KAULI TATA YA KIJANA ALIYECHOMA PICHA YA RAIS SAMIA BAADA YA AACHIWA HURU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2024

Komentáře • 352

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Před 11 dny +39

    Sasa fain iyo kalipwa samia au nani 😢😢😢 picha tuu milion 5 shikamoo tanzania

    • @talibsaid8096
      @talibsaid8096 Před 9 dny +2

      Sheria ni sheria tu ingekuwa we we Mzee wako katukwanwa na mtu bila sababu ungesikiaje pia maisha magumu lakini kila usiku mko bar hamtaki kujishughulisha watanzania wacheni kuchezea amani waangalieni kenya ilivyo vurugu la muda mfupi lakini litawarudisha miaka kadhaa nyuma na Jawa mawakili hawana la kufanya

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 Před 9 dny

      @@talibsaid8096 tusi gani alio tukanwa pengine kachora vibaya picha kaamua kuunguza,, kusema wa tanzania hatu ji shughulishi unatulidha weye,, ukome labda wewe una maisha magumu mwenzio nishajenga na maisha yangu tuu

    • @user-wi8og3sv4j
      @user-wi8og3sv4j Před 6 dny

      Kwahio wakenya wote wameshindwa baa?

    • @user-wi8og3sv4j
      @user-wi8og3sv4j Před 6 dny

      Alitukana tusi gani

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 Před 6 dny

      @@user-wi8og3sv4j hapo sasa ana njaa huyu mkenya

  • @iddidandodando6063
    @iddidandodando6063 Před 11 dny +44

    Safi Sana mliosimamia kuhakikisha chaula yupo huru,Hali ya maisha ni mbaya Sana.

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Před 11 dny +32

    Kuna mijitu ipo serikalini mijizi ya pesa za umma lkn hawakamatwi wala hawashtakiwi, huyu mnyonge amechana picha tu na kusema ukweli kuwa maisha magumu amefungwa, yaani nyinyi mahakimu mtakwenda kujibu mbele ya Mwenyezi Mungu kwa kuwaonea wanyonge

  • @Amirimwashembe
    @Amirimwashembe Před 7 dny +4

    P1 na koment zte nzur za kumpongeza kijana au kuwapongeza waliomsaidia ila mm namuombea dua ya maisha yke usalama wake kua Allah amhifadh aise

  • @user-lu8ny2gu7t
    @user-lu8ny2gu7t Před 11 dny +34

    Wacheni ujinga kwani amechoma picha ya Mungu mnaacha kushughulika na mambo ya maana kuna mijizi huko serikalini mbona hamuishitaki

  • @dulaabdallarashid
    @dulaabdallarashid Před 10 dny +20

    Kenya twachoma hadi bunge na hafungwi mtu nyie picha tu raisi amepanik

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 Před 11 dny +23

    Huu ni ujumbe mwenye akili na aelewe watu wanaumia maisha magumu

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 11 dny +2

      Ni kweli yy kasema kweli maisha magumu shida ni ipi hata huku ulaya maisha magumu juzi tumepiga kura tumechagua kiongozi mwengine muhindi tumempiga na chini juu maisha magumu 😢

  • @CeciliaShauri-vc7up
    @CeciliaShauri-vc7up Před 9 dny +5

    Kweli maisha ni magumu mno. Kuna baadhi wanakimbiwa na waume zao, mama wanabaki na watoto kwa mateso makubwa. Mungu tusaidie hatujui kesho yetu.

