Video Ina Mafunzo Ya Namna Yakuandaa Yoghurt Nyumbani,Pia Upatikanaji Wa Culture WASAMBAZAJI WA CULTURE 0768 859 358 0765 260 844 0762 883 065 MZIWANDA BAKERS @mziwandabakers8297
Nilikua natamani sana hili la kutumia culture..asante kwa kushare nasi! Utofauti wa culture kulingana uzito vipimo vinakuaje..napenda yogurt nzito kidogo
Hello mziwanda bakers shukrani kwa Masomo yako nime jifunza mengi kutoka kwa Channel yako naomba kama unaweza kutufunza kutengeza lemon blueberry cake na pinacolada cakes.. asante
Ubarikiwe sàna naomba kujua napataje culture nipo arusha
Nilikua natamani sana hili la kutumia culture..asante kwa kushare nasi! Utofauti wa culture kulingana uzito vipimo vinakuaje..napenda yogurt nzito kidogo
Asante sana nimejifinza
Asante sana kwa somo, ila sasa kama sina Culture nitatumia nini mbadala wake
Asante sana,unatusaidia sana
Nashukuru kwa vidéo hii
Nimeipenda naomba kujua jinsi ya kutengeneza mtinfi
Asante dd UBARIKIWA
Asaalam aalykum ,shukran sana mzigo nimeupata,somo limeeleweka.nimetengeneza mtindi mzur maa shaa Allah.Allah akulipe kheri.aamyn
Alayka salaam habbipty, shukran karibu tena
Sasa kama maziwa yana maji mengi itajuaje
kw kibaha culture inapatikana sehemu gani naitaji sana
Hiyo culture ya patikana wapi
Big up to you lovee
Nice😋😋😋😍
MashaAllah ❤❤
Proud of you dia
Selfless lady !!
Naomba namba
Bei gni iyo culture
Asante sana
Asante mamy unanibariki kwa darasa lako
🤝🤝❤
@@mziwandabakers8297 naomba no zako tuongee
Hello mziwanda bakers shukrani kwa Masomo yako nime jifunza mengi kutoka kwa Channel yako naomba kama unaweza kutufunza kutengeza lemon blueberry cake na pinacolada cakes.. asante
Kacha naipata wap dada
Upo mkoa gani?
MashaAllah....Mimi Niko Zanzibar nahitaji hiyo kacha ya yogurt....nitaipataje?
Nahitaji vifaa dada
Mbona hujibu hizo kacha zinapatikana maeneo gani
Calture ninini mi dawa au
Hongera dada naomba kuuliza hiyo kalicha inasaidi nini kwenye hayo maziwa?
Nahitaji culture za yogurt na mtindi
Hiyo cutulre inapatikana wapi na sh ngapi tunahitaji
Yanakaa mda gani
Hiyo culture tunazipata wapi kwa moro
Nahitaji culture ... zote ..ni shngp nipo mosh
Nimejaribu kupiga hizo number lakini hazi go through please help
Nitakutafuta Whatsapp nijifunze zaidi
samahani starch hawaweki
Mnapatikana wapi
Hello. Why can't you boil the milk the normal way
Kacha ni nn
aslkm lazima uanze na lit5
Namba za mawakala wenu wa culture hawaeleweki tupeni Namba zenu direct
Thanks so much for all this ,just to ask how many litres should the culture be used
The whole package can be used in 250ltrs
Ohh thanks alot for this
Nahitaji kujifunza vipi kuhusu vipimo?
@@mziwandabakers8297 naomba kujifunz
Halloo Salam Aleikum Nimefurahi Sana Na Nigependa Kujua Zaidi Dadangu Ningependa Kufanya Biashara Ya Kuuza Yougat
Nimefurahi sana shida hiyo kacha tu
Culture ni nn jamani
Dear culture inahifadhiwa wapi?? Naomba utufahamishe inahifadhiwa wapi
Kwenye fridge.
Sehemu baridi
Dada naomba unionyeshe picha ya kacha maana nipo in'je ya Tanzania utakuwa umenisaidia
Is this Kenyan contact or Tz
Masha Allah shukran sana...hizi culture twazipata wapi Kenya?plz nielekeze
Zipo kenya
Dada unafundisha vizuri sana 🙏...naomba kujua maziwa ya pakti yanafaa?
Hapana dear sina elimu ya maziwa ya pakti
Tumia fresh kutoka kwa ng'ombe kupata matokeo mazuri zaidi dear
Good
Maneno meengi please be straightfoward.
Sure
Kacha ndio nini
Habari nahitaji culture ya mtindi ni sh ngapi
Asante sana