Njia Nne (4) Za Kukuza Biashara Yako - Joel Nanauka

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 02. 2019
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 196

  • @malalezengo4405
    @malalezengo4405 Před 5 lety +34

    Safi sana mwalimu wangu mwaka 2018 niliahidi kwamba nwaka 2019 ntafungua duka LA nguo nimefungau narudisha marejesho asante kwa masomo yako mazur

  • @jackwalson2712
    @jackwalson2712 Před 2 lety +144

    Video nzuri, Lakini wacha nizungumzie jambo muhimu, naona vijana na wazee wengi wakifanya makosa ambayo nadhani hayafai. Nadhani kila mtu, mdogo au mzee, anapaswa kuwa na mpango wa uwekezaji unaoongeza mapato yao ya kifedha kwa takwimu tatu hadi sita. Uwekezaji unaweza kuwa mpango wako wa kustaafu au mpango wako wa baadaye, chochote unachotaka, lakini cha muhimu zaidi ni kwamba una uwekezaji wa faida.

    • @lovemorepatrick4869
      @lovemorepatrick4869 Před 2 lety

      Uwekezaji ndio ufunguo wa maisha yenye mafanikio, ikiwa umebahatika kuona jukwaa au wakala aliye na mpango mzuri na utambuzi bora, fanya vyema kuchukua nafasi yako.

    • @arnulfbrand9753
      @arnulfbrand9753 Před 2 lety

      Salamu kutoka Florida, nimesoma maoni mengi kumhusu katika majukwaa mengi, lazima awe mwanamume halali.

    • @emmanuelokoye4855
      @emmanuelokoye4855 Před 2 lety

      Hii sio mara ya kwanza kumsikia Alexander Barnes na athari zake kwenye ulimwengu wa uwekezaji, nadhani nitajaribu kuwekeza naye.

    • @wilsonmurdoch4281
      @wilsonmurdoch4281 Před 2 lety

      Ninamjua mtu huyu, ni bora katika kile anachofanya. Nilianza tu kufanya biashara naye kwa uwekezaji wa awali wa $1550 na nilipata hadi $3200 katika wiki moja tu ya kufanya biashara naye. Mikakati yake ni ya kutisha

  • @mussakingay901
    @mussakingay901 Před 2 lety +2

    Brazaa nakufatilia sanaa vipind vyako

  • @burudikotv1953
    @burudikotv1953 Před rokem +3

    Mungu akulinde Sir❤

  • @queenmduma3869
    @queenmduma3869 Před 5 lety +4

    So powerful..Be blessed brother
    Asante sana
    Njia ya kwanza(Market Penetration) na ya tatu (Market Development) ntaanza nazo.
    "Mafanikio yako yamefichwa kwenye ujasiri wako wa kutafuta masoko mapya"

  • @ram_btv3822
    @ram_btv3822 Před 2 lety +3

    Nashukuru kuanzia nianze kukufatilia nayaona mabadiliko kwenye biashara zangu kutokana na kujitangaza zaidi🙏

  • @shidakabichi10
    @shidakabichi10 Před 3 lety +3

    Your always my friend nanauka although I never see you facely, thank you for the good advice in business issues

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 Před 2 lety

    Jazaaaq LLAH kheir..
    Thanks brother my regards ALLAH BLESSING you..and towerds efforts for all you wish in your life

  • @thomasdamas4347
    @thomasdamas4347 Před 4 lety +1

    Asante Mr Joel nayafanyia kazi hayo mawazo... See you at the top

  • @ezabron4784
    @ezabron4784 Před 5 lety +1

    Asante sana Joel,bado naendelea kuelimika kupitia wewe. Mungu akubariki.