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Před 11 dny +25

    Kuna wezi wa CAG mnawaacha mnaenda kufunga mtoto

  • @pyerinajilatu2884
    @pyerinajilatu2884 Před 7 dny +2

    Mbarikiwe sana mnaojitoa kusaidia watu Kwa moyo wa upendo
    Atawalipa Mungu

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 Před 10 dny +25

    Uyo kwaza. Sio raisa alipigiwa kura lini uchanguzi ulifanyika lini mimi naamini tuu tazania akuna rais rais alikufa atujachagua bado

    • @jumahamadomar9124
      @jumahamadomar9124 Před 9 dny +2

      Kwa muujibu wa katiba ya Tanzania anapokufa raisi makamu wa raisi anachukuwa uraisi bila kupiga kura nyengine, kwani kawaida ya kura Tanzania mgombea wa urais na makamu wake wanachaguliwa pamoja kwa iyo ukisema hukumpigia kura unajidanganya,INSHA ALLAH mitano tena hata kwa shari maana kinachowauma ni asili ya huyo mama si jengine lolote wala hamukutarajia kuona raisi kutoka zanzibar lakini Mungu mkubwa ameficha tusivyovijuwa,kitawauma sanaaaaa na bado

    • @mariakabonga2
      @mariakabonga2 Před 9 dny +1

      😂😂😂😂 yaani uko sawa kabisa

    • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
      @SmilingFlowerBouquet-hs2hv Před 9 dny

      We ni mijnga sana hatakama ujui kusoma hata picha huni​@@jumahamadomar9124

    • @emanuelnisetas7510
      @emanuelnisetas7510 Před 8 dny +1

      @@jumahamadomar9124 huyo mama hafai

    • @DottoMussa-ro6rw
      @DottoMussa-ro6rw Před 7 dny

      yes,,nakuunga mkono na ndio maana Hana uchungu na ardhi yetu ama nchi yetu

  • @harshkirit6780
    @harshkirit6780 Před 11 dny +17

    Safi sana. Hongereni watanzania wenzangu kwa kumsaidia ndugu yetu.. kuna mijitu serikalini wanatunyanyasa wananchi. Haya sasa wajiandae 2025 kama watapita hayamajitu PIPOZ PAWA...HAPO SAWA

    • @jaybajay9973
      @jaybajay9973 Před 10 dny

      Watapita maana wasanii wa sanaa totauti tofauti eanampigia Debe

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm Před 6 dny +1

      Ingelikua Samia ni mama yako mzazi ungekuj kupongeza watu km unavyofanya juu ya mama w mwengin

  • @HappyBooks-dj6oy
    @HappyBooks-dj6oy Před 11 dny +19

    Watu wananyea Mavi picha ya Samia kwenye kanga mbona hamuongei.Sio kila mtanzania muoga.Safi sana bro.Salute

    • @nancolower_8032
      @nancolower_8032 Před 10 dny

      Ujinga

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm Před 6 dny

      Na ya mama Yako ikifanyiwa mbele yako utasemaje samia ana familia yake

    • @HappyBooks-dj6oy
      @HappyBooks-dj6oy Před 6 dny +1

      Uyo sio Mama yako ukilala njaa hawezi kukuletea chakula ila Familia yake hawezi kuacha walale njaa.Sio Mama yangu ni raisi tu kama Marais wengine

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm Před 6 dny

      @@HappyBooks-dj6oy nakuuliz ni rais Lkn n mzaz wa mwenzako je angekuwa ni mama yako mzazi ungefurahia

  • @user-do2id6pp4g
    @user-do2id6pp4g Před 7 dny +2

    Mwinyi alipigwa Kofi lkn alisema mwacheni huyo mtu asifanywe chochote hivi jamani viongozi tuangalieni nafasi zetu no mitihani tu wala sio raha kuwa hapo

  • @user-ex4rk2yx4s
    @user-ex4rk2yx4s Před 11 dny +23

    Musiwatukuze marais kama manabii

  • @EliaShirima-rh4wq
    @EliaShirima-rh4wq Před 4 dny +1

    ❤❤tumechoka utawala wa kikoloni watupe katiba utawala huu ni wa utumwani

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 11 dny +6

    Anayeona ni vurugu ana maisha mazuri. Tunaoshindia buku tunafurahi sana

  • @Mona-pn2pv
    @Mona-pn2pv Před 22 hodinami

    Pole watanzania kwaku kosa uhuru wenu mpaka picha piya 😢 Allah awasamehe na viongozi wenu

