MBUNGE WA CHADEMA AMLILIA RAIS SAMIA HADHARANI, AWACHONGEA VIONGOZI, "HATUTAKI MACHAFUKO"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 84

  • @LoningoMollel-y3k
    @LoningoMollel-y3k Před měsícem +3

    Bigger up sna mbunge wetu kwa kazi na Hoja,nzuri ya kujenga

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před měsícem +6

    Mheshimiwa mbunge unaakili sana .Hongera sana

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 Před měsícem +2

    Huyu dada anaakili nyingi, wananchi walipata mali🎉🎉

  • @masoudsalum
    @masoudsalum Před měsícem +3

    Hongera Aida vry bright

  • @meiruzibwe9145
    @meiruzibwe9145 Před 15 dny

    Safi sanaaaaa Mh Mbunge kutoka chama kubwa CHADEMA.
    Chama chenye watu wenye akili inayowaza sawasawa.

  • @johnfani9380
    @johnfani9380 Před měsícem +4

    Hongera aida

  • @vincentmpupua5839
    @vincentmpupua5839 Před měsícem +3

    Aida mitano tena

  • @matesosamwel6685
    @matesosamwel6685 Před měsícem +1

    Very bright!!!

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Před měsícem +3

    Mwenyezi mungu yupo nasi

  • @Noelkitoi
    @Noelkitoi Před měsícem +2

    Samia ni mwizi wa ccm utaenda zanzibar kwa ujumla ccm wezi

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d Před měsícem +2

    Ametumia hekima sana uyu mbunge, amesema tu samia oyeee na ajasema raisi oyeee. Amelazimishwa kusema ccm oye hakuingia kwenye mtego. Nimempongeza kuhusu swala la utekaji amefikisha ujumbe

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba Před měsícem +2

    Uraisi ni nafasi isio kuwa na chama aida kaongea vizuri,,izo ndio siasa,,,ccm wamuone alie tokana na ccm na chadema wamuone alie tokana na chadema,,

  • @damasngottea1730
    @damasngottea1730 Před měsícem +2

    Hapo kuanza kwa kumsifia tu Mama ndo umenikwaza kwingine exllent

  • @sofiamsuya2254
    @sofiamsuya2254 Před měsícem +1

    Well said madam

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Před měsícem +2

    Kunasehemu wanapata wabunge jamani siyo wagonga meza

  • @kennethmanangwa8189
    @kennethmanangwa8189 Před měsícem

    Safi sana mbunge. Ukiona raisi katikisa kichwa basi ujue amekukubali. Endelea kukipigania chama chako.

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman Před měsícem +2

    Madam aida kenan namuamini hata nikiwa usingizini ujue

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před měsícem +2

    2025 aida atasimama hapo kwa ticket ya ccm😂😂anaongea kabisa kama mwana kijani

  • @salmamsuya1043
    @salmamsuya1043 Před 28 dny

    Yuko vizuri

  • @JohnMhogo-hd3fs
    @JohnMhogo-hd3fs Před měsícem +2

    Sf umeongea pointi zakutosha

  • @konderaeriasi6251
    @konderaeriasi6251 Před měsícem

    Saf sana mbunge wetu 5 tena mbunge wetu

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před měsícem +1

    Aida anajua wanachofanya safi Aida

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756 Před 18 dny

    Usije kushangaa Mbowe na Lissu watamkasirikia huyo mbunge.

  • @LoningoMollel-y3k
    @LoningoMollel-y3k Před měsícem +1

    Hallo mambo vip?