  • @debdahchannel9159
    @debdahchannel9159 Před 3 lety +1

    Hey....tunahitaji waalimu wengi zaidi kama hawa maana kwasasa tatizo si pesa tuu ila fahamu zetu MUNGU AKUTUNZE MWALIMU PROUD OF YOU

  • @assamwakasanga3570
    @assamwakasanga3570 Před 5 lety +2

    thank you so much to teach us every day if to do work, ibelive yourself we go to succesfull....God belless you ... see you at the top#

  • @husnamaftah4289
    @husnamaftah4289 Před 2 lety +2

    Very helpful presentation. God bless you

  • @hellychavdy5531
    @hellychavdy5531 Před 5 lety

    Kaka nanauka wewe nizaidi ya noma umenifanya nijione JOKA refu kwenye biashara yangu nakuiboresha zaidi na zaidi asante sana mungu akubariki sana nanime donlod

  • @tracyjoseph2075
    @tracyjoseph2075 Před 3 lety +2

    Thanx so much kwa darasa but mim napenda kutumia marketing penetration na diversification nadhani hizo zitanifaa zaidi

  • @michaeljordan2558
    @michaeljordan2558 Před 5 lety +1

    Good brother..real appreciate. God bless you

  • @thegirl1405
    @thegirl1405 Před 5 lety

    Shukraan brother kwa somo makini sana ubarikiwe 🙏🙏

  • @othmanmuhammad1650
    @othmanmuhammad1650 Před 5 lety +1

    I really enjoyed it brother,. that's lit!,,you rock,.!.,

  • @rumishamsaki5944
    @rumishamsaki5944 Před 3 lety

    Asanteh sana brother

  • @peterkasembo7854
    @peterkasembo7854 Před rokem +1

    Kiukwery ume gusa maisha yangu kwa utofati zaid

  • @helencyprian6044
    @helencyprian6044 Před 3 lety

    Daah umeniongezea maarifa, asante kaka. Sikuwahi kugundua kama kuna mambo mazuri huku.

  • @elizabethmichael6458
    @elizabethmichael6458 Před 5 lety +3

    Hatua ya tatu ndio natakiwa kuanza nayo . Asante kwa kuendelea kutuelimisha Neema za Mungu ziendelee kuwa juu yako

  • @kilolahmakondo766
    @kilolahmakondo766 Před 4 lety

    Nashukuru kaka unatoa elim nzr ya ujasiliamali.Tupo nyuma yk haraf nashukuru umefanyia kaz ushaur wangu kwamba ulikuwa unaongea haraka harak mno kipindi cha nyuma ila kwa ss umebadilika unaongea taratibu tunakuellewa na unasikika barabara asante kaka Mungu akupe masikio na maarifa mengi pia

  • @furahathomas2074
    @furahathomas2074 Před 2 lety

    Asante kaka kwa ushauri wako mzuri mungu akubariki kwa kutupa elimu nzuri

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo6510 Před 4 lety

    Ahsante Sana broo Mungu azidi kuku uongoza vyema zaidi kiongozi

  • @gladmboya2385
    @gladmboya2385 Před 5 lety +1

    Kaka umenitoa nilipo nimesogea sehemu nyingine,kuanzia kesho nitatafta Wateja wapya wa chakula maofisini,Mungu akubariki sana.

  • @aminasalum8183
    @aminasalum8183 Před rokem +1

    u r the best broh….lemme start dealing with this ideas ❤❤❤

  • @zickmalik4901
    @zickmalik4901 Před rokem

    Nashkuru nimekutana na mtu sahihi. Asante sana

  • @mohamedfaris3000
    @mohamedfaris3000 Před 3 lety

    Yes, ni kweli moja ya point muhimu uliyozungumza ni kuhusu matangazo na discount, nakukubali mkuu

  • @Mwamba67
    @Mwamba67 Před 5 lety +2

    God bless you....!!