  • @barakanyanchama4297
    @barakanyanchama4297 Před 5 dny +1

    Msionee watanzania kwani hiyo picha ariyo choma niayamwenyez Mungu au niyamwanadam

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 Před 11 dny +4

    Hakimu rudisha pesa za fain kwani kamchoma rais au picha wizi ulokithiri tanzania yetu

  • @BasiliClement-ql1yg
    @BasiliClement-ql1yg Před 6 dny +1

    Napenda tu kutoa hongera kwa makanda wenye uchungu na nchi yao mawakili wameonyesha uzalendo juu ya nchi yao na wananchi kiujumla

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en Před 11 dny +23

    Mama samia umeona nguvu ya watanzania ndo ujue tumekuchoka

    • @MnubiMm
      @MnubiMm Před 11 dny

      @@SalmaAthuman-hp3en nguvu Ujinga huo wangechoma ya Mama yako na kukashifu ungeshabikia hivi umechoka na Nani? Kwa nini mnakuwa mnapenda kuwachanganya watu kwenye mambo yenu ya na fikra zenu wewe na wenzio saw usifikili wa msifikili Kila unachoona sawa wewena wengine ni hivyo hili mnalo sifu ni Jambo la hivyo kabisa subili wazazi wenu waanze kuzaliliswa ndio mtajua

    • @NuruJuma-zv3yz
      @NuruJuma-zv3yz Před 6 dny

      Umemchaka wewe,

    • @AbdallaMpambika-bp6ub
      @AbdallaMpambika-bp6ub Před 6 dny

      Acha ujinga wewe rais mwenyew hameifanya kesi iwe rahisi kama angeonesha amechukizwa uyo jamaa angekaa jera

    • @SalmaAthuman-hp3en
      @SalmaAthuman-hp3en Před 6 dny

      @@AbdallaMpambika-bp6ub milembe iko wazi muda wote muhimbili sibishani na vichaa

    • @SalmaAthuman-hp3en
      @SalmaAthuman-hp3en Před 6 dny

      @@NuruJuma-zv3yz tumemchoka ndiyo wewe anakusaidia nini 😂kichaa ww

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před 11 dny +14

    Uzuri amechangiwa na chenji imebaki amepata na kianzio

  • @TeleziaMwaipopo
    @TeleziaMwaipopo Před 4 dny +1

    Safii Sana kijana Kwa kumchamba MTU xxxx😅😅😅

  • @danielkanso
    @danielkanso Před 10 dny +9

    Hawa watu wameshindwa kutatua mahitaji ya wananchi kazi kufuatilia mambo ya picha si ichorwe tena kwa raisi au ndiyo tuseme raisi amechomwa short mind

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před 10 dny +2

    Ugumu wa maisha ni kweli jamani kadi kwenye umeme kodi kubwa sana

  • @karimmveyange2558
    @karimmveyange2558 Před 11 dny +9

    ASANTENI SANA WASHIRIKA. MBALI KIDOGO. LAKINI UMOJA NI NGUVU, NA MUNGU YUPO PAMOJA NA WENYE KUPAMBANA KWA HAKI

  • @MsJuniormjunyhandsomeboy
    @MsJuniormjunyhandsomeboy Před 10 dny +1

    Mubarikiwe sana wapendw

  • @zulekhamohamed3431
    @zulekhamohamed3431 Před 9 dny +4

    Mume wangu amechoma picha yangu nimshitaki??

