Video nzuri, Lakini wacha nizungumzie jambo muhimu, naona vijana na wazee wengi wakifanya makosa ambayo nadhani hayafai. Nadhani kila mtu, mdogo au mzee, anapaswa kuwa na mpango wa uwekezaji unaoongeza mapato yao ya kifedha kwa takwimu tatu hadi sita. Uwekezaji unaweza kuwa mpango wako wa kustaafu au mpango wako wa baadaye, chochote unachotaka, lakini cha muhimu zaidi ni kwamba una uwekezaji wa faida.
Uwekezaji ndio ufunguo wa maisha yenye mafanikio, ikiwa umebahatika kuona jukwaa au wakala aliye na mpango mzuri na utambuzi bora, fanya vyema kuchukua nafasi yako.
Ninamjua mtu huyu, ni bora katika kile anachofanya. Nilianza tu kufanya biashara naye kwa uwekezaji wa awali wa $1550 na nilipata hadi $3200 katika wiki moja tu ya kufanya biashara naye. Mikakati yake ni ya kutisha
So powerful..Be blessed brother Asante sana Njia ya kwanza(Market Penetration) na ya tatu (Market Development) ntaanza nazo. "Mafanikio yako yamefichwa kwenye ujasiri wako wa kutafuta masoko mapya"
Kaka nanauka wewe nizaidi ya noma umenifanya nijione JOKA refu kwenye biashara yangu nakuiboresha zaidi na zaidi asante sana mungu akubariki sana nanime donlod
Nashukuru kaka unatoa elim nzr ya ujasiliamali.Tupo nyuma yk haraf nashukuru umefanyia kaz ushaur wangu kwamba ulikuwa unaongea haraka harak mno kipindi cha nyuma ila kwa ss umebadilika unaongea taratibu tunakuellewa na unasikika barabara asante kaka Mungu akupe masikio na maarifa mengi pia
Mwanzo nilikuwa nauza chipsi nilikuwa naogopa kuibadili kazi ile kwa miaka mingi. Nilikuwa muoga sana wa kuthubutu kuiacha. Baada ya kufuatilia kwa makini masomo yako Siku izi nimefungua duka la vipodozi na ninaendelea vizuri sana.# asante Mr jn Mungu akubariki sana na akuwezeshe ktk kazi yako.
Waaoh!! Thanks so much nimekuelewa bro🙏🙏mm ndio kwañza nimeanza ka biashar kangu ya urembo lyke cheni,hereni, blacelet na vinginevyooo so naomba ushaurii zaidi nifanyeje ili nikuze zaidii ya hapo.
Bado nakufata, nakutazama, najifunza, na-like na pia ninatafiti-sisi watazamaji hasa tunaokomenti na wewe vile vile. Kuna watu walikuwa wanakomenti hapa ili kutafuta followers kwenye account zao za CZcams, hilo nimegundua, ushahidi upo katika somo moja wakati unamalizia mwishoni ulisema pongezi, shukurani zakweli/kinafki na hata tabasamu(sija-quote kama ilivyo) ulisema inajulikana apewapo mtu, wakajua umewashtukia mara watu wale wakasepa, sijaona tena komenti zao. Tuliopo thabiti kama kawaida unatuona. Mungu akuinue zaidi kaka. Ninabarikiwa na mafunzo yako.
Asante sana bwana Joel. Nimeshasoma vitabu vyako yaani timiza malengo yako, nguvu ya mwanamke, ishi ndoto yako, tabia ya kughairisha mambo. Kwa kweli vyote ni vizuri. Kama utatoa kingine naomba unijulishe niweze kupata softcopy yake maana naamini bei yake itakuwa sio kubwa kama ya hardcopy. Mungu akubariki.
Naongezea mbinu nyingine hapo. Kutoa elimu namna bidhaa au huduma unayoitoa itakavyowasaidia unaowahudumi. Wengne wanaweza wakaelewa huduma/bidhaa ila wasitambue msaada inayowapatia. Wanunuzi wengi huangalia pesa wanasahau umuhimu wake. Asante!!