  • @dynesyonazi7449
    @dynesyonazi7449 Před 2 lety

    Asantee kwa somo zurii kaka i real appreciate you

  • @isackryoba7193
    @isackryoba7193 Před 5 lety

    ahsante brother binafsi nimejifunza mengi kupitiaa ww accha niyafanyia kazi kisha penye tatizo nikujulisha kwa msaada zaidi

  • @neemamgumba6575
    @neemamgumba6575 Před rokem

    Asante kwa kufungua mind set yangu .natamani kukuza biashara yangu ya duka genge.

  • @upendofrank4917
    @upendofrank4917 Před 4 lety +2

    Blessing for u brother

  • @farajawilly9700
    @farajawilly9700 Před rokem

    Asante sana kwa somo zuri

  • @tfashy_hub9156
    @tfashy_hub9156 Před 2 lety

    Asante sana Kaka. Umenipa kitu.

  • @gladnessgiven4511
    @gladnessgiven4511 Před rokem

    Nakushkur Sana blaz kwa kunfundisha somo Leo ntatafta wateja wapya

  • @elizabethmichael6458
    @elizabethmichael6458 Před 5 lety

    Asante kaka yang mungu akubariki sana

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 Před 5 lety

    Najifunza sana kwako unanifundisha sana nimeshaanza kubadilika kiufaham na mtazamo wangu umebadilika kabisa nataman unitembelee kwenye duka langu

  • @frankfiretz
    @frankfiretz Před 5 lety

    Ahsante Sana Kaka kwa somo nzuri

  • @letionnews310
    @letionnews310 Před 3 lety +1

    Nimekuelewa sana

  • @wangwanatv2555
    @wangwanatv2555 Před 3 lety +6

    Your lesson it's nice I have learnt something ...Thanksgiving 🙏🙏💯

  • @powamkumba2131
    @powamkumba2131 Před 4 lety +1

    Asante sana schoolmate, unrelated and related business na kufanya promotion ktk biashara yako

  • @editordominick6879
    @editordominick6879 Před 5 lety

    Thank you nataman ungekuwa dodoma

  • @nyaamajengo5861
    @nyaamajengo5861 Před 4 lety

    Asante sana nimejifunza kitu

  • @seciliasinde-xy8ow
    @seciliasinde-xy8ow Před 10 měsíci

    Thank you brother

  • @habarikalizatown9052
    @habarikalizatown9052 Před 4 lety +1

    Umenifurahisha sana kaka nimepata madini kidogo endapo nilichelewa

  • @joesphjustine8094
    @joesphjustine8094 Před 4 lety +1

    Mwanzo nilikuwa nauza chipsi nilikuwa naogopa kuibadili kazi ile kwa miaka mingi. Nilikuwa muoga sana wa kuthubutu kuiacha. Baada ya kufuatilia kwa makini masomo yako Siku izi nimefungua duka la vipodozi na ninaendelea vizuri sana.# asante Mr jn Mungu akubariki sana na akuwezeshe ktk kazi yako.

  • @uiavajiwgav5441
    @uiavajiwgav5441 Před rokem

    We salute my fover right ad viser wesh your long life 💘🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @eliezermtokoma2057
    @eliezermtokoma2057 Před 5 lety

    asante kwa chakula cha ubongo..

  • @hawakimaro9675
    @hawakimaro9675 Před 3 lety

    Thanks a lot joel

  • @zainaselemani9775
    @zainaselemani9775 Před 2 lety

    Waaoh!! Thanks so much nimekuelewa bro🙏🙏mm ndio kwañza nimeanza ka biashar kangu ya urembo lyke cheni,hereni, blacelet na vinginevyooo so naomba ushaurii zaidi nifanyeje ili nikuze zaidii ya hapo.