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 Před 9 hodinami

      Fanya haraka iwezekanavo ila ujue asipochangia fain humpati tena 😂😂😂

  • @RajaaRajaa-id5wx
    @RajaaRajaa-id5wx Před 6 dny +2

    Mm binafsi huyu rais cmpend

  • @LeloJonas
    @LeloJonas Před 3 dny +1

    Hauna adabu kabisa una choma picha ya raisi

  • @user-os8qc7pl1g
    @user-os8qc7pl1g Před 11 dny +3

    Mama umeshachokwa achiangazi

  • @zulekhamohamed3431
    @zulekhamohamed3431 Před 9 dny +1

    Watanzania Wana njaa

  • @user-it4uh7vu5c
    @user-it4uh7vu5c Před 5 dny

    Picha Tanzania bunge Kenya

  • @MomyMomt
    @MomyMomt Před 2 dny

    Kasema kweli bwana maisha magumu

  • @AmaniLukumay-wk6zm
    @AmaniLukumay-wk6zm Před 4 dny

    Mungu awabariki sana

  • @ShaahenAbas
    @ShaahenAbas Před 11 dny +2

    Mimi niulize kwamba kwanini aliamua kujirikodi kama picha kachora yeye na kaona hana haja nayo kwanini ajirikodi ? Kwanini aongee kwamfumo wa hasira kivile mbona hapo anaonesha mpole kama sio yeye au siku anajirikodi alilewa ? Mipaka ya wanasheria ikoje hata kutete ujinga nakooo ?
    Kwanini watu wamemtumia hela ili atoke kama hajafanya kosa kwa fikra zao ?
    Maneno ya atakaye taka kuelewa
    Jee wee uko tayari kuchorwa ama kupigwa picha na mtu kujitokeza na kuchoma picha yako hadharani na kuitupa hivo jee wanao ndugu jamaa watakuona wee picha yako iliyochomwa ni kama siiichochote wala lolote
    Jee rais wetu picha yake ya kuchora ama laa kuchomwa moto ni sawa na kwa kejeli ya maneno kama yale ?
    Akiiachiwa hamuon tatizo litakuwa kubwaa wengine wataiga ujinga zaidi ya huo
    Kuchomwa picha ya mtu ni sawa na kuchomwa mtu kweli ,kwakuwa picha ni nusu uhalisia wa mtu
    Kama anatumika kisiasa hatuwezi kuamini ?
    Jeee mtu akiiba kwako ukakuta picha imeanguka kwa kumfukuza mwizi jeee hatua ya kuanza kumtafuta mwiz utaanzia wapi ?
    DNA inaonesha damu na mtu husika kwanini isiwe picha pia inaonesha uhalisia wa mtu

    • @hamidamussa-sy4fm
      @hamidamussa-sy4fm Před 10 dny

      Wao wanakosea wanaiba pesa za uma wanafanywa nini Hao viongozi mtu anachoma picha kesi mungu ndio mtoa hukumu

  • @DottoMussa-ro6rw
    @DottoMussa-ro6rw Před 7 dny

    hongereni sana watanzania hongereni sana sheria wetu,hamjawah kufeli

  • @user-vc8cc2pt7n
    @user-vc8cc2pt7n Před 4 dny

    Ndo wajue wananchi wanechoka maisha magum serikari imeka kimya tu watanzania sasa tumechoka

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126

    Una bahati angelikuwa mwamba sa hz ingelikuwa historia

  • @AbdalahMtambuka-rh1dp
    @AbdalahMtambuka-rh1dp Před 2 hodinami

    nyinyi munao Pinga faini kweni yeye mtuumiwa kufanya vile lengo lake nini sikujiamin na kumzalilisha rais kweni cheo. Cha rais nikikubwa sana ata kama aumpendi. Aina aja umzalilishe kama ingekua Mimi u uyo mtoto ange potea kama walio potea wengine .uyo jeuli kweni nchi Ii yababayako .Mimi mbona magufuli nilikua simpendi ila sikusubutu kumzalilisha nilituza .ishima yake

