MWONGOZO WA JUICE//A GUIDE TO A SUCCESSFUL JUICE BUSSINESS

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 02. 2021
  • mwongozo wa biashara ya juice,ni rahisi sana lufuata biashara hii kama ukiwa tayari na kuzingatia vigezo.
    kwa video zingine za biashara bonyeza link hizi
    BISKUTI ZA BIASHARA
    • Video
    BIASHARA 13 KWA AJILI YA MAMA WA NYUMBANI
    • BIASHARA 13 KWA AJILI ...
    BIASHARA 5 ZA KUKUINGIZIA 10,000/= KILA SIKU
    • BIASHARA 5 ZA KUKUINGI...

Komentáře • 67

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly  Před 3 lety +6

    Mwenye maoni zaidi/angalizo/ushauri zaidi tafadhali dodosha kwenye comment tujifunze pamoja.
    Pia usisahau kusubscribe,like,comment na kushare na ndugu jamaa na marafiki

    • @sofiaringo4901
      @sofiaringo4901 Před 3 lety +1

      Jamn uku nlipo juice nusu lita ndo 500 napenda sana hii biashar lkn changamoto yang napatia wap (disposable glasses) maan huku nlipo hakuna

    • @sofiaringo4901
      @sofiaringo4901 Před 3 lety +1

      Maan inabd ninunue chupa za maj za nusu lita nizfanyie usaf alafu niweke juice kwa wateja wng nlikua nahtaj class hiz ambazo mtu akitumia bac lakn huku nilipo hakun jamn na wateja wangu weng n wapitaj tuu sasa mteja Akija anahtaj umuekee kweny chupa weng hawanyw hapa hapa sasa napata changamoto nikiwa cna chupa duuh... Yan hela naikosa hvhv nkiangalia nsaidien mawazo nifanyaj

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  Před 3 lety

      Pole sana dear,upo wapi?hata mjini kwenu hamna?
      Basi niambie kama unataka kununuliwa na kutumiwa ulipo..nitakusaidia.usijali.
      Nitafute instagram kekiplus.youtubechannel

    • @sofiaringo4901
      @sofiaringo4901 Před 3 lety

      @@kekiplus1andonly ok

    • @happyfrances8854
      @happyfrances8854 Před 2 lety

      Samahani dear kama nikichanya na palachichi au napassion inakubalika

  • @katherinemoroni9591
    @katherinemoroni9591 Před 3 lety

    Asante sana kwa video, nimejifunza mengi sana sanaaaa

  • @shakilashakila5142
    @shakilashakila5142 Před 2 lety

    Asante Sana Kwa somo,nimependa sana

  • @binahmadkhalif6424
    @binahmadkhalif6424 Před rokem

    Mwongozo mzuri kabisa huu, nakukubali dada

  • @joycepeterwilliam2143

    Ahsante kwa somo dear

  • @lesthermulagha6687
    @lesthermulagha6687 Před 3 lety +3

    jibu moja nimepa la bei. Je maji hayatajitenga na tunda.

  • @carolainenyakundi3316
    @carolainenyakundi3316 Před 3 lety +1

    Asante Sana dada barikiwa 🙏

  • @theresiamhina9714
    @theresiamhina9714 Před 3 lety +1

    Asante kwa ushauri mzuri

  • @habibarajabkiriwacho5921

    shukran ukhty kwa ushauri wako

  • @lesthermulagha6687
    @lesthermulagha6687 Před 3 lety

    Asante dada kwa ushauri ni kweli kabisa tunanunua vilivyoiva sana sana na juice huwa inaonyesha kabisa kuwa limeoza. Bariakia

  • @mbonihankuyelissa6931
    @mbonihankuyelissa6931 Před 3 lety +2

    Asante sanaa dada

  • @shidalikenge1085
    @shidalikenge1085 Před 2 lety

    Mashallah 😍😍😍

  • @stephenkadakwa2315
    @stephenkadakwa2315 Před rokem

    Mungu asaidie ninampango wa kuanza kutengeneza na kuuza juice. Nitakutafuta mama kwa somo zaidi

  • @kautharibrahim9691
    @kautharibrahim9691 Před 3 lety

    Asante sn

  • @renaldamelchiardy1032
    @renaldamelchiardy1032 Před 3 lety +1

    Asante mamy vitu vyako vinaeleweka kwakweli

  • @mercymsupa1624
    @mercymsupa1624 Před 3 lety

    Asante sana ❤️💯

  • @ibraabuemu9231
    @ibraabuemu9231 Před 3 lety

    Thanks a lot

  • @marybrison5504
    @marybrison5504 Před 7 měsíci

    blessed

  • @NanceUlomi
    @NanceUlomi Před 2 měsíci

    Shukran

  • @glorylymo958
    @glorylymo958 Před 2 lety

    Axante dear

  • @user-ib5no8vn5g
    @user-ib5no8vn5g Před 2 měsíci

    Santee sana nimejifunza vingi

  • @elizabethjulius651
    @elizabethjulius651 Před 2 lety +11

    Kwa wale wanaouza sh 500.....kuna glass za 250mls, zinaitwa glass bomba, lita 1 zinatoka glass 8