  • @stephahObimo
    @stephahObimo Před 5 lety

    Nimekuelewa brother Nafikili ntafanyia kazi

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 Před 4 lety

    God bless you ma brother

  • @oliverfrancis8219
    @oliverfrancis8219 Před 2 lety

    Asante kwa darasa

  • @adelinakibejile4696
    @adelinakibejile4696 Před 2 lety

    Shukran b blessed

  • @user-fi8ig5oy3x
    @user-fi8ig5oy3x Před 5 měsíci

    Daaaa safi sana

  • @summerbill7480
    @summerbill7480 Před rokem

    Mungu akubariki sana

  • @egonkasiano7822
    @egonkasiano7822 Před 5 lety

    Shukran

  • @sumiodilo1180
    @sumiodilo1180 Před 5 lety +2

    Bado nakufata, nakutazama, najifunza, na-like na pia ninatafiti-sisi watazamaji hasa tunaokomenti na wewe vile vile.
    Kuna watu walikuwa wanakomenti hapa ili kutafuta followers kwenye account zao za CZcams, hilo nimegundua, ushahidi upo katika somo moja wakati unamalizia mwishoni ulisema pongezi, shukurani zakweli/kinafki na hata tabasamu(sija-quote kama ilivyo) ulisema inajulikana apewapo mtu, wakajua umewashtukia mara watu wale wakasepa, sijaona tena komenti zao. Tuliopo thabiti kama kawaida unatuona.
    Mungu akuinue zaidi kaka. Ninabarikiwa na mafunzo yako.

  • @hilarygodfrey5862
    @hilarygodfrey5862 Před 5 lety

    Unazidi kutufundisha sana kaka yake

  • @michaelkatigula5793
    @michaelkatigula5793 Před 3 lety

    Somo zur Sana mwalimu

  • @agathamagidanga1518
    @agathamagidanga1518 Před 5 lety

    Nmekuelewa sana, inayonifaa kwa sasa ni market penetration

  • @edinachami1754
    @edinachami1754 Před 5 lety

    Love u brthr from cameroon

  • @shuukuchy6350
    @shuukuchy6350 Před 2 lety

    Kuhama mji n kuongeza vtu vnavyoendana.. Bst fr me

  • @justinycleverton7345
    @justinycleverton7345 Před 2 měsíci

    asante sana maana hadi kichwa kili stuck umenipa wazo

  • @exzaverymichale7673
    @exzaverymichale7673 Před 5 lety

    Asante kaka,

  • @eng.anoldkishumu3080
    @eng.anoldkishumu3080 Před 5 lety +1

    Asante sana bwana Joel.
    Nimeshasoma vitabu vyako yaani timiza malengo yako, nguvu ya mwanamke, ishi ndoto yako, tabia ya kughairisha mambo.
    Kwa kweli vyote ni vizuri.
    Kama utatoa kingine naomba unijulishe niweze kupata softcopy yake maana naamini bei yake itakuwa sio kubwa kama ya hardcopy.
    Mungu akubariki.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 5 lety

      ANOLD KISHUMU hongera sana kwa kuwa mfuatiliaji mzuri sana .Sawa nitakujulisha

    • @faudhiatmasoud4025
      @faudhiatmasoud4025 Před 5 lety

      softcopy ulipataje ndugu nahitaji

    • @allyhamad1301
      @allyhamad1301 Před rokem

      @@joelnanauka m ntaka ushauri

  • @joseefaidabutu6467
    @joseefaidabutu6467 Před 5 lety

    Asante sana

  • @hildabundala7527
    @hildabundala7527 Před 5 lety +4

    Karibu morogoro bro. Nikuandalie semina ya vijana

  • @gwakisaabisay6184
    @gwakisaabisay6184 Před rokem

    Noted brother

  • @faudhiatmasoud4025
    @faudhiatmasoud4025 Před 5 lety

    Asanteee

  • @hillaryaugustine7141
    @hillaryaugustine7141 Před 5 lety

    Nakukubali Cana Mr Nanauka

  • @fahmitumu8620
    @fahmitumu8620 Před 5 lety

    Kaka njoo na somo LA uwekezaji katika njia mbal mbal tunakuomba

  • @florachanga6983
    @florachanga6983 Před 5 lety

    Ubarikiwe sana kaka

  • @ezabron4784
    @ezabron4784 Před 5 lety

    Naongezea mbinu nyingine hapo. Kutoa elimu namna bidhaa au huduma unayoitoa itakavyowasaidia unaowahudumi. Wengne wanaweza wakaelewa huduma/bidhaa ila wasitambue msaada inayowapatia. Wanunuzi wengi huangalia pesa wanasahau umuhimu wake. Asante!!