  • @user-py9jj5yr9l
    @user-py9jj5yr9l Před 7 dny

    Kwakweli mungu azidi kuwa barick sana

  • @CretusMwalongo
    @CretusMwalongo Před 8 dny

    Safi sana,ni uchawa tupu wote huo unao sumbua,yaani achore yeye afu ahukumiwe,mahakama zetu ni shida sana

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq Před 8 dny

    Asante sana kwa kumsaidia huyu kijana.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 11 dny +10

    Mchanganyiko kiakili maisha magumu wachache wanakula maisha, maumivu ya ndani kwa ndani mpaka mtu anaona liwalo naliwe

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j Před 11 dny +10

    Jamani jamani inamaana Samia anahadhi kubwa sana kuliko Muumba watu wanamtukana Muumba mchana kweupe hatujackia hata kufikishwa kwa mjumbe

  • @fotunatusiMsongole
    @fotunatusiMsongole Před 10 dny

    Mungu mlindee na wasiojulikanaa. Mungu anasamehee na wewe samehe

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 Před 8 dny

    Tanzania 🇹🇿 sheria zinawagusa masikini tu mijizi ilitajwa na CAG ipo tu CCM hatari sana kuchoma picha kesi inachukua siku moja na kifungo hapo hapo

  • @AmaniLukumay-wk6zm
    @AmaniLukumay-wk6zm Před 4 dny

    Amepewa nani

  • @NuhuOmar-wx2ym
    @NuhuOmar-wx2ym Před 11 dny +2

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před 6 dny

    Tupunguze kukata miti na kuchoma mkaa lakini umeme na ges vimeeeeee

  • @stephenwakunyala4004
    @stephenwakunyala4004 Před 10 dny

    Dogo yupo freshi mama hatumwelewi kabisha Maisha Magumu

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Před 5 dny

    At least huyu sio mnafki

  • @RashidMohamed-j9p
    @RashidMohamed-j9p Před 9 dny

    Mwenye inch kashaga kuf

  • @HasanooTozzy
    @HasanooTozzy Před 3 dny

    Mbona kama bado amjamuachia awo jamaa sina imani nao

  • @fetyalmas698
    @fetyalmas698 Před 9 dny

    Na yeye alisema kbs anachoma kwa sababu Ana mungi, na kweli Mungu kamuona

  • @willymwaipaja6783
    @willymwaipaja6783 Před 10 dny

    Nchi hii naishangaa sana na kwa kweli inakwenda kubaya kwani imeacha maadili ya kwanza ya binadamu na kurukia madili ya kutetea viongozi na haki za binadamu zitokanazo na wazungu waliopotoka. Taasisi zinazoendesha mambo ya ushoga na upinzani dhidi ya maagizo ya Mungu hazichuliwi hatua kali. Ushoga na uinua juu wanawake dhidi ya wanaume ni uovu mkuu kuliko kuchoma picha ya Rais, japokuwa hilo nalo ni vyema. Miziki ya ovyo ipo huru kwenye mabasi na mitaani na kwenye TV; Wasichana na wanawake wanavaa mavazi ya uchi mitaani na maofisini lakini hakuna sheria au hatua zinazochukuliwa!!! Mfumo jike uko kazini duniani kwa matakwa ya shetani akiwatumia wazungu ambao nao hutumia wale wasiopenda kutawaliwa na Neno la Mungu.

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Před 10 dny

    Huyu ndo ameukataa umsukule. Kila mtu awe huru kukataa kufanywa msukule na ccm

  • @marthakimia4075
    @marthakimia4075 Před 5 dny

    Mnamtania Mungu

  • @DormanDorman-jm3dz
    @DormanDorman-jm3dz Před dnem

    WAMELIPIA KODI KUPITIA PICHA .😂😂

  • @stevenkatani3047
    @stevenkatani3047 Před 10 dny

    Ay mgeeni kichwa hiii serikali xo Kama mzaniavo

  • @fridagustaphmwenda6658

    Funzo kwa wengine maana kama hali ngumu na hiyo milioni tano je ni ndogo? Tupatiwe Mikopo tufanye biashara tu inatosha.