  • @HadijaSheban
    @HadijaSheban Před 3 lety +1

    MashaaAllah mpenzi mm pia napenda sana kuonja juice kabla kuserve ama juisi ya aina yoyote.. Haya niletee glass yangu😋😋sijawahi fanya biashara ya juice ila nikimakinika nitafanya love

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  Před 3 lety +3

      Yes,kuonja ndo kila kitu.
      Hata glass usibebe,we njoo tu😂😂😂😂😂
      Kweli ukimakinika its possible kama time unayo

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban Před 3 lety

      @@kekiplus1andonly eeeeh mpenzi nikujipanga💪

  • @user-oi7qm1ge9y
    @user-oi7qm1ge9y Před 4 měsíci +4

    Nataman sana dada angu tatizo mtaji tu,mtaji sio matunda tu hata friji na brenda pia mtaji

  • @annaanthony2850
    @annaanthony2850 Před 9 měsíci +1

  • @cookwithmsoo
    @cookwithmsoo Před 3 lety +6

    Such an informative guide- this new series is Everything sis. Keep up the good work dear alafu naangalia tu hio maende mate yananindondoka, yameiva poa sana

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  Před 3 lety +1

      Hahaha...unapenda maembe eeh?
      Thanls dear,for always supporting..
      Did you check ur dm?

    • @cookwithmsoo
      @cookwithmsoo Před 3 lety

      @@kekiplus1andonly maembe na mimi tuko inseparable.. I'll check my dm today been sooo busy this week

  • @marthajoseph3297
    @marthajoseph3297 Před 3 lety

    Napenda mafunzo yako

  • @tumainimwakisile4855
    @tumainimwakisile4855 Před 5 měsíci

    Asante dada kwa mafundisho naomba uniambie nitumie nini?ili juice yangu iwe na radha nzuri.please

  • @mariammanoni4531
    @mariammanoni4531 Před 3 lety +2

    Asante dada naomba namba ako

  • @user-nl6cc2lw3x
    @user-nl6cc2lw3x Před 4 měsíci

    vifaa gani naweza kuandaa vya kuuzia juice ambayo tayar ime andaliwa madam msaada please ?

  • @user-gg7td9fy7v
    @user-gg7td9fy7v Před 5 měsíci

    Nazipataje izo crass

  • @JennyJocktan-gl2ps
    @JennyJocktan-gl2ps Před 5 měsíci

    Samahani dada unaweza kunionyesha radha unazoweza kutumia kweny juice ili iwe tamu zaidi

  • @lindamlaki8103
    @lindamlaki8103 Před 3 lety +1

    Umesema kweli dear mazingatio uliyosema ni sahihi kabisaa asante my.hivi nikitaka kukutana nawe uko na nafasi hiyo?

  • @stellakapwapwa9550
    @stellakapwapwa9550 Před rokem

    Asante my 🥰

  • @mariajuma8994
    @mariajuma8994 Před rokem +1

    Namba yako ya simu tafadhari

  • @shineyourlifechannel.6753

    Hiyo glass y juice unauza kwa sh ngap kila glass

  • @BrendaJuddy
    @BrendaJuddy Před měsícem

    Sio lazma kuweka tangawizi ? Na limao?

  • @happyfrances8854
    @happyfrances8854 Před 2 lety

    Kama natumia barafu inakuwaje??

  • @rahmaomari5544
    @rahmaomari5544 Před 2 lety

    Dada me naomb nmba yakoo nikutafute nashida

  • @user-xc1dv6pu3c
    @user-xc1dv6pu3c Před 8 měsíci

    Juice nzuri nimependa

  • @lesthermulagha6687
    @lesthermulagha6687 Před 3 lety +1

    dada Glass nauzaje napenda sana kufanya biashara ya juice. Naomba namba yako ya simu.

  • @Dizzolee-tz
    @Dizzolee-tz Před 3 měsíci +1

    Nampango wa kuuza juisi na kilacku nafatilia mafunzo yako napenda sana coz yanaeleweka sana mafunz yako

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  Před 3 měsíci +1

      MashaAllah 😘 nakuombea uanze rasmi,usfkirie sana,Anza tu,

    • @Dizzolee-tz
      @Dizzolee-tz Před 3 měsíci

      Ccta kunamtu alnambia kwamb biashara ya juic sio yakutegemea sana coz wakati wa masika wateja upungua naomb ushauli ccta

  • @user-xo4bw7pg3o
    @user-xo4bw7pg3o Před 10 měsíci

    Me nataka kufungua biashala yamatunda nashukulu kwa mafunzo

  • @annaanthony2850
    @annaanthony2850 Před 3 měsíci

    Shukran

  • @ayshahussen7452
    @ayshahussen7452 Před 9 měsíci

  • @bernadethansumba5568
    @bernadethansumba5568 Před 3 lety +3

    Shukran