Joel great point lakini nataka unisaidie nimekuwa na maono ya kufungua saloon ya kiume na Hadi nimenunua vifaa lakini kutokana na mazingira nayo ishi vyumba vimekuwa gharama Zaid nisiyo iweza na Kwa nje na mazingira yangu imekuwa ngumu kufatilia sababu ya majukumu na kuogopa namna ya usimamiaji sasa nataka kujua nifanye nini biashara yangu ianze kufanya kazi
Joel ,, binafsi kupitia post zako nibayaona mapungufu yangu mengi ambayo ninaamini yamenifanya niwe haoa nilipo natamani kufanya uoya kadri niwezavyo . Asante
Safi sana mwalimu wangu mwaka 2018 niliahidi kwamba nwaka 2019 ntafungua duka LA nguo nimefungau narudisha marejesho asante kwa masomo yako mazur
👍
Video nzuri, Lakini wacha nizungumzie jambo muhimu, naona vijana na wazee wengi wakifanya makosa ambayo nadhani hayafai. Nadhani kila mtu, mdogo au mzee, anapaswa kuwa na mpango wa uwekezaji unaoongeza mapato yao ya kifedha kwa takwimu tatu hadi sita. Uwekezaji unaweza kuwa mpango wako wa kustaafu au mpango wako wa baadaye, chochote unachotaka, lakini cha muhimu zaidi ni kwamba una uwekezaji wa faida.
Uwekezaji ndio ufunguo wa maisha yenye mafanikio, ikiwa umebahatika kuona jukwaa au wakala aliye na mpango mzuri na utambuzi bora, fanya vyema kuchukua nafasi yako.
Salamu kutoka Florida, nimesoma maoni mengi kumhusu katika majukwaa mengi, lazima awe mwanamume halali.
Hii sio mara ya kwanza kumsikia Alexander Barnes na athari zake kwenye ulimwengu wa uwekezaji, nadhani nitajaribu kuwekeza naye.
Ninamjua mtu huyu, ni bora katika kile anachofanya. Nilianza tu kufanya biashara naye kwa uwekezaji wa awali wa $1550 na nilipata hadi $3200 katika wiki moja tu ya kufanya biashara naye. Mikakati yake ni ya kutisha
Brazaa nakufatilia sanaa vipind vyako
Mungu akulinde Sir❤
So powerful..Be blessed brother
Asante sana
Njia ya kwanza(Market Penetration) na ya tatu (Market Development) ntaanza nazo.
"Mafanikio yako yamefichwa kwenye ujasiri wako wa kutafuta masoko mapya"
Nashukuru kuanzia nianze kukufatilia nayaona mabadiliko kwenye biashara zangu kutokana na kujitangaza zaidi🙏
Your always my friend nanauka although I never see you facely, thank you for the good advice in business issues
Jazaaaq LLAH kheir..
Thanks brother my regards ALLAH BLESSING you..and towerds efforts for all you wish in your life
Asante Mr Joel nayafanyia kazi hayo mawazo... See you at the top
Asante sana Joel,bado naendelea kuelimika kupitia wewe. Mungu akubariki.
Hey....tunahitaji waalimu wengi zaidi kama hawa maana kwasasa tatizo si pesa tuu ila fahamu zetu MUNGU AKUTUNZE MWALIMU PROUD OF YOU
thank you so much to teach us every day if to do work, ibelive yourself we go to succesfull....God belless you ... see you at the top#
Very helpful presentation. God bless you
Kaka nanauka wewe nizaidi ya noma umenifanya nijione JOKA refu kwenye biashara yangu nakuiboresha zaidi na zaidi asante sana mungu akubariki sana nanime donlod
Thanx so much kwa darasa but mim napenda kutumia marketing penetration na diversification nadhani hizo zitanifaa zaidi
Good brother..real appreciate. God bless you
Shukraan brother kwa somo makini sana ubarikiwe 🙏🙏
I really enjoyed it brother,. that's lit!,,you rock,.!.,
Asanteh sana brother
Kiukwery ume gusa maisha yangu kwa utofati zaid
Daah umeniongezea maarifa, asante kaka. Sikuwahi kugundua kama kuna mambo mazuri huku.