  • @mmungajieanpirre4655
    @mmungajieanpirre4655 Před 2 dny

    🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️💯💯

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 Před 7 dny

    Utashangaa anakua chizi kshachomwa sindano huyo

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Před 9 dny

    CCM wengi wezi tufanyeni tuitoe mdalakani maisha magumu kweli tena kweli

  • @joycefrances4516
    @joycefrances4516 Před 7 dny

    Tunaomba huyu kijana arudishiwe pesa zake,afanye mtaji,hali ni ngumu kweli,vitu vimepanda kila mahali

  • @KamiliLyimo
    @KamiliLyimo Před 11 dny

    Hapo.sawa.

  • @malimilandegemabunhi8528

    Kweli hii nchi,usipokuwa makini unawezapelekeshwa Kama kuku,watu wanacheza na media siku hiz,huyo kijana ni askar,wanatuchezea filam tuu yaani ni maigizo tuu,

  • @JacksonThobias-wc6ml
    @JacksonThobias-wc6ml Před 7 dny

    Nacho shindwa kuelewa unaelezea sana sisi tunataka tumsikie mtuhumiwa

  • @nathanpangjanda2734
    @nathanpangjanda2734 Před 11 dny +1

    Wanyakyusa hao

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 Před 11 dny

    Mmemlopia 5mls...je yeye ana sh. ngapi mfukoni yakuanziaa maisha...hatari HAWA ndiyo wasomi wetu wa Sheria tz.☹️☹️

  • @officialisaiah3979
    @officialisaiah3979 Před 7 dny

    Af nikajua syo mtanzania😅 maana ii nchi mazee

  • @RechoMzava-gt7so
    @RechoMzava-gt7so Před 10 dny

    Kwani afungwe amekosea nini kaongea kilicho moyoni mwake na ukweli mtupu maisha ya watanzania ni magumu

  • @BraveMajaliwa-gf7ru
    @BraveMajaliwa-gf7ru Před 8 dny

    TANZANIA 🇹🇿 NDO ILITAKIWA KUANDAMANA KULIKO KENYA 🇰🇪 ILA WAPO KIMYA 😂😂😂

  • @user-lx2yc8tj5h
    @user-lx2yc8tj5h Před 11 dny +2

    Mwamba

  • @user-do2id6pp4g
    @user-do2id6pp4g Před 7 dny

    Ila hii nchi kuna sura ya mapinduzi huko mbele dalili hizi na coment hizi inaonekana watanzania wamechoka kwa kweli

  • @user-ec8zv7lq8y
    @user-ec8zv7lq8y Před 7 dny

    Safi sana mawaziri wetu

  • @MedsonUlendo
    @MedsonUlendo Před 3 dny

    Wakati fulani wanao haribu taswila ya Rais ni watendaji wake wanao chukulia kila jambo kisiasa ushauri wangu watendaji waserikali kuna jumbe nikuzifanyia kazi kwa kuhojiana nao ili wajue namna yakumshauri Rais kwa faida ya nchi yetu na utawala bora

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz Před 10 dny

    Kama Raisi Samia hataingilia jambo hili na akaliwacha lifanikiwe maanayake Mama kweli kuleta mageuzi ya kidemokrasiya nchini na jakubali hukumu ya mahakama bila ya kujali lolote lile

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale Před 9 dny

    Kwan kuchoma picha
    Kuna shida gan
    Hii nchi some inaendeshwa kidictetaa

  • @mosesmaduhutv7985
    @mosesmaduhutv7985 Před 8 dny

    Mtu wa Mungu Mungu huyoooo

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula3367 Před 8 dny

    Sasa ukarudie tena upuuzi wako uone kama hao watapata hata hiyo nafasi ya kukulipia faini.
    Ukirudia tena unapotezwa kabisa mazimaa.
    Wewe rudi nyumbani ukajidai shujaaa😅😅