  • @mwajumamwishehe3423
    @mwajumamwishehe3423 Před 5 lety +1

    Mimi bd sema naitaji kuwa mfanya biashala hapo baadae enderea kutuelimisha kaka mungu hawe pamoja nawe🙏🙏🙏

  • @KIMSwahili
    @KIMSwahili Před 3 lety

    Shukurani sana mwalim

  • @deodatiemmanueltarimo6714

    Nimeipenda

  • @emmanuelmayombo6188
    @emmanuelmayombo6188 Před 5 lety

    Asantee

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Před 2 lety

    Bomba sana Mkuu

  • @mohdrizo5809
    @mohdrizo5809 Před 4 lety

    Nimejifunza

  • @suavisanthony877
    @suavisanthony877 Před 3 lety

    Asante sana kaka

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 Před 2 lety +2

    Merci bouquet..+250

  • @chiticollemans
    @chiticollemans Před 4 lety

    My mentor

  • @saidirajabu5182
    @saidirajabu5182 Před 5 lety

    Kazi nzur

  • @TujuzeTv
    @TujuzeTv Před 3 lety

    From Burundi nakufuatilia saaana haswa katika mtandao wa Facebook daaaah ubarikiwe kwa saaaaana tuu

  • @rasulhashim6815
    @rasulhashim6815 Před 3 lety

    Nakuelewa sana mkuu

  • @esterbryson3020
    @esterbryson3020 Před rokem

    SoMo zuri me ni mmoja wapo ninaetaka kufunga biashara

  • @jacksonmollel5155
    @jacksonmollel5155 Před 4 lety

    Nimejifunza mengi

  • @user-hi1hm9yv9r
    @user-hi1hm9yv9r Před 5 měsíci

    Joel great point lakini nataka unisaidie nimekuwa na maono ya kufungua saloon ya kiume na Hadi nimenunua vifaa lakini kutokana na mazingira nayo ishi vyumba vimekuwa gharama Zaid nisiyo iweza na Kwa nje na mazingira yangu imekuwa ngumu kufatilia sababu ya majukumu na kuogopa namna ya usimamiaji sasa nataka kujua nifanye nini biashara yangu ianze kufanya kazi

  • @mdaginyikamwamuyinga895
    @mdaginyikamwamuyinga895 Před 3 lety +1

    Joel ,, binafsi kupitia post zako nibayaona mapungufu yangu mengi ambayo ninaamini yamenifanya niwe haoa nilipo natamani kufanya uoya kadri niwezavyo . Asante

  • @mightpeaceconsultingtv4825

    njema sana

  • @thomasdamas4347
    @thomasdamas4347 Před 4 lety

    Nataka nianze na step 1 up step 4.

  • @kipngetichgilbert2157
    @kipngetichgilbert2157 Před 4 lety +2

    what about the the factor of production in business is it also the main factor ?

  • @babalois7240
    @babalois7240 Před 5 lety +18

    Wakati mwingine mafanikio yako yamejificha kwenye uoga wako wa kutafuta masoko mapya..NOTED

  • @misskwileka1956
    @misskwileka1956 Před 5 lety

    Barikiwa sasa kaka @joelathurnanauka

  • @papilumona1896
    @papilumona1896 Před 3 lety

    Nitafanya promotion sana Asante sana

  • @remigiusyustinian200
    @remigiusyustinian200 Před 3 lety

    Nimekuelewa

  • @jagalayelemos1601
    @jagalayelemos1601 Před 5 lety

    nimependa sana ushaur wako mkubwa