Hatua ya tatu ndio natakiwa kuanza nayo . Asante kwa kuendelea kutuelimisha Neema za Mungu ziendelee kuwa juu yako
Nashukuru kaka unatoa elim nzr ya ujasiliamali.Tupo nyuma yk haraf nashukuru umefanyia kaz ushaur wangu kwamba ulikuwa unaongea haraka harak mno kipindi cha nyuma ila kwa ss umebadilika unaongea taratibu tunakuellewa na unasikika barabara asante kaka Mungu akupe masikio na maarifa mengi pia
Asante kaka kwa ushauri wako mzuri mungu akubariki kwa kutupa elimu nzuri
Ahsante Sana broo Mungu azidi kuku uongoza vyema zaidi kiongozi
Kaka umenitoa nilipo nimesogea sehemu nyingine,kuanzia kesho nitatafta Wateja wapya wa chakula maofisini,Mungu akubariki sana.
u r the best broh….lemme start dealing with this ideas ❤❤❤
Nashkuru nimekutana na mtu sahihi. Asante sana
Yes, ni kweli moja ya point muhimu uliyozungumza ni kuhusu matangazo na discount, nakukubali mkuu
God bless you....!!
Asantee kwa somo zurii kaka i real appreciate you
ahsante brother binafsi nimejifunza mengi kupitiaa ww accha niyafanyia kazi kisha penye tatizo nikujulisha kwa msaada zaidi
Asante kwa kufungua mind set yangu .natamani kukuza biashara yangu ya duka genge.
Blessing for u brother
Asante sana kwa somo zuri
Asante sana Kaka. Umenipa kitu.
Nakushkur Sana blaz kwa kunfundisha somo Leo ntatafta wateja wapya
Asante kaka yang mungu akubariki sana
Najifunza sana kwako unanifundisha sana nimeshaanza kubadilika kiufaham na mtazamo wangu umebadilika kabisa nataman unitembelee kwenye duka langu
Ahsante Sana Kaka kwa somo nzuri
Nimekuelewa sana
Your lesson it's nice I have learnt something ...Thanksgiving 🙏🙏💯
Asante sana schoolmate, unrelated and related business na kufanya promotion ktk biashara yako
Thank you nataman ungekuwa dodoma
Asante sana nimejifunza kitu
Thank you brother
Umenifurahisha sana kaka nimepata madini kidogo endapo nilichelewa
Mwanzo nilikuwa nauza chipsi nilikuwa naogopa kuibadili kazi ile kwa miaka mingi. Nilikuwa muoga sana wa kuthubutu kuiacha. Baada ya kufuatilia kwa makini masomo yako Siku izi nimefungua duka la vipodozi na ninaendelea vizuri sana.# asante Mr jn Mungu akubariki sana na akuwezeshe ktk kazi yako.
Nice
We salute my fover right ad viser wesh your long life 💘🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
asante kwa chakula cha ubongo..
Thanks a lot joel
Waaoh!! Thanks so much nimekuelewa bro🙏🙏mm ndio kwañza nimeanza ka biashar kangu ya urembo lyke cheni,hereni, blacelet na vinginevyooo so naomba ushaurii zaidi nifanyeje ili nikuze zaidii ya hapo.
Nimekuelewa brother Nafikili ntafanyia kazi
God bless you ma brother
Asante kwa darasa
Shukran b blessed
Daaaa safi sana
Mungu akubariki sana
Shukran
Bado nakufata, nakutazama, najifunza, na-like na pia ninatafiti-sisi watazamaji hasa tunaokomenti na wewe vile vile.