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Před 3 dny

    Kwa hiyo mtamtuma akamtukane baba yake, mama yake au viongozi wake wa dini? Huyo dogo alikosea Watanzania hatujafika katika hali ya kuwadharau watu wazima achilia mbali kiongozi wa nje

  • @user-yw7ud9th2l
    @user-yw7ud9th2l Před 10 dny

    Wanalazimisha etiserekari ya awamuyasita izokura. Kupiga nani wemarizia miakairiyobaki ya makufuri raisi. Wawanyonge

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před 11 dny +6

    Dogo wa Tz tumekuelewa na tumekupenda kwa udogo wako message imefika ila imegusa panapouma tuombe Mungu kwamba hawajakudhuru afya yako.

    • @MnubiMm
      @MnubiMm Před 11 dny

      Hebu usiwasemee watanzania semea wenzio na wewe Mliofurahi Mama kutukanwa na kuona ni Jambo lafahali na furaha Mama Samia KUTUKANWA mjiandae Mama zenu nao KUTUKANWA au kuzalishwa Kama huyu alivyomfanyia Mama nasi tutafurahi na kuchangia pesa kwa ajili ya sherehe

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před 11 dny

      Anajitambuà huyo kijani.

    • @lukomanomaliki5442
      @lukomanomaliki5442 Před 10 dny

      Uchawa unakusumbua wewe sio bure.

  • @user-uf7oh5eu4v
    @user-uf7oh5eu4v Před 10 dny +3

    Umoja Ni NGUVU moja

  • @user-wh9zj7kf7h
    @user-wh9zj7kf7h Před 11 dny +1

    Kachome tena

  • @user-do1ug7de3g
    @user-do1ug7de3g Před 8 dny

    Mie ninashida nitampata wapi mwanasheria kuna mtu amenizurumu shamba

  • @JoshuakaruJoshu-pk3es

    Ongera chaura umemshinda shetani ulikuasawa

  • @user-pv2jh5wb1o
    @user-pv2jh5wb1o Před 11 dny +1

    Kwani alichoma mchoro au

  • @umranim5854
    @umranim5854 Před 10 dny

    Ina maana huyu kutumiwa na wana siasa na ndio maana wamekimbilia kumtoa kutetea ujinga na kesho atatokea mwingine hata ogopa kufanya hivyo anajua atatetewa

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před 10 dny

    Barikiwe

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 Před 11 dny +4

    Umoja ninguvu

  • @DouglasMkude
    @DouglasMkude Před 8 dny

    Itafika kipindi watajua awajui

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale Před 9 dny

    Mbona msiwapeleke wa-MWIGULU NCHEMBA MAFISAD

  • @RANKMANTANZANIACOLTD
    @RANKMANTANZANIACOLTD Před 9 dny

    Mawakili mmeshindwa kumtetea. Bwege huyo anajitafutia umaarufu

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před 10 dny

    Labda alikoseakuchora vizuri

  • @Oswaldpaulkimario
    @Oswaldpaulkimario Před 10 dny

    Tunaomba wasio julikana sasa watamuwinda achungwe jamani

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 Před 8 dny

    Duh! Maisha magum?? Ss ni wanafki xna anza Kumlaumu mtanguliz aliyebana ajira ndiposa umuhukumu mama! Mama anajitahid kufungua milango ya ajira lakin hamuoni ungejua kaz anayofany mama usingethubutu unajilaan mwenyewe kwa ujinga. Yan ww kaa ufkir vizur hom beywer msamaha kwa kejel zako hizo kwa MPakwa mafuta wa tanzani Samia Suluhu Hasan

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 Před 8 dny

    hawa wapumbavu wanamtia ujinga huyo dogo mbona wawo hawachomi hawo mawakili kwani kunagharama gani wachome nao