kaz usonge mbele acha kuongea sanaaaaaaaa

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow Před měsícem +1

      Maendeleo hayo kwiyoo! Dunian kusukumana unyonge kaburin

  • @Verochanel123
    @Verochanel123 Před měsícem +4

    Wivu eti sina watu wakubwa Hahahah

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 Před měsícem

    Ila Esha na wewe kwa nini usifanye yameisha kama mtu kakuibia hiyo siri basi shukuru Mungu yamepita 😮😮 fanya tuu biashara yako

  • @abdallamohamed3260
    @abdallamohamed3260 Před měsícem +3

    Dimond ndio huwaga anakataa tuzo za nyumban hazina vgezo wanapeyana tu

  • @LeilaAbdull-jg6ho
    @LeilaAbdull-jg6ho Před měsícem +3

    Ila wewe dada nimuuaji

  • @asumaathuman6094
    @asumaathuman6094 Před měsícem

    Eshaa punguza mdomooo

  • @user-sx1xi4yb2z
    @user-sx1xi4yb2z Před měsícem +1

    Harafu mmeshakua watu wazima acheni utto nyie

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před měsícem

    Ana jidogosha🤣

  • @LeilaAbdull-jg6ho
    @LeilaAbdull-jg6ho Před měsícem +2

    Wewe nimugombanishi ulikua wapi kusema zaman unazan watu unaowaingiza humo mabif yaliyopita unawaleta kwenyemabifu yasasa siyokama wanapenda hawapendi

  • @ngwashimalenya6412
    @ngwashimalenya6412 Před měsícem

    Nyie ni kina nani na kisasi Gani ambacho hamuwezi kupatana, kama unasali na hofu ya Mungu Kwa Nini umeyabeba moyoni na unasema hauwezi kupatana? Ni uchu wa masilahi na kujulikana ndio mnataka. Mtaongeana mpaka lini?

  • @Polyn.123
    @Polyn.123 Před měsícem

    Kafue nguo hiyooo kila int

  • @sialo8624
    @sialo8624 Před měsícem +2

    Huyu dada hana akili timamu seriously

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 Před měsícem

    Safi kabisa

  • @gracekiondo2541
    @gracekiondo2541 Před měsícem +1

    Sasa mbona na wewe upo na mwili mkubwa na uzito uliozidi? hata kama yeye Shilole ni mnene zaidi yako,lakini wewe pia una mwili usiofaa kabisa! Kifupi wote muchukue hatua ya kuondoa uzito na manyama!

  • @jsabood
    @jsabood Před měsícem +4

    Eshe. Mtu kama ana kiburi dawa yake mkate nyongo akuheshimu. Shilole kapata vidonge vyake. Mkomesheni akome. Uchebe ni mkweli sana. Aloyoyaongea ni ya ukweli. Romy alionewa sana. Shilole mungu hapendi ukibri. Yatampata mambo hakutegemea.

    • @user-sx1xi4yb2z
      @user-sx1xi4yb2z Před měsícem

      Mwachen shishi na life yake nyie nao fanyeni yenu

    • @jsabood
      @jsabood Před měsícem

      @@user-sx1xi4yb2z Shilole kapata kiburi cha kuwalipua watu. Akitoka kwa wanaume zake ana kwenda kumvaa mtu. Mara Eshe, mara AliKiba. Kesho nani atakuwa? Kwanza maneno yake yanatoka yanavyotaka. Yeye Nani amambiye Eshe sio mtanzania. Au anazungumza kwa niyaba ya watanzania. Azungumze yanayomhusu. Pesa zake za madeni halafu anaringa. Mwache Eshe amkomeshe akome kurukiya watu.

  • @keyla3641
    @keyla3641 Před měsícem

    Acheni ujinga mnajidhalikisha kufanya biashara yakuka sio lazima ujue kupika mnagombania tuzo wewe muongo haiko hivo km huna choyo ungenyamaza ungeongea hayo mengine

  • @keyla3641
    @keyla3641 Před měsícem

    Chuki tu hana lokote waoiga kura gani hicho ndo kinekuuma

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j Před měsícem +1

    Eshaw uko na chuki binaonekana

  • @asumaathuman6094
    @asumaathuman6094 Před měsícem

    Kwanza esha hatukuji wewe tunamjua shishi tumekujua kuhus hii ya tuzo

  • @keyla3641
    @keyla3641 Před měsícem

    Huyu mnafiki kweli tuzo tu anataka kutiawatu ubayani dina kandaa hii anasababu zake unamrejeshamtu nyuma na tuzo haiusiani na upishi upambanaji kuna wapishi wazuri wanapika kweli mnaouka nini nyie biriani vitunguu vimeungua tuzo ilikuwa upambanaji

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před měsícem +3

    Shishi anataka zichapwe hilo naunga mkono mpambano tutalipia

    • @user-vo4lb5ik8h
      @user-vo4lb5ik8h Před měsícem +2

      WakishaziChapa wewe inakusaidia nini

    • @warakawayohana2896
      @warakawayohana2896 Před měsícem

      Inanisaidia kutoona habari zao tena baada kutia adabu​@@user-vo4lb5ik8h