"Jitazame vizuri TUNAMASHAKA NA UONGOZI WAKO" URC WA MAKONDA MATATANI //THBUB YAMKAANGA MAKONDA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024

Komentáře • 18

  • @binsherbal6089
    @binsherbal6089 Před měsícem

    Safi sana, bado tunataka na Waziri Silaa achunguzwe kwa kutumia Madaraka yake vibaya kumkamata mwananchi aliyekua anajieleza kwa kumjibu maswali yake. Silaa alimuamuru OCD kumkamata mwananchi huyo.

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo Před měsícem

    Jamani mwanapekee mweee

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Před měsícem

    Kazi tuu apo Arusha akuna urembo

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 Před měsícem

    Hawezi kupendwa na wote kwani yeye sio pesa! Lakini walio we give wanampenda. Basi mukinsema kwa mabaya seneni na mazuri yake! Au hayapo??❤❤

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před měsícem

    Wewe ndiye mjinga unayemtukana makonda huna lolote mhuni tu

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Před měsícem

    Watu wanakosa haki zao makonda chapa kazi

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Před měsícem

    Haya abughudhiwe mteuzi wake. Hamwoni Makonda ni sawa na Jambazi?

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Před měsícem

    Huyu.uwezo.wake.ni.mdogo.anafaa.kuwa.katibu.kata.ccm.mnajikomba.bure.namwenzie.chalamila

  • @barnaba3037
    @barnaba3037 Před měsícem

    Hivi wanatumia madaraka vibaya a.k.a mafisadi hamuwaoni?

  • @MollelAman
    @MollelAman Před měsícem

    Hakuna km makonda huyo ni kiongozi anayepigania nchi yake anatambua majukumu yake natamani mungu aje msaidie aje awe rais

  • @AmosiMaduka
    @AmosiMaduka Před měsícem

    Wewe matako jaji matako wote mnatakiwa mnatakiwa muingiziwe chupa matakoni

  • @user-cz5sd6ys8i
    @user-cz5sd6ys8i Před měsícem +1

    Makonda hana jambo lolote njema,Mimi nashangaa San watu wanao mshabikia makonda,

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 Před měsícem

      Wewe una jema gani, Shabiki wa wezi?

    • @PhilipoMwita-b2x
      @PhilipoMwita-b2x Před měsícem

      Mm nafrahi Zaid kuona anavyosaidia watu kupata haki zao

    • @epimackjohn461
      @epimackjohn461 Před měsícem

      Kazi anachapa sana lakini ana maamuzi yasiyo na BUSARA na hana subira ya kufuatilia jambo analolisikia . Pia lugha ya UBABE na DHARAU inamshushia sifa ya kazi yake .

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před měsícem

    Huyu amperage cheo kwa ajili ya Uganda wa ziwa ili wawe na inani hasa wajumbe

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o Před měsícem

    Makonda ni shenzi kwanza apelekwe mahabusi anahusi kwenye utekaji wa watu nakuvamia kituwo kimoja cha redio na kupigwa rirasi kwa tundu lissu shenzi sana

  • @leonardmsafiri2199
    @leonardmsafiri2199 Před měsícem

    My country is in the situation that it is because of our cowardly nature history will judge us harshly