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Před měsícem +1

    Wamekata sauti safi sana Mbunge

  • @issaidrisamusa5962
    @issaidrisamusa5962 Před měsícem +1

    Umeongea vema , ila kwenye kupandisha bei ya chakula sio sawa, u ungeshauri pembejeo ziwe bei chini zaidi

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před měsícem +2

    Hapo ndo unapokosea sasa unamfosi mtu aseme ccm oyeee ndo Chama chake?acha aseme kile alichonacho moyoni sio kumfosi aseme unachotaka wewe

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Před měsícem

    Haida upewe hata uenyekiti❤❤

  • @Frolian-j9o
    @Frolian-j9o Před měsícem +1

    Kiukwer mweshimiwa mbunge ameongea Kwa ujasir na upendo wa nchi Yake na mama samia kasikia vizur oja zake piga kazi mweshimiwa mbunge wananchi wako wanakutegemea

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 Před měsícem +2

    Umerudia neno mheshimiwa rais mno

  • @jochachallengetv7061
    @jochachallengetv7061 Před měsícem +1

    Aida kiboko sana

  • @imakitori399
    @imakitori399 Před 26 dny

    Mbona kwa samia hawakat saut

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 Před měsícem

    Umeonja tunda tayari kwishinee. Mungu atutetee sie hatuna mtetezi duniani

  • @titoamani-e8b
    @titoamani-e8b Před měsícem +1

    Samia offered the state house to Harmonize and Mwijaku to abuse Diamond Platnumz with Uchawi...Aibu Tanzania😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @user-oq6dx8mf9x
    @user-oq6dx8mf9x Před 28 dny

    P1

  • @MazibaOnesimo-my8gu
    @MazibaOnesimo-my8gu Před měsícem +1

    mubunge anayejitambua kweli;

  • @LusunguLupenza-lf7fk
    @LusunguLupenza-lf7fk Před měsícem +1

    Huu ndio uzalendo

  • @ulimbagakipole3971
    @ulimbagakipole3971 Před měsícem +4

    Huyu anajua anachokifanya asifananishwe na Msigwa. Msifikiri kutukana ndiyo upinzani.

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 Před měsícem +1

    UKO VIZURI SANA MBUNGE KENANI

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před měsícem

    Unga juhudi na wewe ni walewale kwedaaa

  • @Noelkitoi
    @Noelkitoi Před měsícem

    Mama ni mbwa uyo

  • @SubiragaKabango
    @SubiragaKabango Před měsícem

    Mhe: AIDAH Mbunge jimbo la Nkasi mama amekuheshimisha sana kubali kumwaga manyanga Rudi CCM! Kubali yaishe! Mimi Binafsi nakukubali sana na mlinitunza na kunilea na wazazi wako nikiwa naishi kwenye nyumba yenu hapo Namanyere! Ugali wa Ulezi na panyapori msosi saaaafiiii sana!

  • @theonalyalfred8087
    @theonalyalfred8087 Před měsícem

    Tunashida miaka mitano

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232 Před měsícem

    Mambo ya kupotezeana muda tu, hakuna jipya

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba Před měsícem

    Mmmh

  • @BeatusNgereza
    @BeatusNgereza Před měsícem

    Hao walisha onja tunda

  • @davidsuleman233
    @davidsuleman233 Před měsícem

    Saiz ziara za nje zimepungua

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 Před měsícem

      Watanzania mambumbumbu kama ww wataishia kugeuza maneno hivo hivo tu mpaka wanazeeka.

  • @IssacNtacho
    @IssacNtacho Před měsícem

    Mama yetu hongera sana,, nakupenda Kama Rais wangu,,ila angalia sisi walimu tusio na ajira ,,tuko hoi mtaani,,mwaka huu hatuelew unalenga nini had mda huu hakuna lolote

  • @judicateurassa7817
    @judicateurassa7817 Před měsícem +2

    Wewe sawa na msigwa tu

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki Před měsícem

    Watanzania mnajiteka wenyew Ili mpew hela na serekali yenu achen ujinga sana

  • @martinemaganga5253
    @martinemaganga5253 Před měsícem

    Watu wanajuwa kusoma alama za nyakati

  • @Sangaadam
    @Sangaadam Před měsícem

    Kwa nn mnakatakata -Shame on u!!

