MWONGOZO WA JUICE//A GUIDE TO A SUCCESSFUL JUICE BUSSINESS
Vložit
- čas přidán 16. 02. 2021
- mwongozo wa biashara ya juice,ni rahisi sana lufuata biashara hii kama ukiwa tayari na kuzingatia vigezo.
kwa video zingine za biashara bonyeza link hizi
BISKUTI ZA BIASHARA
• Video
BIASHARA 13 KWA AJILI YA MAMA WA NYUMBANI
• BIASHARA 13 KWA AJILI ...
BIASHARA 5 ZA KUKUINGIZIA 10,000/= KILA SIKU
• BIASHARA 5 ZA KUKUINGI...
Mwenye maoni zaidi/angalizo/ushauri zaidi tafadhali dodosha kwenye comment tujifunze pamoja.
Pia usisahau kusubscribe,like,comment na kushare na ndugu jamaa na marafiki
Jamn uku nlipo juice nusu lita ndo 500 napenda sana hii biashar lkn changamoto yang napatia wap (disposable glasses) maan huku nlipo hakuna
Maan inabd ninunue chupa za maj za nusu lita nizfanyie usaf alafu niweke juice kwa wateja wng nlikua nahtaj class hiz ambazo mtu akitumia bac lakn huku nilipo hakun jamn na wateja wangu weng n wapitaj tuu sasa mteja Akija anahtaj umuekee kweny chupa weng hawanyw hapa hapa sasa napata changamoto nikiwa cna chupa duuh... Yan hela naikosa hvhv nkiangalia nsaidien mawazo nifanyaj
Pole sana dear,upo wapi?hata mjini kwenu hamna?
Basi niambie kama unataka kununuliwa na kutumiwa ulipo..nitakusaidia.usijali.
Nitafute instagram kekiplus.youtubechannel
@@kekiplus1andonly ok
Samahani dear kama nikichanya na palachichi au napassion inakubalika
Asante sana kwa video, nimejifunza mengi sana sanaaaa
Asante Sana Kwa somo,nimependa sana
Mwongozo mzuri kabisa huu, nakukubali dada
Ahsante kwa somo dear
jibu moja nimepa la bei. Je maji hayatajitenga na tunda.
Asante Sana dada barikiwa 🙏
Asante kwa ushauri mzuri
shukran ukhty kwa ushauri wako
Asante dada kwa ushauri ni kweli kabisa tunanunua vilivyoiva sana sana na juice huwa inaonyesha kabisa kuwa limeoza. Bariakia
Asante sanaa dada
Mashallah 😍😍😍
Mungu asaidie ninampango wa kuanza kutengeneza na kuuza juice. Nitakutafuta mama kwa somo zaidi
Asante sn
Asante mamy vitu vyako vinaeleweka kwakweli
Asante sana ❤️💯
Thanks a lot
blessed
Shukran
Axante dear
Santee sana nimejifunza vingi
Kwa wale wanaouza sh 500.....kuna glass za 250mls, zinaitwa glass bomba, lita 1 zinatoka glass 8
Ipo wap nabei gn
Navipataje na wap
Hesabu gani hizo ni glass nne
MashaaAllah mpenzi mm pia napenda sana kuonja juice kabla kuserve ama juisi ya aina yoyote.. Haya niletee glass yangu😋😋sijawahi fanya biashara ya juice ila nikimakinika nitafanya love
Yes,kuonja ndo kila kitu.
Hata glass usibebe,we njoo tu😂😂😂😂😂
Kweli ukimakinika its possible kama time unayo
@@kekiplus1andonly eeeeh mpenzi nikujipanga💪
Nataman sana dada angu tatizo mtaji tu,mtaji sio matunda tu hata friji na brenda pia mtaji
❤
Such an informative guide- this new series is Everything sis. Keep up the good work dear alafu naangalia tu hio maende mate yananindondoka, yameiva poa sana
Hahaha...unapenda maembe eeh?
Thanls dear,for always supporting..
Did you check ur dm?
@@kekiplus1andonly maembe na mimi tuko inseparable.. I'll check my dm today been sooo busy this week
Napenda mafunzo yako
Asante dada kwa mafundisho naomba uniambie nitumie nini?ili juice yangu iwe na radha nzuri.please
Asante dada naomba namba ako
vifaa gani naweza kuandaa vya kuuzia juice ambayo tayar ime andaliwa madam msaada please ?
Nazipataje izo crass
Samahani dada unaweza kunionyesha radha unazoweza kutumia kweny juice ili iwe tamu zaidi
Umesema kweli dear mazingatio uliyosema ni sahihi kabisaa asante my.hivi nikitaka kukutana nawe uko na nafasi hiyo?
Inawezekana dear,ni mipango tu
Asante my 🥰
🤗
Hongera San mdada
Namba yako ya simu tafadhari
Hiyo glass y juice unauza kwa sh ngap kila glass
Sio lazma kuweka tangawizi ? Na limao?
Kama natumia barafu inakuwaje??
Dada me naomb nmba yakoo nikutafute nashida
Juice nzuri nimependa
dada Glass nauzaje napenda sana kufanya biashara ya juice. Naomba namba yako ya simu.
Nampango wa kuuza juisi na kilacku nafatilia mafunzo yako napenda sana coz yanaeleweka sana mafunz yako
MashaAllah 😘 nakuombea uanze rasmi,usfkirie sana,Anza tu,
Ccta kunamtu alnambia kwamb biashara ya juic sio yakutegemea sana coz wakati wa masika wateja upungua naomb ushauli ccta
Me nataka kufungua biashala yamatunda nashukulu kwa mafunzo
Naomba pia namba yako ili uzid kunifunza
Shukran
❤
Shukran
Karibu dear
Ongera sana