Kaka naomba msaada,Mimi nimeanza biashara toka mwaka 2015,lakini sipigi hatua yoyote ktk hii biashara,ni Kama biashara yangu imedumaa,nafika wakati nahisi kukata tamaa,maana natumia nguvu nyingi Ila matokeo ni madogo saana,tafadhali naomba msaada
Bro mm napata utata nisaidie, ktk ktabu hatua 6 za kujiajiri umeshauri njia Moja wapo inayowafelisha wengi n kufanya mambo mengi (Lack of focus) sasa nawezaje kupanua biashara yang km sitaongeza matawi mengne?
Ubarikiwe kaka Joel
My brother ur still BLESSED 🙏🙏 FOREVER FROM GOD✨✨✨✨✨🌟🌟⭐✨✨⭐🌟🌟✨🌟🌟⭐⭐🌟
Yaan sometimes unaeza kumwangalia mtu ukatamani angekuwa ata ndugu yako ... Much love to you Kaka Joel , nakuelewa sana .
Na wewe unaweza ukawa ili wengine watamani hata ungekuwa ni Dada yao , unaweza ukawa mfano wa kuigwa
Asante sana life coach .Nikama kuchukua idea ileile mtu mwingne Anaya ifanyia kazi nakwenda mahari pengine kufanyia Kaz👏
Kaka hongera sana nakuelewa! Ila maomba ushauri kuhusu biashara ya saroon ya kiume nmna ya kuiendesha au kuisimamia please.
Nahitaji kitabu joel
Thank you kk joel god bless you
Asante hii elimu
Asanteee Mwl nimeongeza maarifa mengine tena
I appreciate Br thanks for proceeding to give us more knowledge especially business knowledge,God together with you.
Five star for you!
Be blessed
Cool lessons always
Asante sana kaka
Safi nimekupata
Asante bro
Big up again bro..see you at the top zone
asante
Tuko pamoja kaka Joel
Kaka naomba msaada,Mimi nimeanza biashara toka mwaka 2015,lakini sipigi hatua yoyote ktk hii biashara,ni Kama biashara yangu imedumaa,nafika wakati nahisi kukata tamaa,maana natumia nguvu nyingi Ila matokeo ni madogo saana,tafadhali naomba msaada
Bro nawezaje kujoin madarasa yako
✍
Thank you brother
Nakufatiliaga sana uko vzr
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tunaomba uje hosipitali ya rufaa ya kanda mbeya(MZRH) nakufuatilia Sana training zako zimenipa matokeo mazuri,je Una mafunzo ambayo ni audio?
Bro mm napata utata nisaidie, ktk ktabu hatua 6 za kujiajiri umeshauri njia Moja wapo inayowafelisha wengi n kufanya mambo mengi (Lack of focus) sasa nawezaje kupanua biashara yang km sitaongeza matawi mengne?
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇨🇵🇨🇵
Nauza handbag karibu tuwezi kupiga hatua