  • @MwitaTv
    @MwitaTv Před měsícem

    Mimi natamani hata huyu mwanamke tumfukuze kwenye chama chetu cha Chadema, Mzinguaji tu

    • @emmanuelsulle911
      @emmanuelsulle911 Před měsícem

      Unakosea sana Jamani Aida kenani yuko vizuri Mno Mbunge makini wa Chadema.

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 Před měsícem

      ​@@emmanuelsulle911HAKUNA KABISA kwani unamtofautisha vipi na mwana CCM?

  • @AndrewJulius-hg4bd
    @AndrewJulius-hg4bd Před měsícem

    Aida tuko salama kweli na watu wanatekwa

  • @davidsuleman233
    @davidsuleman233 Před měsícem

    Muda wakutafta kura

  • @SaidHamis-yz1vt
    @SaidHamis-yz1vt Před měsícem +2

    Mama Samia waganga WA kienyeja tunaomba wapigwe marufuku ndio chazo Cha mauaji kwanini wapewe leseni?

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 Před měsícem +2

    CHUNGA SANA !! HUYO MBUNGE AIDAN KICHWA KIPO SANA SAWA NA MOYO UNAODUNDA USIKU NA MCHANA !!! HATA MIMI NA UZEE WANGU NAMKUBALI KAIVA , KATAKATA ,KABOREKA NA ANASISIMUA !! ATAKUELEWA ,ATAKUELEWESHA NA ANAWEZA KUKUAIBISHA UTAKAPOKAA VISIVYO !

  • @marysichinsambwe7708
    @marysichinsambwe7708 Před měsícem +3

    Akuna mupizan Tanzania 😂😂😂😂

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Před měsícem

    Uyu hayupo Chadema amekaa bungeni bila mgongo wa Chama chake😅😅

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Před měsícem +3

    Kazi ya mpinzani nikuikosoa serikali kuonesha nikwann haifai kua madarakani
    Ukiona mpinzani anaisifia serikali huyo siompinzan huyo analake jambo

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 Před měsícem

      Jiulize yupo bungeni kwa mgongo wa Chama kipi wakati Chadema hawapo😂😂😂 na je nikweli hawapo wengine

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před měsícem

      Hata Rish Sunak juzi Tu kamsifia mpinzani wake bungeni, siasa sio vita

    • @evampuya-mp9vf
      @evampuya-mp9vf Před měsícem

      Mbunge Aidan nakupongeza saana uko vzr mtetezi wa wanyonge

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před měsícem

      Kweli

    • @pueblo148
      @pueblo148 Před měsícem

      Wewe ni kilaza.kuna chama na rais hata kama ukiwa chama pinzani unakutana na rais Kuna utaratibu wa kuongea na rais mbele ya hadhara.huwezi mdhalilisha. Ni kosa la kiuongozi.sasa anapomkosoa hadharani mbele yake Inamaanisha unamdharau na kumuaibisha.mambo ya vyama baadae pale alikuwa anaongea na rais wa nchi sio mwenyekiti wa Cha Cha mapinduzi Kwa sababu ziara ni ya rais sio ziara ya ccm.iwapo ingekuwa ziara ya chama wamgeitwa Wana cm tu na uniform Zao wakavaa.umemuona Samia amevaa gwanda?

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 Před měsícem

    HAKUNA UPINZANI Hii Nchi, Hakuna HAKUNA HAKUNA, ni kusifia Ujinga Ujinga tu. Aida sio huyo ninayemjua.

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 Před měsícem

      Mapunguani tu ndiyo wenye mawazo ya kupinga hata Yale mazuri.

    • @sylvanuskavindi2756
      @sylvanuskavindi2756 Před 18 dny

      Ulitaka atukane matusi ufurahie maana kichwa yako ndo inaamini ndo upinzani

  • @marysichinsambwe7708
    @marysichinsambwe7708 Před měsícem

    Aibu chandama