Kuna watu walikuwa wanakomenti hapa ili kutafuta followers kwenye account zao za CZcams, hilo nimegundua, ushahidi upo katika somo moja wakati unamalizia mwishoni ulisema pongezi, shukurani zakweli/kinafki na hata tabasamu(sija-quote kama ilivyo) ulisema inajulikana apewapo mtu, wakajua umewashtukia mara watu wale wakasepa, sijaona tena komenti zao. Tuliopo thabiti kama kawaida unatuona.
Mungu akuinue zaidi kaka. Ninabarikiwa na mafunzo yako.
Unazidi kutufundisha sana kaka yake
Somo zur Sana mwalimu
Nmekuelewa sana, inayonifaa kwa sasa ni market penetration
Love u brthr from cameroon
Kuhama mji n kuongeza vtu vnavyoendana.. Bst fr me
asante sana maana hadi kichwa kili stuck umenipa wazo
Asante kaka,
Asante sana bwana Joel.
Nimeshasoma vitabu vyako yaani timiza malengo yako, nguvu ya mwanamke, ishi ndoto yako, tabia ya kughairisha mambo.
Kwa kweli vyote ni vizuri.
Kama utatoa kingine naomba unijulishe niweze kupata softcopy yake maana naamini bei yake itakuwa sio kubwa kama ya hardcopy.
Mungu akubariki.
ANOLD KISHUMU hongera sana kwa kuwa mfuatiliaji mzuri sana .Sawa nitakujulisha
softcopy ulipataje ndugu nahitaji
@@joelnanauka m ntaka ushauri
Asante sana
Karibu morogoro bro. Nikuandalie semina ya vijana
Hi hilda
Noted brother
Asanteee
Nakukubali Cana Mr Nanauka
Kaka njoo na somo LA uwekezaji katika njia mbal mbal tunakuomba
Ubarikiwe sana kaka
Naongezea mbinu nyingine hapo. Kutoa elimu namna bidhaa au huduma unayoitoa itakavyowasaidia unaowahudumi. Wengne wanaweza wakaelewa huduma/bidhaa ila wasitambue msaada inayowapatia. Wanunuzi wengi huangalia pesa wanasahau umuhimu wake. Asante!!
Mimi bd sema naitaji kuwa mfanya biashala hapo baadae enderea kutuelimisha kaka mungu hawe pamoja nawe🙏🙏🙏
Shukurani sana mwalim
Nimeipenda
Asantee
Bomba sana Mkuu
Nimejifunza
Asante sana kaka
Merci bouquet..+250
My mentor
Kazi nzur
From Burundi nakufuatilia saaana haswa katika mtandao wa Facebook daaaah ubarikiwe kwa saaaaana tuu
Nakuelewa sana mkuu
SoMo zuri me ni mmoja wapo ninaetaka kufunga biashara
Nimejifunza mengi
Joel great point lakini nataka unisaidie nimekuwa na maono ya kufungua saloon ya kiume na Hadi nimenunua vifaa lakini kutokana na mazingira nayo ishi vyumba vimekuwa gharama Zaid nisiyo iweza na Kwa nje na mazingira yangu imekuwa ngumu kufatilia sababu ya majukumu na kuogopa namna ya usimamiaji sasa nataka kujua nifanye nini biashara yangu ianze kufanya kazi
Joel ,, binafsi kupitia post zako nibayaona mapungufu yangu mengi ambayo ninaamini yamenifanya niwe haoa nilipo natamani kufanya uoya kadri niwezavyo . Asante
njema sana
Nataka nianze na step 1 up step 4.
what about the the factor of production in business is it also the main factor ?
Wakati mwingine mafanikio yako yamejificha kwenye uoga wako wa kutafuta masoko mapya..NOTED
Ameni
Nahitaji mabadiliko eneo la kutimiza malengo
Barikiwa sasa kaka @joelathurnanauka
Nitafanya promotion sana Asante sana
Nimekuelewa
nimependa sana ushaur wako mkubwa